RC MWANRI KAJA NA MPYA "TUTAPIGA PASU PASU, JIKUNE ULIE CHRISTMASS LUPANGO"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 210

  • @susanlazaro7492
    @susanlazaro7492 5 ปีที่แล้ว +153

    Kama unamsikiliza Mzee wa comedy Wakati unasoma comment usijikune gonga tu like hapa

  • @marymodunda602
    @marymodunda602 5 ปีที่แล้ว +4

    wale wa mtori na kisusio gonga like

  • @emmanuelgabagendi4515
    @emmanuelgabagendi4515 5 ปีที่แล้ว +8

    Kikweli nakupenda sana mze wangu kanzi njema

  • @jimwoolfe5375
    @jimwoolfe5375 5 ปีที่แล้ว

    Namupenda saaannaaaa huyu Mzee. Asante sana Mheshimiwa Mwanri

  • @beatricengonani4640
    @beatricengonani4640 5 ปีที่แล้ว +1

    Soma hyoo somaaa

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 5 ปีที่แล้ว +26

    Namkubali sana huyu dingi,kwa mkwara tu ni noma sana.

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 5 ปีที่แล้ว +1

      Sio mkwara tu na kazi anapiga kiuhakika hatski mchezo. Alipokuwa naibu waziri tamisemi ndie alikuwa anagonga kuta zikipukuchika hilo ni jengo lako mkandarasi. Ni Kati ya waliodhamiria kuwatoa watu kwenye unyonge samba na rais was awamu ya TANO!!!

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 5 ปีที่แล้ว

      @@reachthegoal7624 Ni jembe la ukweli pia anajua kuwasiliana.Nampa salute sana akiwa next president inaweza kua poa sana.

    • @abbasboniphace5444
      @abbasboniphace5444 5 ปีที่แล้ว +1

      Anamkwara mzito😂😂😂😂😂

    • @subiradalabu6616
      @subiradalabu6616 5 ปีที่แล้ว

      George Karuga...anatisha cjutii mb zangu kwa huyu

  • @officialtalenttv3882
    @officialtalenttv3882 5 ปีที่แล้ว +25

    Thubutu tu jifanye
    Unajikuna uende
    Lupango

  • @msonjoaden3260
    @msonjoaden3260 5 ปีที่แล้ว +35

    Mbona kama kuna mtu anajikuna hapo Mkuu.

  • @mojaytz4030
    @mojaytz4030 5 ปีที่แล้ว

    MAma lishe na baba lishe,
    Gonga like twende

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 5 ปีที่แล้ว +27

    Huyu baba nahisi hata mke wake hajawahi kununa

    • @wemachristian119
      @wemachristian119 5 ปีที่แล้ว +1

      Na alishahojiwa akathibitisha hilo

    • @nickmsangaa8506
      @nickmsangaa8506 5 ปีที่แล้ว

      Kweli tena et mamy

    • @christinamiho7445
      @christinamiho7445 5 ปีที่แล้ว

      Weeee mtu kama huyu achana nae akiwa nyumbn ni kaudhuuuuu mpaka familia yake inamuogopaaa

    • @hamzarumela1784
      @hamzarumela1784 5 ปีที่แล้ว

      Kabisa yaani, ila jua kuwa kila mwenye mazuri, lazima ana mabaya yake pia. Lakini kiukweli huyu jamaa ni zaidi ya kiongozi

  • @tatusaid1223
    @tatusaid1223 5 ปีที่แล้ว

    ahaaaaaaah, nime elewa sasa kuhusu vitambulishoooooo, safi sana mkuuu

  • @ivanmbilinyi6593
    @ivanmbilinyi6593 5 ปีที่แล้ว +6

    Wanachukua hela mpk za.wauza vitumbua hatar sana

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa9884 5 ปีที่แล้ว +14

    Wamachinga hao kodi waanza kutoa ila hata hawatambui daaa elimu elimu elimu

    • @THREE_ANGLES_MESSAGE.
      @THREE_ANGLES_MESSAGE. 5 ปีที่แล้ว

      HIVI KUTOA KODI NI KINYUME CHA SHERIA

    • @petermagele4488
      @petermagele4488 5 ปีที่แล้ว

      kwani wakitoa kodi kunaubaya gani unazan mpaka lini tutegemee wahisan

  • @issambamba6955
    @issambamba6955 5 ปีที่แล้ว +22

    ingependeza baada ya magufuri ajekuwa rais wa nchi huyu mkuu,naamini watanzania tutakuja ishi kama wana wa israeli walipokuwa ktk nchi ya misr😱😱😱😱😱

  • @raswiurashid2085
    @raswiurashid2085 5 ปีที่แล้ว +1

    mzee huyu nampendaje. he is fit

  • @jastinjaister5150
    @jastinjaister5150 5 ปีที่แล้ว +1

    safi Sana mkuu pigs kazi

  • @halemasalim9330
    @halemasalim9330 5 ปีที่แล้ว +3

    Napenda sana hyu ni lzm ucheke

  • @bernardchibwana2564
    @bernardchibwana2564 5 ปีที่แล้ว

    Huyu mzeee ananifurahisha sanaaa, full kucheka tu kila nionapo clip zake full raha

  • @abbysauko3725
    @abbysauko3725 5 ปีที่แล้ว +8

    Mzee anavyo cheza ni Kama wale wa jigi jigi eeh jigi jigi jigi jigi

  • @ibrahimmakasi4690
    @ibrahimmakasi4690 5 ปีที่แล้ว +1

    Mzee wa kusukuma ndani napenda sana clip zake

  • @consolatamedard9039
    @consolatamedard9039 5 ปีที่แล้ว

    Safi baba piga kaz

  • @magessamambagachachamambag1189
    @magessamambagachachamambag1189 5 ปีที่แล้ว +3

    Navutiwa sana maelekezo yabkiongozi huyubama kweli najivunia me kuwa mtanzania kwani haya maneno mazuri ningeyapata wp

  • @iungwadeogratius7893
    @iungwadeogratius7893 5 ปีที่แล้ว +1

    Kweli nimekubali waliotoka maisha ya shida ndio wanawajua wa2 wao balikiwa sana mkuu wa mkoa pia rais we2 wa nchi

  • @clementmathias9512
    @clementmathias9512 5 ปีที่แล้ว

    Yeeeeessssss kitambulisho ni kwa ajili ya kutambuana

  • @athumannuru3648
    @athumannuru3648 5 ปีที่แล้ว

    Somaranii injiniaaa

  • @kaobamaabel5561
    @kaobamaabel5561 5 ปีที่แล้ว +27

    Nan kasikia mh kasema TRA ya malawi anyoshe mkono juu ajifanye kama anajikuna.😂😂😂😂😂

  • @ramadhanirajab9901
    @ramadhanirajab9901 5 ปีที่แล้ว

    nakukubali sana sana kiongozi

  • @andreymalisa1625
    @andreymalisa1625 5 ปีที่แล้ว +26

    Kwa jicho la tatu ni kwamba kodi yaja mpaka kwa wamachinga....
    .😢😢😢😢

    • @rabaikatakweba1566
      @rabaikatakweba1566 5 ปีที่แล้ว +1

      Ni kweli maana kila mwaka watakuwa wanaupdate kila mwaka huyu jamaa

    • @andreymalisa1625
      @andreymalisa1625 5 ปีที่แล้ว +2

      Rabai Katakweba Mungu awaongoze tu hayo makusanyo yawe sawa sawa na maendeleo ya nchi yetu...
      #Tanzania

    • @rabaikatakweba1566
      @rabaikatakweba1566 5 ปีที่แล้ว +1

      Inshaallah wasitokee wapigaji

    • @isackmosesmabula3648
      @isackmosesmabula3648 5 ปีที่แล้ว +2

      Kila anayetaKiwa kulipa kodi ni lazima alipe sema Watanzania wengi wamekua na ukinzani na sheria na taratibu wanazopewa,,na kisha haohao wanaokwepa kulipa kodi ndio namba moja kulalamika Elimu mbaya,huduma za afya mbaya hali ya maisha nayo ni mbaya n.k na kutolea mfano nchi zingine pasina kujua wananchi wa nchi hizo wanafuata sheria na taratibu na wanalipa kodi pasipo shuruti...mfano mzuri ni kenya

    • @magessamambagachachamambag1189
      @magessamambagachachamambag1189 5 ปีที่แล้ว +3

      Kwani machinga yy hafai kuchangia pato la nchi? Acha utoto nchi hii ni yetu sote na tutaijenga sisi wenyewe bila kujali ni machinga ama una duka kikubwa ni kujihoji ww unachingia vpmnchi yako kimaendeleo

  • @giftymunishi6139
    @giftymunishi6139 5 ปีที่แล้ว +8

    Nisikilize naona mnaanza kupiga makofi amna cha bure hapa

  • @bengallettv6568
    @bengallettv6568 5 ปีที่แล้ว +2

    Iko hivi kama tunapata risiti ya mia 200 kwenye vyoo vya mjini kwa nn wauza chai michicha na chakula wacwe na EFD MACHINE?? na ndo mkakati wa TANZANIA ya viwanda na kama umenielewa gonga like twende sambamba walipa kodi wenzangu

  • @mfalmegideon
    @mfalmegideon 5 ปีที่แล้ว +3

    Haya Dagaa,Dagaa 😂

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 5 ปีที่แล้ว +1

    kaz nzur

  • @catherineriwa6488
    @catherineriwa6488 5 ปีที่แล้ว

    hahahahha lubango hahahaa uyu baba atanifilisi kwakel mb zangu sijutiii

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 5 ปีที่แล้ว

    very nice

  • @zaynsalma3466
    @zaynsalma3466 5 ปีที่แล้ว +1

    Hakina interview inayo nifurahishaga kama ya huyo mzee baba Sauti yke tuu inaniachag hoyi 😂😂😂😂😂😂

  • @ramadhaniabasi6274
    @ramadhaniabasi6274 5 ปีที่แล้ว

    Hapa kazi tu

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 ปีที่แล้ว +3

    pasu pasu😁😁

  • @brianadolfbabat1180
    @brianadolfbabat1180 5 ปีที่แล้ว

    viva mzeee

  • @amosisephania6467
    @amosisephania6467 5 ปีที่แล้ว

    Hatar xana

  • @noahedson7033
    @noahedson7033 5 ปีที่แล้ว +2

    alaf millard umeunga video ya uyo jamaa anaejifanya anajikuna😂😂😂😂 hahahaaaa aende lupango

  • @rutakihama7599
    @rutakihama7599 5 ปีที่แล้ว

    Hahaha haha nakuelewa sana mzee wa Lupango

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 5 ปีที่แล้ว +4

    aiseee nakukubali sanaa

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 5 ปีที่แล้ว

    namkubali mzee

  • @douglasslema2837
    @douglasslema2837 5 ปีที่แล้ว +4

    Hao dagaaa hao dagaaa hahaaaa

  • @abdalahkimela4339
    @abdalahkimela4339 5 ปีที่แล้ว

    Soma hiyooooooo injiniaaaaaaaa

  • @edsonsibuti6914
    @edsonsibuti6914 5 ปีที่แล้ว +2

    Malawi ata Kama unauza mchicha zinakusanywa na TRA ya Malawi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊😂😊😊😊😊😊lupango Tanzania revenue authority lengo Ni kuhakikisha ata wamachinga wanalipa kodi atujali cc tunaunga mkono ili mradi maendeleo tuyaone mpeni...... Kinachomuusu

  • @agaaah6697
    @agaaah6697 5 ปีที่แล้ว +2

    Hebu sema mgao

  • @godfreyeliabu2582
    @godfreyeliabu2582 5 ปีที่แล้ว +6

    Uyumzee mungu ana muona Hahaaaaaaa

  • @shabanmchomvu6376
    @shabanmchomvu6376 5 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @niyonkujack7229
    @niyonkujack7229 5 ปีที่แล้ว

    mzee nampenda sana huwa ananimalizia stress zangu kabisa

  • @boniphacekabuche3398
    @boniphacekabuche3398 5 ปีที่แล้ว

    Mzee Huyu Hana ttzo kabisa

  • @hasamlawatv9790
    @hasamlawatv9790 5 ปีที่แล้ว

    Pasu pasu mzee baba

  • @rajansharky3386
    @rajansharky3386 5 ปีที่แล้ว +4

    Lupangooooo
    Jifanye unajikuna jifanye unasogea
    🤣🤣🤣ana gari inatembea kama jet yan taa yupo kaliua taa yupo igunga hahahaha Mtani unanifurahisha sana. Nchi imeshikwa na mwanaume😆😆😆😆😂😂😂

  • @asnathdastan8856
    @asnathdastan8856 5 ปีที่แล้ว

    Tuache masiala wamachinga baadhi yao wanapiga faida zaid ya 11500 mpaka 70000 sasa unakuta kwa wastan machinga anapiga pesa kuliko mwenye fremu ndo mana k.koo wenye fremu walikuwa wanalalamika hawauzi aseee mmachiga ela anayopata kwa mwezi ni ya million 1 mpaka 2

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 5 ปีที่แล้ว +2

    Eti pasu pasu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @theresiamahuma4576
    @theresiamahuma4576 5 ปีที่แล้ว +1

    Sumu ya panya, mende kunguni viroboto

  • @adamally8791
    @adamally8791 5 ปีที่แล้ว +6

    TRA ya Malawi 😀😀🤔

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 5 ปีที่แล้ว

      Ni lugha ya kuwafanya watu wa kawaida wakuelewe hiyo.

  • @shekhekassim6402
    @shekhekassim6402 5 ปีที่แล้ว

    Huyo ni masikini alipishwaje tena 20000

  • @thommwakasege5169
    @thommwakasege5169 5 ปีที่แล้ว

    Je maajenti WA usafirishaji WA Abiria

  • @jaliabahati39
    @jaliabahati39 5 ปีที่แล้ว

    Huyo kajikuna

  • @barakatsuhhay5099
    @barakatsuhhay5099 5 ปีที่แล้ว

    hadi pesa za muza dagaaaaa mh soma hyoooooooo

  • @yazidu_tz
    @yazidu_tz 5 ปีที่แล้ว +1

    Nani anabisha 😂😂😂😂

  • @timezonlinemedia2665
    @timezonlinemedia2665 5 ปีที่แล้ว

    Sema mgao

  • @jumakubobela7474
    @jumakubobela7474 5 ปีที่แล้ว

    Daaah! Mmeamua, kuwatoaza Kodi hadi wauza mchicha!
    Kweli Mungu anawaona.

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 5 ปีที่แล้ว

      Nenda kaulize kwa walioanzisha hii Kodi. Lengo ni nini? Mradi isiwe ya kumlemea mhusika. Mapato 5000 Kodi 100 au 200 huoni uwiano si was kulalamikia. Ni mazoea tu yanatusumbua.

  • @mathiusthomas3074
    @mathiusthomas3074 5 ปีที่แล้ว +3

    Unawaflahisha walioshiba kama wew ,

  • @goodluckjonathan5564
    @goodluckjonathan5564 5 ปีที่แล้ว

    Tabora mnafaidi sana

  • @barakatsuhhay5099
    @barakatsuhhay5099 5 ปีที่แล้ว

    Sasa hawa wanyonye mbn mnawachukulia pesa zao au vyuma vimebana na kwenu?

  • @chrispinelwoga4182
    @chrispinelwoga4182 5 ปีที่แล้ว

    hahahaaa daah unanipa raha wallah

  • @juliusmwankotwa6649
    @juliusmwankotwa6649 5 ปีที่แล้ว

    Huyu Mzee siku akitumbuliwa watu tutasikitika sana!

  • @vicentmanyilizu9277
    @vicentmanyilizu9277 5 ปีที่แล้ว

    ahaa! wamachinga ni kujipanga

  • @mandiahozza5253
    @mandiahozza5253 5 ปีที่แล้ว +1

    Mzee wa somaaa ,comoon 😂😂😂😂

  • @ernestmununge348
    @ernestmununge348 5 ปีที่แล้ว

    jifanye kama unakijiti kichwani hatariii!! sana

  • @musatbobius5472
    @musatbobius5472 5 ปีที่แล้ว

    Umepewa jeti oye mwanri

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 5 ปีที่แล้ว

    Tunaosoma comment huku tuna watch tupo?

  • @levinajoachim5111
    @levinajoachim5111 5 ปีที่แล้ว +2

    TRA ya Malawi wanakusanya kodi hadi kwa wauza mchicha!!

    • @rasmgz2367
      @rasmgz2367 5 ปีที่แล้ว

      Levina utasukumwa ndani shiri yako..😂😂😂

    • @rasmgz2367
      @rasmgz2367 5 ปีที่แล้ว

      shori yako levina

  • @clarencesigfredo6256
    @clarencesigfredo6256 5 ปีที่แล้ว

    Ngapi huko, injinia soma hiyoooooooooo

  • @bakarimakunja9952
    @bakarimakunja9952 5 ปีที่แล้ว +1

    Hapo ndo mtaikubali ccm chukua chako mapema

  • @muhammadibrahim4649
    @muhammadibrahim4649 5 ปีที่แล้ว

    T.R.A imefika hadi malawi

  • @germinikimario5339
    @germinikimario5339 5 ปีที่แล้ว

    anae bisha anyooshe kidole ajifanye anajikuna haaaaaa

  • @barakamollel2109
    @barakamollel2109 5 ปีที่แล้ว

    Hahahahaha....i like him

  • @barakamlemwa7454
    @barakamlemwa7454 5 ปีที่แล้ว

    🖐

  • @emmanuelasheri7037
    @emmanuelasheri7037 5 ปีที่แล้ว

    Hawa wanao tembeza na kupanga vitu chini wanapiga hela tu mbona unakuta ana stock kubwa anatoa kidogo kodogo

  • @godymashana1968
    @godymashana1968 5 ปีที่แล้ว

    Yangu macho ila 2020 sifanyi makosa tena na tena

  • @nishadyhajil9629
    @nishadyhajil9629 5 ปีที่แล้ว +2

    Haaaha kijiti kichwan tena jamn

    • @dominicsomola402
      @dominicsomola402 5 ปีที่แล้ว

      Nishady Hajil
      mwaka huu tutacheka mbavu

  • @banshbansh2329
    @banshbansh2329 5 ปีที่แล้ว

    wengine hawaonekani namuona huyu na makonda tuu wengine wako wapi?

  • @khamisshaban7492
    @khamisshaban7492 5 ปีที่แล้ว +1

    daaah hakika hapa tumepata mkuu wa mkoa

    • @mahamudusaidi8070
      @mahamudusaidi8070 5 ปีที่แล้ว

      khamis Shaban haya dagaa dagaa tena mtor na kisusio

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 5 ปีที่แล้ว

    Unajua kuna kityu kinaitwa kujiongeza hyo maana yake nikwamba hata wew unae Uza mchicha utoe hela ndohyo unatoa. Kupitia kitambulisho icho

  • @mathiusthomas3074
    @mathiusthomas3074 5 ปีที่แล้ว +4

    Vitambulisho hivi havilipiwi 20,000/=🤣🤣 tz ya mhutu wa kagame

    • @queenkabula7952
      @queenkabula7952 5 ปีที่แล้ว +1

      Mathius Thomas wewe mtutsi wa wapi? acha ujinga wewe jiangalie

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 5 ปีที่แล้ว +1

      Jitambue na utambue mipaka ya maaneno yako.

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 5 ปีที่แล้ว

    mzeee mbona Wat wanajikuna

  • @wakandaictsolution8093
    @wakandaictsolution8093 5 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee acha atufurahishe

  • @yasrisuleiman6388
    @yasrisuleiman6388 5 ปีที่แล้ว

    Kiwango cha virungu

  • @ammaliqyu5892
    @ammaliqyu5892 5 ปีที่แล้ว

    We thubutuu kujikunaa ahhhhhhh b

  • @ramadhankibwana6425
    @ramadhankibwana6425 5 ปีที่แล้ว

    Kama unamkubali uyu Mzee tafazali usijikune utatupwa sero sasa hiv

  • @shebbywanammurun9612
    @shebbywanammurun9612 5 ปีที่แล้ว

    Ebu sema mgaoo...😀

  • @benmwasakujonga3575
    @benmwasakujonga3575 5 ปีที่แล้ว

    TRA ya Malawi 😀😀😀😀 jikune uone TRA ya Kenya

  • @binmungiadinininasahachane5888
    @binmungiadinininasahachane5888 5 ปีที่แล้ว

    Misifa tu hio. Wanaitaga kiki sasa huyu zake zimepitiliza

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 5 ปีที่แล้ว

    Kweli hii serkali ya wanyonge

  • @officialhilstz
    @officialhilstz 5 ปีที่แล้ว

    Taifa foundation school songea

  • @papafikiri
    @papafikiri 5 ปีที่แล้ว +2

    TRA ya Zambia

  • @publicadvisor6952
    @publicadvisor6952 5 ปีที่แล้ว

    unazidisha na utaharibu