Sio mkwara tu na kazi anapiga kiuhakika hatski mchezo. Alipokuwa naibu waziri tamisemi ndie alikuwa anagonga kuta zikipukuchika hilo ni jengo lako mkandarasi. Ni Kati ya waliodhamiria kuwatoa watu kwenye unyonge samba na rais was awamu ya TANO!!!
Kila anayetaKiwa kulipa kodi ni lazima alipe sema Watanzania wengi wamekua na ukinzani na sheria na taratibu wanazopewa,,na kisha haohao wanaokwepa kulipa kodi ndio namba moja kulalamika Elimu mbaya,huduma za afya mbaya hali ya maisha nayo ni mbaya n.k na kutolea mfano nchi zingine pasina kujua wananchi wa nchi hizo wanafuata sheria na taratibu na wanalipa kodi pasipo shuruti...mfano mzuri ni kenya
Kwani machinga yy hafai kuchangia pato la nchi? Acha utoto nchi hii ni yetu sote na tutaijenga sisi wenyewe bila kujali ni machinga ama una duka kikubwa ni kujihoji ww unachingia vpmnchi yako kimaendeleo
Iko hivi kama tunapata risiti ya mia 200 kwenye vyoo vya mjini kwa nn wauza chai michicha na chakula wacwe na EFD MACHINE?? na ndo mkakati wa TANZANIA ya viwanda na kama umenielewa gonga like twende sambamba walipa kodi wenzangu
Malawi ata Kama unauza mchicha zinakusanywa na TRA ya Malawi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊😂😊😊😊😊😊lupango Tanzania revenue authority lengo Ni kuhakikisha ata wamachinga wanalipa kodi atujali cc tunaunga mkono ili mradi maendeleo tuyaone mpeni...... Kinachomuusu
Tuache masiala wamachinga baadhi yao wanapiga faida zaid ya 11500 mpaka 70000 sasa unakuta kwa wastan machinga anapiga pesa kuliko mwenye fremu ndo mana k.koo wenye fremu walikuwa wanalalamika hawauzi aseee mmachiga ela anayopata kwa mwezi ni ya million 1 mpaka 2
Nenda kaulize kwa walioanzisha hii Kodi. Lengo ni nini? Mradi isiwe ya kumlemea mhusika. Mapato 5000 Kodi 100 au 200 huoni uwiano si was kulalamikia. Ni mazoea tu yanatusumbua.
Kama unamsikiliza Mzee wa comedy Wakati unasoma comment usijikune gonga tu like hapa
😁😁😁😁
Grace masawe ni balaa 😂 😂 😂
wale wa mtori na kisusio gonga like
Kikweli nakupenda sana mze wangu kanzi njema
Namupenda saaannaaaa huyu Mzee. Asante sana Mheshimiwa Mwanri
Soma hyoo somaaa
Namkubali sana huyu dingi,kwa mkwara tu ni noma sana.
Sio mkwara tu na kazi anapiga kiuhakika hatski mchezo. Alipokuwa naibu waziri tamisemi ndie alikuwa anagonga kuta zikipukuchika hilo ni jengo lako mkandarasi. Ni Kati ya waliodhamiria kuwatoa watu kwenye unyonge samba na rais was awamu ya TANO!!!
@@reachthegoal7624 Ni jembe la ukweli pia anajua kuwasiliana.Nampa salute sana akiwa next president inaweza kua poa sana.
Anamkwara mzito😂😂😂😂😂
George Karuga...anatisha cjutii mb zangu kwa huyu
Thubutu tu jifanye
Unajikuna uende
Lupango
Hahaha aaaaa
Mbona kama kuna mtu anajikuna hapo Mkuu.
Msonjo Aden unamchomesha mtu aende lupango
Alikua anafuta jasho
MAma lishe na baba lishe,
Gonga like twende
Huyu baba nahisi hata mke wake hajawahi kununa
Na alishahojiwa akathibitisha hilo
Kweli tena et mamy
Weeee mtu kama huyu achana nae akiwa nyumbn ni kaudhuuuuu mpaka familia yake inamuogopaaa
Kabisa yaani, ila jua kuwa kila mwenye mazuri, lazima ana mabaya yake pia. Lakini kiukweli huyu jamaa ni zaidi ya kiongozi
ahaaaaaaah, nime elewa sasa kuhusu vitambulishoooooo, safi sana mkuuu
Wanachukua hela mpk za.wauza vitumbua hatar sana
Wamachinga hao kodi waanza kutoa ila hata hawatambui daaa elimu elimu elimu
HIVI KUTOA KODI NI KINYUME CHA SHERIA
kwani wakitoa kodi kunaubaya gani unazan mpaka lini tutegemee wahisan
ingependeza baada ya magufuri ajekuwa rais wa nchi huyu mkuu,naamini watanzania tutakuja ishi kama wana wa israeli walipokuwa ktk nchi ya misr😱😱😱😱😱
mzee huyu nampendaje. he is fit
safi Sana mkuu pigs kazi
Napenda sana hyu ni lzm ucheke
Huyu mzeee ananifurahisha sanaaa, full kucheka tu kila nionapo clip zake full raha
Mzee anavyo cheza ni Kama wale wa jigi jigi eeh jigi jigi jigi jigi
Mzee wa kusukuma ndani napenda sana clip zake
Safi baba piga kaz
Navutiwa sana maelekezo yabkiongozi huyubama kweli najivunia me kuwa mtanzania kwani haya maneno mazuri ningeyapata wp
Kweli nimekubali waliotoka maisha ya shida ndio wanawajua wa2 wao balikiwa sana mkuu wa mkoa pia rais we2 wa nchi
Yeeeeessssss kitambulisho ni kwa ajili ya kutambuana
Somaranii injiniaaa
Nan kasikia mh kasema TRA ya malawi anyoshe mkono juu ajifanye kama anajikuna.😂😂😂😂😂
kaobama abel 😂😂😂 narudia tena kuickiliza mzee mana cjackia iyoooo... 😂😂 TRA ya malawi tna??
😂😂😂😂😂😂🙋🙋
Mchemsho
TRA
ahahahahha
nakukubali sana sana kiongozi
Kwa jicho la tatu ni kwamba kodi yaja mpaka kwa wamachinga....
.😢😢😢😢
Ni kweli maana kila mwaka watakuwa wanaupdate kila mwaka huyu jamaa
Rabai Katakweba Mungu awaongoze tu hayo makusanyo yawe sawa sawa na maendeleo ya nchi yetu...
#Tanzania
Inshaallah wasitokee wapigaji
Kila anayetaKiwa kulipa kodi ni lazima alipe sema Watanzania wengi wamekua na ukinzani na sheria na taratibu wanazopewa,,na kisha haohao wanaokwepa kulipa kodi ndio namba moja kulalamika Elimu mbaya,huduma za afya mbaya hali ya maisha nayo ni mbaya n.k na kutolea mfano nchi zingine pasina kujua wananchi wa nchi hizo wanafuata sheria na taratibu na wanalipa kodi pasipo shuruti...mfano mzuri ni kenya
Kwani machinga yy hafai kuchangia pato la nchi? Acha utoto nchi hii ni yetu sote na tutaijenga sisi wenyewe bila kujali ni machinga ama una duka kikubwa ni kujihoji ww unachingia vpmnchi yako kimaendeleo
Nisikilize naona mnaanza kupiga makofi amna cha bure hapa
Duuuuh spati picha ange kua baba yako
Iko hivi kama tunapata risiti ya mia 200 kwenye vyoo vya mjini kwa nn wauza chai michicha na chakula wacwe na EFD MACHINE?? na ndo mkakati wa TANZANIA ya viwanda na kama umenielewa gonga like twende sambamba walipa kodi wenzangu
Haya Dagaa,Dagaa 😂
kaz nzur
hahahahha lubango hahahaa uyu baba atanifilisi kwakel mb zangu sijutiii
very nice
Hakina interview inayo nifurahishaga kama ya huyo mzee baba Sauti yke tuu inaniachag hoyi 😂😂😂😂😂😂
Hapa kazi tu
pasu pasu😁😁
viva mzeee
Hatar xana
alaf millard umeunga video ya uyo jamaa anaejifanya anajikuna😂😂😂😂 hahahaaaa aende lupango
Hahaha haha nakuelewa sana mzee wa Lupango
aiseee nakukubali sanaa
namkubali mzee
Hao dagaaa hao dagaaa hahaaaa
Soma hiyooooooo injiniaaaaaaaa
Malawi ata Kama unauza mchicha zinakusanywa na TRA ya Malawi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊😂😊😊😊😊😊lupango Tanzania revenue authority lengo Ni kuhakikisha ata wamachinga wanalipa kodi atujali cc tunaunga mkono ili mradi maendeleo tuyaone mpeni...... Kinachomuusu
Hebu sema mgao
Uyumzee mungu ana muona Hahaaaaaaa
Nice
mzee nampenda sana huwa ananimalizia stress zangu kabisa
Mzee Huyu Hana ttzo kabisa
Pasu pasu mzee baba
Lupangooooo
Jifanye unajikuna jifanye unasogea
🤣🤣🤣ana gari inatembea kama jet yan taa yupo kaliua taa yupo igunga hahahaha Mtani unanifurahisha sana. Nchi imeshikwa na mwanaume😆😆😆😆😂😂😂
Tuache masiala wamachinga baadhi yao wanapiga faida zaid ya 11500 mpaka 70000 sasa unakuta kwa wastan machinga anapiga pesa kuliko mwenye fremu ndo mana k.koo wenye fremu walikuwa wanalalamika hawauzi aseee mmachiga ela anayopata kwa mwezi ni ya million 1 mpaka 2
Eti pasu pasu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sumu ya panya, mende kunguni viroboto
TRA ya Malawi 😀😀🤔
Ni lugha ya kuwafanya watu wa kawaida wakuelewe hiyo.
Huyo ni masikini alipishwaje tena 20000
Je maajenti WA usafirishaji WA Abiria
Huyo kajikuna
hadi pesa za muza dagaaaaa mh soma hyoooooooo
Nani anabisha 😂😂😂😂
Sema mgao
Daaah! Mmeamua, kuwatoaza Kodi hadi wauza mchicha!
Kweli Mungu anawaona.
Nenda kaulize kwa walioanzisha hii Kodi. Lengo ni nini? Mradi isiwe ya kumlemea mhusika. Mapato 5000 Kodi 100 au 200 huoni uwiano si was kulalamikia. Ni mazoea tu yanatusumbua.
Unawaflahisha walioshiba kama wew ,
Tabora mnafaidi sana
Sasa hawa wanyonye mbn mnawachukulia pesa zao au vyuma vimebana na kwenu?
hahahaaa daah unanipa raha wallah
Huyu Mzee siku akitumbuliwa watu tutasikitika sana!
ahaa! wamachinga ni kujipanga
Mzee wa somaaa ,comoon 😂😂😂😂
jifanye kama unakijiti kichwani hatariii!! sana
Umepewa jeti oye mwanri
Tunaosoma comment huku tuna watch tupo?
TRA ya Malawi wanakusanya kodi hadi kwa wauza mchicha!!
Levina utasukumwa ndani shiri yako..😂😂😂
shori yako levina
Ngapi huko, injinia soma hiyoooooooooo
Hapo ndo mtaikubali ccm chukua chako mapema
T.R.A imefika hadi malawi
anae bisha anyooshe kidole ajifanye anajikuna haaaaaa
Hahahahaha....i like him
🖐
Hawa wanao tembeza na kupanga vitu chini wanapiga hela tu mbona unakuta ana stock kubwa anatoa kidogo kodogo
Yangu macho ila 2020 sifanyi makosa tena na tena
Huta tushinda.......unajipa moyo
Haaaha kijiti kichwan tena jamn
Nishady Hajil
mwaka huu tutacheka mbavu
wengine hawaonekani namuona huyu na makonda tuu wengine wako wapi?
daaah hakika hapa tumepata mkuu wa mkoa
khamis Shaban haya dagaa dagaa tena mtor na kisusio
Unajua kuna kityu kinaitwa kujiongeza hyo maana yake nikwamba hata wew unae Uza mchicha utoe hela ndohyo unatoa. Kupitia kitambulisho icho
Vitambulisho hivi havilipiwi 20,000/=🤣🤣 tz ya mhutu wa kagame
Mathius Thomas wewe mtutsi wa wapi? acha ujinga wewe jiangalie
Jitambue na utambue mipaka ya maaneno yako.
mzeee mbona Wat wanajikuna
Huyu mzee acha atufurahishe
Kiwango cha virungu
We thubutuu kujikunaa ahhhhhhh b
Kama unamkubali uyu Mzee tafazali usijikune utatupwa sero sasa hiv
Ebu sema mgaoo...😀
TRA ya Malawi 😀😀😀😀 jikune uone TRA ya Kenya
Misifa tu hio. Wanaitaga kiki sasa huyu zake zimepitiliza
Kweli hii serkali ya wanyonge
Taifa foundation school songea
TRA ya Zambia
😂😂😂😂
unazidisha na utaharibu