HUKU HAWAPITI: Tazama Jeshi lilivyozingira viunga vya Ikulu Kenya tayari kuwakabili waandamanaji

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 85

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud1577 2 วันที่ผ่านมา +12

    BIG UP SANA WAKENYA

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g 2 วันที่ผ่านมา +19

    Tukipewa silaha tunaingia state house

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 2 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapenda wakenya tupo pamoja❤

  • @MohammedGabaye
    @MohammedGabaye 2 วันที่ผ่านมา +12

    Jamaaa sauti IP chini sana mamae

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 2 วันที่ผ่านมา

      JIDANGANYE

    • @user-mt6nu5hs8q
      @user-mt6nu5hs8q 2 วันที่ผ่านมา +3

      Me nisha mwambia mala kibao, wkt anatangaza anabana sana sauti kiasi kwamba anacho kiongea nivigumu kumuelewa.

    • @saidkindojo2494
      @saidkindojo2494 2 วันที่ผ่านมา +3

      Hii ni kweli huyu jamaa anazingua saana afu hata hajirekebishi , sijui nan kamdanganya

  • @b.k.5659
    @b.k.5659 2 วันที่ผ่านมา +12

    Jeshi haliwezi kuua watu ambao hawana silaha, kwa mujibu ya kanuni zao, wala haliwezi kupewa amri na wakuu wa polisi.

    • @ChireGriffin
      @ChireGriffin 2 วันที่ผ่านมา +1

      Kenya wanaua.

    • @vincentmushi1247
      @vincentmushi1247 2 วันที่ผ่านมา +2

      Jidanganye halafu ujichanganye.. utajikuta chumba cha maiti😂😂😂
      Chezea africa ww

    • @davidwalalason7630
      @davidwalalason7630 2 วันที่ผ่านมา

      Waambie, mgunguko wao katika ikulu sio tishio

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @wanguijemimah3551
      @wanguijemimah3551 2 วันที่ผ่านมา +1

      Tuko under martial law jeshi ndiyo yenye inchi Kwa siku kumi na nne. Msicheze vijana hatutaki maafa zaidi.

  • @roselynealima3618
    @roselynealima3618 2 วันที่ผ่านมา +4

    Leo zakayo ameshuka😂🎉
    Chezea GZ

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 2 วันที่ผ่านมา +2

    Hivi wakienda lundo la watu wataweza kuuwa wakenya na risasi. Nguvu ya umma ni balaa kabisa.
    Ruto ashuke tu chini. Awasikilize wananchi.

  • @mdimistudio6041
    @mdimistudio6041 2 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu dhahiri hakushinda u Raisi

  • @miriamvihenda7408
    @miriamvihenda7408 2 วันที่ผ่านมา +3

    Kesho tunaingia uko 😂😂😂😂

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 2 วันที่ผ่านมา +4

    Bora mkalale tu. Manake unaona iyo Bundukiee

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale 2 วันที่ผ่านมา +2

    Utajuaje hao waandamanaji Leo Kama wanajipanga silaha

  • @salumkisaka7502
    @salumkisaka7502 2 วันที่ผ่านมา +2

    Taarifa za jana

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 2 วันที่ผ่านมา +1

    Simulizi na sauti, jeshi kulizunguka ikulu isingetushtua ole wake kama asingetii sheria tungelifika huko

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ndugu zetu Kenya kusanyeni Mawe tu...Wakirusha Risasi wamiminieni Mawe😅😅😅

  • @kellyjtee8541
    @kellyjtee8541 2 วันที่ผ่านมา +7

    Tuwaoombee

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 วันที่ผ่านมา +7

    😂😂Kumbe Zakayo muoga nyoooko

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 2 วันที่ผ่านมา +1

    Alipeleka waanajeshi HAITI wakati kulinda nchi yake waandamanaji changamoto😅

  • @Mimi.Official
    @Mimi.Official 2 วันที่ผ่านมา

    Huyo sio lazuma wamfuate state House watampata tu sehemu nyingine

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 2 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania vip 😊😊😊

    • @arifali3942
      @arifali3942 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Jarib Tz

  • @avinrwegasira3448
    @avinrwegasira3448 2 วันที่ผ่านมา +2

    Sauti yako irekebishe haipendezi

  • @MohammediKihimbwa-bj4pf
    @MohammediKihimbwa-bj4pf 2 วันที่ผ่านมา +1

    Kenya wamemchaguwa mweu Sasa anacho kijuwa yeye kumfuraisha marekani tu

  • @mpendarootys2657
    @mpendarootys2657 2 วันที่ผ่านมา +2

    Kesho sasa itakua aje

  • @donaldkaji7905
    @donaldkaji7905 2 วันที่ผ่านมา +2

    Sauti mzee iko chini sana

    • @user-fy9pw2zr8l
      @user-fy9pw2zr8l 2 วันที่ผ่านมา

      sijui ni simu yako 😅😅😅 mimi iko vizuli

    • @donaldkaji7905
      @donaldkaji7905 2 วันที่ผ่านมา

      @@user-fy9pw2zr8l hapana asee jamaa ana sauti ndogo mpaka uongeze sana

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale 2 วันที่ผ่านมา +1

    Tuwaombee tu wakenya maana kesho inaweza kuwa ni siku ya historia

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 2 วันที่ผ่านมา +1

    Sauti kidogo iboreshwe

  • @kenyre697
    @kenyre697 2 วันที่ผ่านมา +1

    SEMA IKULU NDONGO YA NAKURU

  • @paulinewangila-cs6ys
    @paulinewangila-cs6ys วันที่ผ่านมา

    Wakenya wanaumoja sanaaa walio London,USA wote,UK wameandamana ni wito Rais asikilize wananchi wake

  • @ce-08
    @ce-08 2 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wakubali kufa na kupona wawaponde mawe waingie😅😅

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 วันที่ผ่านมา +1

    Zakayo hiyo hatari

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 2 วันที่ผ่านมา +1

    Rais wao alisema Putin kavamia Ukraine sasa yeye ndo kavamiwa huyu ,,mzee wangu putin yuko north Korea 😂😂

  • @user-le1gv4wb1n
    @user-le1gv4wb1n 2 วันที่ผ่านมา +3

    jamaaa halijui kuongeaa litanganza kama anasoma imla

    • @husseinmkungu1166
      @husseinmkungu1166 2 วันที่ผ่านมา +2

      Nenda kafirwe huko uliekua hujui kutangaza niww uliepakata matako acha majungu muache mwenzako afanye kazi watu km nyinyi ndio mnaorejesha nyuma watu

    • @artisthusnatalal3099
      @artisthusnatalal3099 2 วันที่ผ่านมา

      Basi usitukane...poaa

    • @Mgema001
      @Mgema001 วันที่ผ่านมา

      ​@@husseinmkungu1166 unamtetea sana huyu jamaa Kila comment aliambiwa ajirekebishe, vipi ni shogaako nini😂

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 2 วันที่ผ่านมา

    Hii ishu ishakua serious

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel 2 วันที่ผ่านมา

    Ruto achiya madaraka

  • @magufulitvkenya6315
    @magufulitvkenya6315 2 วันที่ผ่านมา +2

    Mtangazaji.ongea.kwasauti

    • @husseinmkungu1166
      @husseinmkungu1166 2 วันที่ผ่านมา

      Saut Gani unayoitaka ww baba au kiziwi ww

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂​@@husseinmkungu1166

  • @feisalaley3629
    @feisalaley3629 2 วันที่ผ่านมา +1

    CIA OYEEEEEEEEEE. ONGEZENI KAMBI ZA KIJESHI WA KIGENI MTAYAONA ZAIDI KILIKO HAYO, MSITIE AKILI TU.

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 2 วันที่ผ่านมา

    Wakiamua hata ikulu wamwagwe askari. Hawa askari hawawezi kuuwa wananchi. Watakachofanya ni kumtorosha rais kumpeleka mbali.

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 2 วันที่ผ่านมา +3

    Wanaosema wanajeshi ni wabovu wacha nikwambie. Hakuna watu duniani woga kama tz huwa wakiona demonstration wanajificha mivunguni hasa kwa wanawake.

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 2 วันที่ผ่านมา +3

    Kenya wana jeshi bovu sana

    • @kidatokassim7616
      @kidatokassim7616 2 วันที่ผ่านมา +6

      Kenya has top 10 ranked military in Africa sijui Tanzania Iko wapi

    • @ce-08
      @ce-08 2 วันที่ผ่านมา

      ​​@@kidatokassim7616 mm mtz Kenya wapo vizuri sema jamaa hapo juu uelewa wake mdogo anataka polisi wakenya wapige wananchi wake kama wanapgana na al shabab. huwezi kusema Kenya wanajeshi bovu wale ni wananchi wakenya kwahiyo huwenzi kutreat ndugu zako kama utakavyo mtreat adui kutoka nje

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 2 วันที่ผ่านมา +2

      Watu hawajui, wanajeshi wapo kibaruani, ila sio kama wao maisha hayo hayawagusi, kwa hiyo msishangae hao wanasomesha watoto pia, wanabiashara zao.

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 2 วันที่ผ่านมา +2

      @@kidatokassim7616 apana kwakweli na kataaa kabisa wanajeshi wabovu wakenya kabisa mafuzo ziro kabisa yani wametia aibu kabisa wameshindwa kuwazibiti raiya mabomu yana waripukia mikononi loh

    • @MariamKhalid-ub9jj
      @MariamKhalid-ub9jj 2 วันที่ผ่านมา +3

      Wanajeshi ni kama pia wamechoshwa na uyu ruto ju familia zao haziko mbinguni ziko apa Kenya..

  • @michilita2959
    @michilita2959 2 วันที่ผ่านมา

    Sisi tumeamuwa hatumtaki hata alete ndege za vita hatumtaki

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc 2 วันที่ผ่านมา +1

    Wakenya ni waoga sana

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 2 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂Tanzania pekee ndio inchi mkiitisha maandamano wanajeshi wao wanatangaza siku ya usafi wa jiji yaani inabidi maandamano yawe ya amani sababu mnaandamana na wajeda wapo pembeni yako sasa jitie wazimu utaona show utayopewa tuliosoma cuba hiyo tunaijua sana😅😅😅andamana jeshi tufanye usafi basi😅😅

    • @ClassicUsed-jg6ri
      @ClassicUsed-jg6ri 2 วันที่ผ่านมา +1

      Nipe namba nikutumie bando

    • @user-pk1yl7zt8p
      @user-pk1yl7zt8p 2 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @zenooernest18
      @zenooernest18 2 วันที่ผ่านมา +1

      Ila wewe...

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 วันที่ผ่านมา +1

      Mfumo wa Bongo upo kivyake

  • @princejames7438
    @princejames7438 2 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mtangazaji vp kwan amekabwa au

  • @miriamvihenda7408
    @miriamvihenda7408 2 วันที่ผ่านมา +3

    Kesho tunaingia uko 😂😂😂😂