🔴LIVE ; LEMA ANAZUNGUMZA MUDA HUU ARUSHA ANAFUNGUKA MAZITO SANA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 14

  • @EdwardAlairisha
    @EdwardAlairisha 2 หลายเดือนก่อน +1

    Vizuri sana mweishimua Lema

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 2 หลายเดือนก่อน

    LEma kumbe safi

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 2 หลายเดือนก่อน

    Position? Direction? Concern? Sustainable? Ndio nini? Ongea kiswahili tu km Lissu

  • @innocentmlacky
    @innocentmlacky 2 หลายเดือนก่อน

    Kama hamjajua sasa swala mtandao limeanza kuwa gumu yani Internet sasa imeanza kuwa slow sana ili tusiingie mitandaoni na hili lipigiwe kelele ni haki yetu kupata taarifa

  • @bonikweka1956
    @bonikweka1956 2 หลายเดือนก่อน

    Ninakuelewa sana

  • @NathanielNtimba
    @NathanielNtimba 2 หลายเดือนก่อน

    Hiki kiburi Cha serikali kinatokana na Nini?

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 2 หลายเดือนก่อน

    Mh Lema nakuelewa sana mkuu.

    • @jacksonwilson5989
      @jacksonwilson5989 2 หลายเดือนก่อน

      Ulio yasema100 % nikweli yanapaswa kufanyiwa kazi

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unaongea vitu nyeti sana. Hongera sana. Ili usiwe unachafua points zako kwa kuchanganya na maneno ya kiingereza, ambacho tunajua hukijui km sisi.
    Ongea kiswahili fasaha kwa sabbu unakijua.

  • @mymuamsrrr7884
    @mymuamsrrr7884 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa kwa nini Hakuna maadamano ya kuwaunga mkono wamasai????munasema sema saaaana no action.

  • @AlexChawe
    @AlexChawe 2 หลายเดือนก่อน

    Hata wakoloni hawakuwahi kuwa na roho mbaya kiasi hiki

  • @SoipeiKisiongo-c3v
    @SoipeiKisiongo-c3v 2 หลายเดือนก่อน

    honger 😅😅😅

  • @undulemwasijanga5146
    @undulemwasijanga5146 2 หลายเดือนก่อน

    Najiuliza sana naomba mnieleze vipi KUHUSU makabuli yatahamishwa?

  • @EstaDaffi-wg5cr
    @EstaDaffi-wg5cr 2 หลายเดือนก่อน

    Ila juzi kwa makonda ulikuwa unaongea kama una hila na makonda