Mbona mnateseka. Hawa ni wachezaji wakubwa wanajua jinsi ya kujiongeza uwanjani. Kama Mimi kocha nawaingiza wote Bora wawe 11. Uwanjani watakuwa wanabadilishana position wenyewe kama miguu ya kaa Iko mingi lakini yote inatumika. Mambo ya mifumo watajiobgeza big players hawa.Mfano aliyekuambia pacome au chama ni winga ni nani mbona wanacheza. Kama ni tatizo basi ni tatizo zuri kuwa nalo kuliko kuwakosa
Mhm Coach ndo anae jua Nyie akina nani
Tayar mpinzani ameshapigwa 10 bila dakika ya 5
Mbona mnateseka. Hawa ni wachezaji wakubwa wanajua jinsi ya kujiongeza uwanjani. Kama Mimi kocha nawaingiza wote Bora wawe 11. Uwanjani watakuwa wanabadilishana position wenyewe kama miguu ya kaa Iko mingi lakini yote inatumika. Mambo ya mifumo watajiobgeza big players hawa.Mfano aliyekuambia pacome au chama ni winga ni nani mbona wanacheza. Kama ni tatizo basi ni tatizo zuri kuwa nalo kuliko kuwakosa