Wahoi,wataabani kukijua wanataka Wenda mbio sakafuni,ukingoni wamefika Yaasalaam BI mama wangu Rukia Ramadhan Old is gold taarab Zanzibar, Asili haipotei
Tamtam za mwambao na Zanzibar Culture,Asili Haipotei Raha hizi wazipata hapa Zanzibar tu Nakumbuka wakati huo muda wa kwenda Madrassa Yaasalaam BI Rukia
Hii nyimbo lazima nikumbe kule niliko ishi.na bb yangu shamba pande zq konde uko wakati huo tunakunywa chai ya viazi vitamu na redio pembeni salam za asubuhi njema au saa 8.mchana
Mwenyewe ni sihaba juma nyimbo hii akiimba utafurahi 1989
Home sweet home zanzibar i love you with my heart❤️
Wahoi,wataabani kukijua wanataka
Wenda mbio sakafuni,ukingoni wamefika
Yaasalaam BI mama wangu Rukia Ramadhan
Old is gold taarab Zanzibar, Asili haipotei
Taji lililo kichwani,Kabisa halitonivuka
Pingu zilizo Moyoni ni muhali kufunguka
Na cheo chako mwandani,Hakiwezi kugeuka
KWA hapa ulimwenguni,Mwinginewe hatozuka
Asante Bi Rukia
Maneno buli buli
Vya kale ni dhahabu,,haya ndio mahadhi ya Zanzibar
@@abdulhamidkificho5768 Naam ndo urithi wetu
@@RioIpo
Swadakta
Niwengi walotamaaaniii ohh killed it❤
Tamtam za mwambao na Zanzibar Culture,Asili Haipotei
Raha hizi wazipata hapa Zanzibar tu
Nakumbuka wakati huo muda wa kwenda Madrassa
Yaasalaam BI Rukia
Hiii ndio asili ya zanzib ...huipat popote
yaaa salaaaam.
zanzibar yetu iyo,ila ishavamiwa na mayahudi
Cheo
Ni wengi walotamani,watu wa kuaminika
Wauelewe undani kwanin waniteka
Wenda mbio sakafuni ukingoni wamefika
Hata wakifanya nin, Muhali nje kutoka
Nakumbuka hii ilikua mwaka 1989 kama sijakosea
Dah una kumbukumbu mwaka huo nnamiaka 5 mm nnaanza kujua kwenye tisiini na 7
Na hapo nimziki tu sijui maana
@@aliyussuf9126 ww unazaliwa mm nipo darasa la pili Enzi hizo
th-cam.com/video/0HiAOzfd5zg/w-d-xo.htmlsi=RapOwIjXkcaxTzsa
Hii nyimbo lazima nikumbe kule niliko ishi.na bb yangu shamba pande zq konde uko wakati huo tunakunywa chai ya viazi vitamu na redio pembeni salam za asubuhi njema au saa 8.mchana