Malkia wa nyumbani- Maulid M.Machaprala

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ม.ค. 2016
  • Old is Gold Taarab Zanzibar..

ความคิดเห็น • 84

  • @SalimSalim-bb4gj
    @SalimSalim-bb4gj 6 ปีที่แล้ว +11

    Mungu akueke mahali pema peponi machaprala mungu amekupenda zaudi ndio ukatangulia mbele za haki. mungu akueke pema palipo na wema Amin.

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 หลายเดือนก่อน

    aaaa iko wapi zanzibar yetu ukowapi utamaduni wetu ziko wapi silka zetu ziko wapi desturi zetu nalalia mazuri ya zanzibar tumeporwa mpaka utamaduni na umezikwa utambulisho wetu😊😊

  • @nuramoboy
    @nuramoboy 6 หลายเดือนก่อน

    Allah amsamehe makosa yake na amlaze pema poponi Amin ( Aliwashinda wanaume na wanawake sauti yake haikutokea) Ya allah msamehe mja wako huyu na hata nyimbo zake zikisikilizwa usimuandikie madhambi . Amin

  • @mbarouk09
    @mbarouk09 3 ปีที่แล้ว +2

    Ndio muimbaji wangu bora wa muda wote

  • @baalawy100
    @baalawy100 4 ปีที่แล้ว +2

    mola amrehemu Maulid Machaprala ,kipenzi cha watu wengi.Amewacha pengo kubwa katika ulimwengu wa taarab

  • @jumaothman2092
    @jumaothman2092 5 ปีที่แล้ว +3

    Samahani mwenye wimbo wa yeye ameniwafiki machaprala ameimba nauhitaji

  • @saheelameir4313
    @saheelameir4313 5 ปีที่แล้ว +3

    Ya Allah turudishie zanzibar yetu ya maadili ya uislam

  • @SalimSalim-bb4gj
    @SalimSalim-bb4gj 6 ปีที่แล้ว +8

    Nakumbuka zama zetu... mziki taratibu wa jioni huku ukinwa kahawa barazani

  • @tatumakadara5793
    @tatumakadara5793 7 หลายเดือนก่อน

    Nikikumbuka sauti nzito,za kina Machapralla,Seif Salim Asha Simai( Um kulthoum wa znz) Mungu awarahamu

  • @labardan56
    @labardan56 4 ปีที่แล้ว +5

    Just great, oh, when corona times are over... I'd like to visit Zanzibar!

  • @shamscookery5989
    @shamscookery5989 7 ปีที่แล้ว +13

    Natamani nirudi niwe mtoto Tena nikicheza nje ya studio zao stone town nikiskia tu sauti zao wakifanya mazoezi

    • @cholloriyamiy2249
      @cholloriyamiy2249 4 ปีที่แล้ว

      Daaah Umenena kweli Broo..
      Hua sibanduki pale Club yao kokoni Malindi (stone town.)

  • @nuramoboy
    @nuramoboy 6 หลายเดือนก่อน

    8:22 Sheik Ali Allah amsameh nae makosa yake na amuweke pema peponi , Amin

  • @yussufbaga4726
    @yussufbaga4726 8 ปีที่แล้ว +18

    Mohd Machapulara King of Voice!
    Hii ndio Zanzibar ya kale kabla uvamizi na uharibifu wa maadili.

    • @tipuhanif7753
      @tipuhanif7753 8 ปีที่แล้ว +2

      ulikuwa wapi ilipo haribiwa

    • @sadakhamis1261
      @sadakhamis1261 2 ปีที่แล้ว

      Nikweli madili saiv yameharibika

  • @inversedelcruise676
    @inversedelcruise676 4 ปีที่แล้ว +1

    Hii ndio Zanzibar ninayoijua mie wallahi, ila hii ya sasa ni siasa na ubadhilifu tuu

  • @nassermaqbaly5231
    @nassermaqbaly5231 4 ปีที่แล้ว +1

    Hatokei tena mwimbaji mzuri kama machapralla sasa hakuna tena tarab bali kuna matusi tu na upumbavu wa kibara.

  • @masoudapology9230
    @masoudapology9230 6 ปีที่แล้ว +2

    Nazipenda sam hizi nyimbo jamani hadi nackia kuumwa najivunia kuwa Mzaznzibar ktk viziwa vya marashi ya karafuu.

  • @abdallahsuleimani7416
    @abdallahsuleimani7416 3 ปีที่แล้ว +1

    Yaani hapa wakati huo ulikuwa hutamani hata ulaya maana Raha zote zilikuwa nyumbani zanzibarrrr

  • @johnkuma6867
    @johnkuma6867 8 หลายเดือนก่อน

    Zanzibar mwapendeza. Nilikupenda sana wakati wa likizo yangu na familia yangu. Nihame nisihame Makueni kenya?

  • @MrBorndrunk76
    @MrBorndrunk76 4 ปีที่แล้ว

    Allah akupe darja ya juu, ulikuwa legend, ila tu sisi tulishindwa kutambua hilo jambo

  • @khelefomar3867
    @khelefomar3867 7 ปีที่แล้ว +4

    mungu akusamehe makosa yako machprala na akuingize peponi kuimba hakumzuwi mtu peponi

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akurahamuni mlio fariki ameen na mungu ajaalie irudi iwe znz ya zamani ya rabb ameen

  • @seifhafidhsuleiman3643
    @seifhafidhsuleiman3643 3 หลายเดือนก่อน

    Allah kauli thabit

  • @nassermaqbaly5231
    @nassermaqbaly5231 4 ปีที่แล้ว +2

    Hakuna mtu hata mmoja ambaye alitaka kuondoka zanzibar wakati ilipokua zanzibar kweli tulikua tunaona tuko peponi kabla ya mauwaji ya kidhalim na kuifisidi nchi iliyokua inasifika dunia nzima kwa ustaarab na elimu wapi leo imebakia inanuka mavi kila kipembe na njaa na uchafu wa zina na ulevi kila corner na kaum luuti. ALLAH tunakuomba uturejeshee zanzibar yetu kama ilivokua Ameen.

  • @albusaidkhelef6655
    @albusaidkhelef6655 6 ปีที่แล้ว +2

    wakat huo Zanzibar ipo katoto kabisa ata ukienda hospital kupima kama ni ugonjwa ni ule ule mmoja lakin nenda leo ukapime utasema dokta anakuongopea maradhi lukuki.ZanZibar ya Machaprala wap tena

  • @zainabzainab2422
    @zainabzainab2422 3 ปีที่แล้ว

    Shukran mzee machaprala

  • @suleimanimganga4212
    @suleimanimganga4212 3 ปีที่แล้ว

    Yes hii ndio taarabu

  • @johnjalisco3385
    @johnjalisco3385 3 ปีที่แล้ว

    Old is gold for sure.

  • @MrBorndrunk76
    @MrBorndrunk76 6 ปีที่แล้ว +1

    Hizi ndio taarab sio leo fujo tu

  • @abubakarkhamis3884
    @abubakarkhamis3884 3 ปีที่แล้ว

    MashaAllah nice taarab

  • @joewairimanson3380
    @joewairimanson3380 5 ปีที่แล้ว +1

    wow what a wonderful song

  • @shekhansaid9543
    @shekhansaid9543 3 ปีที่แล้ว

    Allaah amrehemu nguli huyu.

  • @binbadru1654
    @binbadru1654 2 ปีที่แล้ว

    zanzibar ndio kwetu

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 2 ปีที่แล้ว

    Tizama hao wana wake humus walivyovaa utajua ni watu we nye he's him a zao,sio hawa Waterbeach uchi wa sasa,ndo maana Mungu analeta mabalaa tumefikia kumuasi

  • @abdul-rahmanabdullah7626
    @abdul-rahmanabdullah7626 4 ปีที่แล้ว

    taabarak Allah

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 2 ปีที่แล้ว

    Hapo ndo nazaliwaadau

  • @najjatharoub197
    @najjatharoub197 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah sauti muruwa hapo nna miaka 6

  • @chidashafi3438
    @chidashafi3438 4 ปีที่แล้ว +1

    Rest in peace machaprala

  • @monday1278
    @monday1278 5 ปีที่แล้ว

    Laiti kama masiku yangelikuwa yanarudi.. ila tarabu zamani tu..

  • @mwajuma1734
    @mwajuma1734 7 ปีที่แล้ว

    nice wimbo machaprala

  • @tatumakadara5793
    @tatumakadara5793 7 หลายเดือนก่อน

    Yuko wapi Aboubakar mzula ?

  • @yussufnahoda4069
    @yussufnahoda4069 5 ปีที่แล้ว +2

    kwanini Alakeifak imekufa

  • @omarali1053
    @omarali1053 ปีที่แล้ว

    Namkumbuka wakati huo ni kuwa tanga makorora,

  • @chidashafi4009
    @chidashafi4009 4 ปีที่แล้ว

    Nasikitika now hayapo Tena

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 2 ปีที่แล้ว

    💖🔥🔥💖🔥🔥💖

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 2 ปีที่แล้ว

    Sasa hivi hakuna zanzibar kuna wezi na wahuni tu kuanzia raise mpaka raia

  • @ummimohammed1856
    @ummimohammed1856 7 ปีที่แล้ว

    khelef omar usiseme usokua na elimu nacho ...wewe muombee dua tu mengine muachie Allah.

  • @nassramalik5666
    @nassramalik5666 5 ปีที่แล้ว +2

    Mmh nakumbuka haile wakati huo tunasoma hapo mmh Zama zimepita

    • @yussufmussa3809
      @yussufmussa3809 4 ปีที่แล้ว

      Nassra Malik dah mm machoz yanantoka jman

    • @saheelameir4313
      @saheelameir4313 4 ปีที่แล้ว

      Duh maneno yenu yanantia simazi sikosi kulia nkisikiliza hizi. Nalilia mda na utamaduni wetu ulivopotea

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 4 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @shekhansaid9543
    @shekhansaid9543 3 ปีที่แล้ว

    Miaka kumi iliopita tuliahidiwa taarab asilia itarudi, lakini waapii masikini Zanzibar iwapi tena!! !!.

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 4 ปีที่แล้ว

    Ehh bwana hapo mie niko nursery nikikumbuka jinsi skuli za chekechea xilivyokua kama za ulaya sitanii kila hitaji lilikuwepo leo hii wapi?

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman2663 6 ปีที่แล้ว +1

    Yaani apo nina miaka 2 tu 😅😅

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 4 ปีที่แล้ว

    Muda wa kwenda chuoni umefika

    • @ghanimaali4507
      @ghanimaali4507 3 ปีที่แล้ว

      hahahaaaa umenikumbusha mbali sna

    • @ghanimaali4507
      @ghanimaali4507 3 ปีที่แล้ว

      ss ndio tukikaa shamba uko kaskazini kwetu upembani unaambiwa nataka ukidika juma bbinaali akupige makwaju maana saa8 na nusu iyo

    • @sadakhamis1261
      @sadakhamis1261 2 ปีที่แล้ว

      Muda huu naukumbuka

    • @abuuthaurat1930
      @abuuthaurat1930 2 ปีที่แล้ว

      Ah nyie acheni tuu . Mola awasemehe makosa yao pmj nasi

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 2 ปีที่แล้ว

    D

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman2663 6 ปีที่แล้ว

    Huyu mc nazani anafanya kazi airport znz apo alikua kijana kweli au lkn sina uhakika

    • @iddiiddi5585
      @iddiiddi5585 6 ปีที่แล้ว +2

      Nakumbuka alikuwa Zanzibar Wharfage Corporation.

    • @abduillmakei7238
      @abduillmakei7238 5 ปีที่แล้ว +2

      Jaman mm nampend cn machapral cjuw kwnn nimezaliw 92 naumia cn nikiskia nyimbo zk ila najuw km kz ya mung hain makosa

    • @abduillmakei7238
      @abduillmakei7238 5 ปีที่แล้ว

      Kw wale ambao wanaziimba tn nyimbo za zamn wasiimbe tn maan hawazipatii wanaziharibu km kwl wanawez waimbe za kwao

    • @abduillmakei7238
      @abduillmakei7238 5 ปีที่แล้ว +1

      Inaniuma cn nikiskia nyimbo zk ktk dunia hii hakun mt ambae nampend km c prof machap ila najuw km mung kakupenda zaid ila naamini km tutaona t peponi bado cjakat tamaa pumzk gwiji

    • @jumamahmoud9411
      @jumamahmoud9411 5 ปีที่แล้ว +1

      Wakati huo Nina miaka 11 nakumbuka enzi hizo kipindi cha burdani SAA. 8 STZ

  • @Omarsi2000
    @Omarsi2000 3 ปีที่แล้ว +7

    Malkia wa Nyumbani
    Lyrics: Kassim Mohamed
    Music: Ali Salim Basalama
    Singer: Maulidi Mohamed Machaprala
    Ewe Malikia wangu ... Ulotulia enzini.
    Kulikoni pendo langu ... Ili niwe furahani.
    Katika maisha yangu ... Tuishi kwenye amani.
    Umetua moyo wangu ... nikiwa nje na ndani.
    Tabia za kutukuka ... Kwa daraja namba wani.
    Mola alivyokupika ... Kama wanja na uyuni.
    Uzidi kutakasika ... Tia hina mwilini.
    Kila kukipambazuka ... Eva utini machoni.
    Mola alivyokuumba ... Natoa shukurani.
    Si mnene ni mwembamba ... Kimo chako wastani.
    Umepata hukuomba ... Sifa na yako ayuni.
    Ndipo nami nikitamba ... Kama siwewe ni nani.
    Cheo Chako Malkia ... Wewe ni yangu ramani.
    Himaya hunipatia ... Hapa hapa duniani.
    Dira nakutumia ... Nikiwamo safarini.
    Nikitaka kupotea ... Hunileta karikani
    Moyo hauna akili ... Mwengine haonekani.
    Natoa yangu kauli ... Kama siwewe ni nani

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 2 ปีที่แล้ว

    Huo

  • @khelefomar3867
    @khelefomar3867 7 ปีที่แล้ว +3

    mungu akusamehe makosa yako machprala na akuingize peponi kuimba hakumzuwi mtu peponi

    • @hamadrajab8042
      @hamadrajab8042 7 ปีที่แล้ว +2

      eddy roger. ya salaam ya salaam inanikumbusha mbali machozi yananitoka Zanzibar yetu

    • @fanijumahajj9636
      @fanijumahajj9636 4 ปีที่แล้ว

      unasemaa