#ZaNdaaani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 มิ.ย. 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 57

  • @ramadhanshaban6873
    @ramadhanshaban6873 2 ปีที่แล้ว +3

    Mshkaji namkubali sana huyu mzee wa za ndaani kabisaaa

  • @petermdaku2538
    @petermdaku2538 2 ปีที่แล้ว +5

    Huyu jamaa bwana muongo sana😂😂😂🤣🤣

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 2 ปีที่แล้ว +9

    Nishamfaham ni morison anaenda yanga amini maneno yangu mkataba mwaka 1

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 2 ปีที่แล้ว +8

    Hizi kweli za ndani mpaka zinafurahisha

  • @adamzacharia5136
    @adamzacharia5136 2 ปีที่แล้ว

    Uko sawa

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 ปีที่แล้ว +4

    Punguza chumvi kaka chakula kitakuwa hakiliki😄😀

  • @nelsondaniel1376
    @nelsondaniel1376 2 ปีที่แล้ว

    Leooo hizi umekazaa sanaaa momooo

  • @sharifapazi3259
    @sharifapazi3259 ปีที่แล้ว

    Kijamaa kimbea sana kinaishi kwa umbea

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 2 ปีที่แล้ว

    Good fhadha bunjubura saido

  • @damasengelbert9539
    @damasengelbert9539 2 ปีที่แล้ว +2

    daaaaah umenichekesha sana

  • @jeofreyshega7139
    @jeofreyshega7139 2 ปีที่แล้ว +4

    Za ndani

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 ปีที่แล้ว

    Unajua

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 2 ปีที่แล้ว +2

    Code ya leo kali kuishika 🤪

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali8459 2 ปีที่แล้ว +1

    daaah 😁😁

  • @ramajuma5620
    @ramajuma5620 ปีที่แล้ว

    Halafu wew jamaaa sijawah kukuon ukikaa chin au unakujag mara moja to kulet umbea

  • @aliabdallah8908
    @aliabdallah8908 2 ปีที่แล้ว +2

    Yani ww Momo unakula hela za wasafi kwa kudanganya watu tu apo 🤣🤣🤣🤣

    • @UFC_HIGHLIGHT123
      @UFC_HIGHLIGHT123 2 ปีที่แล้ว

      Channel ya mdogo ake so acha ale tu 😂😂😂😂

  • @hamidangitu227
    @hamidangitu227 ปีที่แล้ว +1

    ila mie nampenda uyuu kaka

  • @amiltonmichael5377
    @amiltonmichael5377 2 ปีที่แล้ว

    Leo umeniacha momo,ni nan hyo?

  • @user-ej4bd2jz3l
    @user-ej4bd2jz3l 18 วันที่ผ่านมา

    Sibenadi kutuwa yanga

  • @user-uv1gx8wb6u
    @user-uv1gx8wb6u 22 วันที่ผ่านมา

    Ongea vitu vinaoeleweka mzeee

  • @hezronmwambije8043
    @hezronmwambije8043 2 ปีที่แล้ว

    Mzee wa kudere huyooo

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed6872 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu nae ajifanya ajua mambo mengi.baada ya mama dangote kusema ni bro wa diamond

    • @davidibrahim9138
      @davidibrahim9138 2 ปีที่แล้ว +1

      Huoni wanafanana na Mtoto wa tanasha

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 2 ปีที่แล้ว

      @@davidibrahim9138 ulimbukeni.kabla yakutambulishwa hakua kimbelembele na ujuaji

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 2 ปีที่แล้ว +1

      @@davidibrahim9138 sahi ajifanya amesoma University ya Scotland na Italy.kula kitu.yuwajua yeye

    • @ramadhanzmlay1331
      @ramadhanzmlay1331 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwel kbsaa kanjifanya kanajuwa kilakitu kakianza kuongea kanataka kuskilizwa kenyew tu
      M toka kalivyozusha ziletaarifa za kumkana baba Domo sikapend hata kdg

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 ปีที่แล้ว

    Kuna mijitu ya hovyo sana! Huyu mmoja wapo

  • @siwonikewiliam5104
    @siwonikewiliam5104 2 ปีที่แล้ว

    muongo tu anabahatisha mara nyingi hbr zake zinabuma

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 2 ปีที่แล้ว

      Uwe unakichwa chepes kuelewa

  • @josephkapinga652
    @josephkapinga652 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwahiyo ikabidi apunguze SAIDO aje Morison

  • @tinnobobu3404
    @tinnobobu3404 ปีที่แล้ว

    Eti ndo meneja wa lavalava

  • @yourboyayyad3197
    @yourboyayyad3197 2 ปีที่แล้ว +15

    Alaf watu wanasema mbona lavalava kapotea😂angalia meneja wake muda mwingi anafanya nini hana mda na msanii wake😅

    • @jabirprivatus1655
      @jabirprivatus1655 2 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂

    • @mwasa_tv
      @mwasa_tv 2 ปีที่แล้ว +2

      saiv sio meneja wake ilikua zamani

    • @manjaruu1575
      @manjaruu1575 2 ปีที่แล้ว +1

      Lavalava ndo manini we huku ni MPIRA BABUU

    • @festovenas502
      @festovenas502 2 ปีที่แล้ว

      😅😅😅

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 2 ปีที่แล้ว

      Kwani watu wanafanya kazi moja tu?

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 2 ปีที่แล้ว

    M

  • @halfanisinguo6222
    @halfanisinguo6222 ปีที่แล้ว

    Makusu

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 2 ปีที่แล้ว +2

    Morison in saidio ntibanzokinza out

  • @rashidykiloko1294
    @rashidykiloko1294 2 ปีที่แล้ว

    Kuna watu hunawakela huku

  • @kimjey0012
    @kimjey0012 2 ปีที่แล้ว

    Tarumbeta 🧠

  • @amonajosephat9712
    @amonajosephat9712 2 ปีที่แล้ว

    😂😂😂

  • @petermgaya3812
    @petermgaya3812 2 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa ni mwanamziki au ,sielewagi

  • @joelmichael9752
    @joelmichael9752 2 ปีที่แล้ว +1

    Ee bwana wewe acha kudanganya watu huna hata uhakika na unachokisena...unakula mb zetu bure tu..