Sheikh, angalia yasije yakatukuta yaliyomkuta bondia wa ki-Russia baada ya kutema mbinu zake baada ya kumdunda "apolo" wa "club" ya "ROCKY" hadi kumuua. "Rocky" mwenyewe alipo itumia mbinu hiyo na kuingia ulingoni na huyo "mrussia" akamvuruga, tena mbele ya "rais" wake kule kule "urusi". Tafuta senema ya "ROCKY IV".
Nakukubali Ali kamwe uendelee kututumikia miaka Elfu nane huyo manara asubiri kwanza nyuma ya spika
😂 see see yan
0:00 ga
Kitenge tv gonga like
Napenda sana kumsikiliza huyu mtu
hongera afisa wetu🎉
Afsa habali wetu, hongera sana kwa kazi nzuri
Prince Dube huyo 💪💪💪💪💪
Hongera sana semaji letyu caf
Azizi Ki huyoooo
Semaji letu Hilo hongera Sana
Hili kweli semaji
😂ila semaji 😂😂😂
Prince huyoooo
Hongera Sana msemaji wetu upo vizuri
Safiii
M/Mungu akuweke zaidi Inshaallah
Ila yanga Kuna viongozi mahiri Sana wenye akili kubwa, yaan yanga kwa Sasa Raha sana
Love Dar young African
Yani iyo nafasi aliekuweka hakukosea unakava nakupenda maana unajua kuwakera makolo😂😂😂😂 yanga tamu jamani
Naomba kupata maelekezo ya kufungua tawi Mimi nipo iramba singida kata ya tulya najua kitenge mtafikisha taarifa
Tunakuamn mwenyekiti wa africa
Familia face😂😂
Kweli kuna club za mpira na club za ubwabwa
Dube
Duuu
Nakuaminia Ali kamwe fei ni utoto tu akikua atatembea tu
Ubwabwa membership card 😂😂😂😂
Kaka unatisha sana
jaman alikamwe kaongezea jina la saba kwa majiran ubwabwa fc
Kamwe mchokoz na anawachokoza kweli😅😅😅
Hii yanga ina vichwa
Atakuwa Manara uyo
Chama twamtaka
😂😂😂 biashara ya ubwabwa itafaaa
Leo hii kawa kijana simnasemaga ni mzee
Asiwechama hatumtaki
Mchezaji anayesajiliwa na yanga msimu huu ni mchezaji mzuri.
Kweli chama hatumtakii kabisa ameshakuwa mzito mnoo
8:51 8:52
Umelogwa wewe Sio Bure wewe ni kolozidadi 😂 tumekushtukia
Macha uyoooo😂😂😂😂
Naomba namba ya Ally Kamwe
Acha kutoa siri mapema,napenda mashabiki na wapinzani washitukie matukio,kwa sasa wamefahamu nani mtamtambulisha
Sheikh, angalia yasije yakatukuta yaliyomkuta bondia wa ki-Russia baada ya kutema mbinu zake baada ya kumdunda "apolo" wa "club" ya "ROCKY" hadi kumuua. "Rocky" mwenyewe alipo itumia mbinu hiyo na kuingia ulingoni na huyo "mrussia" akamvuruga, tena mbele ya "rais" wake kule kule "urusi". Tafuta senema ya "ROCKY IV".
Okra pia ilikua surprise kiko wp
Kwan okra kafanyej
DUBE HUYO
Kamwe naomba namba yako nataka niongee nawe inbox
We ya nini acha tamaa
C
Dube
Dube