RECAP: Maajabu ya KOMASAVA ya DIAMOND na Utawala Mpya Kimataifa, Yeye anasema 'Wamejaa kwenye Mfumo'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 42

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial 3 หลายเดือนก่อน +6

    🧭🤳 Komasava ina impact kubwa duniani kwa ujumla mataifa mia moja na kitu.
    Nawapata nikiwa Msumbiji 🇲🇿 Mkoan Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa Kazi nzuri wana SnS hapo studio🕊️✨✨

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b 3 หลายเดือนก่อน +1

    Harmonize alizaani uchawi wake wa Popo utaweza kumuzima Diamond asisikike tena...Mwenyezi Mungu ni Mwema sana🙏🙏🙏🙏🙏

  • @esthermatisho2604
    @esthermatisho2604 3 หลายเดือนก่อน +1

    God is good, and Diamond Platnumz❤ is awesome. I'm so proud ya kuwa Tanzanian 🇹🇿 na yeye Diamond Platnumz ni kati ya sababu ya kuwa proud 👏 love from Ireland 🇮🇪 💖

  • @paizinhosaide-cv9pm
    @paizinhosaide-cv9pm 3 หลายเดือนก่อน +5

    Komassava🙌🙌🙌🙌

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 3 หลายเดือนก่อน +2

    Komasava to the 🗺 🇹🇿🌍🎧

  • @chimnyengeUpdate
    @chimnyengeUpdate 3 หลายเดือนก่อน +4

    Top 🔥🔥🔥

  • @BILALIMSANGI-kw2ki
    @BILALIMSANGI-kw2ki 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hahaaaa huyo jamaa mwenye rosali ndo anaetupa newz za mastaa mbali mbali duniani

  • @BILALIMSANGI-kw2ki
    @BILALIMSANGI-kw2ki 3 หลายเดือนก่อน +9

    Sema sky umeleta madiliko kwenye tasnia ya Habari channel yako inaupekee fulani iv tofauti nanyingine

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  3 หลายเดือนก่อน +3

      Asante sana Bilal

    • @VipodoziKariakoo
      @VipodoziKariakoo 3 หลายเดือนก่อน +1

      SNS to the world, i love you guys.

    • @issabaraka2404
      @issabaraka2404 3 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli kabisa mimi mwenyewe nawakubali sana kutoka Canada🇨🇦 Pia na wasafi tu, ila wasafi ni kwasababu ya Diamondplatnumz

    • @saidyabdalla7410
      @saidyabdalla7410 3 หลายเดือนก่อน

      Tunakutak wew sky

  • @MagomaPato
    @MagomaPato 3 หลายเดือนก่อน +1

    Diamond Noma licha ya uchawi wa Harmonize...Harmonize ni laana kwenye sanaa yetu🇹🇿😁😁😁

  • @Mcsceo
    @Mcsceo 3 หลายเดือนก่อน +2

    Main presenter aliyefungua aache ujanja ujanja wa radio hapo sio radio hapo ni SNS aje na identity yake lakini aendane na team nzima ya Sns aaache zile aaaaaaaah sijuiiii no anatakiwa aende straight sio aaaah u knoooow swag za nini bro ww need good flow and content presenter ukinza aaaaaaah nakuona huna content kichwani asikarike aichukue hii comment itamjenga zaidi me ni familia wa Sns since Day 1..

  • @barakamkumba254
    @barakamkumba254 3 หลายเดือนก่อน

    kalii sanaaaaaa😂😂 wazungu watatuulia mond wetu wanampate beat za kulia kama msiba😊😅😂

  • @goldenteotv9118
    @goldenteotv9118 3 หลายเดือนก่อน +9

    Nanukuu. ( Kwa sisi watanzania impact tutakayoipata ni kwa diamond platnumz kuwa Ametokea Nchin tanzania, lakn nasikitika sababu mziki unaotrend ni wa (Africa kusini) Amapiano. ( This is the main point kwa interview yote. Tujiulize mziki wa bongo flavor kwa nchi kama Amarica zitatrend lini?

    • @abdulwaheedsheikh8015
      @abdulwaheedsheikh8015 3 หลายเดือนก่อน +8

      Bongo flava halisi ni ipi? Marimbe ao Ngoma za usukumani? Hapana . Ao ni taarabu ? Kwa kifupi , bongo flava ni nyimbo yoyote ya kiswahili ila kuhusu beat Kuna zouk , reggae, hipap,r n b,ragga, blues, rumba, salsa,zooote zimeibwa HAPA bongo Hadi bongo bangra so muziki ni international

    • @JosephEmmanuel-eb7gj
      @JosephEmmanuel-eb7gj 3 หลายเดือนก่อน

      Kwan hip hop ni mziki wa tanzania na msilazimishe aina flan ya mziki iprndwe

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 หลายเดือนก่อน

      Umesahau wimbo wa Quarantine wa Wasafi umefanya Vizuri nchi kibao

    • @ramayonline2281
      @ramayonline2281 3 หลายเดือนก่อน

      Unaujua wimbo wa Davido unaoitwa UNAVAILABLE????ni Afrobeat au n Amapiano..!!!??

    • @HUZZAMSUZNAKISIMBA
      @HUZZAMSUZNAKISIMBA 3 หลายเดือนก่อน

      BONGO FLEVA YENYEWE ILI MIX NGOMA ZA KIMAREKANI

  • @FREDYChirongo
    @FREDYChirongo 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hk 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ndo mwenye muziki wake bongo..wengine mnafuata

    • @princeaki2029
      @princeaki2029 3 หลายเดือนก่อน

      Hawafati bdo wanajitafuta hawna strategies

  • @kitangalicashewnutslimited
    @kitangalicashewnutslimited 3 หลายเดือนก่อน

    Sns itakuwa ni chombo kimoja Cha habari kikubwa na chenye kuaminika na kufuatiliwa watu wengi sana. Binafsi habari ninazithibirisha zikiripotiwa na Millard na sns, nikiona hawa wawili naipitisha kitu ambacho mwanzo nilikua naamini kwa Millard pekeyake

  • @Mcsceo
    @Mcsceo 3 หลายเดือนก่อน

    Wanyakyusa wanasalimiana ughonile krizz unaniwibisha hata kama wa mjini vipi huwezi sahau sslamu mzee wangu

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 หลายเดือนก่อน

      Ughonile si ni salamu ya asubuhi? Ukiachana na salamu za muda mnasalimianaje

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tunahitaji Sports sio siasa na muziki tuuu na SPORTS..

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 3 หลายเดือนก่อน

    Komosava ndio hali ya mjini

  • @MamboSuper
    @MamboSuper 3 หลายเดือนก่อน +1

    yani sisi wa shabiki zenu mulishagewukiya upande wapili sky acani kimupa mutu sifa Hana bado sana ila nawona nawona mwaka uyu munamupa grammy bila ivo sky mutawumbuka nawambiya

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374 3 หลายเดือนก่อน

    Hao nao amewalipa??wabongo acheni uduanzi😆😆

  • @marleshjimmy1972
    @marleshjimmy1972 3 หลายเดือนก่อน

    Mapungufu yapo Diamond hajasema “SIMBA LA MASIMBA DANGOTE”😅😅😔😔

  • @kizdady2544
    @kizdady2544 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ukalamkadze 😂😂

  • @MamboSuper
    @MamboSuper 3 หลายเดือนก่อน

    mumekuwa mumekawiya nawapa 3 weeks ndawuliza masava imefany nini

  • @Insumbazose
    @Insumbazose 3 หลายเดือนก่อน

    Komasava recap nilikua naitamani kwl ila huyu jamaa kava nyeup anatish

  • @kalistuschaula
    @kalistuschaula 3 หลายเดือนก่อน

    me njombe mulamwihe au zya lukela