🧭🤳 Komasava ina impact kubwa duniani kwa ujumla mataifa mia moja na kitu. Nawapata nikiwa Msumbiji 🇲🇿 Mkoan Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa Kazi nzuri wana SnS hapo studio🕊️✨✨
God is good, and Diamond Platnumz❤ is awesome. I'm so proud ya kuwa Tanzanian 🇹🇿 na yeye Diamond Platnumz ni kati ya sababu ya kuwa proud 👏 love from Ireland 🇮🇪 💖
Main presenter aliyefungua aache ujanja ujanja wa radio hapo sio radio hapo ni SNS aje na identity yake lakini aendane na team nzima ya Sns aaache zile aaaaaaaah sijuiiii no anatakiwa aende straight sio aaaah u knoooow swag za nini bro ww need good flow and content presenter ukinza aaaaaaah nakuona huna content kichwani asikarike aichukue hii comment itamjenga zaidi me ni familia wa Sns since Day 1..
Nanukuu. ( Kwa sisi watanzania impact tutakayoipata ni kwa diamond platnumz kuwa Ametokea Nchin tanzania, lakn nasikitika sababu mziki unaotrend ni wa (Africa kusini) Amapiano. ( This is the main point kwa interview yote. Tujiulize mziki wa bongo flavor kwa nchi kama Amarica zitatrend lini?
Bongo flava halisi ni ipi? Marimbe ao Ngoma za usukumani? Hapana . Ao ni taarabu ? Kwa kifupi , bongo flava ni nyimbo yoyote ya kiswahili ila kuhusu beat Kuna zouk , reggae, hipap,r n b,ragga, blues, rumba, salsa,zooote zimeibwa HAPA bongo Hadi bongo bangra so muziki ni international
Sns itakuwa ni chombo kimoja Cha habari kikubwa na chenye kuaminika na kufuatiliwa watu wengi sana. Binafsi habari ninazithibirisha zikiripotiwa na Millard na sns, nikiona hawa wawili naipitisha kitu ambacho mwanzo nilikua naamini kwa Millard pekeyake
yani sisi wa shabiki zenu mulishagewukiya upande wapili sky acani kimupa mutu sifa Hana bado sana ila nawona nawona mwaka uyu munamupa grammy bila ivo sky mutawumbuka nawambiya
🧭🤳 Komasava ina impact kubwa duniani kwa ujumla mataifa mia moja na kitu.
Nawapata nikiwa Msumbiji 🇲🇿 Mkoan Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa Kazi nzuri wana SnS hapo studio🕊️✨✨
Harmonize alizaani uchawi wake wa Popo utaweza kumuzima Diamond asisikike tena...Mwenyezi Mungu ni Mwema sana🙏🙏🙏🙏🙏
God is good, and Diamond Platnumz❤ is awesome. I'm so proud ya kuwa Tanzanian 🇹🇿 na yeye Diamond Platnumz ni kati ya sababu ya kuwa proud 👏 love from Ireland 🇮🇪 💖
Komassava🙌🙌🙌🙌
Komasava to the 🗺 🇹🇿🌍🎧
Top 🔥🔥🔥
Hahaaaa huyo jamaa mwenye rosali ndo anaetupa newz za mastaa mbali mbali duniani
Kwer
Halafu anasauti unique sana😊
Sema sky umeleta madiliko kwenye tasnia ya Habari channel yako inaupekee fulani iv tofauti nanyingine
Asante sana Bilal
SNS to the world, i love you guys.
Ni kweli kabisa mimi mwenyewe nawakubali sana kutoka Canada🇨🇦 Pia na wasafi tu, ila wasafi ni kwasababu ya Diamondplatnumz
Tunakutak wew sky
Diamond Noma licha ya uchawi wa Harmonize...Harmonize ni laana kwenye sanaa yetu🇹🇿😁😁😁
Main presenter aliyefungua aache ujanja ujanja wa radio hapo sio radio hapo ni SNS aje na identity yake lakini aendane na team nzima ya Sns aaache zile aaaaaaaah sijuiiii no anatakiwa aende straight sio aaaah u knoooow swag za nini bro ww need good flow and content presenter ukinza aaaaaaah nakuona huna content kichwani asikarike aichukue hii comment itamjenga zaidi me ni familia wa Sns since Day 1..
kalii sanaaaaaa😂😂 wazungu watatuulia mond wetu wanampate beat za kulia kama msiba😊😅😂
Nanukuu. ( Kwa sisi watanzania impact tutakayoipata ni kwa diamond platnumz kuwa Ametokea Nchin tanzania, lakn nasikitika sababu mziki unaotrend ni wa (Africa kusini) Amapiano. ( This is the main point kwa interview yote. Tujiulize mziki wa bongo flavor kwa nchi kama Amarica zitatrend lini?
Bongo flava halisi ni ipi? Marimbe ao Ngoma za usukumani? Hapana . Ao ni taarabu ? Kwa kifupi , bongo flava ni nyimbo yoyote ya kiswahili ila kuhusu beat Kuna zouk , reggae, hipap,r n b,ragga, blues, rumba, salsa,zooote zimeibwa HAPA bongo Hadi bongo bangra so muziki ni international
Kwan hip hop ni mziki wa tanzania na msilazimishe aina flan ya mziki iprndwe
Umesahau wimbo wa Quarantine wa Wasafi umefanya Vizuri nchi kibao
Unaujua wimbo wa Davido unaoitwa UNAVAILABLE????ni Afrobeat au n Amapiano..!!!??
BONGO FLEVA YENYEWE ILI MIX NGOMA ZA KIMAREKANI
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤
Ndo mwenye muziki wake bongo..wengine mnafuata
Hawafati bdo wanajitafuta hawna strategies
Sns itakuwa ni chombo kimoja Cha habari kikubwa na chenye kuaminika na kufuatiliwa watu wengi sana. Binafsi habari ninazithibirisha zikiripotiwa na Millard na sns, nikiona hawa wawili naipitisha kitu ambacho mwanzo nilikua naamini kwa Millard pekeyake
Wanyakyusa wanasalimiana ughonile krizz unaniwibisha hata kama wa mjini vipi huwezi sahau sslamu mzee wangu
Ughonile si ni salamu ya asubuhi? Ukiachana na salamu za muda mnasalimianaje
Tunahitaji Sports sio siasa na muziki tuuu na SPORTS..
Komosava ndio hali ya mjini
yani sisi wa shabiki zenu mulishagewukiya upande wapili sky acani kimupa mutu sifa Hana bado sana ila nawona nawona mwaka uyu munamupa grammy bila ivo sky mutawumbuka nawambiya
Hao nao amewalipa??wabongo acheni uduanzi😆😆
Mapungufu yapo Diamond hajasema “SIMBA LA MASIMBA DANGOTE”😅😅😔😔
Ukalamkadze 😂😂
mumekuwa mumekawiya nawapa 3 weeks ndawuliza masava imefany nini
Komasava recap nilikua naitamani kwl ila huyu jamaa kava nyeup anatish
me njombe mulamwihe au zya lukela