Watanzania tutachelewa sana tukimkataa R.Dzoo kwene mziki .Rayvavanny ni Messi Kwene mziki yeye anaimba vyvyte anavotaka jamani jamani jamani jamani WATANZANIA wenzangu . RAYVAVANNY tukiizungumzia industry ya music wa TZ ndo map Yaao wasanii wenu
Tatizo ni ustaa ukiwa staa bana ataukionekana unakooa tu ni content kwa watangazaji wabongo uongo mwingi umizeni ubongo bana vichwa vya kuku kiukweli vinazani tunataka kusikia hii upumbavu
Mi sioni shida sababu hata kipindi jeshi yuko marekani upande wa mondi ulitupa vijembe. Nadhani wao ndio wameibuni hiyo style ya mashindano na vijembe wakiamini itafanya watawale mijadala.. waendelee kuishi humo
V vanny voy ni nyota mta mkubali2 anaeleweka kimataifa🙌🙌
Mbona akina Jennifer lopes Janet Jackson ata Chris brown mpaka leo hii wana panda na madansa au labda mi ndio sijui kitu?
Mi napenda kumuona bro sky on the panel
Kabis
Kwa kweli kbss yaann
Achen kumdanganya mwambie andaye show yake mwenyewe sio za kumshilikisha ataona utam wake
King of African artist diamond artist diamond platnumz
Chris brown anacheza na dancer's, haijapitwa na wakati
Watanzania tutachelewa sana tukimkataa R.Dzoo kwene mziki .Rayvavanny ni Messi Kwene mziki yeye anaimba vyvyte anavotaka jamani jamani jamani jamani WATANZANIA wenzangu . RAYVAVANNY tukiizungumzia industry ya music wa TZ ndo map Yaao wasanii wenu
Burnaboy kufanya show mcana na akajaza 😂 tz bhana
Kwani ni lazima show ifanywe usiku? Usiku kwan ni shetani😂😂
Mdogo mdogo ndio mwendo
Kwa wengine ingali ni ndoto ata yakudumbwiza ukooo
Wote wako pouwa sanaa
Fally Ipupa na Innoss'b walikuwepo afronation kwani sio wa Est Africa jamani 😂😂😂😂
ESKO unaua kabisa kwenye recap iyi ❤️❤️❤️ points zako ni zamsingi sana. Big up bro
Kwaiyo Tyler alivyo fanya mchanya ilikua zarau
Tatizo ni ustaa ukiwa staa bana ataukionekana unakooa tu ni content kwa watangazaji wabongo uongo mwingi umizeni ubongo bana vichwa vya kuku kiukweli vinazani tunataka kusikia hii upumbavu
Napenda sana MTU akimchambua uyu mwamba wamchulia poa sana apa bongo
Kujikuta wachambuz wa wasanii kat nyie wenyeee hamjawah kumhoj tayla pimbi nyie Kila xku kutuletea story za udak2#simba n mmja2 na hawez tokea tena
Wacha diamond afanye show yake huko
GIANT WE NI KICHWA NAKUBALI SANA MUHUNI
Densans wanapendezesha sana
Mnazidi
Rayva.nyn💪💪❤🎉
Mkumbuke ulaya ni summer kwasasa jua linawaka hadi saa nne au tano usk, mnaweza sema ilikuwa mchana ila uhalisia n usk. Karibu ulaya mtembee kwanza
Dharau gani wakati Mondi kalipwa pesa zake ambazo anamzidi huyo ray sasa dharau gani
Kwenye Malipo hakuna anaejua nani kalipwa ngapi
😂😂😂acheni ku muotesha mapembe mwambieni ahandae show yake ahaje ndo m tuletee huu mdahalo Ila kwa sasa Bado Ana tembelea nyota za wenzake
Mwambino au
Mi sioni shida sababu hata kipindi jeshi yuko marekani upande wa mondi ulitupa vijembe. Nadhani wao ndio wameibuni hiyo style ya mashindano na vijembe wakiamini itafanya watawale mijadala.. waendelee kuishi humo
Kalibia wasanii wote wanaojua kuimba na ku cheza wanapanda na ma dancers jukwaan ... Mfano Kwa Chris mpaka kesho
sky kwani hapumziki wengine nao wafanye kazi gani jamani
Diamond anamambo ya ajabu 😅
@diamondplatnumz