DIAMOND kufanya Show Mchana kwenye Afronation ni dharau?, RAYVANNY anachukuliwa poa kimuziki?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 36

  • @MbarakRamadhan
    @MbarakRamadhan 3 หลายเดือนก่อน +9

    V vanny voy ni nyota mta mkubali2 anaeleweka kimataifa🙌🙌

  • @MassoudAlly-c9e
    @MassoudAlly-c9e 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mbona akina Jennifer lopes Janet Jackson ata Chris brown mpaka leo hii wana panda na madansa au labda mi ndio sijui kitu?

  • @ms_teeonly
    @ms_teeonly 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mi napenda kumuona bro sky on the panel

  • @japhetsilungwe4719
    @japhetsilungwe4719 3 หลายเดือนก่อน +9

    Achen kumdanganya mwambie andaye show yake mwenyewe sio za kumshilikisha ataona utam wake

  • @ImaniMsafi
    @ImaniMsafi 3 หลายเดือนก่อน +5

    King of African artist diamond artist diamond platnumz

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 3 หลายเดือนก่อน +7

    Chris brown anacheza na dancer's, haijapitwa na wakati

  • @rebeccapaulmwanginde977
    @rebeccapaulmwanginde977 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania tutachelewa sana tukimkataa R.Dzoo kwene mziki .Rayvavanny ni Messi Kwene mziki yeye anaimba vyvyte anavotaka jamani jamani jamani jamani WATANZANIA wenzangu . RAYVAVANNY tukiizungumzia industry ya music wa TZ ndo map Yaao wasanii wenu

  • @issachibangu6075
    @issachibangu6075 3 หลายเดือนก่อน +4

    Burnaboy kufanya show mcana na akajaza 😂 tz bhana

  • @daneetassh
    @daneetassh 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kwani ni lazima show ifanywe usiku? Usiku kwan ni shetani😂😂

  • @NurudinZuberi
    @NurudinZuberi 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mdogo mdogo ndio mwendo

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa wengine ingali ni ndoto ata yakudumbwiza ukooo

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wote wako pouwa sanaa

  • @issabaraka2404
    @issabaraka2404 3 หลายเดือนก่อน

    Fally Ipupa na Innoss'b walikuwepo afronation kwani sio wa Est Africa jamani 😂😂😂😂

  • @filskischannel9737
    @filskischannel9737 3 หลายเดือนก่อน

    ESKO unaua kabisa kwenye recap iyi ❤️❤️❤️ points zako ni zamsingi sana. Big up bro

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwaiyo Tyler alivyo fanya mchanya ilikua zarau

  • @antonymodestus2872
    @antonymodestus2872 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo ni ustaa ukiwa staa bana ataukionekana unakooa tu ni content kwa watangazaji wabongo uongo mwingi umizeni ubongo bana vichwa vya kuku kiukweli vinazani tunataka kusikia hii upumbavu

  • @shedrackbakari6342
    @shedrackbakari6342 2 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana MTU akimchambua uyu mwamba wamchulia poa sana apa bongo

  • @Tanafa-j9q
    @Tanafa-j9q 3 หลายเดือนก่อน

    Kujikuta wachambuz wa wasanii kat nyie wenyeee hamjawah kumhoj tayla pimbi nyie Kila xku kutuletea story za udak2#simba n mmja2 na hawez tokea tena

  • @albertonyangaresi1971
    @albertonyangaresi1971 3 หลายเดือนก่อน

    Wacha diamond afanye show yake huko

  • @shuzashadyproduction8438
    @shuzashadyproduction8438 3 หลายเดือนก่อน

    GIANT WE NI KICHWA NAKUBALI SANA MUHUNI

  • @anjuadnani2607
    @anjuadnani2607 2 หลายเดือนก่อน

    Densans wanapendezesha sana

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mnazidi

  • @user-yd8sp4es9n
    @user-yd8sp4es9n 2 หลายเดือนก่อน

    Rayva.nyn💪💪❤🎉

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 2 หลายเดือนก่อน

    Mkumbuke ulaya ni summer kwasasa jua linawaka hadi saa nne au tano usk, mnaweza sema ilikuwa mchana ila uhalisia n usk. Karibu ulaya mtembee kwanza

  • @Barakanenealldays-bp8cd
    @Barakanenealldays-bp8cd 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dharau gani wakati Mondi kalipwa pesa zake ambazo anamzidi huyo ray sasa dharau gani

  • @SumaidiElisha
    @SumaidiElisha 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂acheni ku muotesha mapembe mwambieni ahandae show yake ahaje ndo m tuletee huu mdahalo Ila kwa sasa Bado Ana tembelea nyota za wenzake

  • @ursulinenyandindi3051
    @ursulinenyandindi3051 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mi sioni shida sababu hata kipindi jeshi yuko marekani upande wa mondi ulitupa vijembe. Nadhani wao ndio wameibuni hiyo style ya mashindano na vijembe wakiamini itafanya watawale mijadala.. waendelee kuishi humo

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 3 หลายเดือนก่อน

    Kalibia wasanii wote wanaojua kuimba na ku cheza wanapanda na ma dancers jukwaan ... Mfano Kwa Chris mpaka kesho

  • @alikonge8864
    @alikonge8864 3 หลายเดือนก่อน

    sky kwani hapumziki wengine nao wafanye kazi gani jamani

  • @toneboytz6655
    @toneboytz6655 3 หลายเดือนก่อน

    Diamond anamambo ya ajabu 😅

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 3 หลายเดือนก่อน +2

    @diamondplatnumz