KIMENUKA: HANS RAFAEL vs JEMEDARI SAID/ HII NI BALAA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 658

  • @HassaniBakari-qj7ft
    @HassaniBakari-qj7ft 29 วันที่ผ่านมา +139

    KAMA UNAAMINI HANCY YUPO RIGHT NIPENI LIKE ZANGU 100😂

    • @joachimligwa5424
      @joachimligwa5424 29 วันที่ผ่านมา +2

      Hayuko sawa

    • @noelkaniki4334
      @noelkaniki4334 29 วันที่ผ่านมา +4

      hayuko sawa 100% you can play na double pivot with 4-3-3 jemedari anaiweka simple kabisa pivote inayo angalia chini like a triangle hans anacheka cheka tuuuu,' kuna siku aliingiza chaka watu na inverted full back ana mix na overlaps ma host nao wamekaa kindezi hawaelewiii

    • @user-xg9ix9ex9h
      @user-xg9ix9ex9h 29 วันที่ผ่านมา

      ​@@noelkaniki4334huelewi wewe hansi rafaeli yuko sawa

    • @joachimligwa5424
      @joachimligwa5424 29 วันที่ผ่านมา +1

      @@noelkaniki4334 nikiona hawa ndio wachambuzi hua nasema mimi sijapata nafasi tu
      Very poor na mbaya zaidi hajui kuhusu tactics na anajiweka anajua

    • @fredyjunior6961
      @fredyjunior6961 29 วันที่ผ่านมา

      Nancy ni pundit

  • @saidkasonta3174
    @saidkasonta3174 29 วันที่ผ่านมา +40

    Vijana wa sasa wanaelewa mambo kwa haraka, na uwezo wao wakupambanua mambo ni mkubwa tofauti na wazee wa zamani!!

    • @Kajokashemmela-uu5vh
      @Kajokashemmela-uu5vh 25 วันที่ผ่านมา

      Hans mtupu kabisa Real mad wakati del bisqat walicheza kama anavyosema jemadal Salgado calros heaven w Samuel guty bekam Zidane Raul Di rima Figo kiungo mkabaji ni nani

    • @Kajokashemmela-uu5vh
      @Kajokashemmela-uu5vh 25 วันที่ผ่านมา

      Mkiwa na mpira hamna chep na ndiyo maana mabeki wana panda mbona Hans hajasema yao kaongezeka kwenye kushambulia?

  • @josephsanga1709
    @josephsanga1709 หลายเดือนก่อน +49

    Hansi ❤️❤️ fundi sana

    • @allyngoda761
      @allyngoda761 29 วันที่ผ่านมา +1

      Sababu wewe ni yanga

  • @EkkyMedia
    @EkkyMedia 28 วันที่ผ่านมา +8

    Hans Rafael ni mbishi na jinsi alivyo vizuri kwenye kuji express ila tactically hayuko vizuri. kusema kweli point zake za mifumo zinakasoro nyingi. kwanza number 6,8 ni defined na role za mchezaji na wala si directly na position. mbili kuna aina tofauti za 433 kuna yenye 6 wawili na 8 mmoja, kuna yenye 8 wawili na 6 mmoja, kununa yenye 6,8,10. na ma kocha wengi wana epuka kutumia hizi majina ya formation kwenye huu mpira wakisasa. point nyingine formation ina elezea position ya wachezaji wakiwa hawana mpira na zone wanazotakiwa ku cover especially wakati wa kukaba. in transition shape inaweza kuonekana lakini wakocha wanawapa uhuru wachezaji kuji position namna ambayo italeta zaidi faida kwa team kutegemea game situation. kuna mengi yakusema, nikipata feedback nzuri nitatengeneza video ya kiswahili juu ya formation na roles za wachezaji

  • @kibwanasenza6904
    @kibwanasenza6904 หลายเดือนก่อน +31

    Hans nakuona kwa sasa wewe ni bora kuliko wachambuzi wote uchwara

  • @EvaristJosiah
    @EvaristJosiah 29 วันที่ผ่านมา +27

    Mimi ninachoona uyu jemedari na hansi wapangiwe mda tofauti akiwepo mmoja mmoja asiwepo

    • @user-ee8xb1tl5n
      @user-ee8xb1tl5n 29 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂 nimecheka san

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 27 วันที่ผ่านมา +3

      Hapana ,ni vizuri wawepo wawili ili jemadari awe exposed live

    • @hassanmickdady1687
      @hassanmickdady1687 25 วันที่ผ่านมา

      Kabisa maana hapo mmoja kwanza anaamini kwa simba na mwingine yanga

  • @protasnyoni3801
    @protasnyoni3801 หลายเดือนก่อน +47

    Chinga ni Shabiki wa Mpira Sio Mchambuzi. Hans yupo Vizuri Chinga Hawezi Kukubali Kwa Sababu ya Sifa yake ya kuwa Shabiki na Sio Mchambuzi.

    • @manjolehamisi8167
      @manjolehamisi8167 27 วันที่ผ่านมา +1

      Kumbuka Chinga kacheza Mpira tena kwenye kiwango kikubwa so anajua anachoongea

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 26 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@manjolehamisi8167kacheza lkn ni bonge la mchambuzi mpuuzi na mwenye roho mbaya

    • @manjolehamisi8167
      @manjolehamisi8167 26 วันที่ผ่านมา +1

      @@sadathboutique6253 hapo point ni Uchambuzi hayo ya Roho mbaya siyajui broo

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 26 วันที่ผ่านมา

      @@manjolehamisi8167 sasa uwa anachambua nini zaidi ya kujua uwa ni shabiki wa tim gani?anaponda tim inayofanya vizuri anasifia inayoboronga,ki ufupi unamsifia coze na wewe ni shabiki wa iyo tim anayosifia

    • @BongoCryptos
      @BongoCryptos 26 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@manjolehamisi8167 Kiwango kikubwa alisaidia timu yake kuchukua kombe gani?

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu6449 หลายเดือนก่อน +16

    Messages nyingi zakupongeza hans husomi. Tunaziona wapenzi wa CROWN

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction8436 หลายเดือนก่อน +53

    Uchambuzi wa Hans nauelewa sana, maana uchambuzi wake wamaana kabisa

    • @noelkaniki4334
      @noelkaniki4334 29 วันที่ผ่านมา +1

      ana google sana na ku krem kama huelewii uwezi juaa na wwe unachotwa tu

  • @FelinucMalilwa
    @FelinucMalilwa หลายเดือนก่อน +44

    Jemedariiii tupoo na wewe mpka ufukuzwe uko Jk Tanzania 😂😂😂

    • @doricehungu5817
      @doricehungu5817 29 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂 kaaah mmemfata mnashinikiza afukuzwa nacheka sana

    • @hammytototundu9292
      @hammytototundu9292 29 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 29 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @imamhussein1104
      @imamhussein1104 28 วันที่ผ่านมา +2

      Weee jamaa Fala sana 😂😂

    • @salimumwenguvu2248
      @salimumwenguvu2248 28 วันที่ผ่านมา +2

      😂DAAAH KMMKE

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 29 วันที่ผ่านมา +8

    Jemedari kakaaa Tanga wiki mbili kwenye mafunzo ya ukocha lakini anazidiwa kwa mbali Sana na Hans Raphael ambae ni mzuri sana kwenye kuelekeza.

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu6449 หลายเดือนก่อน +17

    Kwa bahati mbaya mtaalam Ambangile hawezi kuwa fasi moja na mjinga kama Jemedar
    Najuwa angekuwa sambamba na Hans

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 29 วันที่ผ่านมา +21

    Huyu babu bora angebaki efm, huku crown huyu hans atamtoa nishai😂

    • @khamiskhamis6809
      @khamiskhamis6809 29 วันที่ผ่านมา

      Uku amekuja kuumbuka

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 26 วันที่ผ่านมา

      Astaafu tu jamani 😂😂😂

  • @SudiFredrickStar
    @SudiFredrickStar หลายเดือนก่อน +33

    Hansi anasema ukweli hio ni 4231,hio ingine ni 433 diamond shape...

    • @mlugekarol2688
      @mlugekarol2688 หลายเดือนก่อน

      Hicho ni kitu kimoja. Hawana tofauti. Mid wakiwa watatu hawakai kama visikki. Hao watatu wanabadilika kutokana na kkushambuliia au kujilinda

    • @mlugekarol2688
      @mlugekarol2688 หลายเดือนก่อน

      Hans anaiongellea Yanga na si mfumo. Hapo ni 433 ndiyo 4231.

    • @georgeedwardmwakyembe6969
      @georgeedwardmwakyembe6969 29 วันที่ผ่านมา

      Kuna 433 ambayo ni offensive ambayo ina attacking midfielder na two central midfielders

    • @WaltorTarimo
      @WaltorTarimo 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@mlugekarol2688point

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham หลายเดือนก่อน +14

    Nakuelewa Hans asante,

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma443 29 วันที่ผ่านมา +9

    Hawa watu wote wanaenda kariakoo lkn njia gani anapita kufika kariakoo utajua mwenyewe

  • @omaryrazalo4302
    @omaryrazalo4302 29 วันที่ผ่านมา +6

    Crown Media hapa ni nyumbaniiiiii

  • @raymondedson2488
    @raymondedson2488 หลายเดือนก่อน +15

    Babacar alikua anatumika kama cdm lakini kiuhalisia babacar ni box to box

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s หลายเดือนก่อน +17

    Jemedari unazidiwa na watoto wadogo live hadi unatia aibu....kubali kujifunza ili timu utakayoifundisha ifanye vizuri kama kweli umeshaweza kufauru mitihani maana una rekodi ya kufeli mitihani mara kwa mara

    • @RoseKipimo
      @RoseKipimo 29 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @JumbeOjaso
      @JumbeOjaso 29 วันที่ผ่านมา +1

      Siyo kweli Jemedari yuko sahihi Hans anachanganya vitu viwili tofauti.
      Mfumo huonekana wakati timuhaina mpira

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s 29 วันที่ผ่านมา

      Siyo kweli labda kama unaongelea wakati mechi haijaanza ambapo pia huwa wanaonesha teams na formations zao lakini mpira ukishaanza kwanza ukiwa sio mzoefu ama huna abc za mpira unaweza usitambue formation ya timu iwe wakati wana mpira au hawana mpira lakini kwa wataalamu au watu wenye abc za mpira wana uwezo wa kujua formation ya timu husika kwa kuangalia namna wachezaji wanavyojipanga mara kwa mara kuucheza mpira yaani kumiliki au kushambulia au wanavyojipanga kuutafuta mpira yaani kukaba. Muda mwingi wa mchezo utaona shape ya timu inakuwa vilevile kulingana na formation na huweza kubadirika kulingana na ama matukio uwanjani ama maelekezo ya kocha. Sasa ukiulizwa ni nini kinachozuia formation ya timu isionekane wakati timu inamiliki mpira utajibu nini??? Mpira hauchezwi gizani hata kama ni usiku. Hakuna uchawi hapo labda kama hujui mpira. @@JumbeOjaso

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 28 วันที่ผ่านมา +4

    Uchambuzi wa Hans umenyooka zaidi ya huyu mshabiki wa kolo fc🎉🎉🎉

  • @hassankunjayo626
    @hassankunjayo626 หลายเดือนก่อน +34

    Uchambuzi wa hans nimeuelewa sana

    • @ananiamwatebela3159
      @ananiamwatebela3159 29 วันที่ผ่านมา +2

      Tatzo jemedati mbishi balaa huyo mzee

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 29 วันที่ผ่านมา +3

      @@ananiamwatebela3159 ao hawampend uyo dogo ... Kila atakachofaya wanatengenez mazingira ionekane anapotosha 🤣🤣🤣

    • @albertisrael5879
      @albertisrael5879 29 วันที่ผ่านมา

      Kwa nn hyo isiwe 4 1 2 3

    • @allyngoda761
      @allyngoda761 29 วันที่ผ่านมา +1

      Kwakua ni yanga mwenzako

    • @amina-we6vo
      @amina-we6vo 29 วันที่ผ่านมา +1

      Hans achambui Ila anatumia mfumo jinsi Yanga inavyocheza

  • @jamesmassimo9326
    @jamesmassimo9326 29 วันที่ผ่านมา +13

    Sidhani km Jemedari ni mchambuzi… anaongea km shabiki tu. Mimi km mtazamaji au shabiki sipati nachokihitaji kwake. Bro ajitahidi kuboresha huduma yake👏

    • @mahamudmbukuchu5946
      @mahamudmbukuchu5946 29 วันที่ผ่านมา

      Ni kweli mkuu

    • @jassontv5366
      @jassontv5366 29 วันที่ผ่านมา

      Kazumari hata lugha ya mpira in professional hana hata yaa kama anafanya fasihi simulizi

  • @allyfuad
    @allyfuad หลายเดือนก่อน +14

    Hans yuko sawa sana

  • @LucasDando-ru8lg
    @LucasDando-ru8lg 29 วันที่ผ่านมา +9

    Moja ya tatizo ni kushindana kwenye kipindi Yani ni vyema kila mtu atoe maoni yake watu wasikilize sio kushindana ila wamenikumnusha mbali nimewahi kufanya kipindi na mtu wa aina Yao kila kitu anatanga kupinga maoni ya mwingine uchambuzi ni kutoa maoni tu sio kushindana

  • @user-eq5gd7oq4y
    @user-eq5gd7oq4y 29 วันที่ผ่านมา +5

    Uchambuzi waa jemedali mi sijekuelewa, mi nimeiona jemedali anakusanya kusanya kete, Kama mtu aliyefungwa supa drafti

  • @gidionsheiza
    @gidionsheiza 29 วันที่ผ่านมา +4

    Hancy yuko vizuri. Nimemuelewa zaidi "mchambuzi" kuliko "mwalimu". Nadhani "mwalimu" akaongeze ujuzi zaidi mahali

  • @fortunatusyuli4421
    @fortunatusyuli4421 29 วันที่ผ่านมา +5

    Hans amekariri,Jemedari anaelewa kile anaongea ndo maana maswali yake hayajibiki kirahisi.

  • @jonijoo23
    @jonijoo23 29 วันที่ผ่านมา +7

    Huyu jemedari ni usajili mbovu sana hapa crown,much know halafu hajui vingi+uzamani mwingi

    • @chriskudilla5355
      @chriskudilla5355 25 วันที่ผ่านมา

      Jemedari is the best

    • @chriskudilla5355
      @chriskudilla5355 25 วันที่ผ่านมา

      Mpira hauchezwi unavyoongwwa ubaoni

    • @chriskudilla5355
      @chriskudilla5355 25 วันที่ผ่านมา

      Double Pivot ipoje?

    • @keystonetv7357
      @keystonetv7357 8 วันที่ผ่านมา

      huyo hansi ndo jau jau wengi wetu hatujui hzo formation

    • @jonijoo23
      @jonijoo23 8 วันที่ผ่านมา

      @@keystonetv7357 hans ni jau ila sio kwa aliyoyaeleza hapa,huyo jemedari ndomaana kila mwaka anafeli mitihani TFF,much know halafu kichwani ni empty box..mfumo wa timu unakua applied during offensive tu wakat wa kuzuia wanakua na shape nyingine kabsa sasa yeye anasema 4-3-3 inaonekana wakat wa kuzuia🚮 ko yanga wanavozuia maxi anavyorud mpka kwa kibabage au yao ni 4-3-3 gani iyo?

  • @hassankunjayo626
    @hassankunjayo626 หลายเดือนก่อน +21

    Tatizo mmakonde mjanja ataki kukubali kushindwa kisa kocha

    • @mwanangusana
      @mwanangusana หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂 we unajua ukweli ulivyooo

    • @petermwacha9909
      @petermwacha9909 29 วันที่ผ่านมา

      Lakini kitaalamu anaonekana anajua kabisa kwa anavyojieleza

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 29 วันที่ผ่านมา +1

      @@petermwacha9909 ana tengeneza mazingira. Ili Uone hivyo ...

    • @user-ct3kz3rq1q
      @user-ct3kz3rq1q 28 วันที่ผ่านมา

      Radio crown ina vyombo vipya safi sauti ipo sawa kabisa

    • @user-ct3kz3rq1q
      @user-ct3kz3rq1q 28 วันที่ผ่านมา

      Crown Tv

  • @AdrianAdrea-by8pn
    @AdrianAdrea-by8pn หลายเดือนก่อน +10

    Jemedar ulizoea kuwadanganta walee umekamatika

  • @anniebenoh9837
    @anniebenoh9837 28 วันที่ผ่านมา +1

    Perfect HANS RAFAEL🎉🎉🎉🎉 Jamaa anajua sana. Hata ambae hajui kabisa mpira akimsiliza Hans anaelewa 100%

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq หลายเดือนก่อน +5

    Yaan mmemleta huyu nyau kazi mnayo hapo yaan anataman abaki peke yake studio kila kitu anajua yey😂😂😂😂😂

  • @gabrielmponji4598
    @gabrielmponji4598 29 วันที่ผ่านมา +3

    Hansi yuko vizuri sana kwenye uchambuzi , huyo Jemedali hapana kwa kweli sijui anachambua nini.

  • @SalumuKorofi-hl9os
    @SalumuKorofi-hl9os 27 วันที่ผ่านมา +3

    Crown wamechemka kwahuyu mzee jemedari usajir mbovu sana.

    • @keystonetv7357
      @keystonetv7357 8 วันที่ผ่านมา

      hata hakosei kaka yupo sahihi sana sema hans nu mbishani

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 28 วันที่ผ่านมา +2

    Jemedari hawezi kukubali kwasababu anamuona hans dogo na yeye ni father lakini soka haiendi hivo yeye akubali soka na mifumo hbadilika kutokana mechi husika finish big up hans unaonesha ulomavu siyo chinga akimaliza hans anaanza kwa kucheka hii ni dharahu badilika

  • @petersamwelm7279
    @petersamwelm7279 28 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani hapo Tatizo ni Moja…. DOGO KAMEZA FORMATION KAMA ZILIVYO NA KAKUTANA NA KAKA KISHOKA AMBAYE ANAAMINI ANAISHI YEYE NI ROLE MODEL WA SOCCER NCHINI

  • @hajirama4270
    @hajirama4270 27 วันที่ผ่านมา +2

    wote hamna kitu hao cjui wanasoma nn asa 4:3:3 zipo za aina mbili deffensive na attakking, defensive unacheza na two defensive mildfild one attaking na attaking unacheza na one deffensive mildfild na two defensive mildfild .

    • @keystonetv7357
      @keystonetv7357 8 วันที่ผ่านมา

      upo sahihi sana hansi mbishani sana ananiuz kumshusha jemedar

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 29 วันที่ผ่านมา +2

    Hans yuko right ---- Hicho anachokisema JEMEDARI,kupora mpira na kukimbia nao na kufunga,hiyo ni moment tu,lakini timu lazima iwe na mfumo inapojenga shamnulizi,na kisha lazima iwe na mfumo,inapokuwa imepoteza mpira kwa ajili ya kujilinda -- " Huyo Jemedari akipewa timu,ataishusha daraja "

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 29 วันที่ผ่านมา +8

    Hance Yuko sahihi

  • @hodaneymujib6621
    @hodaneymujib6621 หลายเดือนก่อน +6

    Mbona mnatuchanganya kama hamna uhakika muende darasani kwnz

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 14 วันที่ผ่านมา

    Tumewapata wataalam wanaoujuwa mpira! Crown is the best❤❤❤

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s หลายเดือนก่อน +4

    Eti mfumo unaoneka timu ikiwa haina mpira😅😅😅. Yaani ukiwa kocha utashusha timu daraja.Mfumo wa timu unaonekana wakati timu inaposses na inapokuwa imepoteza mpira full stop.

  • @erickganira6324
    @erickganira6324 หลายเดือนก่อน +3

    433...wakabaji wanne viungo wawtatu apo kiungo mmoja wakubaki wawili washambuliaji japo na majukumu tofouti mmoja creator mwengine box to box aidha kuzuia counter ama kujenga counter ...mbele winger wawili na striker mmoja ....cha msingi triangle huangalia chini ama juu kulingana na matukiu

  • @edwardpeter5163
    @edwardpeter5163 28 วันที่ผ่านมา +1

    Yaaani nilichoona hapo kuna Kuonyeshana u mwamba kati ya JEMEDARI na HANS 😂😂😂 na kuna shida hapa kabisaaa mmoja apndoke

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 29 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu dogo yuko vizuri sana, ila ni lazima akubali kukua, hata kama una uhakika point yako iko sawa, ni lazima ukubali kusikiliza maoni ya watu wengine hata kama maoni yao ni tofauti na yakwako, toa nafasi ya maoni ya watu wengine kusikilizwa, na pia ajifunze kukubali kuto kukubaliana, thats how it works.
    Halafu mwisho wa siku siyo kwamba hizi timu zina endeshwaga na maoni ya hawa wachambuzi wa kwenye media, timu zinaendeshwa na falsafa zao kiufundi walizo jiwekea, pia na tamaduni na desturi zao za nje ya uwanja.

  • @WaltorTarimo
    @WaltorTarimo 27 วันที่ผ่านมา +1

    Bahati mby sana alieongea point ndo anaonekana kaongea utumbo me coach na npo uk naendlea na masomo namawazo yangu kwenye jambo lenu.
    Modern football imebdlisha idea ya mfumo na namna tmu znavyocheza kila kocha ana idea ya namna anayotak wachezaj wachez kweny mfumo flan tuangalie how city play taften game ambzo rodri ajacheza utaelew how they play kweny 433.
    Nachopinga nikusema 2mid lazm wawe juu na ndo ni attacking izo ni idea za mda now days 433 mid wanafany rotation ya nafas inaamaana sio lazm 2mid wakiwa chni mfumo ndo umebdlika haipo ivo 433 inawez kuwa na triangle za viungo kwa namna zozote

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 29 วันที่ผ่านมา +1

    Chuki tuache kwa jemedari, yuko sahihi, ila simaanishi hans ni mbaya

  • @sezarymasansa
    @sezarymasansa 29 วันที่ผ่านมา +2

    shida ya huyu jmd ni kujiona anajua sana na ufadha ,hans yuko light sana huyo mchizi amekuja kuhalibu kipind kbsaa

  • @mrbasit4718
    @mrbasit4718 หลายเดือนก่อน +7

    Hans kuwa makini unaenda kupotea mana ulionao watataka kuzuwia uwezo wa upeo wako.
    Kuwa makini fanya maamuzi mapema sana

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 29 วันที่ผ่านมา +2

    Hans yupo sahihi, ila Jemedari anajifanya kujua kumbe ni mbwembwe tu

  • @chatnami
    @chatnami 28 วันที่ผ่านมา

    The 4-2-3-1 is a commonly used formation with a back four, five midfielders, and a center forward. The advantage of this formation lies in its flexibility: it can easily be changed into a 4-4-2 or a 4-3-3. In addition, defensive stability and offensive firepower are balanced well.

  • @EnockSalapion
    @EnockSalapion 29 วันที่ผ่านมา +10

    Jemedari kuna point namuelewa kwa sababu sasa hivi pamoja na mifumo unakuta wachezaji wanachukua majukumu tofauti tofauti uwanjani, especially watu wa katikati na wing backs. Mfano, unaweza kuta namba sita anapanda sana lkn akipanda kuna mtu anamreplace, au ukikuta Barça au Spain inacheza kati unaweza usijue mfumo wao kiwepesi kwa sababu ya rotations zao kwa ajili ya kutafuta space. Lkn pia kwenye kushambulia nikichukua mfano wa shabalala; Jamaa wakati mwingine amekuwa akiingia ndani kama namba kumi then chini anabaki kiungo wa kumsaidia kuziba pengo langu au namba kumi na moja apande zaidi aongeze namba na kutanua uwanja zaidi au arudi nyuma kidogo kureplace shabalala. Mimi naamini wakati team haina mpira ndio vyepesi kuzungumzia mfumo.
    Wakati mwingine huwezi zungumzia mfumo au shape wakati wa counter attack, ni tu namba ya watu itakayoweza kukimbia mbele kwa ufanisi wa kufunga its a win out of the shape. Nafikiri modern football kwa sasa ni zaidi ya hizo shape, ndio maana sasa hivi makocha wengi sasa hivi wanapenda wachezaji ambao ni dynamic na sio static.

    • @bkkomesho9272
      @bkkomesho9272 29 วันที่ผ่านมา

      Upo sawa

    • @jemaarsen6996
      @jemaarsen6996 25 วันที่ผ่านมา +1

      Mimi sijaona point hapo unacho paswa kujua ni kua mfumo hubadilika lazima uwe na mifumo Mili ili kuweza kubalance mechi mifumo wa kwanza ni pale unapo kuwa na mpira upande wako lkn pia ukiwa unashambuliwa lazima ubadili mifumo ili ukusaidie kupunguza au kuzui mashambuli hapo ndio utaona hata wacheza mara nyinnafasi zao hubadili lkn watakapo bahatika kurudisha mpira upande wao wanaendelea na mfumo wao wa kwanza na kila mtu anarudi kwenye nafasi yake

  • @user-lx7lb7sn8k
    @user-lx7lb7sn8k หลายเดือนก่อน +5

    Yaap ❤

  • @cardoalbert1366
    @cardoalbert1366 29 วันที่ผ่านมา +3

    Hans ndio kanyoosha ww jemedari hadi mimi nakushinda uchambuzi 4.3.3 ni kiungo mkabaji mmoja na viungo wa shambuliaji wawili acha ukenge 😂

  • @nizobeatz90
    @nizobeatz90 29 วันที่ผ่านมา +2

    Mbna akiongea jemidari amuoneshi ubAO ILA JEMEDARI NMEMUELEWA

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 หลายเดือนก่อน +2

    Hii ndio maaana makocha wengi wa Tanzania akiwemo jemedari huwa wanafeli na hawataki kujifunza Kwa kujifungia ndani ya box. Hatutakujakupata makocha wa kufundisha nje kama wanakariri bila kujiongeza kuelewa na kuwa wabunifu.

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 29 วันที่ผ่านมา +3

    Ma mdogo kutoka planet fm umekuja crown hongera sana

    • @elishacharlesjr3611
      @elishacharlesjr3611 29 วันที่ผ่านมา +1

      Sema wangemchukua na Salum mapande bna

    • @salumuseif3324
      @salumuseif3324 29 วันที่ผ่านมา

      @@elishacharlesjr3611 hayuko pale sijui yuko wap

  • @chinaaudax6459
    @chinaaudax6459 27 วันที่ผ่านมา +2

    kiukweli jemedali ajui mpira labda akaifundieshe makolo

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 28 วันที่ผ่านมา +1

    Jemedari anaongelea majukum kitu ambacho ni sahihi kbsaa viuongo wanasifa tofauti kabisa

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 29 วันที่ผ่านมา +2

    Nimeangalia Comments kuna usimba na uyanga Simba kwa jemedari Yanga kwa Hans kwahiyo mjadala Always hauwezi kufika mwisho

  • @gospelman3720
    @gospelman3720 29 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna 433 Attacking na 433 defending. Jemedari yuko sahihi.

  • @johansenbashange2628
    @johansenbashange2628 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hans anajua lakini alipoulizwa "tunauonaje mfumo kwenye tukio la Kona" aliyumba kidogo
    Formation Zina structure zinabadilika kwenye Kila tukio
    Sio lazima ubadili formation

  • @georgeedwardmwakyembe6969
    @georgeedwardmwakyembe6969 29 วันที่ผ่านมา +1

    433 inategemea unataka icheze vipi ipo triangle ya unayoangalia juu na inayoangalia chini lakini 433 mama ni ina kiungo mkabaji na Central midfielders wawili inategemea unataka mfumo ucheze vipi. Hata 433 ina box to box

  • @AlainShogonya
    @AlainShogonya 29 วันที่ผ่านมา +2

    Wawekewe touch screens kwa meza hawa, ndo wahanze kupanga hizo formation zao 😂

  • @MethodKilowa-r2i
    @MethodKilowa-r2i หลายเดือนก่อน +3

    Naitwa METHOD, Kwa kweli hans ni mchambuzi wa mpira unajua sana kaka, huyo jemedar hajui mpira, kazi ya uchambuzi hajui labda akafundishe ndondo huko, mpira ni mfumo na upo kwenye vitabu, timu zinazuia kwa mifumo na zinashambulia kwa mifumo.

  • @chatnami
    @chatnami 28 วันที่ผ่านมา +1

    Jemedari amecheza, amefundisha na ni practical oriented. Hans ni mtu wa nadharia. Kwa waliocheza mpira wanaelewa. Tunahitaji akina Jemedary wengi sana.

    • @NaseebLugusha
      @NaseebLugusha 28 วันที่ผ่านมา

      kaka unajua boli maana hapo anachoshindwa kuelewa Hans ni kuwa anaongea na kocha wa mpira ambae kaucheza mpira pia

  • @ayubhumakuya8466
    @ayubhumakuya8466 27 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu jemedal hajui mpira

  • @erickpaschal1639
    @erickpaschal1639 29 วันที่ผ่านมา +1

    Hans kwenye 4-3-3 hapo upande viungo mimi nimeungana na Jemadari kwenye io 3 ya kati triangle inaweza kuelekea juu na inaweza kuelekea chini inategemea na nini kocha anahitaji kwenye game husika.

  • @OmyJr-hw2nk
    @OmyJr-hw2nk 29 วันที่ผ่านมา +1

    Wote wako right sema jemedali ni bright afu hans ni average so lazima hans atumie nguvu kubwa

  • @Officalshakespeare
    @Officalshakespeare 29 วันที่ผ่านมา +2

    hansii uko vzurii sana💯

  • @TimFilms255
    @TimFilms255 29 วันที่ผ่านมา +1

    433 zipo za aina Nyingi Sio Tu Hiyo pembe Tatu inyo angalia chini au Angalia Juu Pia kuna 433 iliyo FLAT kabisa Viungo wote wanakaa Kwenye Msitari mmoja so HANS aache Kukalili Aseee
    Sema Hans anafanya vitu kwa kukaili na sio kwa weredi

  • @IdrisaKwepu
    @IdrisaKwepu 27 วันที่ผ่านมา +2

    Hans anasem ukweli kabisa ni fundi sana uyu jamaa

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 28 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jemedari kalazimishwa leo kuchambua mpira na sio timu alipo kuwepo kule alikua anachambua timu ... Hakubali kushindwa huyo ....😅

  • @deodatuskalekona5911
    @deodatuskalekona5911 29 วันที่ผ่านมา +3

    Yanga wamecheza na Aucho na Bangala Azizi mbele Yao wote Bangala na Aucho walifanya majukum sawa Kwa wakat tofaut

    • @user-zw9oj6ej9v
      @user-zw9oj6ej9v 29 วันที่ผ่านมา

      Hapana Aucho alifanya majukum ya kiungo kama box to box na bangala alikuwa mzuiaji hakuwa anasogea juu.

  • @stuartikonko1941
    @stuartikonko1941 29 วันที่ผ่านมา +1

    Hans anachokosea ni kuweka hizo number modern football hakuna mambo ya namba 6 Wala namba 8 mpira cku izi hauna mambo ya namba cjui 10

  • @Malepotinhompalala
    @Malepotinhompalala 29 วันที่ผ่านมา +1

    Hancy Yuko vizuri kwenye mmuchaambuzi

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula7351 หลายเดือนก่อน +4

    Hans anaeleweka Jemedar n janja janja ana akti anajua sana huku mitihan anaferi ovyo ovyo kwaiy n muongo muongo😅

    • @mwanangusana
      @mwanangusana หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 kwaiyo alipata 0 %

  • @Igauf3
    @Igauf3 21 วันที่ผ่านมา

    Fellas bring the blackboard on the show.

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 หลายเดือนก่อน +2

    Wrown ni nyumbani na E.fm ni redio ya kupata burudani zote ila huko mwingine ni machawa tyu

  • @BoniphaceCosta-kd2yw
    @BoniphaceCosta-kd2yw หลายเดือนก่อน +3

    Pamoja

  • @GazahBoy
    @GazahBoy 29 วันที่ผ่านมา +2

    Crown walichokosea ni kumleta jemedar

  • @NaseebLugusha
    @NaseebLugusha 28 วันที่ผ่านมา +1

    mfumo mara zote unaonekana wakati wakuzuia muda ule mnaweka mistari ya ulinzi ndo maana nawaambia Hans anachambua mpira ila Jemedari anafundisha mpira ndo maana hamumuelewi Jemedari

  • @jescamariki8498
    @jescamariki8498 25 วันที่ผ่านมา

    Ni fire crown media

  • @user-mc7du2pe4d
    @user-mc7du2pe4d 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mkichukulia Simba na uyanga hamtomuelewa jemedari said sawa tufanye yupo Simba lakini hua anabalance tofauti nahuyo hansi yeye nikusifia tu yanga biala kujali Aya haya hana jemedali yupo sahihi

  • @pinomjata678
    @pinomjata678 29 วันที่ผ่านมา

    Mifumo ni kwenye set up ya timu lakini execution mifumo huwa inabadilika mfano Man City na Liverpool mpira wanacheza 4-3-3 lakini wana execute tofauti. City wanatumia sana little triangles kuwachosha wapinzani na kunakuwa na exchanges ya positions kati ya wachezaji. Liverpool under Klopp front players wana counter press, full backs na wingers wanatanua uwanja overload wide areas na watumia sana crosses, pia force 9 ana-drop deep ku-open up spaces kwa wachezaji wengine.

  • @Fahadlikote-tq5gh
    @Fahadlikote-tq5gh 11 วันที่ผ่านมา

    Hapo wameshindwa kuelewana tu ila Kwa upande mmoja jemedari yupo sahihi na hans yupo sahihi
    4-3-3 inaweza kuwa na viungo wawili wakabaji na mmoja mshambuliaji au viungo wawili washambuliaji na kiungo mmoja mkabaji tofaut ya 4-3-3 na 4-2-3-1 ni kwenye side players kwenye 4-3-3 kuna wingers(LW na RW) while kwenye 4-2-3-1 kuna either Center attacking midfielders wote au kuna kuwa na left midfielder na right midfielder with a CAM kwenye Ile 3

  • @maulidnjokamtaly5184
    @maulidnjokamtaly5184 28 วันที่ผ่านมา +2

    Jemedal hamna anacho jua Zaid ya ushabik ndo unampa shida bwege uyooo

  • @FrankSylvester-eo7zf
    @FrankSylvester-eo7zf 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hans bado mchanga sana kwenye formation

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 หลายเดือนก่อน +7

    Jemedari ni much know

    • @mgallason...5686
      @mgallason...5686 หลายเดือนก่อน

      Jemedari akimaliza hiyo Leseni A Nataka nije kumuona akifundisha nchi za watu la sivyo atabaki kuwa ni kiburi na hataki kujifunza. Mi namuelewa zaidi hans kuliko jemedali naona anapigwa upper Cut za kutosha.

  • @alexanderfute4559
    @alexanderfute4559 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi kweli kweli

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 25 วันที่ผ่านมา +1

    Ukimtoa ambangile anayefuatia ni Hans lafael mwombek 🔥🔥

  • @AdiliHarold
    @AdiliHarold 29 วันที่ผ่านมา

    Hancy 4,3,3 ina mifumo miwili hadi mitatu ya kucheza, 1, Attacking 2, Defensing, 3 Posses Hivyo Inatemegeana na approach ya Game na Mipango ya Bench la ufund haibadilishi kwamba anae cheza namba fulani lazima astick na uo mfumo

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 13 วันที่ผ่านมา

    Jemedari umezidiwa madini. Scouting haisajili na mindset ya mifumo, inasajili kwa namba. Namba1 - 11. Na kila mchezaji anachaguliwa kulingana na ubora wake ktk namba husika. Na mchezaji akimudu zaidi ya namba moja hiyo ni added advantage. Mambo ya mifumo kocha anawaanda kulingana mpinzani husika.

  • @jimmydizonga1335
    @jimmydizonga1335 หลายเดือนก่อน +2

    Crown, nawaomba msajilin Mwamnyan wa u fm,ili kipindi kiwe namba moja apo tanzania ila mkitegemea Hans ndo awe mchambuz mtafel anajitaidi ila anaendekeza uchawa na Jemedari ni wachambuz mzuri ila mashabiki wa yanga hawana iman nae kwaiyo inatakiwa mpate Mwamnyan ili tuamishe kijiji chote cha wasafi maana uyo nizaid ya Ambangile

    • @mwanangusana
      @mwanangusana หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 jemedariiii hamana tusemee ukwelii

  • @essammanyologa3934
    @essammanyologa3934 หลายเดือนก่อน +5

    Mpunguze kudharauliana, mwenzako akiongea wewe unacheka kwa dharau. Itawasaidia!

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน

      Acheni kukariri mbona vitu vya kawaida sana kupeana changamoto hivi nyie Hua mnaangalia uchambuzi wa huko duniani au mwisho ni huku tu nendeni kaangalieni huko mtajua wachambuzi wanafanyaje hapo sio msikitini au kanisani kua anaskizwa imamu tu au mchungaji lazma walete changamoto hapo

    • @essammanyologa3934
      @essammanyologa3934 หลายเดือนก่อน

      @@FahadAbubakari mwisho hukuhuku tu, tuambie wewe wa kimataifa.
      Unaweza kusoma attitudes za watu? Anyway, maoni yangu sio lazima uyakubali!

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน

      @@essammanyologa3934 kimataifa ni much worse kina Thierry Henry na kina Gary Neville, Mika Richard na Jimmy Carragher hupingana na kuchange state za moods lakini at the end of the day wanatoleana challenge na hao walikua world class players sasa isifike points tukawatunaona vitu katika angle yamazoea tu bila kuapriciate purpose wanayosave nakuanza kuingia kwenye videtails ambavyo si msingi.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana หลายเดือนก่อน +1

      Jemedariiii ni mjanja mjanja tu ..... Anatengeneza mazingira aonekane anajua Sana....

  • @user-np8hc9yh9o
    @user-np8hc9yh9o หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤🎉

  • @JophreyMbilinyi
    @JophreyMbilinyi 29 วันที่ผ่านมา +1

    Noma sana naona wasaf ime hamia humu unyama sana

  • @ndelechetv3362
    @ndelechetv3362 28 วันที่ผ่านมา +1

    jemedari yuko sahihi kuna attacking , holding kwenye 4-3-3 lazma itofautiane namna ya matumizi

  • @steven.munisi
    @steven.munisi 29 วันที่ผ่านมา +2

    Hans ni balaaa😂😂😂❤❤

  • @muhammadseif5009
    @muhammadseif5009 13 วันที่ผ่านมา

    Dogo uko vizuri na unaeleweka vizuri sana