NINA WANAUME WAWILI, NANI ATANITAJA??

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 70

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 8 หลายเดือนก่อน +27

    sasa ajuwe huyo alomtaja ndo wa kwake huyo alokata simu ni wawengine na nna uhakika anayependwa ni huyo alokata simu😂

    • @jescalaurent9358
      @jescalaurent9358 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisaa 😅

    • @faustinedeogratias4337
      @faustinedeogratias4337 8 หลายเดือนก่อน +1

      Vp kama Irene anamkubali zaidi mwamba mkata simu

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 8 หลายเดือนก่อน

      @@faustinedeogratias4337 atakufa na tai shingoni yani kiofisa

    • @ambrose_vevo137
      @ambrose_vevo137 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@jescalaurent9358Hahahah sure unajua hii ni fact

    • @user-xi4pd1yw7o
      @user-xi4pd1yw7o 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 5 หลายเดือนก่อน +7

    Khaaa ila watu wamejichokea jamani yani mdada yupo poa kabisa ata hashtuki kusema ana mabwana wawili mweee😢😢

    • @user-hm4rr3ln1q
      @user-hm4rr3ln1q หลายเดือนก่อน

      Mimi ninao 4 unashangaa 2 napemda 2 to

  • @saidihysn2212
    @saidihysn2212 8 หลายเดือนก่อน +25

    Sasa itakuwaje yeye katajwa lakn yeye mwenyewe kasema ana wapenzi wawili na akiona interview kumbe wapo wawili atakuwa na moyo wa kuendelea

    • @witnessinary7807
      @witnessinary7807 8 หลายเดือนก่อน

      Hapo chacha

    • @Thadeus97
      @Thadeus97 8 หลายเดือนก่อน

      Hapo sasa mzee baba

    • @margrethamsechu7088
      @margrethamsechu7088 8 หลายเดือนก่อน

      Alaf ofice moj

    • @zuberhamza7852
      @zuberhamza7852 7 หลายเดือนก่อน

      Spati picha jamaa katika pitapita zake kwenye mtandao aiyone hii video amsikie dem wake akisema ana wawili

    • @d.m453
      @d.m453 หลายเดือนก่อน

      Hapo sasa!!😢

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 8 หลายเดือนก่อน +14

    Bora aliyesema ana wawili kuliko kudanganya!

    • @dinabuyoga8820
      @dinabuyoga8820 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 8 หลายเดือนก่อน +4

    Hapa kitaalam inaitwa mwizi kakutana na mwizi😂😂😂 jamaa wa kwanza noma

  • @raviniloviny
    @raviniloviny 8 หลายเดือนก่อน +3

    Oya mpeni huyu jamaa awatangaziee

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ngoma droo maiko ana wengi na dada ana wengi 😅😅

  • @asachlyforex9425
    @asachlyforex9425 8 หลายเดือนก่อน +1

    Anabadili badili majina 😂😂

  • @aprinciplefilms
    @aprinciplefilms 8 หลายเดือนก่อน +4

    Izi macontent zingine bhana 😂😂

  • @jacklinejackson9600
    @jacklinejackson9600 หลายเดือนก่อน

    Sasa unakuta Moyo wake uko kwa Michael 😂😂😂

  • @rachelmwano7289
    @rachelmwano7289 หลายเดือนก่อน +1

    Eti atakupa story nyingine badae 😂😂michomo

  • @AnithaTumain-jf9ql
    @AnithaTumain-jf9ql หลายเดือนก่อน

    Yaaan apo Mr uk alivyosema acha aende uko akagombane na mtu wake 😂😂😂😂😂

  • @mwinjanavil
    @mwinjanavil 7 หลายเดือนก่อน +4

    michael miyeyusho ila jackson mwaminifu kama mimi hapo huyo dada irene anatakiwa abaki na jackson ndo anaempenda irene kiukweli

  • @sammallya5002
    @sammallya5002 7 หลายเดือนก่อน

    Hata kama ukinitaja Mimi nitakuacha tuu...maana tayari ww ni Mwongo..

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 8 หลายเดือนก่อน

    Me nikisikia kaka kiredio hap nitaxma nipo site nikte. Na simu man kuna kuachwa na mpenzi unaempend 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-wh5zz5dk2g
    @user-wh5zz5dk2g 8 หลายเดือนก่อน +5

    Ikirushwa hii kawapoteza wote akili kumkichwa 😂😂😂😂😂

    • @JescaMwagama-oc9yt
      @JescaMwagama-oc9yt 8 หลายเดือนก่อน

      Kila siku maswal nihayohayo

    • @bennylove6021
      @bennylove6021 หลายเดือนก่อน

      We umeionaje kama haijarushwa?

  • @gracerichard8145
    @gracerichard8145 หลายเดือนก่อน

    Mm ninao 6 siku yakukutana na mm kiredio utajuta nam pia ndo ntajijua sasa

  • @obsonjulius312
    @obsonjulius312 หลายเดือนก่อน

    Jackson kapigwa na kitu kizito pia

  • @kwejimisobi4491
    @kwejimisobi4491 8 หลายเดือนก่อน +5

    Baada ya challenge ni kuachika🤣🤣🤣

  • @rahimaally6044
    @rahimaally6044 8 หลายเดือนก่อน +2

    🙈🙈

  • @martinamuryang153
    @martinamuryang153 7 หลายเดือนก่อน +1

    Khaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @markomkiva6366
    @markomkiva6366 8 หลายเดือนก่อน

    Aliye mtaja jina hana hela

  • @cotctvshow3553
    @cotctvshow3553 8 หลายเดือนก่อน +1

    hivi unawapendaje wote wawili...mbwaa wew wanawake bna mbwa kbsa

    • @thestoryteller212
      @thestoryteller212 2 หลายเดือนก่อน

      Na wewe mwanaume ni mbwa pia😂

    • @edvinaselestine712
      @edvinaselestine712 หลายเดือนก่อน

      Atampenda mmoja Sasa unafikir Sasa huyo jamaa wa mwanzo atampenda Tena

  • @user-np2tk1jy1t
    @user-np2tk1jy1t หลายเดือนก่อน

    Ila nimefrai mdada Kawa mkweli

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 7 หลายเดือนก่อน

    Mdada kasema ukweli

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 29 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 7 หลายเดือนก่อน

    Ngoma droo

  • @EMILYSAMSON-rv3ns
    @EMILYSAMSON-rv3ns 3 หลายเดือนก่อน

    kaka dodoma lini

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius 8 หลายเดือนก่อน +1

    Xaxa yeye katajwa alaf alotajwa yy anao wawili😢😢

  • @KingMashimba
    @KingMashimba 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahaha

  • @user-re1bx4wt2k
    @user-re1bx4wt2k 8 หลายเดือนก่อน +1

    Unazingua wewe yanj Ile ya Dodoma ujamalizia Alf ujatupa mpya

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 7 หลายเดือนก่อน

    Kiredio au kispika itakukosti ipo siku utakutana na machiz.shauri yakooo

    • @thestoryteller212
      @thestoryteller212 2 หลายเดือนก่อน

      Wacha ushamba hii wanayofanya karibia kila nchi mambo za kawaida

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 หลายเดือนก่อน

      @@thestoryteller212 mshamba mamaako

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 หลายเดือนก่อน

      @@thestoryteller212 halafu ndio umenunuwa cm Leo maana ni miezi minne iliyopita wewe ndio umesema Leo. Sasa si ungeangalia kitu kipya upate kukoment au ndio Hy cm mpya unaajibu mambo ya mwaka jana juzi .hongera na cm mpya

  • @user-vx8or2ek9m
    @user-vx8or2ek9m 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atusaidie wanaume kama imefikia mahali mwanamke kuwa na wanaume wawili na anaona ni fashion adi anatangaza hadharani kama vile mazuri🤮🤮

    • @whatif..6961
      @whatif..6961 7 หลายเดือนก่อน

      Kama ilivyo kwenu kuwa na wanawake wengi! Japo hamtangazi ila hakuna tofauti! Tunapita mule mule yaaani😂

    • @ezyjob5083
      @ezyjob5083 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@whatif..6961habari ndo hiyo, mule mule

  • @user-bb7lc9td6o
    @user-bb7lc9td6o 4 หลายเดือนก่อน

    Ukija dodoma uniambie nazawad yako kiredio

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeamini vibonge awanaga akili sasa hakuwaza ikirushwa itakuwaje 😂😂😂😂

    • @lovemwagala8259
      @lovemwagala8259 8 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢 vibonge tena

    • @zamratallly4191
      @zamratallly4191 8 หลายเดือนก่อน

      Vibonge tumeingiaje sasa broo 😂😂😂

    • @nobodyog9512
      @nobodyog9512 7 หลายเดือนก่อน

      😂vibonge mnaingilia kati!

    • @thestoryteller212
      @thestoryteller212 2 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 8 หลายเดือนก่อน

    Kiredio nna content nitafute tupange mchongo... Ni Dm

  • @RyycRaji
    @RyycRaji หลายเดือนก่อน

    nahis uyu dada alitongozwa bado hajatoka na hata mmoja ndomaana anajiamin yupi atoke nae

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 8 หลายเดือนก่อน +2

    Akina Irene siyo wanawake