WAREMBO WANNE WAMUWASHIA TAA MR RIGHT | AFANYA MAAMUZI MAGUMU | SUZI BALE AMPA ONYO MR RIGHT

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 พ.ค. 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 105

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 หลายเดือนก่อน +3

    Hahahahahhahahahahahahahaaaaaaa nimecheka sanaa NAMPENDA SUZY BALE

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de หลายเดือนก่อน +5

    Suzi nae anajichetua Sana 😂 Garab hapend kuambiww tunaondoka wote😂

  • @MaxwellLegnardoElias
    @MaxwellLegnardoElias หลายเดือนก่อน +2

    Janet i know you from dodom city,hanet village god bless you

  • @asmoretune
    @asmoretune หลายเดือนก่อน +2

    sifuatiliii tena huu ujinga yaan huyu bro alishatokaga nademu wake apo ety kaja na mnamruhusu kuchagua tena kwaio mnatufundisha nn apo ni mahali pakuchukua wanawake kwa muda sindyo😭 idont expect that

  • @user-db9tu5lv4z
    @user-db9tu5lv4z หลายเดือนก่อน +1

    😢huyu mdada 🙌💔si anaenda kwa lennie beauty Store au sio yy

  • @pamelafelix6361
    @pamelafelix6361 หลายเดือนก่อน +19

    Ila uyu kaka si alishawahi kuja apa na aliondoka na yule dada mwenye dred kichwani😢😢😢😢😢😢😢😢😢nimelia sana

    • @user-ju3nm8oc1c
      @user-ju3nm8oc1c หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa, aseee hii inafikirisha. Inawezekana huyu jamaa ndio tabia yake. Sintashangaa kumuona hapo tena.

    • @user-ju3nm8oc1c
      @user-ju3nm8oc1c หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa, aseee hii inafikirisha. Inawezekana huyu jamaa ndio tabia yake. Sintashangaa kumuona hapo tena.

    • @bhokesaid3264
      @bhokesaid3264 หลายเดือนก่อน +1

      Wanaigiza hao hakuna hata1 aliyeserious wote ukiwaona huku siku kadhaa utawaona kwenye comedy,music,tangazo na chochote so not serious

    • @Official83640
      @Official83640 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani inakuwaga kweli na maigizo tu hayo ht Mwijaku aliwahi kusema unaowaona hapo wote km wanalipwa tu kuendesha kipindi lkn hamna ukweli wowote

    • @AbdulDc-oc7ps
      @AbdulDc-oc7ps หลายเดือนก่อน

      Ndio yy

  • @SelemanMilumba
    @SelemanMilumba 21 วันที่ผ่านมา

    Nampenda sana suzi sitamani aondoke

  • @iddydanna6641
    @iddydanna6641 หลายเดือนก่อน +1

    Big yash😂

  • @user-il8wx3eq8i
    @user-il8wx3eq8i หลายเดือนก่อน +4

    Huyo naumbile lake alivyo mnene kigauni kifupi

  • @FatumaNurdin-ob7br
    @FatumaNurdin-ob7br หลายเดือนก่อน +1

    Uyu dad s alkua kwenye kipnd cha mr uk na uyo bwan wamejfanny wameachan kumbe waongo shenzeiiii

  • @poulmbogo1770
    @poulmbogo1770 หลายเดือนก่อน +1

    Msenge tu huyu jamaa nimejua kipind cha ovyo kabisa kama ushakuj na kuchukua dem inakuaje urud tena kwanza ni kipind cha kujitangaz maan madem wengi waliopita nawaoan wanaigiza igiza vichekesho wengine wapo na akina ndaro wengine jua kali wengine sijui vikatuni mpka hapo nikajua kwamba hawa wapo kujitangaz wapate fursa za usanii usanii maigizo ya tamthilia soon mtamuona eliz nae anaigiz subilini

  • @reginamtitu5592
    @reginamtitu5592 หลายเดือนก่อน +2

    Aenderee Suzi kuwepo kwenye jukwaa

  • @LovelyCoastline-il1lr
    @LovelyCoastline-il1lr หลายเดือนก่อน +2

    Suzi unaongea mpaka unakera sasa unakuwa kama gigy money

  • @KigorofaniKigorofani
    @KigorofaniKigorofani หลายเดือนก่อน +1

    Janeth❤

  • @sammyzumesh8162
    @sammyzumesh8162 หลายเดือนก่อน +7

    Na mkuwe na mbwembwe ka Mr right ya Kenya😂😂😂😂

    • @habi78121
      @habi78121 หลายเดือนก่อน

      show za kistarabu so km kwenu kenya fujo tu mwanzo mwisho😂😂😂😂

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 หลายเดือนก่อน

      Kwenu wamechanganyikiwa yani wanawake wenu jeuri😂😂😂

    • @user-xr6xk9lb5c
      @user-xr6xk9lb5c หลายเดือนก่อน

      Watu wanajiheshimu tu. Bwebwe za nini?

    • @bintsaid7696
      @bintsaid7696 หลายเดือนก่อน

      ​@@habi78121😂😂😂ila watu wangu WA +254 Wana npunga banaa Ile ya ma ex walipo kutana😂😂😂😂😂

  • @YazrinKajia-rk8fc
    @YazrinKajia-rk8fc 25 วันที่ผ่านมา

    Jamani huyo Suzy anaboa mtoeni kwenye kipind, mdhalilishaji bwana hachagui maneno yakuongea watu watajiskia vibaya isee

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx หลายเดือนก่อน

    Inaonekana urefu ni deal, mimi na ufupi wangu huu nahangaika wee kupata mwanamke wa kuoa sipat lakin mwamba wanawake wote wanne wanamtaka😮😅🙌

  • @soniamarther5937
    @soniamarther5937 หลายเดือนก่อน

    Mkuwe mna tuwa full video please

  • @farajangwema4663
    @farajangwema4663 หลายเดือนก่อน

    Jamani huo ni uchumba sio ndoa so wakimech tabia wanaendelea wasipo mech wanaachana akimpata wanaemechi wanafunga ndoa

  • @MchelliLaizer
    @MchelliLaizer หลายเดือนก่อน +1

    Alafu uyu si alibadisha jina akaijiita fey momo huku anaitwa jina lingine uyu dada mcharuko

    • @stellakatana3643
      @stellakatana3643 28 วันที่ผ่านมา

      Kabisa n huyo😅kumbe umeona kama mm

  • @NsiaNdanshau
    @NsiaNdanshau หลายเดือนก่อน +1

    Jane njo najambo naww sio kwa uzuri wako embu njoo

  • @N254NK
    @N254NK หลายเดือนก่อน

    Yani no one has chosen that chic in green

  • @Patrisha600
    @Patrisha600 หลายเดือนก่อน

    Wameachan kidaa bidad anachat na ex wang inakeraa kwa kwel. Boraa angeondok na sindelelaa ndoa ingekuwepoo😄😄

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa ya nini kumkasilikia mtu? Huyo Bibi mtoen hapo

  • @rachelpatrick3749
    @rachelpatrick3749 14 วันที่ผ่านมา

    Mtoenii Suzy bale anaongea sanaaa

  • @Sara-iz2nr
    @Sara-iz2nr หลายเดือนก่อน +2

    Suzi namupenda ❤❤❤

  • @user-sn4fu7hd6u
    @user-sn4fu7hd6u หลายเดือนก่อน

    😂😂😂suz jaman punguz kuongea bas

  • @deecokujory
    @deecokujory 20 วันที่ผ่านมา

    Et sahv wameachana duh mapensi konyoooo

  • @Officialrockzompa
    @Officialrockzompa หลายเดือนก่อน

    Suzy baleee😂

  • @user-vi3ck1cw3h
    @user-vi3ck1cw3h หลายเดือนก่อน +1

    SUSY HAFAI ANAONGEA SANAAA😮

  • @RehemaMwampashi
    @RehemaMwampashi หลายเดือนก่อน +1

    Kamchukua na kamuach

  • @user-jx8et3mk1p
    @user-jx8et3mk1p หลายเดือนก่อน

    Suzi anaongea haid kunachangamka 😅

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 หลายเดือนก่อน +3

    Suzi arudi mtaani tu

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani anachamba km ugomvi!!!😮

  • @deborahmollel3170
    @deborahmollel3170 25 วันที่ผ่านมา

    Huyo mwanamama apunguze maneno inaboa kipindi

  • @FadhiliMbise-jo3vr
    @FadhiliMbise-jo3vr หลายเดือนก่อน

    Mama agness kasha aribu nyota ya mwanae

  • @FATUMACHIPYANGU
    @FATUMACHIPYANGU หลายเดือนก่อน +1

    Uyo mkaka alishawahi kuja apo mbona😮

  • @user-kp8bp3em7v
    @user-kp8bp3em7v หลายเดือนก่อน

    NAONA KAMA MOVE TU KILA MARA NAONA WAKINDOKA NA KURUDI SASA SHIDA INAKUA NI NINI?
    WALIOOLEWA TOKA KWENYE JUKWAA LA MR RIGT MTUPE NA TAARIFA ZAO NA WATOTO JAMEN

  • @Hajer-be2kh
    @Hajer-be2kh หลายเดือนก่อน +1

    Huyo dada aliechaguliwa nimemuona kwenye interview na Mr uky tena alisema ameachwa na bwana bila kujua na walikutana hapo Mr right walidumu km miezi mitatu 😂😂😂 kwaiyo atakua kurudi tena hapo

    • @salmakasim8390
      @salmakasim8390 หลายเดือนก่อน

      Sindio na me nashangaa nimemuona pia anajiita fay momo

    • @user-rk7iw5mw8z
      @user-rk7iw5mw8z หลายเดือนก่อน +1

      C ndio apo kwa Mr right anajiita Lisa kwa Mr uky anajiita faymomo duh dunia Ina watu wa ajab kbx

    • @MchelliLaizer
      @MchelliLaizer หลายเดือนก่อน

      Me mwenyewe nashangaaa

  • @kissageorge3987
    @kissageorge3987 หลายเดือนก่อน

    Mi tu hiyo brauzi ya haria uwiii hadi aibu

  • @AbdulDc-oc7ps
    @AbdulDc-oc7ps หลายเดือนก่อน

    Kama awana watu wapya si waseme mpaka arudie mwamba uyo

  • @lyidiajuakaly3335
    @lyidiajuakaly3335 หลายเดือนก่อน

    Wameshaachana tayari hawa🤣🤣🤣🤣 nyie

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @JeremiaNanyaro
    @JeremiaNanyaro 27 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂 hii nayo n aina ya umalaya wa kidigital yn wa kixomi 😂 mnajiuza kisasa dah

  • @pilselman2955
    @pilselman2955 หลายเดือนก่อน

    Kwan Eliza na na zalisha wako wp jaman maan mie sijanglia sikunying

    • @MariyaChaki
      @MariyaChaki หลายเดือนก่อน

      Hhhh ata mmi nimejiuliza wapi wapi au wamejiondokea soko gumu

    • @MariyaChaki
      @MariyaChaki หลายเดือนก่อน

      Hh mienyewe najiuliza

  • @paschalmichael9744
    @paschalmichael9744 หลายเดือนก่อน

    Lucy

  • @maryamedi9141
    @maryamedi9141 หลายเดือนก่อน +2

    Hyu kaka alikujanga akapata na mchumba mbon tena karudi

    • @user-hp6pq9fb2l
      @user-hp6pq9fb2l หลายเดือนก่อน

      Ni kumega na kuacha hiyo

    • @pamelafelix6361
      @pamelafelix6361 หลายเดือนก่อน

      Si ndo nashangaa jaman....watu mna kumbukumbu aisee😂😂😂

    • @maryamedi9141
      @maryamedi9141 หลายเดือนก่อน

      @@user-hp6pq9fb2l 🤣🤣🤣

    • @maryamedi9141
      @maryamedi9141 หลายเดือนก่อน

      @@user-hp6pq9fb2l duuh hatri

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x หลายเดือนก่อน

      na huyu ameshamuacha eti kamwambia ana safiri mawasiliano hamna nimetoka kuangalia mahijiano kwa yule mwenzake na kiredio huyu dada anaajita sijui nan momo

  • @user-lb1nr2fw7t
    @user-lb1nr2fw7t หลายเดือนก่อน

    Icho kipindi wanatafuta tu ustar hamna lolote

  • @Salimuyusufu
    @Salimuyusufu หลายเดือนก่อน +1

    mbona kama huyu jamaa amerudi mara ya pili

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 หลายเดือนก่อน +1

      😂kumbe nawewe umeona eee,yan nikajiuliza mbona kama nimewahi kumuona humu

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 หลายเดือนก่อน

      Mi mwenyewe nimeshangaa

    • @joyce55727
      @joyce55727 หลายเดือนก่อน

      Ndio yeye kalud

    • @pamelafelix6361
      @pamelafelix6361 หลายเดือนก่อน

      Nimeshangaa Sana....alaf na izo bigG zake anatafunaga kama ng'ombe aliyecheua😤😤😤

    • @mercychepteekilovethismovi912
      @mercychepteekilovethismovi912 หลายเดือนก่อน

      Hata mi naona hivo

  • @celinamputacelinamputa3577
    @celinamputacelinamputa3577 หลายเดือนก่อน

    Saivi washa achana

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de หลายเดือนก่อน +2

    Suzi nae anajichetua Sana 😂 Garab hapend kuambiww tunaondoka wote😂

    • @user-vz4xv7lg3x
      @user-vz4xv7lg3x หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 Gara B hatak kabisa kuambiwa ivo😂😂

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de หลายเดือนก่อน

      @@user-vz4xv7lg3x 😂😂😂

    • @restypeter1141
      @restypeter1141 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂 Yani macho yamtok​@@user-vz4xv7lg3x