"Watu walisema WCB wamepuyanga kunisaini" Mbosso
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 พ.ค. 2018
- Muimbaji kutoka WCB, Mbosso (The African Voice) amefunguka kuzungumzia hatua kubwa aliyoipiga katika muziki wake akiwa kwenye label hiyo ambapo pia amewazungumzia watu ambao walidai label hiyo imekosea kumsaini.
- บันเทิง
Kijana uko vzuri. Piga kazi vzuri na utafika mbali kabisa
Usije ukafa wewe tuu. Kifo pazia zito. Sema in sha Allah
Mbosso ni mkali
blessup br
safi sana
kiukwel mbosso kuna vitu unanishawishi kua shabiki wako we kwel . kiukweli nimegundua na pia napata picha ya neno wcb congratulation my friend
Mungu akujalie me kazi zako
Umetisha mbosso
kweli mdogo wangu
mi mwenyewe nakukubali sana
kiwango
simkubaliiiii kinomaaa
Sauti kubwa ya africa mbosso lazima kiwe kilichomo
Mic zenu mbovu bro badilisha vyombo vimechoka Yassin
Li Mic lenu linawaangusha sana
nkjaaa manaa unanisismuaaa mpk .....
pa1
Afe beki afe kipa...😂 😂
koma DOGO
Poa
mm nasikiza nyimbo zako ila ttzo unaongea sn ndo unaponikeraaaa