#ZaNdaaani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 237

  • @user-wh2mm1eq2x
    @user-wh2mm1eq2x 2 หลายเดือนก่อน +23

    Za ndaaaaani😂😂😂
    Momo bwana, eti Mo Sarah. Momo sema Mo dewj siyo Mo Sarah

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 หลายเดือนก่อน +10

    Kama NIKWELI, MOO SHKAMOO KAKA WATAIFA😂😂❤❤❤❤❤😅😊

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 หลายเดือนก่อน +8

    Halafu mnataka kusema tx dullah ndio mwenye comedian talent pekee msiache jina la Momo tafadhali 😂

  • @mcray0609
    @mcray0609 หลายเดือนก่อน +2

    Eng. Hersi shikamoo.. Unajua kuyumbusha watu ad momo anadanganya umma

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 หลายเดือนก่อน +9

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu kaka hahaha anajua kunivunja mbavu

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv6958 หลายเดือนก่อน +6

    Wa mwisho naomba like zangu ila naushauri acheni kupenda wachezaji pendeni timu zenu😂😂😂😂😂❤

  • @basiaarsh3835
    @basiaarsh3835 หลายเดือนก่อน +11

    Huyu jamaa yupo vzuri saaana

  • @amosmemba9926
    @amosmemba9926 2 หลายเดือนก่อน +21

    Aziz Ki huyooooo

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 หลายเดือนก่อน +1

    Azizi Ally labda hhahaaaaaaa Azizi ki Jangwani yupo sana sajilini kina Debora tuleteeni na Mwajuma 😂😂

  • @jamesngindo4583
    @jamesngindo4583 หลายเดือนก่อน +1

    Mnahangaika tu Aziz alishasaini yanga kitambo, sema engineer mjanja ameaachia tu media zihangaike kwa muda huu

  • @victorvenance1009
    @victorvenance1009 หลายเดือนก่อน +6

    Hakuna timu ya kufanya usajili wa Bilion 3 kwa mwaka mmoja kwenye ligi ya Tanzania.

  • @StephanoFrance
    @StephanoFrance หลายเดือนก่อน +6

    Aaah ila leo mzee wa za ndani umetupa laha sana wa lunyasi

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob หลายเดือนก่อน +4

    Momo kwa mikwala cheki alivyomuigiza tajiri alivyoshika sigara 😂😂😂

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g หลายเดือนก่อน +6

    Zaa ndani nakutukana kwa furaha kudadadekiii zako

  • @harounzuberi8179
    @harounzuberi8179 หลายเดือนก่อน +2

    Sospiter Bajuna huyo😅😅😅😅

  • @evdsam7286
    @evdsam7286 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa anatabia za kikekike sana, anavyodanganya mpaka sura inaonesha ukike ndani yake

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv6958 หลายเดือนก่อน +1

    Momo acha uongo unaapia mpka jina la mola wako ufai bara wala pwani

  • @user-iv1it9yy3c
    @user-iv1it9yy3c หลายเดือนก่อน +20

    Shajua kama injinia aje simba hata leta mgogoro mkubwa bora auzwe huko kaizer sio makolo nae shuka thamani timu ashirk klabu bingwa

    • @barakayusuph4617
      @barakayusuph4617 หลายเดือนก่อน +7

      wew amka aziz ki yuko huru sasa mtamuuzaje chura wew😂😂

    • @chamyluna8030
      @chamyluna8030 หลายเดือนก่อน

      Lilisikika pumbavu likiongea 😢😢😢😢

    • @JumaSuleiman-np3eb
      @JumaSuleiman-np3eb หลายเดือนก่อน

      Wivu tu

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 หลายเดือนก่อน

      Ujui kuandika nenda shule choko wewe

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 หลายเดือนก่อน

      Yanga hana mamlaka ya kumuuza Aziz k.Aziz ki yuko hurt hana mkataba na timu yoyote.

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana wajina

  • @allytv1714
    @allytv1714 หลายเดือนก่อน +6

    Huyo ni aziz funguo utoo wanamganda na awana pesa ya wanataka aishi kama family ndo maana mayele alisepa alikataa mfumo wa ww family

    • @reonardchatanda6371
      @reonardchatanda6371 หลายเดือนก่อน

      Poleni sana

    • @Munyama675
      @Munyama675 หลายเดือนก่อน

      Yaan Aziz aache Yanga aende SIMBA?

    • @allytv1714
      @allytv1714 หลายเดือนก่อน

      @@Munyama675 mpira ni biashara kama timu inamwaga pesa zaidi ya yanga anaenda siyo kwao pale mayele alisema yy anaangalia pesa anatafuta pesa kama cristiano Ronaldo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน

      ​@@reonardchatanda6371POLE MATAKO AU 😂😂😂😂😂😂 UTOPOLO MACHOGO FC WEWE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน

      ​@@Munyama675UTOPOLO MACHOGO FC NJAA NYIE

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah5841 หลายเดือนก่อน +3

    Dah siamin

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g หลายเดือนก่อน +2

    Umeeeapa kwa Dini nakuamini

  • @LowasaSanare
    @LowasaSanare หลายเดือนก่อน +1

    Hahahahaha 😅😅😅😅 we jamaa unajuaa kuigizia umbea akii 😂😂😂 nmecheka

  • @mwitafabian9403
    @mwitafabian9403 หลายเดือนก่อน

    Jamaa mpaka kaapa, kweli Dunia ina mambo

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians หลายเดือนก่อน +1

    From #EconomicallyGrowthMusicians 😂😂😂😂😂

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 หลายเดือนก่อน

    sasaivi momo umekuwa muongo sikuwamini tena mpaka unaapa Kwa mungu

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l หลายเดือนก่อน +3

    MNYAMA MKALI

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g หลายเดือนก่อน +4

    Wewee ucitutie tamaaa

  • @phidolineprivatus9078
    @phidolineprivatus9078 หลายเดือนก่อน +3

    We msenge leo umejua kunichekesha😂

  • @shaiburajabumrope8113
    @shaiburajabumrope8113 หลายเดือนก่อน +3

    Nakukbal sana likado momo

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂ameshindwa kumbakisha chama kwa mshahara wa ml 40 utaweza kwa ki kakojoe ukalale nawewe saizi hauna za ndani wala nini

    • @user-mo6be6gz3t
      @user-mo6be6gz3t หลายเดือนก่อน +1

      Million 40 kwa umri ule kaka miaka 33 ni uongo kaka hata ww usingetoa

    • @jamesngindo4583
      @jamesngindo4583 หลายเดือนก่อน

      @@user-mo6be6gz3t Chama hajaisha mpira wangembakisha tu kwa mwaka mmoja, sasa tusubiri tumuangalie akiwa yanga tujiridhishe

  • @chidyothman5285
    @chidyothman5285 หลายเดือนก่อน

    Kula chuma ikoooo yule avc Town

  • @josafko2259
    @josafko2259 หลายเดือนก่อน +1

    Timu gan ya kutoa 3b hapa bongo😂😂😂

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 หลายเดือนก่อน +1

    Momo jau sana daah🤣🤣

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 หลายเดือนก่อน +2

    Leo momo kanichekesha sana

  • @IdrisuMabuda
    @IdrisuMabuda หลายเดือนก่อน +1

    Yess

  • @georgesheto4542
    @georgesheto4542 หลายเดือนก่อน +41

    Azizi k to simba like za kutosha apa

    • @Veni584
      @Veni584 หลายเดือนก่อน +5

      Akacheze shirikisho

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt หลายเดือนก่อน

      ​@@Veni584mjomba watu wanaangalia pesa hilo shirikisho halimpunguzii wala halimungezei kitu

    • @bone102
      @bone102 หลายเดือนก่อน

      ​​@@Veni584kama Ahly timu ya 1 Africa ilicheza shirikisho mwaka 2014 kuna kitu gan cha ajabu zaid Simba ambaye ni ya 5 Africa kucheza shirikisho wachezaji wanaangalia timu gani ina muendelezo na sio timu ndo inajifunza kwenye club bingwa mara ya 2 na hamna uhakika mtaingia group stage

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA หลายเดือนก่อน

      JE YA KWELI HAYO ?

    • @alfonceanton2273
      @alfonceanton2273 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@Veni584Kwani wakati anakuja nyuma mwiko mlikuwa mnashiriki mashindano gani?

  • @killerwizzyofficial2157
    @killerwizzyofficial2157 หลายเดือนก่อน

    Daaaaahh brother 😂😂😂😂😂

  • @georgekyando885
    @georgekyando885 หลายเดือนก่อน +1

    6:21 siku zote mkuki ni mtamu kwa ……. Na kwa ….

  • @chidoxtv.7394
    @chidoxtv.7394 หลายเดือนก่อน

    Chidox company limited karibuni

  • @chrissantkaunda9958
    @chrissantkaunda9958 หลายเดือนก่อน +2

    Daaaah aziz ki tumemkosa

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi หลายเดือนก่อน

      Kuwa na amani

  • @user-bj8hk9td9f
    @user-bj8hk9td9f หลายเดือนก่อน +1

    Ina maan wasafi muko vizr kwel munauliza ripoti imendikwa na nani timu haikua na kocha

  • @georgekyando885
    @georgekyando885 หลายเดือนก่อน +2

    Siku zote mkuki ni mtamu kwa ………… na kwa ni……..

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c หลายเดือนก่อน +1

    Mlikuwa wapi kabla eris hajàsema azizi hajasain we muongo bhana

  • @geraldchawala9506
    @geraldchawala9506 หลายเดือนก่อน

    aka kajamaa kaongo sana.😂😅😂😂😅

  • @user-yk9ll1cd9b
    @user-yk9ll1cd9b หลายเดือนก่อน +1

    Momo hivyo viwili unavyonyosha juu unatupa mashaka ya ww kuwa mmasonia

  • @answarihamza6814
    @answarihamza6814 หลายเดือนก่อน

    Za ndani zako hazijawahi kuwa za kweli shibe ndo inakufanya uongee utumbo

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 หลายเดือนก่อน

      Huyu jamaa ni mwongomwongo sana

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy หลายเดือนก่อน +1

    Msenge akikutana na shoga bora nani jamani hapo ndio radio hao wachambuzi mmoja msenge na mwingine ni shoga

    • @rogersdavis3058
      @rogersdavis3058 หลายเดือนก่อน

      Tatizo la ushabiki wa kipuuzi unatukana kisa nini

  • @sundaymsomi6284
    @sundaymsomi6284 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa hakuna taarifa ya ukweli kuweni watulivu

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m หลายเดือนก่อน +1

    Wapike keki wao si wanapika keki!!!

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg หลายเดือนก่อน +2

    Amchukue lakini mfumo ndo shida kolo. Muulize Mayele mfumo umemkataa asingizia majini.

    • @JumaSaidi-xq7ui
      @JumaSaidi-xq7ui หลายเดือนก่อน

      Mfumo wakufnya nn

    • @SurprisedFullMoon-gg9vu
      @SurprisedFullMoon-gg9vu หลายเดือนก่อน

      Mfumo wa kukutombaaa au

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 หลายเดือนก่อน

      ​@@SurprisedFullMoon-gg9vu😂😂😂umelijibu vzur hilo punga

    • @SurprisedFullMoon-gg9vu
      @SurprisedFullMoon-gg9vu หลายเดือนก่อน

      @@personpeter2221 haya ma utokwinyoo masengee kwel

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi หลายเดือนก่อน

      Mayele umemkataa mfumo wakt anaongoza kwa magoli ligi ya Misri na ana assist 5 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂be

  • @RESPECTFOOTBALL2024
    @RESPECTFOOTBALL2024 หลายเดือนก่อน +3

    HACHOMOI HUYO

  • @SobiTz
    @SobiTz หลายเดือนก่อน +4

    2:22 Hakuna ki2 kama icho et dollar laki 5,hv unajua ni shingap iyo,alaf kwa mkataba wa mwaka mmoja,Makolo tokeni Usingizini 😂😂😂 Billion na ushehe uko kwa mkataba wa mwaka mmoja 🤣

    • @athumanimtajih
      @athumanimtajih หลายเดือนก่อน +1

      Pesa kama huna ni wewe,Acha umaskin jeur

    • @allytv1714
      @allytv1714 หลายเดือนก่อน +1

      Kwako ni nyingi ila Kuna watu ela ya chaii ela ndogo sana kwao ww mtu anamiliki kampuni kubwaa unajua mtaji wake

    • @SobiTz
      @SobiTz หลายเดือนก่อน +1

      @@athumanimtajih Kwamb ww unazo 😏

    • @FrankChalula-hz6dn
      @FrankChalula-hz6dn หลายเดือนก่อน

      Sisi maskini tukiskia one billion tunapata mchecheto wakati kwa wengine ni kama million Moja ambayo Leo wewe hata kiwanja haitoshi DSM

    • @user-jh9yv1zp1l
      @user-jh9yv1zp1l หลายเดือนก่อน

      We huna ndomn unaon nyingi

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa1346 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂dah tajiri katisha…momo hadi umesimuliwa tajir kavuta ciger😂😂

  • @NNONGWA
    @NNONGWA หลายเดือนก่อน

    Kuanzia leo sintakusikilizaaa tenaaa ,Mzushiiiiii mkubwaaaaaaaaa

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton9522 หลายเดือนก่อน

    Sas jaman wenzen wanaongerea mpira ww unaweka matus

  • @GETRUDEGODWIN
    @GETRUDEGODWIN หลายเดือนก่อน +1

    Chama uyo jamani sio azizi k

  • @mcray0609
    @mcray0609 หลายเดือนก่อน

    Unajua comedy bro

  • @AlphaPetro
    @AlphaPetro 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wew

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 หลายเดือนก่อน +1

    Anatumika kukikisha propaganda ya Yanga na Ki sema hii ya tajiri lilivyovuta sigar kuwasha na kuvuta ni kali😂😂😂😂

  • @hendrixmarvel7387
    @hendrixmarvel7387 2 หลายเดือนก่อน +15

    Naombeni likes jaman😅

    • @samirshabani-yu4xu
      @samirshabani-yu4xu หลายเดือนก่อน +1

      Omba nduguzako mshamba wewe

    • @saeedmagoda9651
      @saeedmagoda9651 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣​@@samirshabani-yu4xu

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 หลายเดือนก่อน

    Vyura🐸🐸🐸wataanza kuchoma jezi muda si mrefu😂😂😂😂😂#SIMBA nguvu moja

  • @festofeisag392
    @festofeisag392 หลายเดือนก่อน

    Azizi ki😢😢😢😢😢😢

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu kama msenge kwenye media analeta story za kama amekula mirungi au mlevi .hawa ndio waharibifu wa kazi za watu .yani kafanya hapa kwa media kama mgahawa wa kahawa ndio maana kaachwa na mke wake sababu ni muongo

    • @luqmanomary3558
      @luqmanomary3558 หลายเดือนก่อน

      Usitutus wala kirungi au pombe chagua starehe yako na wew😂😂😂😂😂

    • @charlestobby6031
      @charlestobby6031 หลายเดือนก่อน

      Mwanzo mlifurahi mwisho wa stori mkanuna mtasubiri sana kudadeki😂😂

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 หลายเดือนก่อน

      Jamaa muongo maendeleo ya ki afya ya akili mwanzo ni mtu awe haongei uongo bongo linakua safi .alafu ukizingatia yuko kwenye media kaa sio mlevi ni nani huyo chizi basi au ndio media ya mdogo wake anakaa akidanganya watu .huo wakati wa kutunga naongezi sisi yanga tumeshawacha muda mwingi ata maongezi ya kurogana kitambo tumesahau kuyatamka sisi wana yanga sababu .uchawi wa mpira ni zoezi na pesa management nzuri yenye uwelidi na kuwatizama wachezaji kwa furaha .nyie simba omba omba wa babujiiiii muhindi anawahujumu simba wote wanafiki sasahv yenyewe inashangilia usajili.kweli wachezaji wao ukiwatizama sio uhakika upo .nimependa napenda mpizani awe na timu pia lakini kimaendeleo simba ni ndondo club huo ndio ukweli

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 หลายเดือนก่อน +1

    Yani kweli kuna mashabiki wanae mshabikia huyu .mimi ndio mara yangu ya kwanza kumsikiza nasitatokea tena kusikiza uongo kama huu kama anaongea na watoto wadogo

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt หลายเดือนก่อน

      😂ni kweli sio uongo sema kwakuwa wee unaonekana jeuri kataa hivyo hivyo!na sio moo aliye fanya hivyo kuna jamaa anaitwa saraha lafiki yake mwana FA

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 หลายเดือนก่อน

      @@IbniAbbas-yz3kt mimi ni yanga damu damu na mpira naujua ni biashara Aziz akienda bado nina furaha kuwa timu yangu Young African iko na muongozo wa kisasa na tunavuna mipesa na itatufanya tuzidi kuwa strong.nyie Simba sasa Mo muhindi kawaida yake pre -season mwenye timu yake anasafiri na jitimu lake anafanya market ata pesa anayowapa nyie omba omba baada ya preseason marketing aliyofanya yeye kwa biashara yake na kutumia nembo ya Simba ni yake anakua amerudisha trillion cz Mo ni bilionia .marketing yake ni ndefu sijui umenifahamu .anawahujumu hawajengei ata Simba complex nyumba za wachezaji yani muna jina kubwa tu lakini hamuna kitu munamuomba muhindi yani munatawaliwa .nyerere alishatugomboa amkeni

  • @richymello14
    @richymello14 หลายเดือนก่อน +1

    Fiston Kalala Mayele 🛫

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 หลายเดือนก่อน

    Mnapaish JMN

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 หลายเดือนก่อน +1

    Msijixime data alisema hataondoka kwa ajili ya pesa mpaka atakapomalizana na boss wake anaemheshimu sana waambie wakalilie chooni

    • @user-xm5xg1tt6d
      @user-xm5xg1tt6d หลายเดือนก่อน

      Mbona povu

    • @brownmoses9543
      @brownmoses9543 หลายเดือนก่อน

      Heshima haipo palipo na pes😅

    • @bone102
      @bone102 หลายเดือนก่อน

      Kwan Mayele alisemaje na tangazo la jezi mpya alivaa kaka wachezaji wanaangalia wap watapata pesa mzee

    • @bone102
      @bone102 หลายเดือนก่อน

      Kwan Mayele ilikuwaje na hadi jezi mpya za msimi alivaa na mkasema Mayele haondoki😂

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo หลายเดือนก่อน

    Wahindi matapeli sana

  • @jameszephania3143
    @jameszephania3143 หลายเดือนก่อน

    feisal

  • @hassanchikwaya4170
    @hassanchikwaya4170 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂 ila momo

  • @user-ye3rb9jd6z
    @user-ye3rb9jd6z หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂 Momo we muongo akavuta sigara

  • @DavidChristofa
    @DavidChristofa หลายเดือนก่อน

    Wanajitekenya alafu wanacheka😂😂😂

  • @CaryDebes
    @CaryDebes หลายเดือนก่อน

    Tripple C uyo 😅😅😅umetisha baba huna baya 😊

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน

      WANAJISIFIA UJINGA MATOPOLO MACHOGO FC WATOWE DOLA LAKI 5 MADENI MPAKA MIKUNDUNI NYIE 😂😂😂😂😂

  • @biggy_aziz255
    @biggy_aziz255 หลายเดือนก่อน +8

    Kama unatamani kumuona Aziz Ki SIMBA like hapa 👍

  • @user-lj7pu9js1d
    @user-lj7pu9js1d หลายเดือนก่อน +1

    Sikujuaga kama unaongeaga uongo leo ndio nimeamini wewe sio mkweli

  • @LovelyForestHills-eh4zs
    @LovelyForestHills-eh4zs หลายเดือนก่อน

    Jaman mnajua anaezungumziwa kiiiiiiiiiiii az

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl หลายเดือนก่อน

    Inatumika siku hizi... injinia kashafanya yake kwako!

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx หลายเดือนก่อน +1

    Huyo momoo! Jinga kweri umetisha
    Kutuchekesha umenivunja mbavu😃😃😃

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂Hivi huyu anapataga wapi habar

  • @mwemajulius5036
    @mwemajulius5036 หลายเดือนก่อน

    Nimecheka kwamba kamtikisaa

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 หลายเดือนก่อน

    MO KWA AZIZI KI DUUUH AISEEE HATARI SN NDUGU YANGU

  • @SadiFesi
    @SadiFesi หลายเดือนก่อน

    Endeleaga kudanganya watu

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng หลายเดือนก่อน

    Umenichekesha sana

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 หลายเดือนก่อน

    RICARDO MOMO🐸🐸🐸 watazimia😅😅😅#SIMBA nguvu moja

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng หลายเดือนก่อน

    Nimecheka sana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbe kashaanguka wino 😂😂😂😂 mimi msenge sana

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂wakati leo wadanganye ao makolo wenzio

  • @mamrashdon3632
    @mamrashdon3632 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 Nmechekeaaaa

  • @MalakEnock
    @MalakEnock หลายเดือนก่อน

    Mnazinguwaa huuu mwezii sasa sisikii redio yenu morogoro raha kama hii naipatia wap acheni usengee

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 หลายเดือนก่อน

    We muongo Sana Aya mbona atumuoni kwenye timu ya Simba

  • @Adrext
    @Adrext หลายเดือนก่อน

    😂😂momo bhana

  • @user-ws2ub7px4t
    @user-ws2ub7px4t หลายเดือนก่อน +1

    Uyu nimuongo

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er หลายเดือนก่อน

    Huo usijari wa kagoma wala msihangaike sio Aziz k😂😂😂😂

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 หลายเดือนก่อน

    Jamaa ongo hili😅😅😅

  • @user-ce1ps5hy4f
    @user-ce1ps5hy4f หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ndo alitwambia fei karudi yanga kapewa mshahara wa m 12 baada ya siku fei huyo azam hili waga niliongo 😂

    • @LucasMagukuru-hc9kr
      @LucasMagukuru-hc9kr หลายเดือนก่อน

      Huyo anatoa tetesi, ww znaweza kuw kwel au sio kweli, ndo mana kaxem za ndan inasemekana

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 หลายเดือนก่อน

      @@user-ce1ps5hy4f muongo sana nashangaa lenyewe linapayukwa na kigugumizi chake waka cha uongo kwanza hana sifa za kuwa mtangazaji sababu anakigugumizi kisha anabadilishwa maneno anayosema .ebwanae hapa naona kama mwenyewe napoteza mmda .jamaa zombi hajui anachosema hajui alipo hajui kama anapeleka ripoti kwa umma yani chizi tu zombi

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 หลายเดือนก่อน

      @@LucasMagukuru-hc9kr ulikua hufatilii basi Huyu ndo alianza wa kwanza kabsa kusema fei anaondoka yanga

  • @davidkabungo1192
    @davidkabungo1192 หลายเดือนก่อน

    Punguzeni huo muzic tafadhali.

  • @AbdulysuleimanShemashilu
    @AbdulysuleimanShemashilu หลายเดือนก่อน +3

    Mo tutoe unyonge mchukue Aziz ki ili wajue sisi ndo wakongwe wa bor hapa tanzania

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d หลายเดือนก่อน +1

    Mo wakomeshe hao wasenge mamae

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm หลายเดือนก่อน

      Ma Debora mbona matusi ya nn mama tuliza Nyoro hiyo

  • @jafethleonard5821
    @jafethleonard5821 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona mafumbo mengi