Aliyosema Tundu Lissu Bungeni leo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 เม.ย. 2017
- Aliyosema Tundu Lissu Bungeni leo
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
nani anataka mtoto wake aje awe msomi kama mheshimiwa lissu kama ninavotaka mimi?
Hotuba hii inaweza kua chanz Cha bwana lisu kupgwa Risas tundu lisu mungu akulinde
Huyu ND anatumikia vzr feza za watanzania
Lisu shikamooo
Hongera sana raid wetu kwa kazi zako njema
asante lissu
Ni yeye 2020
Wanao kupinga ni masikini waakili
Sitochoka kuwa nakusikiliza mh tundu lisu kipenzi cha moyo wangu
pongenzi nyingi sana kamanda kwa kuitumia elimu yako vizuri kwa kutusaidia watanzania ,
Kuna siku tutajua umuhim wa huyu jamaa siku akiwa hayupo dunian,allah akuweke lissu
bravo
tundu lisu endeleaa kuonyesha uwezo wako kaka
Hahaaahaaa lissu ntaendelea kukupenda bure
Wenye uchungu na nchi ni hawa hapa hata wangekuwa mafisadi lkn wangetupeleka tunakotakiwa kuwa coz ukweli ni kwamba tunazo rasilimali za kutosha ila hatuna uongozi bora. Shujaa Lisu utafia haki utakuwa na historia tamu duniani mungu akutangulie.
Lisu nimekuelewa
iv magu hamuon huyu jamaa kua anafaa kua wazr wa sheria na katba
uko sawa jembe
thax almight God for providing special activist people as Tundu lisu.
Lissu for the record utakumbukwa milele bungeni na hata nje ya bunge