Kwani kuzikwa na watu wengi ndio kuipata JAANNAT tuache imani mbovu ❤❤ kitu nampongeza Rais Mwinyi ni kuruhusu watu waende kazini hakuna ku stop kazi AMANI NA MSHIKAMANO NDIO NGUZO NA KAULI MBIYU YA MH MWINYI AMIN❤
Ukumbusho mzuri Sabra. Atakaeona ni porojo na hauna kazi ni yy na uono wake. Watu 200 hawawezi kuhisabu nywele kichwani na wakapatikana hata 10 ambae watakua majibu yao yanafanana. Thanks 👍
@@jumakapilima7295Kwani wazanzibari hamtudhulumu? Mtaenda Jehanamu 🔥 nyie, acheni kujitia Uislamu mkifa mjione bado watakatifu, mkisifiwa kwa wema kumbe miovu mikubwa, imejificha misikitini, siku zao za kujipa madaraka zikifika wauwaji ndio wao, watesaji ndio wao, wafungaji ndio wao, wapigaji ndio wao, misikiti na uislamu ni chaka wamejiweka, ati wakifa waende peponi, hata mwisho wa kuondoka kwao duniani mila zao tofauti na Uislamu. ....Itakuwa pepo ya firauni iyo
Nawewe ukumbuke pia mda wako hauko mbali hiiiiiivooo uwache kujishebedua shebedua kwenye mitandao. Kutwa Kucha liangukalo mjini ulisikialo popote huyooooo kwenye kiiooo.navipodozi vakila kona ukituonesha maumbile na mikono yako Kwani unafkiria hatuna hisia kuona hata hio mikono ilojaza jaza
Hhhhhh maisha bwana wanzanzibar tumechoka labda njaaa tu mtu kashakufa azikwe lakin anamiyangishwa tu nadunia nan mwenye muda uwo choka siye wanzanzibar
Huyu porojo jingi nae sasa yeye hasa ni kama Nani hats itumie dini kwa kutafuta kiki mitandaoni anajifanya anaijua sana dini mbona hafumbi mdomo wake mchafu mwanamke hatakiwi apaze sauti yake yeye anjiuza kwenye mitandaoni ili iweje
Kwani kafanya baya gani hapo, mbona watu wengi katika mitandao ya kijamii wanaposti na kucoment ila kwasababu kaposti yeye ndo imekuwa nongwa. Acheni chuki na husda
Watu wengi hatuekewu kwamba hata mtu ukimuona kwa fikra zako anaongea upuuzi tumia hata dk kidogo kumsikiliza 7 katika upuuzi ule kuna kitu utajifunza aidha ww usiwe kama yy. Naomba radhi kwa hili
Ndio kwani maziko lazima kwenda kaburini? Watu wakifikia 40 tu basi inafaa, alafu siolazima sana kwenda maziko ya mtu ambae sio jamaa yako. Ila vizuri kwenda kumshindikiza
🎉WEYE SABRA WEYE MWENYEWE MSAGAJI BISHA TUONE USIONE WATU HAWAKUJUI NA KUOATA KAZI TU UKAJIONA KIBURI UKAMUWACHA MUMMEO USIJIFANYE MTU WADINI HUNA LOLOTE😢😢😢😢😢😢.
mathalan anafanya kweli hayo mambo kwanini usimsitiri? umesahau kuwa tumeusiwa na Mtume Muhammad SAW kustiriana? tuna yetu mangapi ambayo yanataka stara? msitiri mwenzako ili nawe ustiriwe. usijibebeshe dhambi. Muislamu atakapoona kwa ndugu yake maasi basi ni wajibu kwake ayasitiri na wala asiyasambaze kwa watu, kwani hilo ni katika kusambaza machafu, na atakayefanya hivyo kwa kutaraji radhi za Mwenyezi Mungu, basi Mwenyezi Mungu Mtukufu atamlipa siku ya kiyama; kwa kumsitiri aibu zake na wala hatomfedhehesha mbele ya umati uliopo.
Dada nakukubali sana lkn hebu punguza kujianika mitandaoni wewe msomi na unauwezo mkubwa very talented ,nyota yako itangara tuu hata ukififirishwa.fanya mambo yako binafsi yatakupaisha jifiche utafutwe usijianike .ombi langu kwako lkn nisameh sana
Kwahyo Una Maanisha Serikal Ilifanya Makosa Kuweka Utaratibu Wa Kuagwa Kwa Rais Au Unamaanisha Kitu Gani..? Acha Ubaguz Wa Ukanda Na Kujinadi Kwa U-Zanzibar Wako
Kwenye Suala la kwenda Uwanjani kuaga hii sio Rahisi kwa Wazanzibar kujaa na kwenda mfano wanawake na wanaume.... sio kabisa katka mila za jamii hii... ila ni masuala ya kiitifaki... Lakini kwenye maziko msikitini watu ni wengi kupindukia... na khitma zote watu ni wengi pia.... Sabra amekusudia kuhudhuria wanawake kwenye mazishi na kuaga ..... I THINK 🤷♀️
ATA MAREHEMU ALIKUWA MTU MWEMA TENA MCHA MUNGU NYIE HIVI SASA KILICHO BAKI VYAMA VIMEKUWA KAMA DINI ATA WAISLAMU WABAARA MNAWAONA KAMA SIO WAISLAM HAMNA TOFAUTI NA WAARABU WALIVYO MBAGUA BILALI KUHUSU KUADHINI KISA MTU MWEUSI ATA QURAN ANI INAPOTEA ZANZIBAR IMABAKI VIGOMA NA TAARABU TU MJITAZAME NA UBAGUZI WENU ALLAH NI MJUZI
Wewe Wacha kujipendekeza ili upate cheo au kurudishwa kazini kila anayedhulumu Kwa pesa cheo Madaraka kuwadhulumu watu haki zao na hukuwaomba radhi uliowadhulumu haki Yao Mama unao mzigo mzito wa dhambi tubiya kabla ya mauti Yako na Wewe Kama umedhulumu watu uliopokuwa ZSSF ujuwe utakwenda kujibu mbele ya Allah Kazi kwako Bibi Wewe. Sijitiye unamjua Mungu Wakati dhuluma ulikuwa chumo lako la Kidunia
umejua nafsi yake namna anavyoiadhibu kwa toba kama nikweli alidhulumu? na kama ni kweli jee una uhakika kuwa Allah hajamsamehe kwa toba yake? na jee vipi kama hakudhulumu yeye? Hakuna dhambi isiyosamehewa muhimu utubie toba ya kweli kabla ya mauti vinginevyo tutajikuta sisi ndio tunayabeba madhambi yake kwa kumuhukumu na kumdhania vibaya na kuyasahau madhambi yetu sisi......kwakifupi fanya ibada, tafuta pesa utaondokana na hzo stress na makasiriko uliyonayo.....Allah anajua zaidi
wao wamejaa? kujaa kwao kunasaidia nini? na kama wasingelienda asingalizikwa? watu kwa kuleta mambo yasiyo na faida! ilimradi wazushe fitna tu! na ubaguzi
Ni Leo hii nilikua namfahamisha Mwanamtandaoni mwenzangu kua; MAMBO YA WAZANZIBAR USIYATOLEE Comments kama HUWAJUI WATU WA ZANZIBAR NA UTAMADUNI WAO. Linaweza kukustaajabisha JAMBO Kumbe kwao Ndio USTAARABU Wenyewe huo😂
@@AyoubAbdullrahmanAmir Moja ya USTAARABU wa Watu wa MADINA Ni Kula nyama ya KENGE! BUT Watu wa MAKKA Hawali nyama ya KENGE!! HII DUNIA KILA SEHEMU INA MAMBO YAKE, SO Usishangae Watu na MAJAMBO YAO😁
@@africaonechannel1289 Kenge ni kenge tu, na popo ni popo tu, aimaanish watu gan wanakula, mkila hivyo vyakula mjitasmin kifikla kabla ya maamuz, kwamfano huo wa Waarab kwan Arabun hakuna mijitu isio jitambua?...kwa mfno leo kule muangali Prince Suleiman anayoyafanya .
Wajinga hao wao badala ya kuangalia hatma ya mzee wao wanaangalia kazaliwa wapi wao wapo kwenye ubara na uzanzibari lakini wanasahau kuwa sisi ni waislamu sio wajinga kama wao na,mambo yao ya siasa ni wajinga sana
KWANI LAZIMA KILA JAMBO LISEMWE AU LITOLEWE UFAFANUZI, NANI ALOSEMA KWAMBA WAZANZIBAR HAWAJAJITOKEZA ? KASEMEA WAPI HAYO MANENO, HUJAYASEMA WEWE LAKINI? AFU HATA SIJAELEWA POINT ZAKO
Kwani kuzikwa na watu wengi ndio kuipata JAANNAT tuache imani mbovu ❤❤ kitu nampongeza Rais Mwinyi ni kuruhusu watu waende kazini hakuna ku stop kazi AMANI NA MSHIKAMANO NDIO NGUZO NA KAULI MBIYU YA MH MWINYI AMIN❤
Ukumbusho mzuri Sabra. Atakaeona ni porojo na hauna kazi ni yy na uono wake. Watu 200 hawawezi kuhisabu nywele kichwani na wakapatikana hata 10 ambae watakua majibu yao yanafanana.
Thanks 👍
Mm sijaona kituu kibaya hapo alicho sema yaani nakupenda bi sabras mungu akuekee
Barakallahfik, kwa ukumbusho
Hongera kwa kuitaja na kuitukuza kaskazini. Nimefarijika pale uliposema huku kwetu kaskazini.
Na mm kanifurahisha kwa kweli mkaskzn mwenzangu mkataa kwao mtumwa
@@mwanaishanadi5828Bila shaka mkataa kwao ni mtumwa tu.
Wakaskazn tupo
Tupo wengi😂
Asnt sana dada. Kwa ukumbusho. Mzuri hataka kama ni nani utarud kwa mola wako na utaulizwa uliyaishije maisha yko na familia yko uliwaamrisha nini
Wambie warudiahe kiti cha zanzibar tu na kuwacha kudhulumu wazanzibar halaf wabadilike roho zao mbaya na chuki hapo.ndio tutakuwa nawao
Mmmh
Akili huna wewe
@@jumakapilima7295Kwani wazanzibari hamtudhulumu? Mtaenda Jehanamu 🔥 nyie, acheni kujitia Uislamu mkifa mjione bado watakatifu, mkisifiwa kwa wema kumbe miovu mikubwa, imejificha misikitini, siku zao za kujipa madaraka zikifika wauwaji ndio wao, watesaji ndio wao, wafungaji ndio wao, wapigaji ndio wao, misikiti na uislamu ni chaka wamejiweka, ati wakifa waende peponi, hata mwisho wa kuondoka kwao duniani mila zao tofauti na Uislamu. ....Itakuwa pepo ya firauni iyo
Maneno mengi akija maskini siku 2 tu kuomba msaada unamchoka na kumuambia kila siku ww tu 😅😅😅
Unayajua hayo usengeshirikiana na madhalimu mkadhulumu haki za umma.
MAMA SABRA PUNGUZA KUTAFUTA KIKI KUWA MUTAAWDHII MTOTO WAKO MDOMO WAKO HUO DINI HAITAKI UJUAJI DINI INATAKA UJUZI NA UCHAMUNGU
Exactly!!!
Kaongea sana mashallah yani ni yakweli hakika 😢
Sabra on point 👌
Huyu Bi dada anahitajia mume la sivyo atazidi kuchanganyikiwa
😂
Exactly!!
Na mume hamuwezi kutwa atakuwa njiani naona anamnyemelea mzazi mwenziwe na alivosema vibaya
Waume zako wote wa 2 walokuowa ulikua huwapi mawaza ulikua unawatolea ukali tu
Mhm!!Huyo Sabra mwenyewe Mzuri nkiyama, Naomba kumposa mwanao Dada Sabra.Afwan minka
Sawa mama
Hivyo vyombo unaosha unapaka sabuni sikuoni kuvisigua osha ovyo huko achana na mambo ya watu kila kitu kukiongelea
Nawewe ukumbuke pia mda wako hauko mbali hiiiiiivooo uwache kujishebedua shebedua kwenye mitandao.
Kutwa Kucha liangukalo mjini ulisikialo popote huyooooo kwenye kiiooo.navipodozi vakila kona ukituonesha maumbile na mikono yako Kwani unafkiria hatuna hisia kuona hata hio mikono ilojaza jaza
@Sarboko, Una jambo lako! 😅😅 Dada wa watu yuko sahihi! 🤣🤣
Nataka kujiunga na darsa uko ukhti nakupenda sana
Hhhhhh maisha bwana wanzanzibar tumechoka labda njaaa tu mtu kashakufa azikwe lakin anamiyangishwa tu nadunia nan mwenye muda uwo choka siye wanzanzibar
Sio mzanzibar kwa kila mwislam yeyete akifa azikwe usivuke mipaka
kiki hazna maana na jina lko na vitendo vyako tofaut
Huyu porojo jingi nae sasa yeye hasa ni kama Nani hats itumie dini kwa kutafuta kiki mitandaoni anajifanya anaijua sana dini mbona hafumbi mdomo wake mchafu mwanamke hatakiwi apaze sauti yake yeye anjiuza kwenye mitandaoni ili iweje
Niporojo la ukumbusho kwa atakae amini❤❤❤
Ukumbusho gn mwanamke ni stara c mitandaoni
Malaya tu huyo wadonge hao siunamuona mauzinde
Kwani kafanya baya gani hapo, mbona watu wengi katika mitandao ya kijamii wanaposti na kucoment ila kwasababu kaposti yeye ndo imekuwa nongwa. Acheni chuki na husda
@@user-zk2cn7xf9g acha chuki na husda za kijinga. Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni na kusema anachotaka ilimradi havunji sheria
Duuu jamani anapoelekea huyu dada kuchanganyikiwa
Kumbe nduguu my mkaskazini mwenzanguu
MAMA SABRA IKIWA KUSEMA NI DHAHABU KUNYAMAZA NI ALMASI MAMA FUNGA MDOMO WAKO HUO
Na mwanamke haipendezi kuwa kidomo domo
Exactly
Yaan anaongea mpaka yasio muhusu khaa
Slesi hizo anoona mama noko
Watu wengi hatuekewu kwamba hata mtu ukimuona kwa fikra zako anaongea upuuzi tumia hata dk kidogo kumsikiliza 7 katika upuuzi ule kuna kitu utajifunza aidha ww usiwe kama yy. Naomba radhi kwa hili
Ndio kwani maziko lazima kwenda kaburini? Watu wakifikia 40 tu basi inafaa, alafu siolazima sana kwenda maziko ya mtu ambae sio jamaa yako. Ila vizuri kwenda kumshindikiza
🎉
Nakueka uporo
Wemwenyewe si mzanzibari
Mzanzibari ni nani hasa? 😮
@@j.c.maxima816kweli si mzanzibar ni mtu wakivule wilaya ya mkuranga mkowa wapwani mzazibari ninani utajuwa ww wakuja
Taratibu gn huja unalojua hio ndo dini inavyosema ama tuna utaratibu wetu
Mimi nakupenda sana wewe dada unamume wwe
Dada anaongea huyu
Anaona sifa anapenda kujifakharisha
Upuuzi tu hakuna unachoongea mmejaa ubaguzi tu ondoka apa
Hapo ubaguzi umetokea wapi kama huna la kucomment pita kushoto
🎉WEYE SABRA WEYE MWENYEWE MSAGAJI BISHA TUONE USIONE WATU HAWAKUJUI NA KUOATA KAZI TU UKAJIONA KIBURI UKAMUWACHA MUMMEO USIJIFANYE MTU WADINI HUNA LOLOTE😢😢😢😢😢😢.
mathalan anafanya kweli hayo mambo kwanini usimsitiri? umesahau kuwa tumeusiwa na Mtume Muhammad SAW kustiriana? tuna yetu mangapi ambayo yanataka stara? msitiri mwenzako ili nawe ustiriwe. usijibebeshe dhambi.
Muislamu atakapoona kwa ndugu yake maasi basi ni wajibu kwake ayasitiri na wala asiyasambaze kwa watu, kwani hilo ni katika kusambaza machafu, na atakayefanya hivyo kwa kutaraji radhi za Mwenyezi Mungu, basi Mwenyezi Mungu Mtukufu atamlipa siku ya kiyama; kwa kumsitiri aibu zake na wala hatomfedhehesha mbele ya umati uliopo.
Mm naona wwe hunachakuongea msiba ushapta muhimu dua kuzungumzwa hta mtume wamungu anazungumzwa chamsingi tumechoka upuuzi wko sabra
Anataka mwinyi amridishe
Dada nakukubali sana lkn hebu punguza kujianika mitandaoni wewe msomi na unauwezo mkubwa very talented ,nyota yako itangara tuu hata ukififirishwa.fanya mambo yako binafsi yatakupaisha jifiche utafutwe usijianike .ombi langu kwako lkn nisameh sana
Hem usituletee mambo ya kizamani hapa, kama huwezi mtandao.jifiche wewe, na wewe jianike basi kama rahisi ?
@@saidmohamed4619 unakataa nasaha
Hivi hao wazanzibari ni kina nani na makabia yao ni yapi.
Duuu!! Madam upo kumbeee
Una jambo lako
Kwahyo Una Maanisha Serikal Ilifanya Makosa Kuweka Utaratibu Wa Kuagwa Kwa Rais Au Unamaanisha Kitu Gani..? Acha Ubaguz Wa Ukanda Na Kujinadi Kwa U-Zanzibar Wako
Watu wote waliokaa kimya unadhani hawayajui haya au wao hawajayackia hayo? Ww n meananmke hii c hesima y mwananmke acha wanaume waongee
Kwenye Suala la kwenda Uwanjani kuaga hii sio Rahisi kwa Wazanzibar kujaa na kwenda mfano wanawake na wanaume.... sio kabisa katka mila za jamii hii... ila ni masuala ya kiitifaki... Lakini kwenye maziko msikitini watu ni wengi kupindukia... na khitma zote watu ni wengi pia.... Sabra amekusudia kuhudhuria wanawake kwenye mazishi na kuaga ..... I THINK 🤷♀️
Yeye anawajibu watu waliosema hakukuwa na uitikio . Kwenye mitandao ndo mada ilivyokuwa ati Wazanzibari hawakutokea . Ndo yeye akajibu
Sabra uko.vizui umetuhsia.vzri
Sema ww mm sisemi kitu😮
Mbona watu walikuwa wengi tu? Mna mila la kizanzibar au mila za kiislam?
Huyu dada domo kaya..kila kitu linajua kupanu domo lake tu...na tumbo lake ka msechu
We ushaiba pesa hataaa, sasa ivi ndio Mungu kawa kipaumbele?. kwa sababu umepigwa na chini?. Wakati unafanya kufru na kibri cha pesa mungu Hakuwapo?.
Wewe kwani ndio unaepokea toba mpaka ujadili makosa yake ya nyuma?! Na unatamani afanyeje?!
@@noorbazaar9063tooba haikubaliki kwanza arejeshe mpunga walioiba
ATA MAREHEMU ALIKUWA MTU MWEMA TENA MCHA MUNGU NYIE HIVI SASA KILICHO BAKI VYAMA VIMEKUWA KAMA DINI ATA WAISLAMU WABAARA MNAWAONA KAMA SIO WAISLAM HAMNA TOFAUTI NA WAARABU WALIVYO MBAGUA BILALI KUHUSU KUADHINI KISA MTU MWEUSI ATA QURAN ANI INAPOTEA ZANZIBAR IMABAKI VIGOMA NA TAARABU TU MJITAZAME NA UBAGUZI WENU ALLAH NI MJUZI
Sio sida zetu zile eleweni hivyo Watanganyika
Eti huyu ndo msomi lkn mambo yke ya kitoto 😅
Wewe Wacha kujipendekeza ili upate cheo au kurudishwa kazini kila anayedhulumu Kwa pesa cheo Madaraka kuwadhulumu watu haki zao na hukuwaomba radhi uliowadhulumu haki Yao Mama unao mzigo mzito wa dhambi tubiya kabla ya mauti Yako na Wewe Kama umedhulumu watu uliopokuwa ZSSF ujuwe utakwenda kujibu mbele ya Allah Kazi kwako Bibi Wewe. Sijitiye unamjua Mungu Wakati dhuluma ulikuwa chumo lako la Kidunia
umejua nafsi yake namna anavyoiadhibu kwa toba kama nikweli alidhulumu? na kama ni kweli jee una uhakika kuwa Allah hajamsamehe kwa toba yake? na jee vipi kama hakudhulumu yeye? Hakuna dhambi isiyosamehewa muhimu utubie toba ya kweli kabla ya mauti vinginevyo tutajikuta sisi ndio tunayabeba madhambi yake kwa kumuhukumu na kumdhania vibaya na kuyasahau madhambi yetu sisi......kwakifupi fanya ibada, tafuta pesa utaondokana na hzo stress na makasiriko uliyonayo.....Allah anajua zaidi
Ahlan wasahlan
Mbona mm sijasikia mtu kusemaivo ndokwanza wewe wasema mmmmh mama punguza kidog
Huyu nae mbona mdomo mwingi
Wakaskazini tujuane
Shida nn Kwan wamejaa hawakujaa si kazikwa tayar
Anatafuta umarufu tu kwani pilipili usoila inakuwashia nini ametoa mchango gani mpaka aongee yasomuhusu kutafuta kiki tu ili iweje?
Ana haki ya kusema na kujadili, wewe inakuuma nini?
Ana haki ya kusema na kujadili, wewe inakuuma nini?
Tatizo huyu anajifanya mjuaji sana hilo ndo tatizo
@@asyamgeni9819 hapana ni chuki tu, mbona wanaojifanya kujua wapo wengi na katika mitandao ya kijamii watu wanaposti na kucoment
WAAMBIE NA HAO VIONGOZI, WANAHIYARI KUTOA ROHO ZA WATU ILI WATAWALE. WAKATI KABURINI HAWAPENDI NA VYEO!
Huyu achukuliwe hatua za kisheria haraka sana ni fitna
wao wamejaa? kujaa kwao kunasaidia nini? na kama wasingelienda asingalizikwa? watu kwa kuleta mambo yasiyo na faida! ilimradi wazushe fitna tu! na ubaguzi
Watu wapuuzi kama huyu sabra lazima wafundishwe kama watakuwa hawaelewi walazimishwe kufunga midomo yao
Huyo kachanganyikiwa
Ni Leo hii nilikua namfahamisha Mwanamtandaoni mwenzangu kua; MAMBO YA WAZANZIBAR USIYATOLEE Comments kama HUWAJUI WATU WA ZANZIBAR NA UTAMADUNI WAO. Linaweza kukustaajabisha JAMBO Kumbe kwao Ndio USTAARABU Wenyewe huo😂
Kama vile kula popo pia ni ustaarab?😂😂
@@AyoubAbdullrahmanAmir
Moja ya USTAARABU wa Watu wa MADINA Ni Kula nyama ya KENGE!
BUT Watu wa MAKKA Hawali nyama ya KENGE!!
HII DUNIA KILA SEHEMU INA MAMBO YAKE, SO Usishangae Watu na MAJAMBO YAO😁
@@africaonechannel1289 Kenge ni kenge tu, na popo ni popo tu, aimaanish watu gan wanakula, mkila hivyo vyakula mjitasmin kifikla kabla ya maamuz, kwamfano huo wa Waarab kwan Arabun hakuna mijitu isio jitambua?...kwa mfno leo kule muangali Prince Suleiman anayoyafanya .
Wajinga hao wao badala ya kuangalia hatma ya mzee wao wanaangalia kazaliwa wapi wao wapo kwenye ubara na uzanzibari lakini wanasahau kuwa sisi ni waislamu sio wajinga kama wao na,mambo yao ya siasa ni wajinga sana
Siku ya kuzikwa Mwinyi ni siku ambayo Zanzibar kulikua na misiba mingi sana so kwa asiejua atajua hivo lakin watu wengi wame enda misiban siku hio
Huyu ni fitna mkubwa
KWANI LAZIMA KILA JAMBO LISEMWE AU LITOLEWE UFAFANUZI, NANI ALOSEMA KWAMBA WAZANZIBAR HAWAJAJITOKEZA ? KASEMEA WAPI HAYO MANENO, HUJAYASEMA WEWE LAKINI? AFU HATA SIJAELEWA POINT ZAKO
Yeye ndo anoyasema