Daaa nimejifunza sana kwenye hili somo pastor acha niende na haya mafundisho na naomba mungu mwaka ujao mungu akinipa neema ya uzima na akifungua tumbo langu ntakuja kutoa ushaur
Pastor bhana kiukweli kalama yako inaniinuaga sana kiroho! "Mungu akuzishie siku za kuishi kwako uendelee kuziimarisha roho zetu" Nimefurahi zaid hapo uliposema changamoto za kiro wakristo wengi za kiroho wanazitatua kimwili na za kimwili wanapambana kuzitatua kiroho😅😅😅
Karibu Kenya mtumishi twakupenda sana
The message is toughing
Mungu akupe maisha marefu duniani baba,ilitupate mafudisho ❤
Mungu anipe kibali baba nikuone live.
Praise GOD pastor, nakufuatilia kutoka Saudi Arabia, ningepatana na hili mapema.
Amen amen amen 🙏
Powerful teaching 💪💪🙏🙏🙏may God give me wisdom 😢😢🙏
Amina mtumishi ubarikiwe
Amen mwalim navuka kila changamoto kwa jina la Yesu
Daaa nimejifunza sana kwenye hili somo pastor acha niende na haya mafundisho na naomba mungu mwaka ujao mungu akinipa neema ya uzima na akifungua tumbo langu ntakuja kutoa ushaur
Amina mchungaji nakuelewa sana
You sharpen me so much sir, I letsen to you every morning in my bathroom...as I dress for work! My life has never be the same
Wew sio mwalimu ni mwalimu mkuu
Amen 🙏 mtumishi
Mchungaji anae ubiri adi unaelewa ni huyu mungu akubariki🙏🙏
Amina mtumishi wa mungu,nimebarikiwa kupitia mafundisho haya,nilikuwa sijui la kufanya,ninapopata changamoto,nimetaabika sana,
mungu hana upendeleo
Nimebarikiwa sana na haya maubiri naitaji kuongea na mchungaji naitaji naitaji mwongozo wakubadilisha maisha yangu
Mungu akubariki sana Pastor kwa mafundisho haya yenye kutuponya
Nakupenda Mtumishi ulivyo na Neema ya Mungu ndani yako
Hakika mungu unaweza mchungaji nabarikiwa na uduma yako
Amen 🙌 hallelujah barikiwa sana Barikiwa pastor 🙏🙏❤️
MUCHUNGANJI naomba ukue mzazi wangu angarau nitoke kwenye nimeshikiliwa.
Umenibariki mtumishi. Mungu akutunze uwafungue na wengine. Barikiwa baba
Glory to God ,I am listerning from Tz
As antekwama fundisho
Amen Amen Amen
Tune from Kenya,nabarikiwa sana man of mungu
BARIKIWA SANA mtumishi umeniinua Sana Nina furaha
Nimebarikiwa sana mtumishi asante kwa mafundisho
Asante mwalimu mafundisho Yako kweli hayakeri yananijenga
mungu badilisha mtazamo wangu, uwe wa ushindi
Powerful teaching...my life is upgraded
Mungu akuinuwe sanaa mtu wa Mungu
Amen barikiwa sana mchungaji
Asante mtumishi umenifungua kweli
Amen
Mt Amina kwa mafundisho.mazury
Barikiwa Sana mtumishi
Mtumishi umenijenga mengi mungu akubariki Niko dar es salaam
Nimepata ushindi kupitia mafundisho ya mtumishi wa Mungu
, Mungu aendelee kukutunza
Barikiwa Sana mchungaji
Naam pure teacher
Stay blessed
Amina
Baba mungu akubaliki sana❤😊
Nabarikiwa mno kutoka Tanzania.
Hakika nimemjua mungu kupita huyu pastor
Nimebarikiwa. Asante
Ooooooooh halleluyaaaaaah!!! Amen
🙏👍🙏🙏🙏👍
Asate mtumishi wa MUNGU ni mimi MUNGU ana ongea namimi nita itumiya hiyo neno 1 naitaji simu zako
Amina barikiwa
Nashukuru sana umenifungua
Barikiwa sana
AMA KWELI!!!!!!!
Watumishi kama hawa niwachache.nabarikiwa sanaaa
I understand my brother
Amen Amen kwa neno
Ubarikiwe sana
Sijui nihamie Tz
Jitahidi tu kusikiliza usihame mpendwa
MWENYEZ MUNGU AKUBARIKI UMENIFANYA NIPATE NGUVU KTK UTAFUTAJI WANGU
😊😊
Mtumishi mafudisho yako nimeyaelewa sana na yamenifugua
MUNGU AZIDI KUKULINDA PASTOR GEORGE!
MAANA TUNAPATA YALE TUNAYOSTAHILI KUYAPOKEA KUTOKA KWA MUNGU KUPITIA WEWE!
Kweli baba unamafundisho mazuri mno.kwa hakika tukifanyiia kazi mfindisho haya kwa hakika tutafik mbali.
Nashukuru.saana.umeninasua.katika.ujinga
Mimi.ni.mama.mukongo.muji.mukuu.wa.Goma.
Natama.kujua.Adres.yako.ao.namba.yako.kusudi.tukualike.kwa.makanisa.zetu.
Umeniponya Mwalimu..napitia changamoto ya ugonjwa toka mwezi wa saba na nimeokoka.
Umenitia guvu barikiwa Sana mchunganji❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu akubariki sana mtumishi yaan Kila nikiweka bando lazima nifuatilie mafundisho Yako natamani Mungu anifikishe hapo alipokufikisha
mwalimu ubarikiwe Sana kwa mafundisho hayo.
Ubarikiwe mch G.
Mtumishi Mungu akuinue zaidi na zaidi,nimekuwa nikikufatalia zaidi ya wiki 2 sasa.hakika roho wa Mungu iko ndani yako
Amen
Ni kweli pastor
Pastor bhana kiukweli kalama yako inaniinuaga sana kiroho!
"Mungu akuzishie siku za kuishi kwako uendelee kuziimarisha roho zetu"
Nimefurahi zaid hapo uliposema changamoto za kiro wakristo wengi za kiroho wanazitatua kimwili na za kimwili wanapambana kuzitatua kiroho😅😅😅
Amen.
Ahasante baba
Pure gospel that opens the mind
Elimu nzuri
Nimebariwa sana na mafundisho ya huyu mwalimu
Mtumishi umenifugua kweli nilikuwa na changamoto kubwa sana naoba namba ya sadaka
Mchungaji hakika mafunzo yako niya ajabu,yanajenga,yanafunza,yanabariki
Ninaomba tuombe pamoja kwa ajili ya kanisa Kuna jambo la upinzani kuchafua huduma.tuombe.
Mtumishi naomba uweke No. Sim niwezekuongea na wewe
Naomba namba pastor G
Napenda mahubiri yako sana mchingaji ñabarikiwa sana
I need number of this pasta
Somo kubwa mno
Waumini mnafaidi sana akili za mchungaji George
Uyu ndo mchungaji ambae ataji magari bila mpango Kama matapeli wengine
Huyu mimi ningekuwa mwanza, nimemuelewa sana wamepata bahati kubwa.
Pastor asante kwa kunipa nguvu mpyaa tunakupenda tukiwa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇹🇿💙💙
Kwa kweli Wana raha
Yaan siku nikaja MWANZA lazima nimuone tu huyu mtumiehi amenibadilisha sana
ASANTE KWA SOMO ZURI
Amen amen amen 🙏
Amen
Amina
Amina