Rugemalira: sijawahi nyoa nywele, mke wake amshukuru Rais, Paroko aishangaa imani yake
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- Siku tatu baada ya kuachiwa huru mfanyabiashara James Rugemalira, leo Septemba 19 ameungana na waumini wenzake wa parokia ya Makongo Juu kushiriki misa takatifu ya jumapili.
Mama mstaarabu sana amemshukuru Raisi Samiya . Mungu ndio mwenyewe na dua za waumini wako wamesaidia.
Ukweli anaujua yeye mwenyewe tusishuhudie uongo na mungu atamlipa mwenye haki
Mungu mkubwa, tunamtakia heri yake na familia, Asante kwa uvumilivu Benedicta.
Tunawaombea
Kanisa haliwezi kuwa na majibu Bali Mungu ndiye anayejua
Jamani hongereni sana Benedictor na mume wako Rugemalila pamoja na watoto MMungu azidi kuwapigania hapa Duniani mpaka ahera Ameen
Ashukuriwe Mungu, Marais wa ccm ni wajanja sana yani, huyu anatekenya akija huyu anacheka
Ni Mungu mwenyewe ameingilia kati ( God intervention ) namaanisha when Jesus say Yes no one can say NO! Kwa imani ya huyu mzee naona ni Mungu tu amefungua gereza na si vinginevyo. Namwinua Mungu kwa ajili yake na si vinginevyo
Yaani huyu mzee alikuwa anagawa mabilioni ya pesa, tena kwa viongozi wa serikali, halafu anashuhudiwa kuwa ni mtu mwema sana, na serikali inamuonea tu. Bwana Rugemalila mungu anakuona, na hizo sala zako. Hata hao akina bily gates hatujasikia wakigawa pesa kwa viongozi wa serikali huko kwao. Ukweli unaujua mwenyewe, bora ukae kimya.
Mungu ndio anajua kama hukuwa na haki au
Mungu ni mwema
Unamshukuru rais kwa kipi majiz nyinyi
Mawazo yako si mawazo ya Mungu acha kazi ya Mungu iendelee
Mtukaiba leo makanisa sanamsafisha, hau Ni wachungaji njaa.
Kumbe alitolewa na Rais. Rais ni nani juu ya mahakama. Katiba mpya ni hitaji la msingi
Offcorse yes.
Mahakama iko juu ya Rais wetu wa Tanzania?Jaji Mkuu wa Tz anateuliwa na nani?Nani anasamehee wafungwa kwa mujibu wa Katiba yetu ya Tz kama sio Rais wa nchi yetu?Kabla ya kuandika vitu,kwanza fikiria vizuri!
Kunyowa nywele gani hizo
Ukweli🙄🙄
Namkubali xna huyu mzee
Matesoyake yamemuua jpm namateso ya mbowe yamuuaa mwingine
Amina
Mungu ndiye ajuae yote hata yale tusiyoyaona kwa macho yetu ya nyama ,Duniani mna dhiki nyingi
Ishu ilikuwa kugawa pesa na hivyo pesa alikuwa na kiwanda cha kuzalisha pesa
Basi hukuwa jela, kanuni ya jela ni kunyoa nywele kabla ya kuonyeshwa chimbo.... IPTL inafufuka soon
hakua jela alikua mabusu angehukumiwa na kua mfungwa angenyolewa
Hakuhukumilwa alikuwa mahabusu. Hanyolewi mahabusu mpaka akiwa mfungwa
hakuwa mfungwa alikuwa mahabusu
Ana sitahili sifa Ana Msimamo hayumbiswi kabisa Hakuna Mwenye Maisha ya kudumu Duniani Walio Muonea Wame tangulia Mbele ya Hukumu ya kweli
Umejuaje Kama alionewa?,Mimi nawewe hatujui Ila kunasiku Siri zote za wanadamu zitafunuliwa
Majizi nao wanashukuru kumbe
Acha ujinga wewe mnamakamataje mtu bila ushahidi manakaa nae miaka minne eti manafanya uchunguzi ni uzandiki mkubwa Mungu atazidi kuwalaani
Kusema huyu ni Mwizi haitoshi
Mpaka uwe na Ushahidi utakaoithibitishia mahakama kuwa
Fulani Mwizi
Acha ushamba ww kama angekuwa mwizi mbona hakufungwa jela??
Amina
Amina
Amina