ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI NACHINGWEA NA MASASI .

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli tarehe 16 Oktoba, 2019 anaendelea na ziara yake Nachingwea na Masasi

ความคิดเห็น • 7

  • @kefaobwangaofficial2522
    @kefaobwangaofficial2522 4 ปีที่แล้ว

    hongera bi frola thomas kwa kuwasaporti na kuongea kwa niaba ya wananchi wa ndanda

  • @name-or9ll
    @name-or9ll 4 ปีที่แล้ว

    Safii

  • @anafikawanga9979
    @anafikawanga9979 4 ปีที่แล้ว +1

    Ndanda boys secondary class of 2015/017!! ❤️❤️

  • @muganyizikamafa3555
    @muganyizikamafa3555 4 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kukubaliki rais wangu. 🙏

  • @natepam4486
    @natepam4486 4 ปีที่แล้ว

    Kweli gharama kwny hiyo hosp ni kubwa mno, hawajali mtoto wala mzee wala nani

  • @geminiflorian6237
    @geminiflorian6237 4 ปีที่แล้ว

    Inatakiwa wakurugenzi wapewe kitabu cha mwongozo cha kuonyesha majukumu yao na nini wafanye na ingefaa kutatua kero kwa wakati , pia wangekua na vikao vya kukutana pamoja na wakurugenzi waliofanikiwa kutatua kero na kufundishana na kushirikishana uzoefu , pia viongozi wanaochaguliwa na Rais wetu wanatakiwa wawe wepesi wa kutoa maamuzi ya moja kwa moja , sio kusubiria ngazi za juu kutatua wafanye kwendana na uwezo wao . na kila mwezi waandike kero zilizotatuliwa na zinazoendelea kutatuliwa na zijulikane na wakuu wa mkoa husika ili wasaidiane kuzitatua kwa mawazo yao na ku integrate wizara husika kwa kugawana majukumu ikiwamo na muda unaopangwa kukamilisha utatuzi wa kero husika ,

  • @damascongongi1609
    @damascongongi1609 4 ปีที่แล้ว

    Hospitali na shule zote zenye ubia na serikali zina gharama kubwa sana