Serikari waache usanii hapo jangwani sio pa kuleta mzaa ooo mala itajengwa flay over toka fire hadi magomeni iko wapi kila siku mnakuja na maneno kibao vitendo hamna
Jiji ka Dar limeshinddikana.Viongozi wanaoletwa hapa ni wale walioshindikana,hawana ubunifu wa kuliongoza jiji wamejikita kwenye siasa za kujihami na upinzani.
Raisi wetu mpendwa tunakuomba jangwani upaone kwa jicho la upendo coz maji kujaa dar wakati wa mvua chanzo ni jangwani tunaelekea Kaunda Afcon tutaaibika kama hamtak kupajenga jangwani ushaur wangu huo
Hizi ofisi za mabasi hawajahamisha! kwani kuna mwaka maji yalijaa na kusababisha mabasi kuharibika mabasi 29 kwa sababu ya maji. Hivi hawa viongozi mbona wanakuwa na akili za 🐐.
Nimekuwa wa kwanza leo wadau like zangu...
Mvua zimeamua sasa
Poleni sana
Serikari waache usanii hapo jangwani sio pa kuleta mzaa ooo mala itajengwa flay over toka fire hadi magomeni iko wapi kila siku mnakuja na maneno kibao vitendo hamna
Bado hamjasema na mtasema Yani hapo bado 🙏🙏😂😂😂😂😂
Kuna mafala mvua zilivokawia wakasema TMA waongo yan nchi ina watu wa hovyo sana, wanatamani mabalaa yatokee tu, Shine kabisa
😊😊😊😊😊
Allah tuepushe na mvua zenye madhara
VIP jamani jengo la yanga
Mungutusaidie
Si walisema wamejiandaa na mvua za elnino na mavijiko tukayaona au ilikua kiki😓😓
QATAR pia mvua kubwa huo upepo sas Mungu atusaidie na hizi mvua za Majanga
Jiji ka Dar limeshinddikana.Viongozi wanaoletwa hapa ni wale walioshindikana,hawana ubunifu wa kuliongoza jiji wamejikita kwenye siasa za kujihami na upinzani.
Bado hatujasema mpaka tusemeeeee
Mungu wangu wanusulu waja wako na mvua izi
Kaz imeanza yote ni ya Mungu msikasrke Kwan yeye ndie mjuaj wa yote na ndie muweza wa yote
Kwnn wasizbuee mitaloo iyooo jmn
Dar iliplaniwa vibaya tu, haitakiwi jiji kubwa kama hili kuwa na Barbara bubwa moja tu ya kuingia city centre(Morogoro rd) alafu sio hata expressway.
Ukiona wanazibua ujue wanajiwekea mazingira ya kupiga hela tu Ndo viongozi wakisiasa tz
Watu wa dar kutupa taka kwenye mifereji, ni ufala kabisa, ifikie mahali sheria zitumike kama rwanda
Raisi wetu mpendwa tunakuomba jangwani upaone kwa jicho la upendo coz maji kujaa dar wakati wa mvua chanzo ni jangwani tunaelekea Kaunda Afcon tutaaibika kama hamtak kupajenga jangwani ushaur wangu huo
Yan hapo sio kuzibua mitaro dawa ya jangwani ni kupajenga tu
Mvua ya simba hiyo 😂😂
Iv serikali miaka yote wanasumbuka na jangwani tu hawana mpango mpya?
Unafikiri kila mtu anausubutu
Poren sana😂😂
Hizi ofisi za mabasi hawajahamisha! kwani kuna mwaka maji yalijaa na kusababisha mabasi kuharibika mabasi 29 kwa sababu ya maji. Hivi hawa viongozi mbona wanakuwa na akili za 🐐.
Hivi serikali hawakuona umuhimu wa klleupiga Magomeni mpaka faya kuwe levo
Subhanalla
Mvua ya Simba hiyo