Nachukia sana mimi mnapoendekeza magwanda kwenye maisha ya watu, unasikia kuna ajali/maafa, unaenda kuvaa gwanda la kijani kwanza ndiyo uende maafani ukaseme mama anasema hivi,;
Kwani Tanzania haina jeshi?Haina Jeshi la wanamaji wa kusaidia jamii?Kwani jeshi la Tanzania lina wajibu gani kama haliwezi kusaidia walipa kodi?Uzembe wa CCM.
Majanga mengine unajua ni ya kujitakia. Anaona mvua zimenyesha maji yanakasi kuliko kawaida bado unapita tena hapo hapo kwani nilazima kuisogelea hatari siangetulia tu kwanza hatari ipungue ndiyo apita inamaana yeye hakujiuliza ikitokea mtumbwi umepinduka tunajiokoa vipi. Rsk Management
Hawa viongozi wa ccm hawana hata aibu ya kujieleza katika hilo tukio walilolishudia hapo yote hayo ni utawala usiojali utu wa watu wake inasikitisha sana. Ila hakuna marefu yasio na ncha. Wacha wafurahie maisha kula kunywa na kusaza kwa kodi za wavuja jasho ipo siku mungu atahukumu
Jamani tunapoa majanga kwa wezetu tusimame kwenye maombi mimi na wewe maa hatujui kesho yetu mungu tusamehe na ulisamehe taifa letu akili zetu zimefungamana ni wewe wajua tuendako amina
Ninyi wajinga sana ,mnashindwa kuokoa watu mnabaki kupga picha tu,et unatuambia umepita kkuangalia tukio,huu ni upumbavu ,unaangalia tukio la kuona watu wanakufa bila kuwaokoa?
Hi I jeshi la zimamoto kazi yake nini?? Na hata jkt jwt hizi ni Nyenzo za kusaidia mambo kama haya Sasa mbona ni kama hakuna kujali Hali za Hawa wenzetu aathirika?
Ndomana tumefushwa na mtume wetu ukiwa na mtoto umri kuanzia miaka 7 miongoni mwa yale mambo ya ulazima ni kumfundisha kuogelea ili iwe miongoni mwa msaada wa baadae kwake mwenyewe
Nachukia sana mimi mnapoendekeza magwanda kwenye maisha ya watu, unasikia kuna ajali/maafa, unaenda kuvaa gwanda la kijani kwanza ndiyo uende maafani ukaseme mama anasema hivi,;
Mambo MENGINE ni ya kisenge, KAMA watu wazima mnatoka na kwenda kushuudia wa2 wanakufa Kuna nyie🖕
Yani we Acha tu
Yaani baada muharakishe muone mtawaokoa vipi mnapiga domo.Akk mmenichukiza.
Jaman mm maji nimuoga Sana hata kama yawe kwenye magoti sivuki
Je hakuna msaada wa kijeshi. Na Helikopter za uokoaji??
Tuwe na juhudi na maarifa katika kuokoa, nyie mnaenda kushuhudia watu wakifa,badala mwende na mbinu za kuokoa.
Fact ndg yangu inaumiza
Mambo mengine yana umiza sana
Natoa ushauri kwa serikali yetu sikivu ipeleke helkopta maeneo yale ili pakitokea shida kama hiyo itakuwa rahisi kuokoa.
Shindwe wajinga nyinyi,helicopter ipo wapi,,,serikali ,,hiyo ni muda mrefu sana wakizama ilihali mnaripoti
Kwani Tanzania haina jeshi?Haina Jeshi la wanamaji wa kusaidia jamii?Kwani jeshi la Tanzania lina wajibu gani kama haliwezi kusaidia walipa kodi?Uzembe wa CCM.
Tanzania jeshi lipo lakukupga mwananchi na kuwauwa hasa katika uchaguz hawana kazi nyengine
@@feisalomar-hr3hq😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Inaumiza sana.
Nakuomba mungu tunusuru na vua zinazo enderea
Nyie wenyewe maboya tu, ndo mjue kijifunza kuogelea! Mngrkuwa umnajua kuogelea mgeweza kwasadia! Badalala yake unasema mko mnashangaa.. mmesimamisha msafara hili mshangae!!
nyie wotee sijui niwaite aje,na masere yenu ya CCM, 🤦🤦🤦🤦😭😭😭😭
Yaani watu wote hao wameshindwa kwenda kuwaokoa?shenzi kabisa
Majanga mengine unajua ni ya kujitakia. Anaona mvua zimenyesha maji yanakasi kuliko kawaida bado unapita tena hapo hapo kwani nilazima kuisogelea hatari siangetulia tu kwanza hatari ipungue ndiyo apita inamaana yeye hakujiuliza ikitokea mtumbwi umepinduka tunajiokoa vipi. Rsk Management
Inch yangu ngumu yani wao ndio waliosababixha madhala kwann wasipeleke faiba xx
Hawa wanaongea badala kuona mbinu WA kusaidia watu
Mbona hawakutumia daraja kuvuka mto, jamani!
Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour
Serekali wako wp jaman
Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour
Serkali inatakiwaa wamke wasilale jaman heee
Innalillahi wainnailayhi rajiun
subhanallah,jamani tumrejee mola wetu kwa madhambi yetu jamani
Hawa viongozi wa ccm hawana hata aibu ya kujieleza katika hilo tukio walilolishudia hapo yote hayo ni utawala usiojali utu wa watu wake inasikitisha sana. Ila hakuna marefu yasio na ncha. Wacha wafurahie maisha kula kunywa na kusaza kwa kodi za wavuja jasho ipo siku mungu atahukumu
😭😭😭😭
Jamani tunapoa majanga kwa wezetu tusimame kwenye maombi mimi na wewe maa hatujui kesho yetu mungu tusamehe na ulisamehe taifa letu akili zetu zimefungamana ni wewe wajua tuendako amina
Ninyi wajinga sana ,mnashindwa kuokoa watu mnabaki kupga picha tu,et unatuambia umepita kkuangalia tukio,huu ni upumbavu ,unaangalia tukio la kuona watu wanakufa bila kuwaokoa?
Allahu akbar
Hi I jeshi la zimamoto kazi yake nini?? Na hata jkt jwt hizi ni Nyenzo za kusaidia mambo kama haya Sasa mbona ni kama hakuna kujali Hali za Hawa wenzetu aathirika?
Mh jamani poleni sana
😢😢😢
Kutangaza mafaa munajua na kukumbowa watu kuwatoa kwenye maji munashindwa labda mungewaokoa.
Lasaana ya huyu shetani samia itawamaliza watanganyika
Nawe pia una laana ya M/Mungu itakumaliza.
Ndomana tumefushwa na mtume wetu ukiwa na mtoto umri kuanzia miaka 7 miongoni mwa yale mambo ya ulazima ni kumfundisha kuogelea ili iwe miongoni mwa msaada wa baadae kwake mwenyewe
Ccm mnazingua mnatoa wapi muda wa kuvaa magwanda hadi kwenye matukio ya emergency
Hata hizo sura zao tu ukiwaona hutajua tu kuwa hawana akili
Poleni jamani
Maafa,rufiji
Mungu utusaidie
Mungu awafanyie wepesi ndungu zetu
Wabongo wapuuzi watu wanazama wao wanawarecodi na kupiga picha baada yakuwasaia wanawaacha wafe
Kwa hiyo wanawaangalia tuu bila msaada huo
Serikali simpeleke helkopta ikae mda wote kwaajil ya tahadhali maana ya jeshi la uokoz nini???
Hata boti hiwezo hayo maji yanakasi so jamn hiyo hatred kwa kutumia mitumbi
Allah ajaalie alete Rehma zake
Polen mungu asamehe
Jeshi la nchi hii lipo kwa ajili yakuiba kura tu pumbavu
Masikin
Subhana Allah 😢😢
Mnabaki kuongea baada yakuwaokoa mnabaki mmesbika maik
Yan nyinyi baada kutoa msaada kurecod tu
Harafu mkobize na sikukuu ya muungano
Mbwa kweli muna rikodi video baada kuwaokoa mh kweli balaa
Jamani iteni waokoxi Basi Eee Mungu wangu
Alla anasema sehem yeyote watu wake wasipo simamisha swala na ramadhani wakaiona sawa na mwez wakula mchana wasubir maradi na mamweso na mafufuriko
Acha ujinga wewe
@@EmmanuelMsangi-kb3vvhuyu jamaa mpumbavu sana kwa hiyo huko arabuni ambako ndiko kibra maafa hamna?
MNAI KAA KARIBU NA MAJI JIFUNZENI KUOGELEA .
Mwisho na daraja litavunjika😢
Sasa waswahili kusimama kando na kulia mutaacha please
Waokoeni maelezo ya nn angekua kiongozi mngekaa kimya ivo
Sasa unaripot na jezi za ccm ndo nini sasa
Subuhanallah inalillahi wainailahi rajuun
Pole kwa mafuriko🙏
Pelekeni boti acheni siasa
Poleni Sanaa ndugu zetu
SASA ISJUI NDO KUMAANISHA NINI?. YAANI KAMA WANAKWENDA KWENYE KAMPENI.😮😮😮
Mnafanyann kalibunamaj?
Life jackets ?!
Poleni sana
😢😢😢
Yani mna shuhudiya watu wanavo kwenda na maji africa shida sana
Kweli kabisa
Eemungu
Nchi iko chini ya shetaniiii iko chini ya shetaaani shetaniii anatawala nchiiiiiiii
Shetani ni wewe na ukoo wako laana kum wee.
Adui wa Allah adui wa Rasulli.
Polesana
Ee Mungu tusaidie
Daah poleni sana
Jamn si mkawaokoe dah😢
Nani anajiweza wote hao ni bure tu kama hapana watu. Hawa watu ni mavi ya kuku
Mungu atanuru kwa mvua hii