MAAFA RUFIJI WATU 6 WAPINDUKA NA MTUMBWI..LIVE ..WANNE MPAKA MUDA HUU WAJAPATIKANA......

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • #kaziiendelee

ความคิดเห็น • 89

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 5 หลายเดือนก่อน +6

    Nachukia sana mimi mnapoendekeza magwanda kwenye maisha ya watu, unasikia kuna ajali/maafa, unaenda kuvaa gwanda la kijani kwanza ndiyo uende maafani ukaseme mama anasema hivi,;

    • @RichboyIbrahim
      @RichboyIbrahim 5 หลายเดือนก่อน

      Mambo MENGINE ni ya kisenge, KAMA watu wazima mnatoka na kwenda kushuudia wa2 wanakufa Kuna nyie🖕

    • @Elizakilisipinilikolika1996
      @Elizakilisipinilikolika1996 5 หลายเดือนก่อน +1

      Yani we Acha tu

    • @fatumahapesamohamedfatumah4633
      @fatumahapesamohamedfatumah4633 5 หลายเดือนก่อน

      Yaani baada muharakishe muone mtawaokoa vipi mnapiga domo.Akk mmenichukiza.

    • @MariaIsaya-y2y
      @MariaIsaya-y2y 4 หลายเดือนก่อน

      Jaman mm maji nimuoga Sana hata kama yawe kwenye magoti sivuki

  • @JacoboMtokoma
    @JacoboMtokoma 5 หลายเดือนก่อน +4

    Je hakuna msaada wa kijeshi. Na Helikopter za uokoaji??

  • @DudddyWhyCant
    @DudddyWhyCant 5 หลายเดือนก่อน +6

    Tuwe na juhudi na maarifa katika kuokoa, nyie mnaenda kushuhudia watu wakifa,badala mwende na mbinu za kuokoa.

  • @arafatimsongo5328
    @arafatimsongo5328 5 หลายเดือนก่อน +4

    Natoa ushauri kwa serikali yetu sikivu ipeleke helkopta maeneo yale ili pakitokea shida kama hiyo itakuwa rahisi kuokoa.

  • @edwinmahonga4063
    @edwinmahonga4063 4 หลายเดือนก่อน

    Shindwe wajinga nyinyi,helicopter ipo wapi,,,serikali ,,hiyo ni muda mrefu sana wakizama ilihali mnaripoti

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 5 หลายเดือนก่อน +4

    Kwani Tanzania haina jeshi?Haina Jeshi la wanamaji wa kusaidia jamii?Kwani jeshi la Tanzania lina wajibu gani kama haliwezi kusaidia walipa kodi?Uzembe wa CCM.

    • @feisalomar-hr3hq
      @feisalomar-hr3hq 5 หลายเดือนก่อน

      Tanzania jeshi lipo lakukupga mwananchi na kuwauwa hasa katika uchaguz hawana kazi nyengine

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@feisalomar-hr3hq😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 5 หลายเดือนก่อน +4

    Inaumiza sana.

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nakuomba mungu tunusuru na vua zinazo enderea

  • @serengetiduma1090
    @serengetiduma1090 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie wenyewe maboya tu, ndo mjue kijifunza kuogelea! Mngrkuwa umnajua kuogelea mgeweza kwasadia! Badalala yake unasema mko mnashangaa.. mmesimamisha msafara hili mshangae!!

  • @onescaniaonescania8227
    @onescaniaonescania8227 5 หลายเดือนก่อน

    nyie wotee sijui niwaite aje,na masere yenu ya CCM, 🤦🤦🤦🤦😭😭😭😭

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 5 หลายเดือนก่อน

    Yaani watu wote hao wameshindwa kwenda kuwaokoa?shenzi kabisa

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace4335 5 หลายเดือนก่อน

    Majanga mengine unajua ni ya kujitakia. Anaona mvua zimenyesha maji yanakasi kuliko kawaida bado unapita tena hapo hapo kwani nilazima kuisogelea hatari siangetulia tu kwanza hatari ipungue ndiyo apita inamaana yeye hakujiuliza ikitokea mtumbwi umepinduka tunajiokoa vipi. Rsk Management

  • @SwailaMbaruku
    @SwailaMbaruku 5 หลายเดือนก่อน +1

    Inch yangu ngumu yani wao ndio waliosababixha madhala kwann wasipeleke faiba xx

  • @hillaryngeno310
    @hillaryngeno310 5 หลายเดือนก่อน

    Hawa wanaongea badala kuona mbinu WA kusaidia watu

  • @pauldatche8410
    @pauldatche8410 4 หลายเดือนก่อน

    Mbona hawakutumia daraja kuvuka mto, jamani!

  • @AleXNixt-xg2cw
    @AleXNixt-xg2cw 5 หลายเดือนก่อน

    Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 5 หลายเดือนก่อน +1

    Serekali wako wp jaman

  • @AleXNixt-xg2cw
    @AleXNixt-xg2cw 5 หลายเดือนก่อน

    Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour

  • @yusuphlazaro
    @yusuphlazaro 5 หลายเดือนก่อน +1

    Serkali inatakiwaa wamke wasilale jaman heee

  • @khadijaomar6730
    @khadijaomar6730 5 หลายเดือนก่อน

    Innalillahi wainnailayhi rajiun

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 5 หลายเดือนก่อน +1

    subhanallah,jamani tumrejee mola wetu kwa madhambi yetu jamani

  • @issapanduka7313
    @issapanduka7313 5 หลายเดือนก่อน

    Hawa viongozi wa ccm hawana hata aibu ya kujieleza katika hilo tukio walilolishudia hapo yote hayo ni utawala usiojali utu wa watu wake inasikitisha sana. Ila hakuna marefu yasio na ncha. Wacha wafurahie maisha kula kunywa na kusaza kwa kodi za wavuja jasho ipo siku mungu atahukumu

  • @SalamaAkilimali-ly3bu
    @SalamaAkilimali-ly3bu 5 หลายเดือนก่อน +1

    😭😭😭😭

  • @NeemaMateleka
    @NeemaMateleka 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani tunapoa majanga kwa wezetu tusimame kwenye maombi mimi na wewe maa hatujui kesho yetu mungu tusamehe na ulisamehe taifa letu akili zetu zimefungamana ni wewe wajua tuendako amina

  • @salehekisebengo8554
    @salehekisebengo8554 5 หลายเดือนก่อน

    Ninyi wajinga sana ,mnashindwa kuokoa watu mnabaki kupga picha tu,et unatuambia umepita kkuangalia tukio,huu ni upumbavu ,unaangalia tukio la kuona watu wanakufa bila kuwaokoa?

  • @AllyYassen
    @AllyYassen 5 หลายเดือนก่อน

    Allahu akbar

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 5 หลายเดือนก่อน

    Hi I jeshi la zimamoto kazi yake nini?? Na hata jkt jwt hizi ni Nyenzo za kusaidia mambo kama haya Sasa mbona ni kama hakuna kujali Hali za Hawa wenzetu aathirika?

  • @Mwanaidi-ih7lh
    @Mwanaidi-ih7lh 4 หลายเดือนก่อน

    Mh jamani poleni sana

  • @RukaiySultan
    @RukaiySultan 5 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢

  • @bentanabwire5692
    @bentanabwire5692 5 หลายเดือนก่อน

    Kutangaza mafaa munajua na kukumbowa watu kuwatoa kwenye maji munashindwa labda mungewaokoa.

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 5 หลายเดือนก่อน

    Lasaana ya huyu shetani samia itawamaliza watanganyika

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 5 หลายเดือนก่อน

      Nawe pia una laana ya M/Mungu itakumaliza.

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 5 หลายเดือนก่อน

    Ndomana tumefushwa na mtume wetu ukiwa na mtoto umri kuanzia miaka 7 miongoni mwa yale mambo ya ulazima ni kumfundisha kuogelea ili iwe miongoni mwa msaada wa baadae kwake mwenyewe

  • @barakajoseph2234
    @barakajoseph2234 5 หลายเดือนก่อน

    Ccm mnazingua mnatoa wapi muda wa kuvaa magwanda hadi kwenye matukio ya emergency

    • @seifseifmohamed7118
      @seifseifmohamed7118 5 หลายเดือนก่อน

      Hata hizo sura zao tu ukiwaona hutajua tu kuwa hawana akili

  • @rejinajoseph2994
    @rejinajoseph2994 5 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni jamani

  • @ZainabuTembo
    @ZainabuTembo 5 หลายเดือนก่อน

    Maafa,rufiji

  • @fridamwenda5728
    @fridamwenda5728 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu utusaidie

  • @uplovermellody9837
    @uplovermellody9837 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awafanyie wepesi ndungu zetu

  • @hajially4527
    @hajially4527 5 หลายเดือนก่อน

    Wabongo wapuuzi watu wanazama wao wanawarecodi na kupiga picha baada yakuwasaia wanawaacha wafe

  • @StarMerinyo
    @StarMerinyo 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo wanawaangalia tuu bila msaada huo

  • @boniventurehussein7276
    @boniventurehussein7276 5 หลายเดือนก่อน

    Serikali simpeleke helkopta ikae mda wote kwaajil ya tahadhali maana ya jeshi la uokoz nini???

  • @dulaomar5537
    @dulaomar5537 5 หลายเดือนก่อน

    Hata boti hiwezo hayo maji yanakasi so jamn hiyo hatred kwa kutumia mitumbi
    Allah ajaalie alete Rehma zake

  • @JosefinaMponde
    @JosefinaMponde 5 หลายเดือนก่อน +1

    Polen mungu asamehe

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 5 หลายเดือนก่อน

    Jeshi la nchi hii lipo kwa ajili yakuiba kura tu pumbavu

  • @HamzaOthaman
    @HamzaOthaman 5 หลายเดือนก่อน +1

    Masikin

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 5 หลายเดือนก่อน +1

    Subhana Allah 😢😢

  • @athmaniathmanisimba4976
    @athmaniathmanisimba4976 5 หลายเดือนก่อน

    Mnabaki kuongea baada yakuwaokoa mnabaki mmesbika maik

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 5 หลายเดือนก่อน

    Yan nyinyi baada kutoa msaada kurecod tu

  • @ZahratAhmad-o1v
    @ZahratAhmad-o1v 5 หลายเดือนก่อน

    Harafu mkobize na sikukuu ya muungano

  • @feisalomar-hr3hq
    @feisalomar-hr3hq 5 หลายเดือนก่อน

    Mbwa kweli muna rikodi video baada kuwaokoa mh kweli balaa

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv 5 หลายเดือนก่อน

    Jamani iteni waokoxi Basi Eee Mungu wangu

  • @OthmanJuma-z9q
    @OthmanJuma-z9q 5 หลายเดือนก่อน +3

    Alla anasema sehem yeyote watu wake wasipo simamisha swala na ramadhani wakaiona sawa na mwez wakula mchana wasubir maradi na mamweso na mafufuriko

    • @EmmanuelMsangi-kb3vv
      @EmmanuelMsangi-kb3vv 5 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga wewe

    • @freduallughano2301
      @freduallughano2301 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@EmmanuelMsangi-kb3vvhuyu jamaa mpumbavu sana kwa hiyo huko arabuni ambako ndiko kibra maafa hamna?

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 หลายเดือนก่อน

    MNAI KAA KARIBU NA MAJI JIFUNZENI KUOGELEA .

  • @mjunicharles1198
    @mjunicharles1198 5 หลายเดือนก่อน

    Mwisho na daraja litavunjika😢

  • @abusuheyba
    @abusuheyba 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa waswahili kusimama kando na kulia mutaacha please

  • @ShijaJotham
    @ShijaJotham 5 หลายเดือนก่อน

    Waokoeni maelezo ya nn angekua kiongozi mngekaa kimya ivo

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa unaripot na jezi za ccm ndo nini sasa

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 5 หลายเดือนก่อน

    Subuhanallah inalillahi wainailahi rajuun

  • @StonesSemwenda
    @StonesSemwenda 5 หลายเดือนก่อน

    Pole kwa mafuriko🙏

  • @Sobo740
    @Sobo740 5 หลายเดือนก่อน

    Pelekeni boti acheni siasa

  • @gwakisamwakatage4656
    @gwakisamwakatage4656 5 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni Sanaa ndugu zetu

    • @valenakomba7686
      @valenakomba7686 5 หลายเดือนก่อน

      SASA ISJUI NDO KUMAANISHA NINI?. YAANI KAMA WANAKWENDA KWENYE KAMPENI.😮😮😮

  • @AkimuWaziri
    @AkimuWaziri 5 หลายเดือนก่อน

    Mnafanyann kalibunamaj?

  • @rahimumuco8662
    @rahimumuco8662 5 หลายเดือนก่อน

    Life jackets ?!

  • @ShijaKilasa
    @ShijaKilasa 5 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana

  • @ednakawau9842
    @ednakawau9842 5 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢

  • @shimoneycashtalk9176
    @shimoneycashtalk9176 5 หลายเดือนก่อน

    Yani mna shuhudiya watu wanavo kwenda na maji africa shida sana

  • @hamadikhalfan6751
    @hamadikhalfan6751 5 หลายเดือนก่อน

    Eemungu

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 5 หลายเดือนก่อน

    Nchi iko chini ya shetaniiii iko chini ya shetaaani shetaniii anatawala nchiiiiiiii

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 5 หลายเดือนก่อน

      Shetani ni wewe na ukoo wako laana kum wee.
      Adui wa Allah adui wa Rasulli.

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis2276 5 หลายเดือนก่อน

    Polesana

  • @AgnessEustace
    @AgnessEustace 5 หลายเดือนก่อน

    Ee Mungu tusaidie

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 5 หลายเดือนก่อน

    Daah poleni sana

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 5 หลายเดือนก่อน

    Jamn si mkawaokoe dah😢

    • @seifseifmohamed7118
      @seifseifmohamed7118 5 หลายเดือนก่อน

      Nani anajiweza wote hao ni bure tu kama hapana watu. Hawa watu ni mavi ya kuku

  • @HamzaOthaman
    @HamzaOthaman 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atanuru kwa mvua hii