Hongera sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri. Ningependa kama kamanda mambo sasa angechukua maamuzi magumu ya kuichoma iyo nyumba kama Ile gari ilivyo chomwaa.
tz tupo mkn kwaulinzi wa nchi yetu lakn tunatakiwa tuongeze umakn kwasababu munasema watekaj wametumia stend ya ubungo tunaomba mtufahamishe talatibu za ubungo zipoje kabla ya gali kutoka_________________hongela kwa hatua mzr mlio fikia ahsanten
Acha picha liendee, Safi sana Makamanda wetu 🙏 Hili jamaa pumbavu sana, sisi uku tulikosa usingizi uku waarab hawatupi nafasi ya kupumzika wewe umekaa kimya tu kamanda fyekeleeni mbali hili Baba boga kabisa. 😏😏
Hongera jeshi letu la Polisi ila Mo nae alizidisha chumvi kwa kusema chumba alichofungiwa eti kilikuwa na giza nene jamani!. Tunashukuru lakini kwa kuwa salama.
Sioni cha kupongeza hapo maana Mo alirudishwa na watekaji. Kama kweli polisi mnataka niwapongeze nileteeni hapa Azory, Ben Sanane na waliompiga Lissu risasi mchana kweupe. Msitake sifa za uongo. Na mnaosifia hapa ni wanafiki na Mungu anawaona
Hongereni sana jeshi la police kwa kaz zuri Ila ninacho jiuliza nikua ile gari iliompeleka mo kule gymkhana ilipita jia ip haikujulikana wala kuonekana wakati picha ya gari mlikua nayo nyie wenyewe jaman mbona kama picha la kihid ilo
hongereni jeshi la police, msikate tamaa kwa watanzania wenye welewa mdo wanaotaka kila upelelez ukamilike leoleo, na kufananisha matukio mengine hongeren sana
Cpati picha majirani apo wangejua tu Billion ingewahusu. Xaxa Kwa kuwa Dar hatuna ujirani mwema n ngum kujua jirani yako ni mtu wa aina gani. Ila Enzi za Mwalim apo Mjumbe wa nyumba kumi angepata tabu sanaaa
Kazi tunayo kwa kweli...hii ni mbinu inaonekana ya kuichafua serikali hii kwa kigingi cha mafisadi walichokumbana nacho.....ee mungu tusaidie na tanzania yetu....
Hongereni sana Police kanda maalumu kwa kanzi nzuri bado tunaimani matukio yote ya ajabu ajabu Tanzania yatapatiwa majibu kama hili ambalo lilikuwa linachafua na kuweka wasiwasi. hongereni sana sana.Tunawaamini.
Tatizo letu wabongo mpaka leo hatujajulikana tunataka nini... Hata tukiambiwa ukweli hatuuamini na tukiambiwa uongo hatuuamini..... Tatizo ni kutafsiri kila kitu kwa mawazo ya kiwana siasa zaidi.... Na hii kuhisi kitu kabla ya ukweli au uongo ni tatizo kubwa sanasana...... watanzania ni zaidi ya wajuaji!!..................
Jeshi la police hawajue wahusika swali langu km taxi driver anawajua ni kwa nn asishirikeshe mpaka kwenye uwanja wa ndege alipo wasafirisha na km uwanja wa ndege kuna cctv si atasaedia kujulikana wenyeji wa kitendo Tanzania ikashirikiana na balonzi wao muhisika wa south Africa
Huyo jamaa sura yake inaonesha hajui chochote kuhusu Mo Kutekwa lkn kwakuwa ndo ni mwendelezo wa story ya Mfanyabiashara Mo kutekwa ilikuwa lazima story iishe hivi. Hongereni sana Jeshi la police story imeisha vizuri. Ila msisahau kutwambia bada ya raia wa south Africa kufika ubungo walielekea wapi 😂😂😂
Waandishi wa habari ulizeni habari kwa taharuma siyo kisiasa..... Unakuta maelezo ya kina yametolewa.. Then mtu anauliza ati watekaji wapo wapi?.... Walimwambia wanaenda wapi?.... Sijui wametumwa hata sielewi??!!
Dreva huyo wala siyo mhusika ni mipango tu ilyopangwa na Kamanda Mambosasa ili kuwajibu wanasiasa. mchezo wa kitoto eti wahusika wametokomea kusikojulikana siyo kweli labda wangeangalia zaidi huenda chini ya nyumba hiyo kuna Handaki. Kusikojulikana/watu wasiojulikana hiyo ni lugha ya hao wenzetu,
Anauhakika na hayo majina anayoyataja ?kama walidanganya majina? Wasouth wanatabia ya kuwa na Passport 2 tofauti,hapo kazi bado sana. Pigeni kazi Makamanda wetu.
Huyu mtu asije ongopa kuuficha ukweli aonekane yeye ni mkosaji Kwa kuwaficha watuhumiwa kwa aseme awataje barabara asiongepee Polisi Kwa maslahi yake..
Mie huyo taxis anaweza akawa hajui maana walimchukuwa wakamuacha yeye mo kwenye gari walishuka wakaingia kwenye gari yake,maana billion 1 c mchezo mie kama mie alikuwa hajui huyo taxi kinachoendelea labda
Mkuu naona kama haukujipanga vizuri, kwani hao jamaa hawakuwa na mkataba wa pango au walilipa mwezi mmoja kwa kazi maalumu. Hapo umetuwekea dalali na wenye nyumba wako wapi watuhakikishie huyo ni dalali wao au aliwapa funguo muendelee na uchunguzi. Mwezi mzima mnatafuta nyumba ya kutuendeshea halafu mnaita eti uchunguzi. Shikamoo uchunguzi
Huyu jamaa atakuwa ana akili gani kama alikuwa anapata dollar 200 per month na akijua kabisa sehem Mo alipo na familia ya Mo ilitangaza zawadi ya 1 billion sasa yeye alilipwa hiyo dollar 200 tu kwajili ya udalali au alilipwa zaidi ya 1 billion ili asije shawishika na zawadi ya familia ya Mo. We got to think!
watu kuingia kwenye hiyo nyumba sio wanapoteza ushahidi? ina maana polisi wamemaliza kuchukua info kwenye hayo mazingira? kama finger prints, na trace zozote ambazo hao waalifu wameacha, kama polisi hawakufanya kabla, itakuwa ngumu mno kupata ushahidi zaidi!
Sijapinga lakinii nshangaaa iviikwanini huyu jamaaasingesema Mo halipoo apewe ilee Minot jamanii huyu anajua kwelii au kaingizwaaa tu mim sijamuelewa yaani kawakodia nyumbaanajua mambo yotee mh kuna Mtindnganyaaa hapaaa
WABONGO BWANA SHIDA KWELI KILA MTU MPELELZI HUMU NA MAHAKIMU WAMO HUMU HUMU HATA MAWAKILI WAKO HUMU HUMU, POLIS WANATOA RIPORT YAO WENGINE WANAPINGA, KAMA MNAUJUA UKWELI NINYI KATOENI USHAHIDI BASI POLIS.
Bahati mbaya kwa dreva, yeye alikua dalali tuu na inawezekana alichofanya ni kuwachukua wateja wake bila kujua wanachofanya.Haiwezekani akawa mjinga hivyo kuzurura na gari yake akiwa na watuhumia ndani na yeye akishiriki .
Episode ya mwisho kwnye season yetu askari polisi wanafanikiwa kukamata nyumba badala ya kukamata watuhumiwa... Setelling Ni mambo sasa. End of our movie.
Mheshimiwa,bado hofu ni kwamba wenye fedha ndiyo wanahudumiwa na kuhangaikiwa sana na jeshi la polisi.Maskini wanyonge wa nchi hii bado hawawezi kuonewa wakasumbukiwa na jeshi la polisi namna mo alivyoshughulikiwa.Kama mmenuia kumaliza uhalifu basi ipeni uzito wake kila jambo bila kuangalia limempata nani.
Hivi watekaji hawakumuambia Mo nini wanataka kwake mpaka kumteka. Yaani majibu mengi ya maswali anayo Mo mwenyewe. Yeye anajua kila kitu kwa nini amefumba mdomo? Je wamemfunga mdomo asiongee? Yaani napata kigugumizi
Frankly speaking, police na wanausalama mnafanya kazi nzuri tena sana tu. Nimatumaini yangu kuwa hata wao watapatikana tu.wasiichezee nchi yetu bwana tena waiogope kabisa.
yaan hata wangemuua "MO" huyo drive tax bado ungekamatwa tu mana unamakosa makubwa sana inaonekana unaishu na watu wa nje ya nchi wengi kufanya mambo yenu ya kihalif ktk nchi. acheni tamaa jengeni umoja na amani ktk nchi yenu. nchi jiran hawatakusaidieni kitu wanawapotosha wanataka waiangamize tanzania! !!!
Uwi mayo onene gashi makoye haka kamove n bara hao waandishi wamekuctai wangekuhoji ww kamanda ucngejibu ila kwakua midomo imesha fungwa bac bana endereeni na move
mbona haya mengine mnayafatilia kwa karibu sana hao wengine akina Lisu na wanaotekwa hatupati habali zao na hasa Lisu mbona mlikaa kimya mi nadhan kuna siri ndani ya pazia
Wapo wapi watuhumiwa Kamanda?Nilifikiri mngewatia mbaroni wahusika then mkamdiplay huyu,ila pia ukakasi was watz Ni kuhusu issue za akina Lissu ambao hatujui Nani kahusika,watuhumiwa .wahojiwe na wenye nyumba inawezekana wanajua mienendo ya wahusika,huyu jamaa aswekwe ndani Hawa ndiyo wanaweza idhuru Tz kwa maufaa binafsi
wageni wanaigia nchini kienyeji uhamiaji wapo wapi? uzarendo umetoweka kwawazawa kwanini? sauti yamnyonge haisikiki kwanini? RAIA hana haki mbele yapolisi kwann? Mungu inusuru Tanzania yangu kwngu ndio nchi yaahadi niliyopewa namuumba wangu
Mbona sielewi? Hao watuhumiwa walomteka wako wapi?
inadaiwa wametoroka!
usichokielewa ni nini hapo
Yaani maelezo yote huelewi?
Akida Salim si mpaka hii ni show off tu. hakuna chochote. yaani walijiamini mpaka kutupa karibu na ikulu. wanajifurahisha tu
Hongern sanaa
Hongera sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri. Ningependa kama kamanda mambo sasa angechukua maamuzi magumu ya kuichoma iyo nyumba kama Ile gari ilivyo chomwaa.
Asante san majeshi yetu ya polisi kwa kazi nzuri mwenyez MUNGU azidi kuwapa nguvu zaidi
tz tupo mkn kwaulinzi wa nchi yetu lakn tunatakiwa tuongeze umakn kwasababu munasema watekaj wametumia stend ya ubungo tunaomba mtufahamishe talatibu za ubungo zipoje kabla ya gali kutoka_________________hongela kwa hatua mzr mlio fikia ahsanten
Hongerereni sana police kwakazi munayoifanya
Hongera serikal yetu kundelea kwakulifuatilia kiundani swala la utekaji wa ndugu yetu kipenzi MO
Vzr sana wapelelez wetu tz kwa kazi nzr hongera sana mheshimiwa Mambo sasa🙏🙏
Acha picha liendee, Safi sana Makamanda wetu 🙏
Hili jamaa pumbavu sana, sisi uku tulikosa usingizi uku waarab hawatupi nafasi ya kupumzika wewe umekaa kimya tu kamanda fyekeleeni mbali hili Baba boga kabisa. 😏😏
Nilisikia hapo mwanzo mkuu alisema hii ni mwendelezo wa Story 😁😁😁😁😁 haya gonga like twende sawa km na ww umeliona hili
safisana pongezi kwa jeshilapolice kwa kupiga kazi hongera igp hongera kamanda mambosasa hongeraa jeshizima limeleta heshima
Venati mwesasu .... I still remember you since Mwalimu Julius.K. Primary School. Sorry for the lost of your dad Mwesasu na majanga ya nyumba yetu.
Hongera jeshi letu la Polisi ila Mo nae alizidisha chumvi kwa kusema chumba alichofungiwa eti kilikuwa na giza nene jamani!. Tunashukuru lakini kwa kuwa salama.
Sioni cha kupongeza hapo maana Mo alirudishwa na watekaji. Kama kweli polisi mnataka niwapongeze nileteeni hapa Azory, Ben Sanane na waliompiga Lissu risasi mchana kweupe. Msitake sifa za uongo. Na mnaosifia hapa ni wanafiki na Mungu anawaona
Hongera sana Jeshi letu la Polisi. Big up.
Behind the scene: Episode 1
1. Dereva mbona akae kimya mpaka ameshapatikana Mo?
2. Wazungu walipotelea wapi?
Hongera kwa kazi nzuri
Hongereni sana jeshi la police kwa kaz zuri
Ila ninacho jiuliza nikua ile gari iliompeleka mo kule gymkhana ilipita jia ip haikujulikana wala kuonekana wakati picha ya gari mlikua nayo nyie wenyewe jaman mbona kama picha la kihid ilo
Hongereni sana Polisi kwa kazi nzuri
hongereni sana jeshi la polisi
Hongeleni jeshi la polisi tz kaziyenu njema tunawaamini.
Nendeni Tandahimba mkawadanganye, wa DAR ES SALAAM, hamtudanganyi.
Majina yapo White Sands Hotel,Na Picha Zao Zipo Acha Kuomgea Sana!Tuonyesheni!
Ramadhan Omar shauri Kama ukweli wa utekaji unaujua, basi unatakiwa kuisadia polisi na Kama utaendelea kutojitikeza basi utakuwa nawe 'mhusika'.
hongereni jeshi la police, msikate tamaa kwa watanzania wenye welewa mdo wanaotaka kila upelelez ukamilike leoleo, na kufananisha matukio mengine hongeren sana
Cpati picha majirani apo wangejua tu Billion ingewahusu. Xaxa Kwa kuwa Dar hatuna ujirani mwema n ngum kujua jirani yako ni mtu wa aina gani. Ila Enzi za Mwalim apo Mjumbe wa nyumba kumi angepata tabu sanaaa
duuuur hi movie ni nzuri
bongo movie inaendelea, sasa tatizo watz atuangalia bongo movie sasaiv toka afe kanumba, bola wangetumia Hollywood
Yani huyo jamaa atakufa maskin aliye nielewa namana gani agonge laiki hapa
kazi nzuri ya jeshi la polisi
Kazi tunayo kwa kweli...hii ni mbinu inaonekana ya kuichafua serikali hii kwa kigingi cha mafisadi walichokumbana nacho.....ee mungu tusaidie na tanzania yetu....
Seriikali inajichafua yenyewe
Huuu mkoa ungekua ni wa yule mzeee wa fyekelea mbali tungecheka sana
Hongereni sana Police kanda maalumu kwa kanzi nzuri bado tunaimani matukio yote ya ajabu ajabu Tanzania yatapatiwa majibu kama hili ambalo lilikuwa linachafua na kuweka wasiwasi.
hongereni sana sana.Tunawaamini.
Waliompiga risasi Lisu?Ben Saanane yuko wapi?Mwandishi wa habari yuko wapi?Can't buy the story
U
Tatizo ujierewi
We jama ni mgonjwa eeh
Hongereni polisi?????? We poyoyo kweli
Kweli kazi kubwa imefanyika,nyumba imegundulika baada ya mateka kurudishwa a.k 'kupatikana'!
Ingekua huyu mzee ni mkikuyu kutoka kenya aaaah hii story ingekua kalass hiyo ni pesa mob sana family ilikua inapeana
Tatizo letu wabongo mpaka leo hatujajulikana tunataka nini... Hata tukiambiwa ukweli hatuuamini na tukiambiwa uongo hatuuamini..... Tatizo ni kutafsiri kila kitu kwa mawazo ya kiwana siasa zaidi....
Na hii kuhisi kitu kabla ya ukweli au uongo ni tatizo kubwa sanasana...... watanzania ni zaidi ya wajuaji!!..................
hongereni jeshi la polisi la Tanzania hususani mkoani Dar
hongereni sana wanajeshi mungu awape nguvu
Hongera serikali kwa jihudi zenu kubwa.
Safi san sana sana sana kwa upelelez wenu kazi yenu nzur mno allah awe nanyi kila time
Yaa Saluti Afande. NA wasio Na Uzalendo Na wasii Itakia Mema Nchi yetu Watapata Tabu Saana.
😁😁😁😁Wamekamata nyumbaa haya na ww km umefurahi km mm gonga like twende sawa
Jeshi la police hawajue wahusika swali langu km taxi driver anawajua ni kwa nn asishirikeshe mpaka kwenye uwanja wa ndege alipo wasafirisha na km uwanja wa ndege kuna cctv si atasaedia kujulikana wenyeji wa kitendo Tanzania ikashirikiana na balonzi wao muhisika wa south Africa
Good job!!!, Congrats our police force!
Huyo jamaa sura yake inaonesha hajui chochote kuhusu Mo Kutekwa lkn kwakuwa ndo ni mwendelezo wa story ya Mfanyabiashara Mo kutekwa ilikuwa lazima story iishe hivi.
Hongereni sana Jeshi la police story imeisha vizuri.
Ila msisahau kutwambia bada ya raia wa south Africa kufika ubungo walielekea wapi 😂😂😂
Gari mlisema ilingilia border.. Mara mamba zakibongo.nyumba haina kesi..mikataba..kweli hatuna ulinzi.watuhumiwa Waitoloka vip.napinga kusema walipandia ubungo na hawajusi kiswahili...kweli hsta konda kutoa taarifa
Hongereni sanaaa kwa hii kitu
Noted
Welldone
Waandishi wa habari ulizeni habari kwa taharuma siyo kisiasa.....
Unakuta maelezo ya kina yametolewa.. Then mtu anauliza ati watekaji wapo wapi?....
Walimwambia wanaenda wapi?....
Sijui wametumwa hata sielewi??!!
Mnachekesha sana aya mungu anawaona
Kwakweli kama ni Kenya usiku ule ule wa Kwanza Mo angali n'golewa kutoka hayo maficho na watekaji kuzabwa na sheria,Askari was Tz kokoro tupu
Dreva huyo wala siyo mhusika ni mipango tu ilyopangwa na Kamanda Mambosasa ili kuwajibu wanasiasa. mchezo wa kitoto eti wahusika wametokomea kusikojulikana siyo kweli labda wangeangalia zaidi huenda chini ya nyumba hiyo kuna Handaki. Kusikojulikana/watu wasiojulikana hiyo ni lugha ya hao wenzetu,
Hii muvie Nilijua imeisha. Hii muvie haina mpangilio mzuri. Gari linabadilikabadilika, matukio yanarushwarushwa, halafu fanani haonekani
Anauhakika na hayo majina anayoyataja ?kama walidanganya majina? Wasouth wanatabia ya kuwa na Passport 2 tofauti,hapo kazi bado sana. Pigeni kazi Makamanda wetu.
Huyu mtu asije ongopa kuuficha ukweli aonekane yeye ni mkosaji Kwa kuwaficha watuhumiwa kwa aseme awataje barabara asiongepee Polisi Kwa maslahi yake..
Sawa, Azori gwanda je, waliompiga lisu je
Safina ninaikubari sana jeshi la police!!!Big up kazi nzuri
Hongera jeshi
Mie huyo taxis anaweza akawa hajui maana walimchukuwa wakamuacha yeye mo kwenye gari walishuka wakaingia kwenye gari yake,maana billion 1 c mchezo mie kama mie alikuwa hajui huyo taxi kinachoendelea labda
Mkuu naona kama haukujipanga vizuri, kwani hao jamaa hawakuwa na mkataba wa pango au walilipa mwezi mmoja kwa kazi maalumu. Hapo umetuwekea dalali na wenye nyumba wako wapi watuhakikishie huyo ni dalali wao au aliwapa funguo muendelee na uchunguzi. Mwezi mzima mnatafuta nyumba ya kutuendeshea halafu mnaita eti uchunguzi. Shikamoo uchunguzi
Global TV huyu cameraman wenu ni hafifu Sana, camera imacheza Kama alieishika anaurahibu WA Gongo
Global mpo vizuri sio kama wengine kuunga unga story
Huyu jamaa atakuwa ana akili gani kama alikuwa anapata dollar 200 per month na akijua kabisa sehem Mo alipo na familia ya Mo ilitangaza zawadi ya 1 billion sasa yeye alilipwa hiyo dollar 200 tu kwajili ya udalali au alilipwa zaidi ya 1 billion ili asije shawishika na zawadi ya familia ya Mo. We got to think!
Hapo sasa
HAMOUD MOHAMED
Kwa kweli jamaa hana makosa yoyote
Mazingaombwe na mazoezi ya mo
Yeye asubiri mshahara wake na midili ya pembeni
Mi staki kucheka. Hivi Mo asingepatikana mnadhani stori ingekuwa the same? Mo atakuwa ameshiriki sana kutoa taarifa
Kazi nzr hongereni sana hadi tuwatie nguvuni wahusika
watu kuingia kwenye hiyo nyumba sio wanapoteza ushahidi? ina maana polisi wamemaliza kuchukua info kwenye hayo mazingira? kama finger prints, na trace zozote ambazo hao waalifu wameacha, kama polisi hawakufanya kabla, itakuwa ngumu mno kupata ushahidi zaidi!
duuuh!! huyu mkuu sijui anatuonaje hilo gari lilionekanaje wakati viwanja vya gymkhana hakuna CCTV camera
Sijapinga lakinii nshangaaa iviikwanini huyu jamaaasingesema Mo halipoo apewe ilee Minot jamanii huyu anajua kwelii au kaingizwaaa tu mim sijamuelewa yaani kawakodia nyumbaanajua mambo yotee mh kuna Mtindnganyaaa hapaaa
Kazinzuri na waliomshambulia tundu lisu na waliotoa cckamera za Jirani na pale aliposhambuliwa
Camera man hana utulivu anapiga pazia hv inakuaje??
hii inaenyesha nijinsi gani tumekuwa siowazarendo kwanchi yetu. hii inasababishwa na RAIA kutokuwa naimani na serikali. raia wanakosa huuru wakuongea
WABONGO BWANA SHIDA KWELI KILA MTU MPELELZI HUMU NA MAHAKIMU WAMO HUMU HUMU HATA MAWAKILI WAKO HUMU HUMU, POLIS WANATOA RIPORT YAO WENGINE WANAPINGA, KAMA MNAUJUA UKWELI NINYI KATOENI USHAHIDI BASI POLIS.
yaani aliwapokea hotelni nasku yakurudi akawapeleka ili waondoke?huyu amecheza mchezo wote
nyimbo mpya
nyimbo
Selemani Masatu ,watuwamepoteza imani nao,kinachotakiwa niwatuhumiwa siyonyumba,La Lissu jee?????
Sasa mbona nyie wenyewe mambo yakipererezi mnanayaweka hadharani hamuoni kuwa mnajiwekea ugumu wa kazi maana watuhumiwa watazidi kuingia mafichoni.
ukitoka mipakani unakutana na uhamiaji
Na taarifa zimetolewa mwanzo ni wasouth
Sasa wamepitia wapi?
uzushi kama uzushi vile
Bahati mbaya kwa dreva, yeye alikua dalali tuu na inawezekana alichofanya ni kuwachukua wateja wake bila kujua wanachofanya.Haiwezekani akawa mjinga hivyo kuzurura na gari yake akiwa na watuhumia ndani na yeye akishiriki .
Porojo tu je walio mpiga risase Mh Tundu lisu wako wapi?
Walio Mteka Roma wako wapi?
Walio Mteka Ben Sanane wako wapi?
Episode ya mwisho kwnye season yetu askari polisi wanafanikiwa kukamata nyumba badala ya kukamata watuhumiwa... Setelling Ni mambo sasa. End of our movie.
Mko Fresh tunaomba uchunguzi wa CCTV cameras zilizo chukua tukio la Lisu pia make tunaona ndo zilizo saidia pia
Mheshimiwa,bado hofu ni kwamba wenye fedha ndiyo wanahudumiwa na kuhangaikiwa sana na jeshi la polisi.Maskini wanyonge wa nchi hii bado hawawezi kuonewa wakasumbukiwa na jeshi la polisi namna mo alivyoshughulikiwa.Kama mmenuia kumaliza uhalifu basi ipeni uzito wake kila jambo bila kuangalia limempata nani.
Huyodereva ni kichaa bilioni Moja kwa Dola Mia mbili mmmh afande kajipange tena
Hivi watekaji hawakumuambia Mo nini wanataka kwake mpaka kumteka. Yaani majibu mengi ya maswali anayo Mo mwenyewe. Yeye anajua kila kitu kwa nini amefumba mdomo? Je wamemfunga mdomo asiongee? Yaani napata kigugumizi
Frankly speaking, police na wanausalama mnafanya kazi nzuri tena sana tu. Nimatumaini yangu kuwa hata wao watapatikana tu.wasiichezee nchi yetu bwana tena waiogope kabisa.
yaan hata wangemuua "MO" huyo drive tax bado ungekamatwa tu mana unamakosa makubwa sana inaonekana unaishu na watu wa nje ya nchi wengi kufanya mambo yenu ya kihalif ktk nchi. acheni tamaa jengeni umoja na amani ktk nchi yenu. nchi jiran hawatakusaidieni kitu wanawapotosha wanataka waiangamize tanzania! !!!
Wakamateni hta balozi wa eneo Hilo,hakujua Kuna wageni hpo? Wakti watu wanasema waliomteka wageni hakufikiri hta au??? Mbona sielewi?
Uwi mayo onene gashi makoye haka kamove n bara hao waandishi wamekuctai wangekuhoji ww kamanda ucngejibu ila kwakua midomo imesha fungwa bac bana endereeni na move
,lakini sasa, wale watekaji walipo mtupa Mo,na Huyo dereva tax akawa pembeni tayari kwa kuwapeleka Ubungo,yaani magar mawili yalikuwa yanafuatana ,tax na gari la watekaji. dhu
Kwani mo aliokolewa eneo LA tukio au walimtelekeza then wakajua hiyo nyumba kupitia moo
mbona haya mengine mnayafatilia kwa karibu sana hao wengine akina Lisu na wanaotekwa hatupati habali zao na hasa Lisu mbona mlikaa kimya mi nadhan kuna siri ndani ya pazia
mmmmmmm haya mungu atafichua uovu hii picha mungu anajua
Good jobTanzania police
Mkuu huyumtu kanae vizuli make asinge husika mdaule mlivo hangaika kutafuta watekaji Naye akiwaanajua kua anawageni mbona hakutowa takifaa kwawageniwake?
Na wakubali sana Askari tz kazi nzuri ongereni sana sana
kwani huyo Driver hajui siku wala tar ya kuwapeleka airport kuna camera na kuna wachek passport si details zote ziko airport huyo Driver namsa suspect
Acha kuongopa huna uwezo wowote kuusu upelelezi Sasa watuhumiwa wako wapi?
Kwanza MO asibitishe Chumba hicho ndio alikuwa akiishi. 2 Mwadreva wate walio safiri usiku huo . watoe maelezo yao ( watuhumiwa walitelemka wapi ?)
Wapo wapi watuhumiwa Kamanda?Nilifikiri mngewatia mbaroni wahusika then mkamdiplay huyu,ila pia ukakasi was watz Ni kuhusu issue za akina Lissu ambao hatujui Nani kahusika,watuhumiwa .wahojiwe na wenye nyumba inawezekana wanajua mienendo ya wahusika,huyu jamaa aswekwe ndani Hawa ndiyo wanaweza idhuru Tz kwa maufaa binafsi
sasa huyo aliyekamatwa anahusikaje na watekaji? tatizo polisi wetu mlishapoteza uaminifu kwa wananchi wenu
mnachanganya mambosasa au mambo baadae move kali sana hii
Kusema kweli mi siamini hii movie.tuonesheni watekaji
Kumbe na gymkhana alipoenda kutupwa Mo kulikuwa na sisitivii camera ndio ikaonesha hiyo gari imewapeleka kumtupa no na kuwapeleka ubungo !!!
sielewi vizuri jiandaeni part two inakuja
wageni wanaigia nchini kienyeji uhamiaji wapo wapi? uzarendo umetoweka kwawazawa kwanini? sauti yamnyonge haisikiki kwanini? RAIA hana haki mbele yapolisi kwann? Mungu inusuru Tanzania yangu kwngu ndio nchi yaahadi niliyopewa namuumba wangu