DK8 ZA BABA KWA BINTI YAKE: HUNA DEGREE HUOLEWI/ WANAWAKE VIHEREHERE/ UKIHARIBU NAKUCHAPA BAKORA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • Sendoff ya mrembo wa Kinyiramba NICE SHANGO.. Baba yake mzee Shango katika nasaha zake amezungumza kwa ustadi na ueledi mkubwa sana . Take your time msikilize bilashaka hutakosa cha kujifunza na kuburudika pia..
    Subscribe ‪@Mcgarab‬

ความคิดเห็น • 202

  • @norahmariwa8649
    @norahmariwa8649 3 ปีที่แล้ว +6

    Such a wise father...am truly appreciate him😇

  • @fudasiakishe15
    @fudasiakishe15 3 ปีที่แล้ว +2

    Mshukuru MUNGU BABA kawatunza Hawa mabinti Hadi wamefikia Hapo, tujishushe tumeinue aliyewawezesha. Tunatamani maisha yao yawe Ni ibada ya kuleta mabadiliko kijamii. Degree Ni sawa, lakes Ni upendo usiobeba unafiki Ni muhimu ulikoenda

  • @maigajohn702
    @maigajohn702 3 ปีที่แล้ว +7

    Mzee hongera endelea kupigilia msumali mzee mkwilima ajipange mzee ni muwazi hamungunyi maneno very nice father

  • @stephanominja8927
    @stephanominja8927 3 ปีที่แล้ว +37

    Nawatakia degrees nyingi za mbinguni jamani,, mfaulu vema,, mmependeza elimu mnayo kikubwa Ni kufauli kuiona mbingu jaman nawaombea Sana,,

  • @angelamrema7607
    @angelamrema7607 3 ปีที่แล้ว +15

    Such a wise family! Mzee Shasho ..You are the best😊

  • @fredymotiba423
    @fredymotiba423 2 ปีที่แล้ว +2

    I appreciate such kind of father's love

  • @maigajohn702
    @maigajohn702 3 ปีที่แล้ว +1

    Baba hongera Sana dada hongera pia kwa ndoa ndoa ni hekima busara kusamehana ucheshi na tabia njema ndoa ni chuo pia Kila siku unapata elimu hongera Tena mzee wangu bakora upo sawa very nice

  • @anesiusrweikiza4850
    @anesiusrweikiza4850 3 ปีที่แล้ว +10

    It's true lakini mzee don't complicate life is so practical rather theoretical.

  • @shizaarfred4059
    @shizaarfred4059 3 ปีที่แล้ว +29

    Ambao tulikuwa tunaangali mishono ya magaun tu ili tupeleke kwa fundi maiko ili tuhudhulie harusi zingene vidole juuu

  • @estermwaipopo6872
    @estermwaipopo6872 3 ปีที่แล้ว +7

    Baba nmemuelewa kwa maneno mazuri na ya kheri. I salute

  • @emmanuelmassawe745
    @emmanuelmassawe745 3 ปีที่แล้ว +4

    Baba nimekupenda Bure mungu akubariki kwa mukuzi mema

  • @ellydkweka6107
    @ellydkweka6107 3 ปีที่แล้ว +1

    Wonderful fathers wotee wakiwa kama huyu ndoa zotee zingedumuu na kufanya mabintii kuwa katika njia sahihi katk maisha.like

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 3 ปีที่แล้ว +9

    Mtoto mzuri ana adabu sana binti baba amelea vizuri watoto wake

  • @ishabellasanguli8481
    @ishabellasanguli8481 3 ปีที่แล้ว +1

    Haha like my father woi he really likes her dotaz anatamani tukae hapo na haiezekani. May dad bless you dad.

  • @nyambofrancine8466
    @nyambofrancine8466 2 ปีที่แล้ว

    thank you somuch baba anaongeya vizuri

  • @fatemaligalawa1918
    @fatemaligalawa1918 3 ปีที่แล้ว +18

    Manenoyababa yamenikumbusha manenoya babayangukipenzi Allah a hamlehemu Amiina 🤲🤲🤲 alikuwaanapendakubiambia ivyo kuhusu kuchapwa

  • @noelasilayo1057
    @noelasilayo1057 3 ปีที่แล้ว +7

    Wooow nice father nice speech 💪

  • @williamnassary6019
    @williamnassary6019 3 ปีที่แล้ว +4

    Noma sana

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 3 ปีที่แล้ว +2

    Na Mimi nimejifunza kitu Asante Baba

  • @soniamelissa2099
    @soniamelissa2099 3 ปีที่แล้ว +7

    Baba nmekuelewa kweli 👏👏 i salute you

  • @tendwajohn7785
    @tendwajohn7785 3 ปีที่แล้ว +8

    Hawa ndy wazee ambao siyo rahisi kumuachia binti yake laana kwasababu wamejipanga sana. Tutafute hela ili tusitegemee watoto

  • @anneafrica939
    @anneafrica939 3 ปีที่แล้ว +10

    Degree ya mbinguni ndio kila kitu acheni majigambo baba yangu the donna Mama standard 7 ni mwanamke smart mbaya tatizo Hao huwa na commanding force kwenye ndoa kisa kijanamke Kina kimaster Cha kutawazia. Most rich men dont bother with a women Who have Degree wako busy na wanawake wenye maono wanaoweza kucare family.

    • @alexmurithi1327
      @alexmurithi1327 2 ปีที่แล้ว

      Usipeleke watoto wako shule

    • @enockmaige8936
      @enockmaige8936 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kwan hapo kakosea nn na hajasema kwamba aliesoma aache kumtegemea Mungu acha makasiriko hata wachungaji na makasisi wanasoma ili wawe na maarifa zaidi ya kuwaongoza watu huku wakimtegemea Mungu

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 3 ปีที่แล้ว +3

    Nmemuelewa sana Mzee yaani mara nyingi sana mahusiano ya kindugu ya mtu huwa yanapungua anapooa au anapoolewa na mara nyingine sio kupungua ila kupotea kabisa na ndugu kuingia kwenye migongano kama iliyowakuta P square na hii huwa inatokea endapo mmoja baina ya ndugu ataolewa na mtu mwenye kipato kikubwa au kidogo sana kuliko nduguze hivyo kusababisha nduguze kumtenga kwa kumwona kakosea njia au kama kaolewa na tajiri wataona anaringa lkn suala lingine nililopenda ni hilo swali la je unajua unakoenda na je uko serious!!? ni maswali ambayo tunapaswa wote mara zote tujiulize.

  • @rogersabisai9970
    @rogersabisai9970 3 ปีที่แล้ว +6

    Ngoja na mimi niendelee kuongeza familia,mzee ananifundisha somo kubwa sana.Sasa ni mwendo wa mimba hadi kieleweke

    • @emmadominic9601
      @emmadominic9601 3 ปีที่แล้ว +2

      Mzee ana ela,We una ela ya kuwalea timu kubwa Kama hiyo?

    • @josephlyela4112
      @josephlyela4112 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 ปีที่แล้ว +2

      Ndoujue kuwalea vizuri nakuwapa degree siyo upige mimba ukimbie

  • @drvidah7030
    @drvidah7030 3 ปีที่แล้ว +8

    may God hear my prayers🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @issayahya1640
    @issayahya1640 3 ปีที่แล้ว +2

    Mzee anaupiga mwingi sana inaonekana enzi zake alikuwa hatari fire

  • @lavendernyawade1514
    @lavendernyawade1514 2 ปีที่แล้ว

    I'm in love with her gown, where can I get this kind of material in Kenya

  • @agnessmkoma1761
    @agnessmkoma1761 3 ปีที่แล้ว +5

    I like the father

  • @robimwita608
    @robimwita608 3 ปีที่แล้ว +11

    Huyu baba anajielewa sana sana

  • @IreneHatibu
    @IreneHatibu 2 หลายเดือนก่อน

    Baba yuko sawa wengi wanaolewa lkn awajajianda mahal wanaenda? Mungu atusaidie sana

  • @Mubarak552
    @Mubarak552 3 ปีที่แล้ว +4

    Nimependa mahali anasema akikuta mwanae amekosa ataenda na BAKORA, kinyume chake ni kwamba kama mwanae hajakosa lazima asimame ktk kutetea mwanae na hatopenda mtu amchape au kupiga binti yake, nimeipenda hii

  • @klainomar1930
    @klainomar1930 2 ปีที่แล้ว

    Nawapenda

  • @dorakaloli6038
    @dorakaloli6038 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Sana baba Mungu azidi kukulinda

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 3 ปีที่แล้ว +5

    Hata mimi niatafuatilia sana atakakoolewa binti yangu. I mean inapofika swala la kuolewa ni muda wa kumsaidia binti hasa kwa kumwandaa

  • @naihfrank7306
    @naihfrank7306 3 ปีที่แล้ว +7

    God fath

    • @vedastinakasita9735
      @vedastinakasita9735 3 ปีที่แล้ว

      Kwenye ndoa unaweza kuchemka na digree yako kikubwa maharifa. Cjui gani kina kozi hiyo?

    • @vedastinakasita9735
      @vedastinakasita9735 3 ปีที่แล้ว

      Chuo gan kinafundisha kozi ya ndoa?

  • @nilansaid2927
    @nilansaid2927 3 ปีที่แล้ว +6

    Darasa la 7 mtupishe kidogo

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 ปีที่แล้ว +5

    Masifa yskizidi sana hakuna kijana atakaesogelea mlango wako utabaki na mabinti zako hata kam wana digrii elfu.

    • @didowamchops9229
      @didowamchops9229 3 ปีที่แล้ว +1

      Na ndio wameolewa wote sasa ilivo bahat na raha kwa wazazi

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 3 ปีที่แล้ว

      In sha Allah. Wala hawatabakia wataondoka mmoja baada ya mwengine kama tuonavyo.
      M/mungu si Athumani

    • @edithalagwen8465
      @edithalagwen8465 3 ปีที่แล้ว

      @@didowamchops9229 masifa nayo yamezid kwa wale ambao hawajapata elimu katk familia zao wakisikia masifa hayo wanajisikiaje

    • @dennismrutu7824
      @dennismrutu7824 3 ปีที่แล้ว

      Anakosea sana

    • @salmasaidimaulid7783
      @salmasaidimaulid7783 3 ปีที่แล้ว +1

      Wasiwasi unaotengeneza wa nini.? Kizuri kinajiuza. Huyu baba anajielewa sana

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 3 ปีที่แล้ว +4

    Baba pua kawagawia wote. Wengi cheee Mungu awatangulie ila baba kuwa mpole kidogo degree c kitu unaweza hucsome na ukatusua

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 2 ปีที่แล้ว

    Hongera kwa malezi malezi ya Hawa mabinti

  • @veronicajordan6826
    @veronicajordan6826 3 ปีที่แล้ว +4

    Daah mzee unamabinti uyo mdogo ntaoa mimi ngoja nimalze degree 😀😁

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb 3 ปีที่แล้ว +9

    Mzee ana mbegu nzuri

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 3 ปีที่แล้ว +23

    Wanaelewa wasomi tu hapa la saba wanaangalia suti na gauni!

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah walobahatika na baba mwema maneno mazuur

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 3 ปีที่แล้ว

      Baba mwema ni yule ambaye humfundisha mwanawe kumjuwa Mola wake sidhani kwa muonekano wa hao mabint walivyovaa pia nakushangaa sana Dada husna tena Sharif majina mazuri tena makubwa unahisi baba yako sio mwema huyo baba kafiri ndo unauona mwema

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 3 ปีที่แล้ว

      @@jumahamadomar9124 niliyakosa mapenzi ya baba so kwangu sitokuja kumuona mwema,

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 3 ปีที่แล้ว

      @@prettyh7509 kitendo cha baba yako kukuzaa hakuna thamani yakumlipa Dada mpende baba yako na kama ametangulia mbele ya haki muombee dua Mungu atalipa kwa matendo yake

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 3 ปีที่แล้ว

      @@jumahamadomar9124 😭 shukran kipenz jazaka llahu khaira najitahid lakin wa llahu aalam

    • @nilansaid2927
      @nilansaid2927 3 ปีที่แล้ว

      @@jumahamadomar9124 Yesu Kristo ni Njia Kweli na Uzima, Huwezi kuiona mbingu bila Yeye

  • @ledat6910
    @ledat6910 3 ปีที่แล้ว +4

    La nami nimependa sana uyu dadi hakuna mwengine wakuchapa mwanaye bila muzazi aponime papenda bure aseee saluti

  • @jokeableking7039
    @jokeableking7039 2 ปีที่แล้ว

    Mzee ameuzaa mwingi ngoja na mm nizae zaidi ya 40 dah nimeipenda hyo

  • @consoojoseph3918
    @consoojoseph3918 3 ปีที่แล้ว

    Dah hongera Baba Kwa malezi mazuri,Mimi ni mzazi nimejifunza kitu.

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 3 ปีที่แล้ว +2

    Mmh ana mabint weng

  • @paskalinanesphory3425
    @paskalinanesphory3425 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Dada kufikia hatua hiyo nzuri

  • @joserop1192
    @joserop1192 3 ปีที่แล้ว +1

    Dah! Mzee ana mabinti kweli

    • @evancesolomon4544
      @evancesolomon4544 3 ปีที่แล้ว

      Nashukuru kama na ww umewaona..nilidhani ni mimi mwenyewe

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 3 ปีที่แล้ว +8

    Mzee mbona unawatisha watoto wako waolewe na Nani ama ukisomesha pesa yako inakuuma sana

    • @emmadominic9601
      @emmadominic9601 3 ปีที่แล้ว

      Alafu kusoma na ndoa havina uhusiano wowote.pia wanawake wasomi Sana huwa hawadumu Ktk ndoa zao.Unajua kwanini?....

    • @msowamhokole7714
      @msowamhokole7714 3 ปีที่แล้ว

      @@emmadominic9601 embu nambie kwani uwaga ivyoo

    • @geraldsanga4879
      @geraldsanga4879 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwani wewe unaposomesha hela haiumi? Japo ni wajibu wa mzazi nadhan anatamani asomeshe hadi apo ili mtoto acjekulaum kuwa hakusomeshwa.

    • @dennismrutu7824
      @dennismrutu7824 3 ปีที่แล้ว

      @@emmadominic9601 tuambie

    • @modeemojombo5662
      @modeemojombo5662 3 ปีที่แล้ว

      @@emmadominic9601 acha imani potofu sio lazima.. Kwa hiyo km uwezo upo wasisome?

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 3 ปีที่แล้ว +5

    Inaolewa Degree au Mke?acheni mawazo finyu,watu hatuna degree na tumeolewa na wanaume wa maana kuliko huyo!
    Degree bdio nini??????

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 3 ปีที่แล้ว

      good 👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼 comment maneno chefuu 😏😏😏😏😏 nimependa maisha yenu muliyojiwekea binafsi nimejifunza kitu, ila hiyo kauli ya degree haiwezi kumfanya mtu ndo ajenge ndowa yake au rasaba asiolewe na mwenye pesa, siye rasaba hatuna vingi vya kunadi kama hivi mitandaoni ila mbona tunaenjoy maisha yawezakana hata zaidi yake

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 ปีที่แล้ว

      Samahani niulize kabila gani

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 ปีที่แล้ว

      @@m.mmarckus6298 Uliza kabila yoyote tu!!

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 3 ปีที่แล้ว

    Hongera mzee

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd ปีที่แล้ว

    Mi sijui sijasoma et sielewi mzee anachosema😭😭😪

  • @suzzysteven2847
    @suzzysteven2847 3 ปีที่แล้ว +8

    Degree ngapi ziko zinajiuza huko na hzna makao kuolewa n bahati ya mtu

    • @depaolo3461
      @depaolo3461 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa usemayo ndo maana Kati ya binti zake wote inaonekana huyo na dadaake ndo waliolewa pekee wengine bado wapo wapo sana

  • @loisndossi9877
    @loisndossi9877 3 ปีที่แล้ว +2

    Ni maamuzi na maafikiano.Background matters !

  • @joanbaby5953
    @joanbaby5953 3 ปีที่แล้ว +6

    Mc umeshindwa kutuombea namba za simu za hao Wadada jaman

  • @serafinamalecela4728
    @serafinamalecela4728 3 ปีที่แล้ว +6

    Manzi inadegree kibao halafu nzuri

  • @lettysalala1794
    @lettysalala1794 3 ปีที่แล้ว +2

    Best Dad

  • @esterdoriye4304
    @esterdoriye4304 3 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe Dada karidhi uongeaji kutoka kwa baba ake

  • @coletashirima2193
    @coletashirima2193 3 ปีที่แล้ว +2

    Mmh anafanana na babake huyo

  • @edachengula7134
    @edachengula7134 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu aitunze familia yako

  • @letisiamakonda3873
    @letisiamakonda3873 3 ปีที่แล้ว +2

    Duuh fact tupu asee👐

  • @kenedykatarama3966
    @kenedykatarama3966 3 ปีที่แล้ว +4

    Ni kweli mlezi ni mzazi Kama ukulelewa vizuri kwa wazazi wako basi mme hawezi kukufundisha watu wanaishije

  • @jacklinethomas110
    @jacklinethomas110 3 ปีที่แล้ว

    Jamani naomba kuuliza kwanini wasomi wenqi niwashamba hawajui mapenzi ?

  • @AfriCapturetours
    @AfriCapturetours 3 ปีที่แล้ว +1

    Yes baba safi kwa familia

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 ปีที่แล้ว +4

    Wachanga na wachanga wenzio 🤔

  • @deborahmollel3170
    @deborahmollel3170 3 ปีที่แล้ว +4

    baba nimekuelewa kisomi zaidi

  • @juliuskivuyo1755
    @juliuskivuyo1755 ปีที่แล้ว

    Gara b nifanyie mpango wa huyo mdog alie baki

  • @dothomwandaliw4057
    @dothomwandaliw4057 3 ปีที่แล้ว +5

    Watu hamjamuelewa mzee yeye anataka ukienda kumwambia suala lakupata mchumba lazima uwe umemaliza degree moja mimi kwa mtazamo wangu anataka bint yake awe anajielewa zaid huko anapotaka kwenda ni hivyo mie lasaba nimuelewa. Huo ndio msimamo wake

  • @hoseamgema9107
    @hoseamgema9107 3 ปีที่แล้ว

    Faza Shango una kibao kizuri cha kufyatulia .😋

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 ปีที่แล้ว +1

    Baba kaongea ukweli!
    Yuko vzr mpaka raha

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 8 หลายเดือนก่อน

    😊❤😊😊😊🎉

  • @LukeUrioNEWS
    @LukeUrioNEWS 3 ปีที่แล้ว

    Shikamoo baba

  • @fashionstore1850
    @fashionstore1850 2 ปีที่แล้ว

    Gara B namba zako

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 3 ปีที่แล้ว

    Elimu muhimu sana

  • @rogathmchau9416
    @rogathmchau9416 3 ปีที่แล้ว +3

    KWA HIYO KWA UPANDE MWINGINE MZEE ANAMAANISHA HUWEZI KUMUOA MWANAE KAMA HAUNA DEGREE KAMA ZA WANAE.

    • @neemiandondole8795
      @neemiandondole8795 3 ปีที่แล้ว

      Sisi wa la Saba tutajibeba

    • @mbarikiwambarikiwa6479
      @mbarikiwambarikiwa6479 3 ปีที่แล้ว

      Ndo maana yake,na ndo maana ktk wote alionao wamebahatika 2 tu wengine hakuna kitu.

    • @jumalwaho7940
      @jumalwaho7940 3 ปีที่แล้ว

      Mzeee utopolo degree inatuhusuu xixi xomaa biblee

  • @abimensa6177
    @abimensa6177 3 ปีที่แล้ว

    Hii shape ya be harus kaitoa wap... Maana nduguze hawana😳😳

  • @michaelobed3022
    @michaelobed3022 3 ปีที่แล้ว

    Sio hilo tu kasema mzazi ndiye anapaswa kumchapa mwanaye kumbe kwenye ndoa asipigwe

  • @fabiansemba4572
    @fabiansemba4572 3 ปีที่แล้ว

    mzee ana vinuuuuu

  • @gloryjesus4308
    @gloryjesus4308 3 ปีที่แล้ว

    Hatoi dgree baba

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 3 ปีที่แล้ว

    Kumbe saitakuaje😊

  • @julithahayuma6277
    @julithahayuma6277 3 ปีที่แล้ว +2

    Daah Yan huyu n Baba angu kabisa sem tuu Baba angu ataniambia nikiwa Mwenyew hahaha au tukiw n ndugu zangu

  • @rosesanford73
    @rosesanford73 3 ปีที่แล้ว +4

    Wachache Sana Kama hawa

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 3 ปีที่แล้ว

    Safi saaaana Brother Shango 💪💪

  • @jacklinethomas110
    @jacklinethomas110 3 ปีที่แล้ว

    Anqekua hana chochote anqetanqazia nini?haya maisha tumuachie munqu.

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 2 ปีที่แล้ว

    Mzee umeongea ukweli wote ambao wazee wengi huwa hawasemi badala yake wanakuwa wasumbufu kwa wakwerima zao!!!

  • @mfilingem
    @mfilingem 3 ปีที่แล้ว +2

    Watoto wakali sema elimu yetu LA saba

  • @yusrahasnuu2673
    @yusrahasnuu2673 2 ปีที่แล้ว

    Sasa wote hawa ni binti zke

  • @gloryjesus4308
    @gloryjesus4308 3 ปีที่แล้ว

    Wala hatoi lugha

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 ปีที่แล้ว

    Such a Father🙏🙊

  • @hassanmkangwa2062
    @hassanmkangwa2062 3 ปีที่แล้ว

    Hizo degree akichemshia chai anakunywa au vepe

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 3 ปีที่แล้ว

    Ukimchunguza sana nyoka utaona miguu.

  • @mushiphysics.262
    @mushiphysics.262 3 ปีที่แล้ว

    Degiriii ya 2😂😂

  • @janethsanga5494
    @janethsanga5494 3 ปีที่แล้ว

    Duuh hapo weng tucngeolewa

  • @njiwapori.oursongsismedium2594
    @njiwapori.oursongsismedium2594 3 ปีที่แล้ว +4

    Dgree ndo inaolewa au wazee wengne bhna

  • @bestonmfikwa8510
    @bestonmfikwa8510 3 ปีที่แล้ว +1

    Dingi ni sheedah huyo

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 3 ปีที่แล้ว +2

    Endelea na Degree zako watapigwa mimba mpaka utakubali, ndoa haihitaji Degree ya pili au ya kumi ndoa haihitaji mbwebwe nyingi kama zako.

  • @remawetumi8916
    @remawetumi8916 3 ปีที่แล้ว

    Degree sio maarifa bali ni nyezo tu ya kujifuzia! Wengine wamejaliwa wanajifuza kirahisi hata kama hawana wameishia la saba.
    Wasomi wengi huzaraulika na kushidwa kuchangia chochote kwa jamii pale wanapozichukulia degree zao kama maarifa wala sio nyezo za kujifunzia. Degree ukizitumia vizur basi utajifunza haraka na kwa wepesi kuliko mwengine ingawa Kuna wengine hawazihitagi hizo degree kujifuza.

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 3 ปีที่แล้ว

    We mzee ni Fundii sanaa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 ปีที่แล้ว

    Kama mtoto wako akileta ujinga achapwe kidogo na mumewe