Lady Jaydee - Njiwa (Official Audio)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 มี.ค. 2020
- #Njiwa #LadyJayDee
Lady Jaydee.
You Can Now Download | Stream | Share Lady Jaydee Music WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES: | Itunes, BoomPlay, Mkito, Deezer, Audiomack, Mdundo, Tidal, Amazon Music, Spotify, Pandora. LINK: ffm.to/ladyjaydee
FOR BOOKINGS: mxcartertz@gmail.com
Follow Lady Jaydee on:
/ jidejaydee
/ jidejaydee
/ ladyjaydee - เพลง
Hatarii piga kelelee
We ndo komando bhana! Wangapi wameikumbuka muhogo wa jang'ombe na siwema? Pigeni kelele 1 kwa Jideeeee ake🤪
We
Abdoul Painite gudd xanaa
Abdoul Painite hongeeraaaa sanaaaaaa
Maryam Juma weeeuuweeeeeeeee
We
Here in June 2024😊 You are BEEEEEEST Lady Jay D🙌🏾 You are a 5 star artist, mkali wa miaka yote, fundiii kabisa, MAJOR GENERAL🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Uishi miaka mingi mamaa🤍
Kama unailubali hii cover ya lady jaydee gonga like hapa👍
Jipatie kipato mtandaoni kwa mtaji mdogo kupitia hapa
affiliate.iqoption.com/redir/?aff=154228
Msaada zaidi WhatsApp #0679345914
Gonga like kama uko fans wa commando lady Jaydee kutoka burundi🇧🇮
Komando Jide Herself natural voice pure legend..
Drums 🔥🔥🔥 solo guitar 🔥🔥
Weka like kama unaamini Jide ana copy yake mpaka sasa...
Nakupenda sana dada wa Taifa tangu unaanza kuimba "nailazimisha furaha" , piga kelele kwa Jide wakeeee!
🦆🦆Njiwa peleka salamu kwa wanawake wote wapambanaji kama mimi duniani,wambie nawaombea sana ,,Mungu awanusuru na corona
Zimefika
Ameen
Amiin akulinde ww pia na familia yako yote
Nakukubali kinyama dada
Daaah kuna watu wanaimba asee we jide ni nomaa yaan wimbo ukiuckia unatulia kama umemwagiwa maji ya baridi😁😁💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
Sending my love from South Africa.
Ebhana komando jide kwa hapa nakupa salute 🙌👮 umenikoshaa😊
Nyimbo ya kikubwa ,inakula hadhi ya kusikilizwa na kila Rika ,inatuliza akili Jide ameitendea HAKI #make good musicallive Big up Jide mamalaoo
Sauti muruwa kabisa kwa pumzisha akili yako iliyochoka! Nice sing.
DADA UNAZEEKA NGOZITU LKN SAUT YAKO ITAENDELEA DUMU
Wimbo unaondoa stress zote za janga la korona safi sana Jdee
Swadakta
Ukweli
Kabisaa
Jipatie kipato mtandaoni kwa mtaji mdogo kupitia hapa
affiliate.iqoption.com/redir/?aff=154228
Msaada zaidi WhatsApp #0679345914
Yaaap
Umenikumbusha mbali sana'aa comando
Wenye sauti zao mjini, waliojaliwa na Mungu, love u jdeee.
Yes
Mara tunajivunia kuwa na mwanamziki katika Tanzania hii ambaye hachuji wala haboi zaidi ya 20years.
Ng’ombe hazeeki maini ❤️ the talent you have sis is endless, hazina ya Tanzania ❤️ keep the good music alive
Umenikumbusha miaka hiyo ubwabwa marage una hadhi
umeuwa sana mamii nakukubali sana
Hii ngoma inaponya corona....achana na hawa wavua chupi
Judith Lameck Mbibo Wambura,lady jd,wallet,commando,mama some food nk
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jideee comando na vyeo vyoote vya kijeshi,sauti imetulia kama mwandiko wa mwanafunzi aliyesoma darasa la awali kwa usahihi..all in all i appreciate you at all madame
No like you my tisha sana beautiful sound ❤️❤️✅ jamani msinipite bila like zenu plz 🙏🏽❤️❤️
Nikisikiaga hii nyimbo uwa namuona Mama angu🤦♂️🤦♂️🤦♂️
duh kama mm kaka
Pole kaka ni mungu tu
Lots of memories 😂😂
🇰🇪 Represented
Safi,sio mpaka tuige Nigeria
#JIDE #JD #KOMANDO #BINTIMACHOZI #LADYJAYDEE #JUDITHWAMBURA #MALKIAWABONGOFLEVAWAMUDAWOTE #DADA #MAMA ONGEZENI YAKWENU. nakukubali dada
Huyu sasa ndo msaniii
Njiwa is my favourite song of all the time. U did it komandoo .👍👍
Old is gold like please if is true njiwa nakupenda
Umetisha Sana dada #jaydeeee
Dada wa TAIFA umeuaaaaaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Komando jide ni msanii asiyepitwa na wakat kama unakubali hili gonga like
bado kwangu unasimama Kama mwanamke pekee tz mwenye uwezo mkubwa katika muziki.... hii nyimbo niliisikia ukiimba katika moja ya matamasha yako nikawa najaribu kutafuta
hatimaye leo umetupa zawadi..... #commando
Hii nyimbo ni ya Bi Patricia Hillary so JD hajaongeza cha kwake.
JD ameurudia tu.
shida sio kurudia nyimbo ....mi naijua hii nyimbo tangu na tangu maana mama yangu na Patricia wameimba pamoja band moja .... hapa nazungumzia uwezo wa sauti na mapigo ya muziki.. kaa humo
@@mcbalozi2519 Umeeleweka
10000000%mama kubwa umetisha yani noma na nusu ❤❤❤
Nakukubaligi San jaydee wangu.miss you more
Taarabu sasa, tuondoe stress. Hakika hii nimeipenda
Poa
Nyimbo hii iliimbwa JKT Taarabu Kama komando kaiimba kwa ubora wa Hari ya juu gonga like hapo.
Huyu ndo komando bhanaa,,
Unajua sanaaa komando,,
10000000%
Makofi kwa legend
Kama uliisahau Corona kabisa wakati unamsikiliza malkia wa nguvu gonga like na macoment kama yoteee 👍👍👍
Tuko wangapi ambao muwili umesisimka kwa sauti Yani zauti nyororo masha allah
Tsha sana commando wetu
Wa kwanza kabisa dada Angu umeludi Ni 🔥 🔥🔥 🔥🔥 🔥🔥 🔥
Ckua najua uyu wimbo uliimb uyu dad
Lady Jaydee nakupenda mama
Love from Switzerland. Always my best Tanzanian vocalist ❤
Unajua jide
Keeping The Good Music Alive🤝🏾🔥
Wawooooo nyimbo iko poa Sanaa Dada Umejua kuitendea haki zote 💯💯❤️
Best female singer of all time in eastafrica we cant compare u with any body
Jipatie kipato mtandaoni kwa mtaji mdogo kupitia hapa
affiliate.iqoption.com/redir/?aff=154228
Msaada zaidi WhatsApp #0679345914
Love from usa 🇺🇸 🤘🤘❤️🔥🔥✅
Duhhh jide bado mautam yke hayaishi kabsaaa
Tisha sanaaaaaaaaaaaaaaaa Comandoooooooooooooo jideeeeseeeeeee
waoo unasauti nzuri jama hongera sister jay
Jay de upo vizr here we gooooooo
Nakutaka next time nikuone #bungeni#
❤❤💥💥hii safi paka sound unasikia ya kinyumbani sio these copycat songs za sikuizi, Jide u nailed this one for real
Shabiki yako milele ww fundi
Jide wimbo mrefu na ni mdamuuu kama mrenda wa kwetu#Manyoni -Singapore(Singidani,singida😜😜😜😜😜😜#Komando jd💪💪💪
Lady J. Umepumzisha moyo akili na mwili wangu. Uishi sana mamaaa.
🙌🙌🙌 my best vocalist ever
Fire
When it comes to vocal and lyrical prowess, lady jay dee is in the class of her own
i second this
Kazi nzuri sana dada
Huongo mbaya nilishakumic sana sister 😘 saut nzuri kweli yaan inaingia mpka moyon sauti haikwaruzi😘😘😘
Commando miaka buku jero kwako penda sana
Mdada mwenye kipaji chake 😘😘😘😘😘😘 2020
Jaydee, Jaydee you have nailed it🔥🔥🔥. Rudi mamaaa uzidi kutuburudisha. Love youuu
Saruuuuti..... Maadam JIDE.
Wewe ndonime kuelewa kwenye huu wimbo
Asante dada ake..kitambo sanaa
Sijawahi kukutana na wewe ana kwa ana ila kiukweli ninakupenda sana tangu nilipokusikia kwa mara ya kwanza kitu cha penzi la milele. Love you sana tu
Kazi nzuri hugusa mioyo ya watu wazuri na wabaya.
Hakika hii ni kazi nzuri kutoka kwa Dada Mkubwa Lady Jay Dee
Gusa picha upande wa kushoto wa hii comment ili kupata njia sahihi za kujitibia bila kumeza dawa. Usisahau ku-like, subscribe and share.
Umenikumbusha mbali kwa wimbo huu enzi hizo tulikuwa hatuna smartphone kama Siku hizi ukipigwa kwenye radio lazima ukae chini kwanza
Nacheza2 hapa
Kawaida sana
Woooow napenda hii nyimbo saaana from BURUNDI
Hongera Dia mama
Komando wangu
Well done mumy, unajua unachokifanya
Nakupenda
2023 ❤❤❤❤❤ @ladyjaydee
Hii ndio miziki,sio ile ya
Ifike jioni unionyeshe alichokupa mama
Dooh penda jide
Dada jide, uko classic sana..
Anacondaa.komando.#njiwa
Dada yangu hongera sana .UNAJUA
Hiii nyimbo 🔥🔥🔥🔥🔥wewe kweli komando
among of great songs ever happen in this century it's great songs congratulations commando
Best vocalist of all the time
Ngoma kama imetoka leo
As much as I know the song but dee your vocals are on another level..🔥🔥🔥🔥
+243 Congo RDC ,wewe ndiye Mama wa bongo fleva,ongera sana
+243 ni nchi gani plz?
Isha Aisha Congo Kinshasa
@@yusufnalanda4186 ok..Asante
Eeeeeeeh taarab lenyewe pooh nimelipenda jamani (njiwa ipeleke salamu mpaka huku kwetu taaaam sanaaa
Umetisha Dada yake penda saana
Hii sauti ikaponye gojwa hatari LA covid_19 maarufu kama corona na ikawe hivo
Kuna baadhi ya nyimbo Kama hizi unatamani zingekua Ni za Gospel Hivi. Dah.
Weka like kwa Jide akeeee!
asante sana comandooo J pamoja dadaa
Absolutely true
Sauti isiyo zeeka
Sauti ya pekee hongera sana dada Jide sauti nyororo toka enzi Mungu aiweke miaka mingi inshaallah