Hakika Mch umenifanya kua jasiri kwa mahubiri na mafundisho yako,siteteleki hata! Najiamini najiamin sasa kwakua alie ndani yangu ni mkuu kuliko vyote,barikiwa sana mungu aendelee kukuweka miaka ming uwaokoe kondoo waliopotea,sjui kanisa lako linapatkana wap nataman siku moja nije nisali jaman itakua baraka.
Mungu ni mwema sana. Nimewahi kuota ndoto na ikajirudia mara kwa mara, Siku moja baada ya ndoto niliamka usingizini, nikapiga magoti nikamuomba Mungu anisaidie kujua maana ya ndoto ile maana nilijua haikuwa ya kawaida, Mungu akanijulisha saa ile ile. Ndoto ile haikurudia tena tangu siku ile, maana aliniwezesha pia kufuata agizo lake.
pr. mbaga wewe ni mmoja lakini huku nje zipo mbegu nyingi zinazoota hizo nazo ni Mbaga.kweli Barikiwa sana siku Yesu akirudi watakuwepo Akina Mbaga wengi nyuma yako na utashangaa.Nakupenda sana nabarikiwa sana endelea kulisha Kondoo wa Bwana.
Mchngaji Mmbaga barikiwa sana mahubiri yananijenga sana kiimani,ila nina chngamoto ya miguu sana karibu miaka 6 dawa nyingi za hosptalini lakini nafuu ya muda mchache tu naomba unikumbuke kwa maombi.
kupitia mahubiri yako mch.nimeamini kwamba kuna nguvu katika maombi na hakuna lisilo wezekana,naomba umweke binti yangu katika maombi ambaye amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifafakwa miaka karibu tatu sasa.Tumezunguka hospitalini bila kupata suluhisho,leo namshukuru mungu kwamba kupitia mahubiri yako nimetambua ya kwamba suluisho niyesu pekee daktari mkuu.msichana wangu ako katika darasa la chekechea jina lake ni JUNE NAVIOLE.no.ya simu ni:0723012079/0724750487KENYA.barikiwa sana.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu nimebarikiwa na somo
Asante Mungu kwa uponyaji wako ,mm nimefstilia mahubiri Leo na nimepokea uponyaji waajabu asubui hii ya Leo asante MUNGU
Mungu ni mwema nabarikiwa sana na mahubiri yako, unanigusa sana mtumishi wa mungu
Hakika Mch umenifanya kua jasiri kwa mahubiri na mafundisho yako,siteteleki hata! Najiamini najiamin sasa kwakua alie ndani yangu ni mkuu kuliko vyote,barikiwa sana mungu aendelee kukuweka miaka ming uwaokoe kondoo waliopotea,sjui kanisa lako linapatkana wap nataman siku moja nije nisali jaman itakua baraka.
Ee mungu wangu nami nigushe mahali niko nahufimbe nipone Kwai mani ameni
mchungaji huwa unanibariki sana...napenda mafundisho yako sana...zidi kuniombea nidumu kwenye imani...mungu akubariki
Niguse tenaa Eeh Mungu Wangu..ubarikiwe sana Pr
Pastor Mungu akupiganie akupe nguvu za kuishinda dhambi na mbinguni uwepo
Asante mtumishi kwa neno hili. Nimeguswa sana na kubarikiwa
Mungu ni mwema sana.
Nimewahi kuota ndoto na ikajirudia mara kwa mara, Siku moja baada ya ndoto niliamka usingizini, nikapiga magoti nikamuomba Mungu anisaidie kujua maana ya ndoto ile maana nilijua haikuwa ya kawaida, Mungu akanijulisha saa ile ile.
Ndoto ile haikurudia tena tangu siku ile, maana aliniwezesha pia kufuata agizo lake.
pr. mbaga wewe ni mmoja
lakini huku nje zipo mbegu
nyingi zinazoota hizo nazo
ni Mbaga.kweli Barikiwa sana
siku Yesu akirudi watakuwepo
Akina Mbaga wengi nyuma yako
na utashangaa.Nakupenda sana
nabarikiwa sana endelea kulisha
Kondoo wa Bwana.
Ubarikiwe sana mchungaji wangu
AMINA.mungu ni mponyaji
Nami naamini nguvu ya Mungu.jina la Yesu lipewe sifa
Hahahahaha Mungu akubariki sana
Mchngaji Mmbaga barikiwa sana mahubiri yananijenga sana kiimani,ila nina chngamoto ya miguu sana karibu miaka 6 dawa nyingi za hosptalini lakini nafuu ya muda mchache tu naomba unikumbuke kwa maombi.
Amen am really blessed i wish i could get your DVD 📀 in Kenya
namshukulu mungu sana nazidi kubalikiwa kila siku ninapo tazama mahubili haya.
Amen. God bless you Pastor.
Amene Bac Mungu akubariki
Amen
Amina na barakiwa sana Mungu azidi kukujaza
Amen Mungu azidi kukupa nguvu Mucungaji
Mungu ni mwema hubiri limekua chachu ya mabadiliko kwa kweli kabla ya hubiri nilikua na moyo wa visasi mnoo ila nimeachilia yote
Mungu apewe sifa kwa huo uponyanji
Nimebarikiwa sn na somo hili hakika sifa, utukufu, na heshima ni vya BWANA
Ubarikiwe mch mbagga GOD bless uuu much
ubarikiwe mchungaji wakati unaomba na Mimi nimepona
@@stellanyanda7618 amina
Daaah huuu ujumbe nais ulikua kwa ajili yangu jaman
Amina.. Mungu ni mwema.. Nimepata kipya na leo
Mungu ni mwema wakati wote... Jina la bwana lihimidiwe
Kweli na mimi niliota ndoto nikaapuuzia baadae ikaja ikatokea kweli nilipata shida sana
kupitia mahubiri yako mch.nimeamini kwamba kuna nguvu katika maombi na hakuna lisilo wezekana,naomba umweke binti yangu katika maombi ambaye amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifafakwa miaka karibu tatu sasa.Tumezunguka hospitalini bila kupata suluhisho,leo namshukuru mungu kwamba kupitia mahubiri yako nimetambua ya kwamba suluisho niyesu pekee daktari mkuu.msichana wangu ako katika darasa la chekechea jina lake ni JUNE NAVIOLE.no.ya simu ni:0723012079/0724750487KENYA.barikiwa sana.
Amen Amen
Amina
🙏
Mungu akubariki pr
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
pastor MBAGA naomba uje utoe somo la kuhusu uumbaji
Lipo tayari hapa
Inspiration🙏
Asante kwa mahubiri
Nimebarikiwa PR
Mungu azidi kupewa sifa
Naomben namba ya mchungaji mbaga inayopatikana
Haleluya
Amina!
hakika mungu mkuu
Asante mtumish ubarikiwe
2 I was just the laul I fr😡😴👠👠
Amina!
Ameena
atukuzwe muumba mbingu na nchi kwakumtumia huyu mbaga.
Hi
amina
Tunawomba mutupatiya Number za pastor tuko hapa America tunawomba please
Claudine batamuriza mtumie email kwenye davidmmbaga@gmail.com
Habari za america
Kweli pastor haya niyangu naomba MUNGU niguse ten a niokoe yesu pastor naomba no'yako ya whatsapp
Jane Kuloba tuma email kwa davidmmbaga@gmail.com
Tafadhari mtumishi naomba namba zako niko omani
tuma email kwa davidmmbaga@gmail.com utapewa number
Lailat Hussain +255764600129
Amen
Amina
Amen
Amina
Amen
Amen
Ameen
Mahubiri yako yananibariki sana