Assalaam alaykum ee umati Muhammad! ALLAH ndie atakulipa hii elimu utupayo! Shukrani kwa darsa zako hazikinai kusikiliza. Najifunza jipya kila ninaposikiliza darsa zako. Jazzakallah khair.
Mashallah sheikh wetu Othman Maalim. Kusema tu ukweli napenda sana kusikiliza darsa zako. Nikiwa kazini, naeka mwaidha yako na uskia raha sana kwa vile unatoa mawaidha kwa hekima na mara zengine kwa ucheshi. Mungu akuzidishie elimu na umri mrefu ili tuzidi kufaidika na mawaidha yako
AA shekh wangu mm Niko Kenya lamu kisiwani nakukaribisha lamu joo shekh utupe dawa uwatowe ushamba mashekh WA huku nampenda darasa lako mm tafadhali mungu akikujaliya njoo lamu tafadhali naomba shekh wangu njoo lamu wabilahi tawfik ishallah niombeya duwa na mm mwanao tafadhali Sana'a
mtukufu mtume s.a.w amesema kwamba al-haqqu murrah yaani ukweli ni mchungu aliendelea kwa kusema sema ukweli hata Kama unakudhuru na Quraan Karim huthibitisha kauli hiyo ndani ya surah al-Ahzab ,kuulu kaulan sadida yaani sema ukweli katika kila hali kwahiyo dini inasema watu wadumu katika ukweli hakuna kauli hizi za kusema eti uwongo umeruhusiwa katika mazingira fulani
@@gallibmhammed8971 huna unachokijua katika Quraan na mashekhe wako ,manabii wote ni watu watakatifu ,hakuna Mahala waliposema uongo ,onesha aya hiyo ,wewe unabidi unioneshe aya ambayo Allah Mtukufu amesema kwamba nabii Ibrahim a.s alisema uongo (auzubillah mindhaaliq)
MashaAllah shekh umesema ukwl kabisa Allah akuhifadhi
Assalaam alaykum ee umati Muhammad! ALLAH ndie atakulipa hii elimu utupayo! Shukrani kwa darsa zako hazikinai kusikiliza. Najifunza jipya kila ninaposikiliza darsa zako. Jazzakallah khair.
Ewemwenyezi mungu tujalie tuwe katika watu wako uliowachagua na utuondoshee kwa kila ulio tuharimishia yaarabi ameen 🙏🙏🙏
Ameen ya rabb
Ameen
Ameen
Amin thumma amin
Mashallah sheikh wetu Othman Maalim. Kusema tu ukweli napenda sana kusikiliza darsa zako. Nikiwa kazini, naeka mwaidha yako na uskia raha sana kwa vile unatoa mawaidha kwa hekima na mara zengine kwa ucheshi. Mungu akuzidishie elimu na umri mrefu ili tuzidi kufaidika na mawaidha yako
❤ inshaallh taaala yarabi
Allah akutunze sheikh wetu InshaAllah 🤲🙏🏼❤️🥰💕
ALLAH ajaalie wenye kusikia na kufuata
Yahalaah tujalie mwisho mwema na shehe wetu umpe moyo usiokinai yalabi🤲
Mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie umri sheikh ss pia twajifinza kupitia mawaidh yako Allah akuzidishie malipo
Maasha Allah..Allah akuhifadhi
Tunaelimika SI haba , Allah akujaze kheri
Mwenyezi mungu akulipe kila la heri shekh nasi tunaokusikiliza darasa zako atulipe inshaalah
Allah akuhifadh ustadh wangu maaalim wangu kheri na baraka iwe kwko
Mola akulipe kheri duniani na Akhera.
Allah akuzidishie kher uzid kutuelimisha in sha Allah
Shukran mjombangu @ Othman Maalim.
Wanaudhubillahy siku hizi watu wanasambaza kwa Kutumia simu sio kwa sauti au sura ilonukuliwa.
Subhana Allah 😭😭😭
Allah atunusuru na mashaka hayo inshaallah
AA shekh wangu mm Niko Kenya lamu kisiwani nakukaribisha lamu joo shekh utupe dawa uwatowe ushamba mashekh WA huku nampenda darasa lako mm tafadhali mungu akikujaliya njoo lamu tafadhali naomba shekh wangu njoo lamu wabilahi tawfik ishallah niombeya duwa na mm mwanao tafadhali Sana'a
Tunajifunza mengi San kupitia mihadhara yako Allah bless you shekh Othman
Akujaalie nawe
Inshallah mung hakujaze khery inshallah ❤❤❤❤
🙏🙏asante shekhe kwa somo zuri
Shukrani kwadarsa🙏😊Allah akujalie mwisho mwem
Kul-hak wainkana-muuran (sema kweli japakuwa chungu)
Naam hakika maneno yako kaka angu mashallah mashallah hongera sana sana 🤲🙏
Subhana Allah...Mungu atuepushe na mambo kama haya. Amin
Abdul
Amiin
Mwenyezi Mungu atujaalie tuwe waja wake waliotakasika na atuvue na mitihani
Namskize Shekh Othman maalim nikiwa Saudi Arabia
Manshaalla nakupenda kwa Jili ya Allah
Allah akubariki ustadhi Othman hekima
Alhamndulilah maneno ya hekima MashaaAllah
Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim
Asalamu alaykimu
Baraka za Allah juu yako sheikh Uthman
Mashallah my favourite one💞🙏
Shukurani sana kwa Mawaidha nzuri
Mungu akujaze afia mwalim wetu
ماشاالله
ما شاء الله ❤️
Maashallah 🥰
MASHA ALLAH
Mashaa llah umesema ukweli kabisaaa
Alhamdulillah MashaAllah MashaAllah Bismillah MashaAllah
Mashallah
Manshallah
🙏 Yaarab tuongoze jaman
Yaarab tuongoze kufanya khery
🙏🙏🙏 shukran sheikh
❤alalh
Allah Akbar
Shukran shekh
Ustadh mungu akuhifadhi akulinde akupe umri napenda darsa zako zaufaswaha wala humlengi MTU mungu akupe umri nasi atuongoze
Maa' Shaa Allah kwa kutupa waadhi unaotunasihi namna Bora ya kuishi ktk ardhi, Allah azidi kukuongoza ktk khayraati,
mashaallah
🙏🙏🙏
Shukrani sana sheikh wngu
【 ALLAH 】 tupe subra nJemaa Yah mawaidha YaLioYoo kuwa na mafundish0 boraaa kwe2
🙏🙏🙏❤🙏
🤲🤲🤲🥰🥰😍
Swadacta
❤❤❤❤❤❤❤👌
swadakta
mtukufu mtume s.a.w amesema kwamba al-haqqu murrah yaani ukweli ni mchungu aliendelea kwa kusema sema ukweli hata Kama unakudhuru na Quraan Karim huthibitisha kauli hiyo ndani ya surah al-Ahzab ,kuulu kaulan sadida yaani sema ukweli katika kila hali kwahiyo dini inasema watu wadumu katika ukweli hakuna kauli hizi za kusema eti uwongo umeruhusiwa katika mazingira fulani
@@gallibmhammed8971 hakuna nabii aliyedanganya hata mmoja ndani ya Quraan Karim
@@gallibmhammed8971 huna unachokijua katika Quraan na mashekhe wako ,manabii wote ni watu watakatifu ,hakuna Mahala waliposema uongo ,onesha aya hiyo ,wewe unabidi unioneshe aya ambayo Allah Mtukufu amesema kwamba nabii Ibrahim a.s alisema uongo (auzubillah mindhaaliq)
Muhammad Bachu must learn from sh othman muallim
🙆
mbona sauti inakatika saaaana?
Kulikuwa na tatizo la kiufundi Pole
Ni ukweli wenye uhakika ndani yake
Mashaallah mungu awapeni upendo zaidi nazaidi kutuelimisha mwalimu wetu
@@kalamuMedia🙏🙏
Mashallah
Mashallah