The true meaning of creativity❤, no abuse language, no X videos, nothing bad but full of creativity ❤❤ , If you like it as me please like this comment for our artist Makabila
Kuna waimbaji wengu wazuri wa singeli ila dullah amewazidi sana .anaubunifu sana wa mziki wake safi sana kaka Mimi shabiki wako.unatoa jiwe unaweka jiwe
Haki ya mungu mm sio mpenzi wa singeli lkn kwa dullah kaz zake nazipenda saana mwamba ana ubunifu wa hali ya juuu dullah atabaki kuwa king tumpe maua yake 💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Best ever ,huyu jamaa huwa anawaza mbali kuliko tunavyodhani ,kuanzia pita huku,nije nisije na ile aliyoshirikishwa ya peleka gari kituoni ni idea zake ,yaani nyimbo inaelimisha mpaka inaboa na amezungumzia saikolojia ya makuzi ya mtoto akiwa bado yuko tumboni.🎉🎉🎉🎉🎉🎉
This singeli hit from Dulla Makabila is on repeat mode! 🔄🎵 Unmatched energy and beats that hit different. Dulla, you've done it again! 🙌💥 #SingeliFever #dullaMagic" gonga like hapa.... love from MARS👽
Ubunifu wako ni wa hali ya juu sana na ndio Mana upo tofaut sana na artist wengne bnafs nakubali uwezo wako na namna unavyotuletea vitu vya kipekee big up bro Dulla Makabila Mola akusimamie katk Kazi zako 🙏👊❤
Yaani huyu #dullamakabila ni zaidi ya msanii, anaelimisha na kuburudisha haswaaa, embu waza hili goma anavyokemea mambo mengi anaonya juu ya MAADILI mabaya katika jamii, na ni juzijuzi katoka kutupitisha huku wema na wabaya.MUNGU AKUFIKISHE MBALI BROTHER UNAJUA SANA KUELIMISHA NA KUBURUDISHA JAMII.
Nataka kuona nguvu ya dulla makabila tunaomkubali king of singeli gonga like hapa
Hhhh
like unazipekeka wapi kenge wewe ?
Wimbo aweke Dullah Makabila like upewe wewe ?
acha ushamba utaolewa mdogo wangu
@@officialkamduduNenda ukafirwe nakuona unanyege sana alaf unalipenda dudu kama jina lako
@@user-xi1pi4zr3b ushindwe kufirwa wewe mwanaume unayependa wanaume wenzako waku like nifirwe mimi ?
uwe unakuja magetoni kuchukua likes.
mshamba wa mitandao wewe 😏
Oyaa kama unaamini Mwenyezimungu anabariki kila mmoja kupitia jitihada zake usipite bila like kwnye comment hii
Kihukwel Funga Mwaka Hii
Nikwer hatamalaa anabalikiwa 😂😂
@@manirambonajeanne3876 Naye c anaomba Mungu apate Danga
Duuh dulla Nini umefanya kaka
Nic
Dulla makabila wewe noma kama unamkubali acha like hapa
Wangapi hii ngoma wameiludia zaidi ya mala 2🎉🎉🎉nyimbo ya mwaka❤
Huu ndio unaitwa ubunifu! Kufikiri nje ya box na kufanya tofauti na watu walivyozoea! Hongera Sana Dulla! Keep it up
Exactly
dula umetisha
Ndo Comment nlitaka nseme bas umeniwahi
Dura nakupenda sana
No one like you
Wakwanza mimi hapa wanangu wa dar es salaam naombeni like zangu
Unakula like
@@godfreychacha7970😂😂😂😂😂 jmn mpe
Na umekimbilia nn wakati mi ndo nafika nimekuta coment mia 400 na 😅😅😅😅😅😅😅
Iv wanao omba like wanazipelekaga wapi
Wa kwanza wa nyoko
Mie hata hainichoshi kuiangalia nakuisiliza hii nyimbo 🥰🥰🥰🥰🥰tuaompenda dullah king of Singeli gongeni like zenu hapaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii hizi ndo nyimbo zenye kuelimisha na kuifunza jamii, hongera sana Dulla keep on doing 🎉
Unasitaili like zote
Msanii mzur ni yule anaefikirisha zaid kwenye uandishi wake na hii kaka dulla umetisha sana tuliza akil zaidi...big up kaka✍🏻
Shikamooo dulla makabila narudia Tena shikamooo kaka dulla akuna wa kukuzid kwa ubunifu wa singer upewe tuzo yako brooo🙌🙌🙌
Tumeshapata mwimbaji bora wa singeri wa mwaka yaani wimbo mzuri,ujumbe mzuri,mpaka video nzuri ❤️❤️❤️
Sijawah kutoa saport ya nyimbo ila hiii imeenda dula mungu akuweke sana n uzid kufunuwa vichwa vya wapungufu wa fikra huuu ndo usanii🎉
Huyu mdada anajua sana kuigiza we dula muongeze hela❤❤❤
Tuchangeni tu
Tena namkubali
Wa Kwanzaa toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za dulla nije ama nisije weka like hapa zote ❤❤❤
The true meaning of creativity❤, no abuse language, no X videos, nothing bad but full of creativity ❤❤ , If you like it as me please like this comment for our artist Makabila
Sijawahi kumkataa Dalla linapokuja swala la Ubunifu kwenye ngoma zake
Mzee baba umetishaaaa sasa singeli hii imetoka kwenye uhuni mpaka burudani na elimu ndani yake 🙏🏾🔥🔥 Mungu akusimamie bro 💪🏼🙏🏾
KAMA UMEANGALIA HII NGOMA ZAIDI YA MARA MOJA GONGA LIKE 😄🔥🔥🔥
😂😂 😅❤
Nimeirudia hii nyimbo mpaka machozi yamenitoka, hongera sana dullah kwa UJUMBE huu
Nimeona vijana wengi wakiimba singeli hila dulla anajua sana❤❤
Kijana kabarikiwa singeli zinaujumbe kama hizi ni next level
Hakuna mpinzani katika hili dude la kufungia mwaka oya nasemaje nasemaje ikae one otrendng miezi Saba isitoke♥️💥💥💥💥💥💥
HUYU MTU MKALI...
1) JINI GANI?
2) WAONGO HAOO
3) PITA KULE
4) NIME GHAILI KUFA
5) NIJE AMA NISIJE?
MAONI: by bin simba sultan LET'S GO 🎉
@@ATM_FAMIL❤ or
Ni nouuma 🎉🎉🎉 jaman tudondoshe mauwa kwa like zenu wadau kama mnamkubali dulla
Dullah makabila ndo mwanasingeli wangu bora wa muda wote❤❤❤
king wa singeli ni dula makabila tu hao wengine hamn kitu ngoma kali san
Kuna waimbaji wengu wazuri wa singeli ila dullah amewazidi sana .anaubunifu sana wa mziki wake safi sana kaka Mimi shabiki wako.unatoa jiwe unaweka jiwe
Kwa maneno mepesi dulla Hana mpinzani kwenye singeli🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jamaa kafkria nje ya box sana,ngoma n hit sana..... ujumbe pia ✅✅
dura dura amini we ndo msanii pekee wa singeli zenye ujumbe mungu akubaliki sana 🙏
Dullah mungu azidi kukujalia nyimbo nzur sanaa yenye uhalisia ktk maisha
King of singeli from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Huu ndio muziki wa Sengeli original hongera sn makabila
Haki ya mungu mm sio mpenzi wa singeli lkn kwa dullah kaz zake nazipenda saana mwamba ana ubunifu wa hali ya juuu dullah atabaki kuwa king tumpe maua yake 💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Kama umerudia kuangalia zaidi ya mara mbili gonga like
Makabila ndo wasanii wanaojua maana ya sanaa, hongera sana kaka👏👏👏🔥🔥🔥🔥
Kwenye suala la ubunifu we ni bora sana kwa sasa❤❤❤
Dulla unaweza ata wakisainisha akina d voice Mia wewe utaki king of singeli
Tufungie mwaka Dullah hii nayo ikawe kali zaidi ya pita huku. 🙏🏾
Kaka nakukubali sana good music bro
@@user-pg5yp6eg3bkizazi bro
Unajua kuandika na kushoot hizi kazi. big up dulla makabila
Uyo alovaa nguo ya dokta ndo Mimi kabisa😮
Leo nimekubar kua we ndo King 🤴 of cngel
A king himself. Singeli ipo mikono salama kabisa
❤abdala kaweza 🎉
Best ever ,huyu jamaa huwa anawaza mbali kuliko tunavyodhani ,kuanzia pita huku,nije nisije na ile aliyoshirikishwa ya peleka gari kituoni ni idea zake ,yaani nyimbo inaelimisha mpaka inaboa na amezungumzia saikolojia ya makuzi ya mtoto akiwa bado yuko tumboni.🎉🎉🎉🎉🎉🎉
This singeli hit from Dulla Makabila is on repeat mode! 🔄🎵 Unmatched energy and beats that hit different. Dulla, you've done it again! 🙌💥 #SingeliFever #dullaMagic" gonga like hapa.... love from MARS👽
Safi sana ukweli umewaambia mama wa kizazi hiki cha sasa
Song Kali sana Big up from 254🎉🎉🎉🎉🎉
Ubunifu wako ni wa hali ya juu sana na ndio Mana upo tofaut sana na artist wengne bnafs nakubali uwezo wako na namna unavyotuletea vitu vya kipekee big up bro Dulla Makabila Mola akusimamie katk Kazi zako 🙏👊❤
Makabila uuuje...utupe burudani...mana kwa ubunifu bongo hauna mpinzani...nakushauri njoo..wala usiogope..
Wewe kiboko huna bayaa kubwa rama duii wa singeli hantariii kibokoyaooo 🔥🔥🔥🔥🙏💪💪💪💪💪
Hii nyimbo inafikirisha sana,,,hongera Dulla kwa masterpiece 🎉
Hapana, hapana na hapana tena, Dulla Baba umetisha sana, bonge la wazo. Kitu kikubwa sana.
Yaani huyu #dullamakabila ni zaidi ya msanii, anaelimisha na kuburudisha haswaaa, embu waza hili goma anavyokemea mambo mengi anaonya juu ya MAADILI mabaya katika jamii, na ni juzijuzi katoka kutupitisha huku wema na wabaya.MUNGU AKUFIKISHE MBALI BROTHER UNAJUA SANA KUELIMISHA NA KUBURUDISHA JAMII.
Masterpiece... The real definition of talent and creativity is this guy. Dulla de makabila..⚡⚡⚡⚡⚡⚡
Ila jamani huyu jamaa anatumia akili nyingi saaana dah hongera saaana kaka umezaliwa kwaajili ya mzk 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkili like mje na kwangu masheyn 🎶
Dullaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa eeh mwanangu umeuwa sana ❤
Dullah umewazidi wengi kwenye eneo la ubunifu. Wewe ni singeli Icon
uwakika hii imeenda na inachukua tena tunzo amini dulla ✅💫🙌🔥🔥🔥🦅✊
Mfalme wa singeli🔥🔥Toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakutambua dulla
Hongera sana Dulla kwa kaz nzur na inafundisha pia
❤❤❤❤❤
Mkali mmoja tu tz wa singeli dulla wa Moto 🔥🔥🔥
Kiukweli kabisa kaka Mimi skupingi wewe ni mwandishi mzuri kweli wewe King of singeli🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Dulla unafikiriaga sana big up...na director hajaikosea idea yako mmeua sana wakuuuu
Ujuee dula ana ki2 cha kipekee sana kwenye mziki wake me ni msanii ilaa kk nakupa mauwa yako🎉🎉🎉
Mungu akuzidishie kipaji na akuongoze na madili mema
Safi sana dullah nakubali kazi zako singeli wewe ndio the most artist bongo ila njoo bro tuu yote uamepita msamehe mama ❤🎉
King of singeliii na mafunzo ndani yake kwenye huu wimbo
Dulla ndo mond wa singeli❤
Dulla Makabila we ni fundi hizi ndo tungo sasa
King of singeli
Hii ngoma kali kuliko nyimbo zote za msanii mpya wa WCB...
kitendo cha kufaninisha tu bc bila shaka dogo umemuelewa
Ubunifu wahali ya juu pia dullah ni mmbunifu wa hali ya juu,,nakubali bro 👍👍
Huyu nesi Bi Ubwa nilimuona kwenye zahanati ya kijiji na ali-act poa sana
Good song, safi dulla
Dulla mbunifu sana❤❤❤
King Of singeli 👑 hongera makabila
Huu ni ubunifu wa kiwango Cha reli, excellent!!!!
Dulla ongera sana kwa nyimbo zako
Not only king of singeli but also king of creativity 🙌
Dullah mbona lawama hebu punguza kulia mwana 🎉🎉🎉
Daaaah Dulla makabila heee umenikosha sana kupitia hii nyimbo kama mimi nisingeli kuja duniani upewe mauwa yako
Wimbo uko saw dullah unajua sana hongera kwa ubunif
KING OF SINGELI ,IGWEEEEEEEE unajua ,unajua ,unajua tenaa❤❤❤❤❤
Natoka Kenya namukubali dullah makabila Sana lakin
Nacho sema haniezi kwa singeli aky am from Kenya king of singeli in Kenya 👑
Bonge moja la jimboo💥💥
Dullah nakukubali Mimi..all the way kutoka kenya🎉🎉🎉
Gonga like hapa🔥🔥🔥 from makabila fans
Dullah Makabila the King of Singeli especially in the matter of Creativity
Bonge la ngomaaaaaaaaa wajina umetishaaaaaa ww ni ataliiiiii
waoooh nimependa kiukweli Dullah umejua kunipa rhaaa khaa bi ugwa 😂😂😂😂❤❤❤❤
So creative, Jamaa nakuelewaga sana wewe ndio umenifanya nisikilize singeli napenda ubunifu wako wakipekee
Leo humu mpaka kieleweka Kila m2 wakwanza hii movie 🔥🔥🔥🔥
King of singeli dulla makabila
Dah ubunifu wa hali ya juu ujumbe mzuri ❤❤❤
Nakubali sana kaka dula big up sana kwako tuko pamoja🎉🎉❤
Safi sana ❤ nyimbo inaujumbe mzuri mno
Dulla wew noma Akina Mondi jini washuke wew jembe mm nmekubar🙏🙏🙏🙏
Yaan kwenye singeli hakuna kama wewe jiamini na uzidishe maalifa nakukubali sana bro❤❤❤
Uuunyama ni mwingii mzee uuliouufanya humuu..hit song on fire 🔥🔥❤️
Ujumbe mzuri sana huu, congratulations Bro👏
Kaka nakubali kazi zako yani una ubunifu wakipekea nakilasiku unakuja nakitu kipya.
Daah nyieee naombeni like Huyu jamaaaa noma na watu wake wako vizuri yaaan hiii lazimaaaa hiiii ifikishe iwe one so muda au Kesho asbh 🔥🔥🔥🔥📌📌📌
Umeshindikana dulla asee we ni 👑 of singeri 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Pure creativity! Ingekuwa ndefu kidogo