WADUDU ; WAMJIA JUU MAKONDA | HARMONIZE SIO TEMBO | RAYVANNY SIO CHUI | IRENE UWOYA | COUNTRY WIZZY

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 เม.ย. 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 36

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 หลายเดือนก่อน +8

    Hizi redio zimepoteza mwelekeo

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 หลายเดือนก่อน +5

    Pigeni mdomoooo weeee kwa makonda mr misifa mtaisha ote ,,badilisheni jina ilo
    Wananchi wamesha wachomea 📞😎

  • @hadijamatunda3691
    @hadijamatunda3691 หลายเดือนก่อน +2

    Nakuelewa depa

  • @taufikishazili5633
    @taufikishazili5633 หลายเดือนก่อน +4

    Always naheshiju sana jitihda zako bro msafi ...kuanzia kwenye kali za wana hadi kufika hapo naweza nikasema kitu kimoja ty .........in good .....way.................Hichi kipind cha planet bongo kipo on sport all mostly 5 .Na hii ni kutokana na machaguo sahihi ya guest (wageni waalikwa ) sio kila mmoja anatakiwa kupata nafasi ya kufika hapo ..inatakiwa iwe ndoto
    But for now brother msafi unatakiwa kutengeneza value yako na kipind ili kikipa nguvu na iki kiwe on sport at all

  • @KingKala-ik8oh
    @KingKala-ik8oh หลายเดือนก่อน +1

    I love you chuga USA kizaz og

  • @IsaacMichael-fw4cx
    @IsaacMichael-fw4cx หลายเดือนก่อน +1

    🎉Arusha is my home,I can't blame,

  • @kibemassao6478
    @kibemassao6478 หลายเดือนก่อน +4

    Acheni upumbavu mnajifanya mnakosoa redio kisa kuwahoji hao wadudu. Kwani c sehem ya burudani? Acheni maushamba

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu หลายเดือนก่อน +1

    É verdade irma ❤❤❤

  • @Layla_Sulaiman88
    @Layla_Sulaiman88 หลายเดือนก่อน +3

    Nikweli kabisa dada

  • @freddybaziraomari
    @freddybaziraomari หลายเดือนก่อน +3

    Watoto Wa ARUSHAAA😂😂

  • @user-pk1yl7zt8p
    @user-pk1yl7zt8p หลายเดือนก่อน +4

    Hii redio akiri amna

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 หลายเดือนก่อน

    Chugasta tujuwane asee❤❤ milad Ayo usijichunishe wewe ni chuga😂😂😂

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j หลายเดือนก่อน +1

    Kenyonyoooo!

  • @yusuphmtuga4951
    @yusuphmtuga4951 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani silku hzi media zinahoji kila mtu daah mnatukosea Sana

  • @bakarimrao3655
    @bakarimrao3655 หลายเดือนก่อน

    Tanzanait ipo manyara haipo Arusha.

  • @Officialshontz
    @Officialshontz หลายเดือนก่อน +1

    I like anavyoongea huyo dada kanyooka

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 หลายเดือนก่อน +3

    Kusema kwer mi napenda rafudhi yao hawa R.chuga 😂😂

  • @chinaaudax6459
    @chinaaudax6459 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo ndio chuga yenyewe chuga kama USA na chuga USA hiyo pia chuga ni mkoa tofauti sana

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j หลายเดือนก่อน +1

    Wazungu wanapika hapa lakin wadaa hawaeleweki

  • @amaniimani880
    @amaniimani880 หลายเดือนก่อน +2

    Alafu msichokijua mademu wanatembea na viwembe visu hiyo kawaida

  • @nasrinasri6691
    @nasrinasri6691 หลายเดือนก่อน

    kenyenyo hiyokichwa nieemtee nihamna😂😂😂😂

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 หลายเดือนก่อน +6

    Kwakua Wana Habari ni kama wako kwenye kuperereza hawa vijana. Watu wengi sio wabaya bali watu wemeshindwa kuwaendeleza kwenye vipaji vyao

    • @talentshow2024
      @talentshow2024 หลายเดือนก่อน

      Umesema vema waendeleze vipaji vya vijana

  • @selemanlumato6966
    @selemanlumato6966 หลายเดือนก่อน +2

    Msaada hyo playback ya ngoma Jina

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 หลายเดือนก่อน

      Ngoma ni ya kwake moncentrozone inaitwa KOVU mzee

  • @user-hn6kv6xe7m
    @user-hn6kv6xe7m หลายเดือนก่อน

    Yokeni hapo hamna ishu yoyote.washamba nyinyi.

  • @user-hz5dv2el4m
    @user-hz5dv2el4m หลายเดือนก่อน

    Siku yangu yakwanza kujuwa bei za mauwa ni Valentim dey hii . Kumbe ni bei kubwa sana yakupita adi pesa ya gunia la mchele kilo 50.

  • @user-hn6kv6xe7m
    @user-hn6kv6xe7m หลายเดือนก่อน

    Unaulizwa nn chuga jibu basi.mbona hamna ishuu watoeni humo studio 👺👹

  • @bluejayz1428
    @bluejayz1428 หลายเดือนก่อน +2

    😂

  • @makoyejohn3930
    @makoyejohn3930 หลายเดือนก่อน

    Wewe dada sio mdudu. Wadudu ni hao watatu. Akili yako ni kubwa sana.unaongea kwa mpangilio na kwa ufasaha. Mdudu anaongea chochote kinachokuja akilini mwake mwake😂😂

  • @kdpretoria780
    @kdpretoria780 หลายเดือนก่อน +2

    Kiboko yao Dangote

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 หลายเดือนก่อน +3

    Watu wa Arusha akir hawana

    • @calvinmbise9667
      @calvinmbise9667 หลายเดือนก่อน +3

      Tusingekuwa na akili tungekuwa tunaongoza kwenye matokeo ya kielimu miaka yote?,,kuanzia darasa la 7,,form 2,form 4,, na form 6,,,,miaka yote kuanzia uhuru mpaka leo isipokuwa ya kwanza kitaifa itakuwa ya pili kitaifa na ni wazawa wa hapa hapa R,,,je hiyo sio akili?? Chuga hii ni lifestyle yetu na sio uhuni

    • @calvinmbise9667
      @calvinmbise9667 หลายเดือนก่อน +4

      Angalia media za nchi hii watangazaji wakubwa wanatoka R vp hawana akili? Pls have respect

  • @Official-bataboy
    @Official-bataboy หลายเดือนก่อน +1

    Kila kitu pamoja na mashoga maana sijaona mkoa wenye mashoga wengi kama chuga😂😂😂