🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SEHEMU YA 2 SIMULIZI YA SARA - MAY 21
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- 🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SEHEMU YA 2 SIMULIZI YA SARA - MAY 21
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
efmtanzania
TWITTER:
efmtanzania
FACEBOOK:
efmtanzania
jmni Veronica 😅😆😄 wajua kweli kusimulia oh goodness this girl is something else..just love her😄😀
Dada Vero tumekula wakongwe nianza kufatilia tangu 2019
nipo hapa 2018 enzi za simulizi ya anna
Mimi 2011
@@JanethJaneth-b5f mmmmh simulizi gani ya mwaka 2011?
Da vero ameanza simuliz toka 2019 story ya Deborah naikumbuka msichana alimwagiwa tindikali ila iki kipindi nimeanza kukisikiliza toka enzi ya marehem bikira wa kisukuma set, mpoki na ema kapanga
Maisha ni safari ndefu sanaa🥹🥹
Jmn dada Veronica nakpenda xna
Da Vero mm nakupenda mno unasimulia vizur sana nimeanza kukufatilia toka mwaka 2013 Yan kipindi icho upo pless power
Simulizi tam sana aisee
Eheee sara mwanzo mzuri, ngoja nisubiri mbeleni itakuwaje
Najikuta nalia jamani 😭he's so lovely
Wengine wapenzi wetu wanaona aibu kutupeleka wanakoishi hongera sana kwa mume wa Sarah kwa kujiamini.
Sahihi
Hapa kwenye kulima ndipo chanzo chasie kuja kutupa funzo
Kwenda kulima🤭🤭🤭🤭
Mm nimeanza kumfatilia Vero toka mwaka 2013
Unafeli sanaaa maneno mengi songa na story acha maneno
Kuwa mpole
kumekucha 😂😂😂😂
😅😅😅
Jamani mpaka raha
Sarah subili kupigwa Tukio
Hlw da vero
Da vero kwa vile umeolewa basi unaingea sana au kuna watu unawachamba mbona hueleweki kwani ndoa ni pepo ya Mbinguni simukia simulizi acha kebehi
🤣🤣🤣🤣dah
😂😂😂jmn mbona ndio usimuliaji wake
Heal mama heal
Jaman
Mbona povuu😂😂
Huyo ndio mwanaume
Penzi bichi mpaka kesho!
Na mm sikati tamaa ipo siku nitakutananaye wa kunipenda na kujua majukumu yk km baba wa familia km alivompata sara mungu awasimamie ktk ndoa yk asiingie kidudu mtu
mpak imekuj kwa vero lazim kun tukio 😂😂😂😂 we ngoj
sara alipigwa tukio lazima ☺☺
😅😅😅😅 ila ww@@faidhamyovela179
@faidhamyovela😂😂😂😂 unais Kuna nn179
Hapo Kuna jambo lazima
Kwa Vero story ikifika mara nyingi kalizwa mtu😢
Akija hiyo jamaa mkata umeme basi tuonane kesho😂😂
yaaaaan umekua na maneno meng kama una funda kuliko kusimulia,na hayo matangazo bas dah tunakosa ule utamu wa preiz power
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣sanaaaa
😂😂😂😂😂😂
Sa mbona ni kama umekasirika😂😂
🤣🤣🤣😅
kunakoereke sara unaenda kupigwa tukio iro hutokuja kuamini
Hasante