Benard luwilo niko dodoma namuomba mungu anijalie hekima kazi zangu azibariki zipate matunda mema ktk familia yangu nabaraka za mungu ziwe kangu nakwafamilia yangu nìpate pesa zakujikim nafamiliya yangu unoombee mchungaji
Bwana yesu azidi kutuokoa naitwa benard luwilo nimlemavu wamguu wa kuume naomba mungu aniponye kwauwezo wanabii huyu akiomba juu yangu naamini kabisa nitapona amina
Nabii Dominick kiboko ya wachawi naomba uniombee maisha yangu yaende SAWA na familia yangu pia nipate kuinuka kiuchumi baba biashara sangu sifunguke nipate matunda masuri pia baba angu wamemloga saifi ni mlefi wa kutupwa naomba utuombee baba maisha yetu yabadilike katika familia yangu
Bwana yesu asifiwe.... Mtumishi naota ndoto mbaya sana Hadi ndoayangu naichukia naomba uniombee nipone pia nifunguliwe kiuchumi pamoja nawanangu wafaulu ktk masomo Yao,...Asante mtumishi mungu akuongoze kwahi
Baba naomba kupitia Madhabahu haya mume wangu arudishwe kwenye kituo alicho kua anafanyia kazi tangu mwaka 2023 nami nipate kazi tujenge tumechoka kupanga pastor naomba uniombee
Bwana yesu asifiwe .mtumishi wamungu mimi ninapo ishi panya wana nitesa sana na fanya biashara pesa zina potea tu hakuna cha maana ninacho fanya naomba unisaidie baba.
Baba yangu Dominick nakutumia sms haujibu.najua una watu wengi.tunaomba muongozo tuliopo mbali na dar.mimi Niko Zanzibar baba.Mungu akubariki uione sms hii na uijibu
@@stellamsokwa6785 kasome matayo 7-22 yesu anasema ndio siku hiyo watu watabisha wakisema bwana bwana tufungulie tulifanya unabii Kwa jina lako tulitoa pepo kwa jina lako na tilifanya ishara kubwa na miujiza mingi kwa jina lako yesu anasema ndipo nitakapowajibu ondokeni machoni kwangu siwajui mtokako nyinyi watendao uovu Sasa ndio ujiulize kwanini yesu anasema lazima atawafukuza ? na wakati walikua walifanya miujiza mikubwa Kwa Jina lake? acha ujinga kuwa na akili
Nabii Dominik Hadi machoz yakanitoka naomba niombee wachaw wamenizunguk Kila mahali familia yangu ipo hatarin mume wangu wamempig kiuchum kiafya naomba niombee jaman
Eeeeh baba nipe macho ya rohoni nikajuwe wabaya wote wanao nitesa kwa damu ya yesu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nabii Mungu akuweke
Naomba uniombee nabii naitwa levina Leutard
Benard luwilo niko dodoma namuomba mungu anijalie hekima kazi zangu azibariki zipate matunda mema ktk familia yangu nabaraka za mungu ziwe kangu nakwafamilia yangu nìpate pesa zakujikim nafamiliya yangu unoombee mchungaji
Bh
Bwana yesu azidi kutuokoa naitwa benard luwilo nimlemavu wamguu wa kuume naomba mungu aniponye kwauwezo wanabii huyu akiomba juu yangu naamini kabisa nitapona amina
Nabii nisaidie niko moshi isaidie shida nyingi nadini memgi mtoto ndio mengi sana isaidie nabii jina nifebronia
Nabii Dominick kiboko ya wachawi naomba uniombee maisha yangu yaende SAWA na familia yangu pia nipate kuinuka kiuchumi baba biashara sangu sifunguke nipate matunda masuri pia baba angu wamemloga saifi ni mlefi wa kutupwa naomba utuombee baba maisha yetu yabadilike katika familia yangu
Baba niombee niinuke kiuchumi
Mchungaj nisaidie baba nipo ifakara nasumbuliwa sana nataman ningekuwa na uwezo ningefika
From Kenya nabii wa mungu niombee Niko natembea na jini Kwa mwili nimeteseka sana nisaidie
Mungu amenionekania juu yako naomba uniombee maisha yangu yaende vinzuri na mungu akubariki mno,
Naomba.niobee ni mimi Lukas mkalanga wa a
Bwana yesu asifiwe.... Mtumishi naota ndoto mbaya sana Hadi ndoayangu naichukia naomba uniombee nipone pia nifunguliwe kiuchumi pamoja nawanangu wafaulu ktk masomo Yao,...Asante mtumishi mungu akuongoze kwahi
Endelea na uduma mungu abariki uduma uliyobarikiwa naitwa salumu lulida magomeni mwembechai daresalaam umetisha,kazi iendelee
Mungu akutunze sana
Baba naomba kupitia Madhabahu haya mume wangu arudishwe kwenye kituo alicho kua anafanyia kazi tangu mwaka 2023 nami nipate kazi tujenge tumechoka kupanga pastor naomba uniombee
Amina. Mtumishi naomba unisaidie kumfufua baba wa mtt wangu alitolewa kafara.
Your the major prophet in our days. May the heavenly father keep you. Our family really loves you.
Shaloom mtumishi
Mungu aibaliki kazi ya mikono ya kiboko ya wachawi
Mungu naomba unifungue maisha yangu mim magreth john
Amen eee Mungu naomba unitetee naomba unifungue kiuchumi maradhi ndoa uzao ujenzi gari naomba wale wote waliyonifunga nawateketeza kwa jina la yesu
Mtumishi wa mungu naomba uniombee niweze kufanikiwa katika maisha yangu nipo chuon ili niweze kusaidia wadogozangu walemavu
Mungu azidishe kipaj chako nakuomba uniombee🙏🙏🙏nko na matatizo
Pasita naomba unitumiy 5:17 nambaa yako
Pastor Dominic kiboko ya wachawi jina Godfrey nipo sinza
Amen amen eeeh mungu unifunguwe na kila neno mbaya kwa maisha yangu na unipe rehema na hekima na watoto wangu in jesus name
Amen naomba unitabirie baba napitia mapito magumu sina pesa sina mke sina nyumba kila ninachokifanya hakiendi
Amina mtumishi kiboko ya wachawi ,
Amina kubwa
Mungu akushidishie baraka
mungu nisaidie nikutane na jasoni na anipigie sm na anitumie pesa nyingi
Kwenye radio mnapatikana chanel gan
Mtumishi wa Mungu. namba umuombee mtoto wangu Chizostomus maana hayuko sawa kimasomo
Naitwa Jackson naomba umwombee baba yangu ni mgojwa pia mama yangu and uvimbe mkubwa tumboni naomba umwombee asante sana
Mtu wa mungu naitwa Jackson nimepotelewa na mwanangu wa kwanza mwaka wa 4 naomba unirudishie kijananangu ubarikiwe sana
Amiina baba namm naleo na funguliwa pamoja na mtoto amiina
Bwana yesu asifiwe mtumishi, nabii naumw tumbo naomb uniombee mtumish
Amina
Hakika Mungu kakutuma kwa ajili yetu. Naomba utuokoe watu wako tunateseka
Amina baba mim kwamajina naitwa sara isaya machera kutoka dodoma sema tupone baba
Sasa mbona mnakatisha video kabla ya tukio lenyewe!
Baba naomba unifungue Mimi na familia yangu kwa jina la Yesu
Mungu akuzidishie mtumishi
Amen naomba unifungue nipone kichwa uchumi ndoa
Nabii mungu akuweke mi stera nakujaaaaaa baba
Mtumishi yesu asifiwe naitwa joyce naomb uniombee ndoa yang imevurugwa npo arusha
Mungu akukumbuke maana mmmmm!
Amen Amen Amen
Baba nami niombee kufunguliwa kwenye maisha yangu
Mtumishi mm Niko mbali na dar lakin nimeona maombi yako kwenye mtandao nawezaje kujiungamanisha kwenye ibada na kuombewa?
❤Amina
Nabii nitabiliwe hakuna mganga alieweza kunitengenezea nyota yangu ila naimani wewe baba dominic utanivua hili vazi la kutokufanikiwa
Nabii naitwa naza huruma mziray Nina shida ya uchumi wangu hauponsawa pia na familia yangu naomba uniombee
Naomba namba yako mtumishi
Mungu akubariki mtumishi
AMINA baba ubalikiwe sana
Baba naomba umuombehe mtoto wangu awezekutembea
Bwana yesu asifiwe .mtumishi wamungu mimi ninapo ishi panya wana nitesa sana na fanya biashara pesa zina potea tu hakuna cha maana ninacho fanya naomba unisaidie baba.
Bwana yesu asifiwe Nabii wa mungu kwa majina naitwa James massawe
Watesi wote wanaosumbua familia yetu wakate moto kwa jina la Yesu
Amen
Naomba mungu wakiboko ya wachawi awapige wachawi wotewaliomua Binti yangu
Bean yesu asifiw ,nabii mim nasumbuliw na tumbo naomb uniombee
mungu nifungue nimjuwe mbaya wangu
Raheli Mlekwa Emmanuel naomba unisaidie mimi na familia yangu tunapitia magumu kwenye upande wa uchumi
Pasta Dominik niombee nakohoa sana
Napenda kufika kwenye mazabahu ya nabii ila2 uwezo wa nauri Sina had
Am watching u from Kenya pray for me
Mchungaji uuko vizuri sana natamani nikuone
Mungu wa kiboko wa wachawi anionekanie.
Eeee nabii wa mungu niombee Mimi Niko na shida kubwa baba
Nabii dominick naomba niombee mm na familia yangu fungua uchumi wetu
Naomba waombee wanangu beyonce nastar🙏
Pasta niombee mume wangu ana michepuko wengi mnoo
Nitabilie NAMI baba
Baba bwan yesu asifiwe nimejiungamanisha kweny maombi yako bab ila bado mm nikibeba ujauzito mimba zinatoka bab
Baba yangu Dominick nakutumia sms haujibu.najua una watu wengi.tunaomba muongozo tuliopo mbali na dar.mimi Niko Zanzibar baba.Mungu akubariki uione sms hii na uijibu
bwana asifiwe mtumish wabwana naitwa laurent pasta naomba unitabiria niwakina nani wana angaika namm mafanikio yangu maana kipato changu kime shuka sanaa
Amen mtumishi
Najiconnect na uwo uponyaji
Mtumishi bwanayesu asifiwe sana ninashinda kubwa niombee nipatekufikakanisani
Naomba uniombee baba nijifungue sarama namwezi wangu wamakadirio urikuwa mwezi wanna tarehe29 nashangaa mpaka reo sijajifungua natumbo rimekuwa rikiuma rinapoa sijajua shida nini naomba unisaidie baba
Pastor naomba niombe dada yangu amakufa kifo sio cha kawaida na mm kaka yake maisha yangu yamekuwa magumu kila ninachokifanya hakiendi sijuii kwa nini
acha ujinga hao ni matapeli tena yesu mwenyewe anasema ukae nae mbali watu hawa
We nawe kama umetapeliwa ni wewe na mikosi YAKO tuache tunaoamini tupokee😏
@@stellamsokwa6785 kasome matayo 7-22 yesu anasema ndio siku hiyo watu watabisha wakisema bwana bwana tufungulie tulifanya unabii Kwa jina lako tulitoa pepo kwa jina lako na tilifanya ishara kubwa na miujiza mingi kwa jina lako yesu anasema ndipo nitakapowajibu ondokeni machoni kwangu siwajui mtokako nyinyi watendao uovu Sasa ndio ujiulize kwanini yesu anasema lazima atawafukuza ? na wakati walikua walifanya miujiza mikubwa Kwa Jina lake? acha ujinga kuwa na akili
@@Hussein-gx4quhawawez kukuelewa page ya wafuasi wake hiii
Nataman nipate namba yako mtumishi wa mungu
Baba Dominic naomba usome meseji zangu uombee mahitaji yangu nisaidie baba
Pasta kiboko yawachawi naomba uniombe mm Veronika George masunga
Mm namini
Mimi Azina nakuomba unisaidie nateseka na watt wangu wametumikishwa ktk nguvu za Giza Niko kwenye mazingira magumu sana
Ee baba mungu wako akutane na wachawi wanao nitesa usiku wa Leo Kwa jina. la yesu
Naomba nabii nishughulikie ndoa yangu familia yangu inayumba
Naitwa ANGEL WILSON CHACHA NPO LINDI
Nabii naomba nifungue namm na familia yangu
Ameeen
ameeen
Ameni baba naomba wote wanaoni roga wauunguzwe na moto damu yayesu inikomboe
Mmmh kwakwel n hatar
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏
Mchungaji kwa marina ya silingo maigwa Korea niombee mchungaji
Hi❤
naitwa marry naomba niombeee pst nimeachishwa kazi nahitaji kufanya biashara na pia nahitaji ndoa🙏
acha ujinga hao ni matapeli
@latifaomary7538 ...kama ni suala la ndoa mimi nipo tayari kukuoa 🙏❤️💕❤️
Nai.twa amina lashidi. Niki Oman. Nimekuja kutembaya
Nabii naomba umuombee binti yangu aweze.kurejee nyumbn yuko Nairobi miaka 5 ss iv hajawh kuja nyumbn na sina mawasiliano nae yyt
Mtumishi kiboko ya wachawi naomba umfungue mwanangu aweze kuongea anaitwa zainabu hassan
Nabii kiboko ya wachawi niombee Mimi na watoto wangu Frank Edith nikas zulea
Pasita naomba uniombe plz nafatwa na majaribu leo karibu nichomeke mungu Aliniokowa naomba maombi kwako 🙏🙏
Nai.twa amina lashidi. Niki Oman. 6:36 Nimekuja kutembaya
Niombee pastor kiboko ya wachawi nina muda ss sipati kaz
Nabii niombee na Mimi nifunguliwe na familia yangu
Nabii Dominik Hadi machoz yakanitoka naomba niombee wachaw wamenizunguk Kila mahali familia yangu ipo hatarin mume wangu wamempig kiuchum kiafya naomba niombee jaman