💔inauma…. Ila huenda MUNGU alikuwa anamtumia Ummy ili kumfikisha mtu (Daniel) mahala fulani. And it looks like the game is over. Move on Mamaa😢 ni ngumu ila inawezekana. MUNGU analipa thawabu
Mwanaume ukimsaidia pesa anajua mwisho wa siku wewe uliempa utakuja mcontrol tu 😂kitu anafanya ni anatafuta mtu mwingine anaeweza kumcontroll 🤣🤚jamn mwanaume apewi pesa anatiwa moyo na nguvu ya kutafuta pesaa 💔
Ni kwamba wanawake mmekata tamaa hvy mpk mnawapa wanaume pesa jmn mbon dada mzuri hvy kwann unajikatia tamaa hvy me lishangaz wa miaka 33 lkn sijajikatia tamaa
block hiyo biashar arudi kijijin mana hana akili na ucrudie kumpa mwanaume hela ni saw na mwanamke japo na mim ni mwanamke lakn unanunuliw gar mda huo afu unampenda anayekuwekea mafut hahahaha hatr na nusu mapenzi tuwaachie wahindi na wakorea tu tukalime shambn
Rabda mwanmme Allion din itakua taofaut ndo akatafuta din saw rabda na dadaangu ummy huyo mwanmme umefanya kosa la kumpangia seem yake na ww upo seem yako hilo ndo tatizo kwann usingekaa nae pamoja pia poe san kipenz
@@thabitimkufi7388 kweli kaka ani me sijui nina bahati Gani nakutana na mapaka yanayowaza viwanja tu qumamake 😂 nikimpata kama huyu ntampenda Hadi nimkere
Tangu nitendwe naogopa hata kuambiwa nakupenda na mpaka sasa mwaka wa tatu sina mtu naogopa ndo nimekua saidia fundi maana sijasoma na mwanaume alikua msomi kapata msomi mwenzie nikasema sijakua na mtu wakunisomesha kwaio nabeba zege ila naamini ipo siku mungu atanipa wangu tu
Leaa tu mwanao dear Achanaa na huyoo mwanaumee hanaa malengo yoyote na wewe ndg yang focus on your goals mbonaa we mrembo na bdo mdogo jmniii komaaaa dear Achanaaa na huyoo kaka aiseeee, , , yaaaan mpk napataaa hasiraaaa
Siku nyingine ni bora muongee kiswahili mwanzo mwisho kuliko kuchanganya na kingereza mpaka mnakosea. Haya huyo dada kasema “the gay” badala ya “the guy”
Unachotakiwa kumsaidia mwanaume wako ni chakula na maji tu ukimfanya awe wa hadhi ya juu atakuacha atafute wa hadhi yake yaani hawa wanaume ukimtoa babu yangu wote mbwa tu😮😮
Hey guy hebu tatua iyo issue ikae sawa huyo binti anatakiwa amsamee huyo jamaa...we ni chanzo cha kujua ukwel kwa huyo dada pia kuwa chanzo cha daniel kupatana na ummy
Mapenzi yamekuwa mabaya jaribuni na kilimo😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂
Umenifurahisha mwanangu
Daaaa Yan mm siwezii haya mapenzii ya bongoo Yana umizaa kichwaa kwa mm nisiyeenpendaa hekahekaa hapanaa sitawezaa
💔inauma…. Ila huenda MUNGU alikuwa anamtumia Ummy ili kumfikisha mtu (Daniel) mahala fulani. And it looks like the game is over. Move on Mamaa😢 ni ngumu ila inawezekana. MUNGU analipa thawabu
Jifunzeni kitu wanawake ukimuhudumia mwanaume ujue anakaa na wewe coz ya pesa zake lakini inreal sense wewe hakupendi
Mwanaume ukimsaidia pesa anajua mwisho wa siku wewe uliempa utakuja mcontrol tu 😂kitu anafanya ni anatafuta mtu mwingine anaeweza kumcontroll 🤣🤚jamn mwanaume apewi pesa anatiwa moyo na nguvu ya kutafuta pesaa 💔
hilo neno kbsa
Kabisa akina akili
Kweli kabisa hapo umenena
Sure
Kabisa
Dada achana na huyu mme,lea mtoto wako na fatuta pesa
Yaani hamna eti amepangishia why wasikae nyumba moja😂😂😂😂
Heti mm nashangaa
Unajua pamoja na vyote kuwa ana afamya mapenzi kisiri Siri lbd hatak family yake ijue kuish na mtu Ambae hajakuowa
Fatuta pesa😂
@@ingabireshakira9631 mbona kaeleweka unamkosoa nini kwa typ haimuachagi mtu salama hata wewe ushakosea sana tu
Yaaan bora utunze wazazi wako wakubariki kuliko hicho kibuyu Daniel. Pole.
Achana na mapenzi kwasasa lea mtoto
😂😂 kibuyu
Sema mwamba hajatuangusha wakulungwa zote kaz 😅😅😅😅ila sasa kazini kwake kuna kaz😂😂😂
😂😂😅😅
😂 Au sioo
Mimi naomba pepo la kumsaidia mwanaume kipesa stak mana kuja kulia mara mbili stak bora nlie mara moja
Naisubir part 2 apigiwe cm Daniel achaguee!!mapenz msenge sanaa aloo
Shakukushauri dada uyo Jamaa Achana nae mfukuze mrudishe kijijini uyo Jamaa hafai kabisa
acha roho mbaya
@@braithe100 mchukuwe ww ukae nae mwenyewe roho nzur
Mimi nitajalibu kilimo nione🤣🤣🤣
Pole sana dada usikate tamaa we ni mzur sana
Yeah..mi mrembo
I think na mm nipate bint mrembo kama wewe
Achen kufanya kazi nusunusu mpakq tubembeleze part 2 jamn
Bi mdogo umejipa asilimia zote uko pekeako 😢wanaume ni nyoko hamnaga mwanaume singlee
Ummy mzuri Mash'Allah 😊😊😊
Duh jamaa kaznguw sana Yan m nipate husiano linalo eleweka kama hili alooo kunitoa mje mnitoe na tingatinga kwenye hili husiano
🤔
Ukiachana na msemo wake "That is very touching" ni neno gani jingine ambalo linamtambulisha Mr. UK ??
Hivi ujasir wa kumuhudumia mwanaume hua mnautoa wap😂😂😂😂
Ni kwamba wanawake mmekata tamaa hvy mpk mnawapa wanaume pesa jmn mbon dada mzuri hvy kwann unajikatia tamaa hvy me lishangaz wa miaka 33 lkn sijajikatia tamaa
Tufanye kazi tuachane nahabali zawanaume
Aise Kuna watu hawajielewi
Aisee kumbe wanawake Bongo mna hela eeeh una hustle then unamuhudumia mwanaume easly wakati una mtoto kwanini usiwekeze kwa mwanao😭😭😭
Usiwe unaongeza kingereza maana ni kama una unga unga😂
Isha nkuta namim kumtoa kijjn kwao kumleta mjin nkamfungulia kibanda lkn haeleweki mpaka kesho nmemuacha alivo
Dad ogop mwanaum anaitwa Danny kimbia nin maan mm nin historian na Iko jina
Hata mm na historia na Hilo jina , we acha tu
Na kevoo😮😮
Duuuuuh najifunz mung san
block hiyo biashar arudi kijijin mana hana akili na ucrudie kumpa mwanaume hela ni saw na mwanamke japo na mim ni mwanamke lakn unanunuliw gar mda huo afu unampenda anayekuwekea mafut hahahaha hatr na nusu mapenzi tuwaachie wahindi na wakorea tu tukalime shambn
Mr uk nitumie namba ya umi
Pole dada mwanaume ukimsaidia Kwa wema ajali samani yako
Kweli
Ni marafuku mwanamke kuoa😂😂😂😂😂
Kwani wanatumia kigezo gani mpaka wanalea mwanaume jaman mwanamke inatakiwa utunzwe kyeee lazima usalitiwe
Mr uky na kiingereza chake kama hamorapa😂😂😂nyie wenye kuhudumia wanaume niwaambie tu mkapimwe akili
Jamani wajina na wewe pia kenge ana kuumiza kichwa timua akalime mihogo uko kwao
Dada says who mkaka analelewa???? Km umemfungulia biashara Alitakiwa ahudumie kila ktu. S ushaplay part tyr
Duh.. Ndy maana nawaza sana pesa mm
😂😂😂 single mom kwann ukuuzulia kikao cha mwisho tulivyopanga usiwai vunja rules no 5 ona sasa ushaivunja why unatuaribia usingle mother wetu????
dah jamn mbona mm sipati wanawake kama hawa jmn eheeee aiseeeee
Hiii inambambaaaa😂😂
Brown Maria Davis Joseph Young Jason
Cwez hela ninazopatia tabu nikampe mtt wa Mtu cna mapenzi hayo kabc bora niwape wazaz Wang hamn mapenzi ya kwel ukiweka pesa mbele
Rabda mwanmme Allion din itakua taofaut ndo akatafuta din saw rabda na dadaangu ummy huyo mwanmme umefanya kosa la kumpangia seem yake na ww upo seem yako hilo ndo tatizo kwann usingekaa nae pamoja pia poe san kipenz
Achana naye dsda munya nganye shop yako maisha aya djaisha ungali mundogo sana uyo byana Yako mujinga
Chukua duka unalia nini 😂😂😂
Ukome!!!! Helazako hazina kazi? Hunandugu zako wenye uhitaji?? Nikweli umejitosheleza au nikutaka sifa?? Tena kwann nyie mnaolemaza watt wetu wakiume kwa kuwahudumia isipatikane sheria mfungwetuuuu!!!!! Nisawa kumsapoti mwenzio lkn ndompaka mtaji unamlipia kodi unamlisha jmn jmn hujioni mjinga!!
Part two plz
We dada una kichaa,pesa zako hazina kazi,duh!
Unajua raha ya kupigwa dekii .. au kukojozwaa😅😅
Sasa si tayari ulimfungulia biashara, sasa kwa nini asiendele kujihudumia mwenyewe,
wanawake acheni kuwapa pesa wanaume daah😢😢
Sitaki ku coment chochot mpaka sasa and 😊😊 by the way i dont understand swahili ila ngoja nisubir part 2 OMG
Yani wanaume wanacheza na akili zake cc wanawake. Lzm tuwe makini nao. Anakua na mwanamke mwengine. Mwengine anajiamini yupo peke yake.
Ila jamani anajua kuchagua pisi zote ni kali
Saf dan ukipata nafs yakutesa n kuwatesa tu mmaee
Part 2
😂😂
Anitafute mie tu nimpe raha ya upendo
😂
Dada angu sifa ya mwanaume kuhudumia hapo ndio anaona uwanaume wake
Mbn kripu zenu aziko katika muendelezo zote it's shot
😅😅
𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊 𝒋𝒂𝒎𝒏 𝒘𝒂𝒅𝒂𝒅 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒐 𝒘𝒂𝒖𝒅𝒖𝒎𝒊𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒖𝒎𝒆 𝒑𝒆𝒔𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒑𝒂𝒕𝒂 𝒘𝒂𝒑
Kiufpi chukuwa vitu vyako kafungie stoo Daniel uachane naye unatuangusha singo mazaaa😂😂😂
Mmmm mapenzi haya hatr tunasubili pati tu mm ctaki kumpa mtaji mwanaume jamani yalio nikuta makubwa Pole mdada jamani
Yaani watu hawana huruma kbs
Yaani unapata mwanamke mzuri anapambana na anaelewa Nini maana ya maisha na bado unacheet daaaah
Aisee upele unawapata wasio na kuchaaa
@@thabitimkufi7388 kweli kaka ani me sijui nina bahati Gani nakutana na mapaka yanayowaza viwanja tu qumamake 😂 nikimpata kama huyu ntampenda Hadi nimkere
Tunajari bc😂😂😂
Acha wanyooshwe wapuuzi hawa
Ndomana kumuhudumia mwanaume siwez kwasababu hatakayokuja kulipaa😂😂utalia mara 2😢😢😢
Mapenzi yameshindikana India mutayawesa African 😂😂😂
😂😂😂😂
@@meshacklekie4002🤣🤣🤣
😂😂😂jamani mtoto wa kiume usiomzaa audumiwi tujifunze
😂😂😂 serious
na ukianza kumuhudumia nae anaenda kuhudumia mwingine
Binafsi suweziii
Nashangaaaaaaaaaaa had nalia jmn wahi nihudumie mtot wa mtu jmn😢😂😢😅😢😂😂😂😂
Tangu nitendwe naogopa hata kuambiwa nakupenda na mpaka sasa mwaka wa tatu sina mtu naogopa ndo nimekua saidia fundi maana sijasoma na mwanaume alikua msomi kapata msomi mwenzie nikasema sijakua na mtu wakunisomesha kwaio nabeba zege ila naamini ipo siku mungu atanipa wangu tu
Pole sana mungu yupo
Tupo uku
Jina lenyeweee Daniel 😂😂😂....2lio single tuendelee kujifukizaa 🥱
🤣🤣🤣🤣
😊😊😊
😅😅😅😅
Ukishakua single mother ni maumivu kupata mwanaume atakaekubali mechi ianze moja bila ni ngumu labda kama ana shida sana
Leaa tu mwanao dear Achanaa na huyoo mwanaumee hanaa malengo yoyote na wewe ndg yang focus on your goals mbonaa we mrembo na bdo mdogo jmniii komaaaa dear Achanaaa na huyoo kaka aiseeee, , , yaaaan mpk napataaa hasiraaaa
Kwani hizo pesa za kumpangia mwanaume mnazotoa wapi😅😅😅
Sio kila mwanamke tegemezi kama marehemu.
Ata mm najiulizaga .
😂😂😂😂😂
Aiseee naenjoy sanaa 😂pia najifunza mengi sana kupitia Mr uky
Ila kuna mengine yanachekesha😂😂
Yaan mpka naogopa😂😂😂
@@AgnesDavid-et3zn yaan yahuyo dada kidg yalonikuta miye achaa tu mungu ndo anajua
@@CherylEdward-em8ix unaogopa nn sasa mm asaiv nimeacha kupenda🤣🤣🤣💗
@@ZuwenaMohammed-fp4yv kwahiyo yako makubwa kuliko ya huyo pole dada
Mimi nimehamia jwenye kilimo cha maparachichi wanaume nimepumzika
Siku nyingine ni bora muongee kiswahili mwanzo mwisho kuliko kuchanganya na kingereza mpaka mnakosea. Haya huyo dada kasema “the gay” badala ya “the guy”
Ebu itamke tuone tofauti
😂😂😂
Ummy kajaje huku 😂😂, my friend kaumia sana ila kuja kwa media kateleza
Kiupande wangu, mapenzi na waachia WAHINDI🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
🤣🤣🤣🤣🤣Ewaaaaaaa ilooo naloo neno
@@WelimaNyamwanja 😅😅😅🤣😂🤣
🤣🤣🤣🤣 kwakwel sikuhiz nawaza maokoto Tu ndo kila kitu 🙌🙌
Kula tu ndio kitu pekee hunisumbua haya mapenzi sharukh Khan aendelee nayo😂😂
@@LatifaKinanay 😂😂😂 nimecheka kama fala
Ila wanawake tukome viherehere sb sisi hatupaswi kuhudumia na kupenda jamaniii. Khaaaa. Tatizo siku hizi hatujielewi
Wanawake mnafeli wapi?? Hv bado hamjui kuwa mwqnaume hatosheki na mwqnamke mmoja??
Kingereza chako kinanifanya klipu zako sifuatili mpaka mwisho ongea kiswail
Clark Amy Davis Larry Gonzalez Cynthia
Wanaume ni ukwaju tena mchachu😂
😅
Wanaume ni wadudu🙏😂😂
Unachotakiwa kumsaidia mwanaume wako ni chakula na maji tu ukimfanya awe wa hadhi ya juu atakuacha atafute wa hadhi yake yaani hawa wanaume ukimtoa babu yangu wote mbwa tu😮😮
Mi hapo sijaelewa sa si ana duka la perfume kwanini bado unamlipia pango jamni wanawake tusijitwike majukumu ya wanaume
Martin Frank Hall Gary Jones Joseph
Anderson Steven Allen Gary Taylor Sandra
Mnalilia mahusino yasiyokua ya ridhaa ya MwenyeeziMungu ?
Hey guy hebu tatua iyo issue ikae sawa huyo binti anatakiwa amsamee huyo jamaa...we ni chanzo cha kujua ukwel kwa huyo dada pia kuwa chanzo cha daniel kupatana na ummy
Ww unadhalilisha kina ummy hatunaga tabia ya kulea waume ovyo😂😂
Sasa ww kama uko SINGLE kwanin usikae nae kwako? Kwanin umpangishe awe nayeye Single?
Embu tuache kuhudumia wanaume wakipatag ela hawakumbuki ww ulomuhudumia
Mr. UKY bwana Ukweli ni mzuri jinsi unavochanganya ngeli unaharibu...
Sasa mbona daniel hujamuwek hapo kati wambananisheeeee
Jinga kumpangishia na kumuhudumia mwanaume ni kumzarau mwanaume na majukumu yake kwendaaaaaaaa na lazima ungelia tu
Dada acha ujinga wa kuwapa wanaume pesa saidia yatima wapo wanalal njaa bwege san w naujinga yako hii
Garcia Jose Brown David Johnson Edward
Bro naomba nmb ya ummy kaka nikutane nae I'm Gregory bro i need her pleasee
Sasa kama ni mtu wake kwa nini wasiishi pamoja why anampangishia nyumba
Wadada wanapenda kupendwa
Jamaa kalipa vitu vyote tyr kapewa mzigo
Uwo ni ujinga wenu wanaume wapo kibao munalalama apoapo
Dada mwanaume hasapotiwi financially ni emotionally tu
Mimi nitajalibu kilimo nione🤣🤣🤣
Zote ni pic😊daadek