MAPENZI YA BONGO pt1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • Devid Ameleta mzozo Kati ya Ummy na Dorv

ความคิดเห็น • 451

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 4 หลายเดือนก่อน +103

    Mapenzi yamekuwa mabaya jaribuni na kilimo😂😂😂😂

    • @meshacklekie4002
      @meshacklekie4002 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @godfreyerjames3837
      @godfreyerjames3837 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @ramadhaniabdulabdul
      @ramadhaniabdulabdul 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @LINETHMUNUO
      @LINETHMUNUO 4 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂

    • @jobutv7688
      @jobutv7688 4 หลายเดือนก่อน +3

      Umenifurahisha mwanangu

  • @ConfusedOpenStadium-sl1he
    @ConfusedOpenStadium-sl1he 16 วันที่ผ่านมา

    Daaaa Yan mm siwezii haya mapenzii ya bongoo Yana umizaa kichwaa kwa mm nisiyeenpendaa hekahekaa hapanaa sitawezaa

  • @monicambarikiwa9532
    @monicambarikiwa9532 4 หลายเดือนก่อน +11

    💔inauma…. Ila huenda MUNGU alikuwa anamtumia Ummy ili kumfikisha mtu (Daniel) mahala fulani. And it looks like the game is over. Move on Mamaa😢 ni ngumu ila inawezekana. MUNGU analipa thawabu

    • @teddysisty320
      @teddysisty320 หลายเดือนก่อน

      Jifunzeni kitu wanawake ukimuhudumia mwanaume ujue anakaa na wewe coz ya pesa zake lakini inreal sense wewe hakupendi

  • @safinandomba990
    @safinandomba990 4 หลายเดือนก่อน +12

    Mwanaume ukimsaidia pesa anajua mwisho wa siku wewe uliempa utakuja mcontrol tu 😂kitu anafanya ni anatafuta mtu mwingine anaeweza kumcontroll 🤣🤚jamn mwanaume apewi pesa anatiwa moyo na nguvu ya kutafuta pesaa 💔

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 4 หลายเดือนก่อน +23

    Dada achana na huyu mme,lea mtoto wako na fatuta pesa

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 4 หลายเดือนก่อน

      Yaani hamna eti amepangishia why wasikae nyumba moja😂😂😂😂

    • @mishimzihir421
      @mishimzihir421 4 หลายเดือนก่อน

      Heti mm nashangaa

    • @nikrahayubu-sz3pw
      @nikrahayubu-sz3pw 4 หลายเดือนก่อน +2

      Unajua pamoja na vyote kuwa ana afamya mapenzi kisiri Siri lbd hatak family yake ijue kuish na mtu Ambae hajakuowa

    • @ingabireshakira9631
      @ingabireshakira9631 3 หลายเดือนก่อน

      Fatuta pesa😂

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 3 หลายเดือนก่อน

      @@ingabireshakira9631 mbona kaeleweka unamkosoa nini kwa typ haimuachagi mtu salama hata wewe ushakosea sana tu

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 4 หลายเดือนก่อน +4

    Yaaan bora utunze wazazi wako wakubariki kuliko hicho kibuyu Daniel. Pole.
    Achana na mapenzi kwasasa lea mtoto

  • @bathoromeorichad2957
    @bathoromeorichad2957 4 หลายเดือนก่อน +9

    Sema mwamba hajatuangusha wakulungwa zote kaz 😅😅😅😅ila sasa kazini kwake kuna kaz😂😂😂

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi naomba pepo la kumsaidia mwanaume kipesa stak mana kuja kulia mara mbili stak bora nlie mara moja

  • @StellahSaid
    @StellahSaid 4 หลายเดือนก่อน +1

    Naisubir part 2 apigiwe cm Daniel achaguee!!mapenz msenge sanaa aloo

  • @ThauratSule
    @ThauratSule 4 หลายเดือนก่อน +8

    Shakukushauri dada uyo Jamaa Achana nae mfukuze mrudishe kijijini uyo Jamaa hafai kabisa

    • @braithe100
      @braithe100 4 หลายเดือนก่อน

      acha roho mbaya

    • @ThauratSule
      @ThauratSule 4 หลายเดือนก่อน

      @@braithe100 mchukuwe ww ukae nae mwenyewe roho nzur

  • @Aishatheboss117
    @Aishatheboss117 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi nitajalibu kilimo nione🤣🤣🤣

  • @Denismayeye18
    @Denismayeye18 4 หลายเดือนก่อน +8

    Pole sana dada usikate tamaa we ni mzur sana

    • @LutfiaRashid
      @LutfiaRashid 3 หลายเดือนก่อน

      Yeah..mi mrembo

    • @Denismayeye18
      @Denismayeye18 3 หลายเดือนก่อน

      I think na mm nipate bint mrembo kama wewe

  • @Nalee-f5b
    @Nalee-f5b 4 หลายเดือนก่อน +3

    Achen kufanya kazi nusunusu mpakq tubembeleze part 2 jamn

  • @SalomeSylvester-er3rq
    @SalomeSylvester-er3rq 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bi mdogo umejipa asilimia zote uko pekeako 😢wanaume ni nyoko hamnaga mwanaume singlee

  • @aud548
    @aud548 4 หลายเดือนก่อน

    Ummy mzuri Mash'Allah 😊😊😊

  • @mickdady9536
    @mickdady9536 4 หลายเดือนก่อน

    Duh jamaa kaznguw sana Yan m nipate husiano linalo eleweka kama hili alooo kunitoa mje mnitoe na tingatinga kwenye hili husiano

  • @joelj.kimatare473
    @joelj.kimatare473 4 หลายเดือนก่อน

    Ukiachana na msemo wake "That is very touching" ni neno gani jingine ambalo linamtambulisha Mr. UK ??

  • @rachelcharles2383
    @rachelcharles2383 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi ujasir wa kumuhudumia mwanaume hua mnautoa wap😂😂😂😂

  • @neykombe8831
    @neykombe8831 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kwamba wanawake mmekata tamaa hvy mpk mnawapa wanaume pesa jmn mbon dada mzuri hvy kwann unajikatia tamaa hvy me lishangaz wa miaka 33 lkn sijajikatia tamaa

  • @stulidamligo1142
    @stulidamligo1142 4 หลายเดือนก่อน

    Tufanye kazi tuachane nahabali zawanaume

  • @Barakakadama
    @Barakakadama หลายเดือนก่อน

    Aise Kuna watu hawajielewi

  • @luciamsani
    @luciamsani 4 หลายเดือนก่อน

    Aisee kumbe wanawake Bongo mna hela eeeh una hustle then unamuhudumia mwanaume easly wakati una mtoto kwanini usiwekeze kwa mwanao😭😭😭

  • @HappyOrest
    @HappyOrest 4 หลายเดือนก่อน

    Usiwe unaongeza kingereza maana ni kama una unga unga😂

  • @SevelinaNandwike
    @SevelinaNandwike 4 หลายเดือนก่อน

    Isha nkuta namim kumtoa kijjn kwao kumleta mjin nkamfungulia kibanda lkn haeleweki mpaka kesho nmemuacha alivo

  • @EnaraMfwango
    @EnaraMfwango 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dad ogop mwanaum anaitwa Danny kimbia nin maan mm nin historian na Iko jina

    • @fridakaria9904
      @fridakaria9904 4 หลายเดือนก่อน

      Hata mm na historia na Hilo jina , we acha tu

    • @LilianMassawe-ix3sx
      @LilianMassawe-ix3sx 4 หลายเดือนก่อน

      Na kevoo😮😮

  • @WittinessOscar
    @WittinessOscar 4 หลายเดือนก่อน

    Duuuuuh najifunz mung san

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 4 หลายเดือนก่อน

    block hiyo biashar arudi kijijin mana hana akili na ucrudie kumpa mwanaume hela ni saw na mwanamke japo na mim ni mwanamke lakn unanunuliw gar mda huo afu unampenda anayekuwekea mafut hahahaha hatr na nusu mapenzi tuwaachie wahindi na wakorea tu tukalime shambn

  • @barakaalimas
    @barakaalimas 16 วันที่ผ่านมา

    Mr uk nitumie namba ya umi

  • @ShukurMkan
    @ShukurMkan 4 หลายเดือนก่อน

    Pole dada mwanaume ukimsaidia Kwa wema ajali samani yako

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 4 หลายเดือนก่อน

    Ni marafuku mwanamke kuoa😂😂😂😂😂

  • @RosechandeRosechande
    @RosechandeRosechande 4 หลายเดือนก่อน

    Kwani wanatumia kigezo gani mpaka wanalea mwanaume jaman mwanamke inatakiwa utunzwe kyeee lazima usalitiwe

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 4 หลายเดือนก่อน

    Mr uky na kiingereza chake kama hamorapa😂😂😂nyie wenye kuhudumia wanaume niwaambie tu mkapimwe akili

  • @UmmyDaudi
    @UmmyDaudi 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani wajina na wewe pia kenge ana kuumiza kichwa timua akalime mihogo uko kwao

  • @luluabdul2800
    @luluabdul2800 4 หลายเดือนก่อน

    Dada says who mkaka analelewa???? Km umemfungulia biashara Alitakiwa ahudumie kila ktu. S ushaplay part tyr

  • @AidaAbdul-pt5dn
    @AidaAbdul-pt5dn 4 หลายเดือนก่อน

    Duh.. Ndy maana nawaza sana pesa mm

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 single mom kwann ukuuzulia kikao cha mwisho tulivyopanga usiwai vunja rules no 5 ona sasa ushaivunja why unatuaribia usingle mother wetu????

  • @issamohamedi-gl7fd
    @issamohamedi-gl7fd 4 หลายเดือนก่อน

    dah jamn mbona mm sipati wanawake kama hawa jmn eheeee aiseeeee

  • @NahlaRashed
    @NahlaRashed 4 หลายเดือนก่อน

    Hiii inambambaaaa😂😂

  • @BealleMoriniE
    @BealleMoriniE 9 วันที่ผ่านมา

    Brown Maria Davis Joseph Young Jason

  • @ShufaaHalifa
    @ShufaaHalifa 3 หลายเดือนก่อน

    Cwez hela ninazopatia tabu nikampe mtt wa Mtu cna mapenzi hayo kabc bora niwape wazaz Wang hamn mapenzi ya kwel ukiweka pesa mbele

  • @FatmaAbdalla-d9r
    @FatmaAbdalla-d9r 3 หลายเดือนก่อน

    Rabda mwanmme Allion din itakua taofaut ndo akatafuta din saw rabda na dadaangu ummy huyo mwanmme umefanya kosa la kumpangia seem yake na ww upo seem yako hilo ndo tatizo kwann usingekaa nae pamoja pia poe san kipenz

  • @miruhongin
    @miruhongin 4 หลายเดือนก่อน

    Achana naye dsda munya nganye shop yako maisha aya djaisha ungali mundogo sana uyo byana Yako mujinga

  • @MaryhaikaMosha-w7g
    @MaryhaikaMosha-w7g 4 หลายเดือนก่อน

    Chukua duka unalia nini 😂😂😂

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 4 หลายเดือนก่อน

    Ukome!!!! Helazako hazina kazi? Hunandugu zako wenye uhitaji?? Nikweli umejitosheleza au nikutaka sifa?? Tena kwann nyie mnaolemaza watt wetu wakiume kwa kuwahudumia isipatikane sheria mfungwetuuuu!!!!! Nisawa kumsapoti mwenzio lkn ndompaka mtaji unamlipia kodi unamlisha jmn jmn hujioni mjinga!!

  • @BeatricePaul-z4b
    @BeatricePaul-z4b 4 หลายเดือนก่อน

    Part two plz

  • @annathomas-wy8yt
    @annathomas-wy8yt 4 หลายเดือนก่อน

    We dada una kichaa,pesa zako hazina kazi,duh!

    • @zakayodismas251
      @zakayodismas251 3 หลายเดือนก่อน

      Unajua raha ya kupigwa dekii .. au kukojozwaa😅😅

  • @salmamsuya9591
    @salmamsuya9591 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa si tayari ulimfungulia biashara, sasa kwa nini asiendele kujihudumia mwenyewe,

  • @aboudijaaboudija
    @aboudijaaboudija 4 หลายเดือนก่อน

    wanawake acheni kuwapa pesa wanaume daah😢😢

  • @salmakasim8390
    @salmakasim8390 4 หลายเดือนก่อน

    Sitaki ku coment chochot mpaka sasa and 😊😊 by the way i dont understand swahili ila ngoja nisubir part 2 OMG

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 4 หลายเดือนก่อน

    Yani wanaume wanacheza na akili zake cc wanawake. Lzm tuwe makini nao. Anakua na mwanamke mwengine. Mwengine anajiamini yupo peke yake.

  • @levinaasenga2794
    @levinaasenga2794 4 หลายเดือนก่อน

    Ila jamani anajua kuchagua pisi zote ni kali

  • @rashidkatundu9674
    @rashidkatundu9674 4 หลายเดือนก่อน

    Saf dan ukipata nafs yakutesa n kuwatesa tu mmaee

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i 4 หลายเดือนก่อน

    Part 2

  • @Mkiga_junior
    @Mkiga_junior 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂

  • @HusseinAbeid
    @HusseinAbeid 4 หลายเดือนก่อน +1

    Anitafute mie tu nimpe raha ya upendo

  • @Nasrasaidsalum
    @Nasrasaidsalum 4 หลายเดือนก่อน

    Dada angu sifa ya mwanaume kuhudumia hapo ndio anaona uwanaume wake

  • @ibunikalikenya9219
    @ibunikalikenya9219 4 หลายเดือนก่อน

    Mbn kripu zenu aziko katika muendelezo zote it's shot

  • @sharifakomba
    @sharifakomba 4 หลายเดือนก่อน

    😅😅

  • @VictaMsodoki
    @VictaMsodoki หลายเดือนก่อน

    𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊 𝒋𝒂𝒎𝒏 𝒘𝒂𝒅𝒂𝒅 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒐 𝒘𝒂𝒖𝒅𝒖𝒎𝒊𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒖𝒎𝒆 𝒑𝒆𝒔𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒑𝒂𝒕𝒂 𝒘𝒂𝒑

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 4 หลายเดือนก่อน +15

    Kiufpi chukuwa vitu vyako kafungie stoo Daniel uachane naye unatuangusha singo mazaaa😂😂😂

  • @aminamohamed9955
    @aminamohamed9955 4 หลายเดือนก่อน +14

    Mmmm mapenzi haya hatr tunasubili pati tu mm ctaki kumpa mtaji mwanaume jamani yalio nikuta makubwa Pole mdada jamani

    • @rosemilingi7860
      @rosemilingi7860 4 หลายเดือนก่อน

      Yaani watu hawana huruma kbs

  • @jafarysoahsoah8530
    @jafarysoahsoah8530 4 หลายเดือนก่อน +28

    Yaani unapata mwanamke mzuri anapambana na anaelewa Nini maana ya maisha na bado unacheet daaaah

    • @thabitimkufi7388
      @thabitimkufi7388 4 หลายเดือนก่อน +4

      Aisee upele unawapata wasio na kuchaaa

    • @jafarysoahsoah8530
      @jafarysoahsoah8530 4 หลายเดือนก่อน

      @@thabitimkufi7388 kweli kaka ani me sijui nina bahati Gani nakutana na mapaka yanayowaza viwanja tu qumamake 😂 nikimpata kama huyu ntampenda Hadi nimkere

    • @pachitofilm
      @pachitofilm 3 หลายเดือนก่อน

      Tunajari bc😂😂😂

    • @BestonMfikwa
      @BestonMfikwa 3 หลายเดือนก่อน +1

      Acha wanyooshwe wapuuzi hawa

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 3 หลายเดือนก่อน

      Ndomana kumuhudumia mwanaume siwez kwasababu hatakayokuja kulipaa😂😂utalia mara 2😢😢😢

  • @JamilaMbago-w4j
    @JamilaMbago-w4j 4 หลายเดือนก่อน +16

    Mapenzi yameshindikana India mutayawesa African 😂😂😂

    • @meshacklekie4002
      @meshacklekie4002 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @tonomiale5786
      @tonomiale5786 4 หลายเดือนก่อน

      @@meshacklekie4002🤣🤣🤣

  • @pillyramadhani3726
    @pillyramadhani3726 4 หลายเดือนก่อน +17

    😂😂😂jamani mtoto wa kiume usiomzaa audumiwi tujifunze

    • @rabiarashid1721
      @rabiarashid1721 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 serious

    • @juliethswai4263
      @juliethswai4263 4 หลายเดือนก่อน

      na ukianza kumuhudumia nae anaenda kuhudumia mwingine

    • @HappynessStephano
      @HappynessStephano 4 หลายเดือนก่อน

      Binafsi suweziii

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 3 หลายเดือนก่อน

      Nashangaaaaaaaaaaa had nalia jmn wahi nihudumie mtot wa mtu jmn😢😂😢😅😢😂😂😂😂

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 4 หลายเดือนก่อน +12

    Tangu nitendwe naogopa hata kuambiwa nakupenda na mpaka sasa mwaka wa tatu sina mtu naogopa ndo nimekua saidia fundi maana sijasoma na mwanaume alikua msomi kapata msomi mwenzie nikasema sijakua na mtu wakunisomesha kwaio nabeba zege ila naamini ipo siku mungu atanipa wangu tu

  • @mariachifupa4654
    @mariachifupa4654 4 หลายเดือนก่อน +9

    Jina lenyeweee Daniel 😂😂😂....2lio single tuendelee kujifukizaa 🥱

  • @GoodluckAlex-vd6vc
    @GoodluckAlex-vd6vc 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ukishakua single mother ni maumivu kupata mwanaume atakaekubali mechi ianze moja bila ni ngumu labda kama ana shida sana

  • @divadivana368
    @divadivana368 4 หลายเดือนก่อน +5

    Leaa tu mwanao dear Achanaa na huyoo mwanaumee hanaa malengo yoyote na wewe ndg yang focus on your goals mbonaa we mrembo na bdo mdogo jmniii komaaaa dear Achanaaa na huyoo kaka aiseeee, , , yaaaan mpk napataaa hasiraaaa

  • @jacklinejackson9600
    @jacklinejackson9600 4 หลายเดือนก่อน +5

    Kwani hizo pesa za kumpangia mwanaume mnazotoa wapi😅😅😅

    • @Allymzaki
      @Allymzaki 4 หลายเดือนก่อน

      Sio kila mwanamke tegemezi kama marehemu.

    • @IreneMacha-d5q
      @IreneMacha-d5q 4 หลายเดือนก่อน

      Ata mm najiulizaga .

    • @rehemaMkumbo-mf5gs
      @rehemaMkumbo-mf5gs 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @ZuwenaMohammed-fp4yv
    @ZuwenaMohammed-fp4yv 4 หลายเดือนก่อน +12

    Aiseee naenjoy sanaa 😂pia najifunza mengi sana kupitia Mr uky

    • @AgnesDavid-et3zn
      @AgnesDavid-et3zn 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ila kuna mengine yanachekesha😂😂

    • @CherylEdward-em8ix
      @CherylEdward-em8ix 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yaan mpka naogopa😂😂😂

    • @ZuwenaMohammed-fp4yv
      @ZuwenaMohammed-fp4yv 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@AgnesDavid-et3zn yaan yahuyo dada kidg yalonikuta miye achaa tu mungu ndo anajua

    • @ZuwenaMohammed-fp4yv
      @ZuwenaMohammed-fp4yv 4 หลายเดือนก่อน

      @@CherylEdward-em8ix unaogopa nn sasa mm asaiv nimeacha kupenda🤣🤣🤣💗

    • @AgnesDavid-et3zn
      @AgnesDavid-et3zn 4 หลายเดือนก่อน

      @@ZuwenaMohammed-fp4yv kwahiyo yako makubwa kuliko ya huyo pole dada

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi nimehamia jwenye kilimo cha maparachichi wanaume nimepumzika

  • @Sophlizzy21
    @Sophlizzy21 4 หลายเดือนก่อน +4

    Siku nyingine ni bora muongee kiswahili mwanzo mwisho kuliko kuchanganya na kingereza mpaka mnakosea. Haya huyo dada kasema “the gay” badala ya “the guy”

    • @WilliamSumuni
      @WilliamSumuni 4 หลายเดือนก่อน

      Ebu itamke tuone tofauti

    • @SofiaMasawe
      @SofiaMasawe 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @Humanity21216
    @Humanity21216 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ummy kajaje huku 😂😂, my friend kaumia sana ila kuja kwa media kateleza

  • @FaridaKizenga
    @FaridaKizenga 4 หลายเดือนก่อน +22

    Kiupande wangu, mapenzi na waachia WAHINDI🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

    • @WelimaNyamwanja
      @WelimaNyamwanja 4 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣🤣Ewaaaaaaa ilooo naloo neno

    • @FaridaKizenga
      @FaridaKizenga 4 หลายเดือนก่อน

      @@WelimaNyamwanja 😅😅😅🤣😂🤣

    • @ZuwenaMohammed-fp4yv
      @ZuwenaMohammed-fp4yv 4 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣 kwakwel sikuhiz nawaza maokoto Tu ndo kila kitu 🙌🙌

    • @LatifaKinanay
      @LatifaKinanay 4 หลายเดือนก่อน

      Kula tu ndio kitu pekee hunisumbua haya mapenzi sharukh Khan aendelee nayo😂😂

    • @AgnesDavid-et3zn
      @AgnesDavid-et3zn 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@LatifaKinanay 😂😂😂 nimecheka kama fala

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 หลายเดือนก่อน

    Ila wanawake tukome viherehere sb sisi hatupaswi kuhudumia na kupenda jamaniii. Khaaaa. Tatizo siku hizi hatujielewi

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 2 หลายเดือนก่อน

    Wanawake mnafeli wapi?? Hv bado hamjui kuwa mwqnaume hatosheki na mwqnamke mmoja??

  • @MeryMrosso
    @MeryMrosso หลายเดือนก่อน

    Kingereza chako kinanifanya klipu zako sifuatili mpaka mwisho ongea kiswail

  • @SweetJeff-x7g
    @SweetJeff-x7g 13 วันที่ผ่านมา

    Clark Amy Davis Larry Gonzalez Cynthia

  • @LoyceTamsony
    @LoyceTamsony 4 หลายเดือนก่อน +5

    Wanaume ni ukwaju tena mchachu😂

    • @kyannickk2be
      @kyannickk2be 4 หลายเดือนก่อน

      😅

    • @LatifaKinanay
      @LatifaKinanay 4 หลายเดือนก่อน

      Wanaume ni wadudu🙏😂😂

  • @ZawadBartholomew
    @ZawadBartholomew หลายเดือนก่อน

    Unachotakiwa kumsaidia mwanaume wako ni chakula na maji tu ukimfanya awe wa hadhi ya juu atakuacha atafute wa hadhi yake yaani hawa wanaume ukimtoa babu yangu wote mbwa tu😮😮

  • @happiefrancis8824
    @happiefrancis8824 2 หลายเดือนก่อน

    Mi hapo sijaelewa sa si ana duka la perfume kwanini bado unamlipia pango jamni wanawake tusijitwike majukumu ya wanaume

  • @SoutheyHedda-h3s
    @SoutheyHedda-h3s 12 วันที่ผ่านมา

    Martin Frank Hall Gary Jones Joseph

  • @AngelaAnderson-x9i
    @AngelaAnderson-x9i 9 วันที่ผ่านมา

    Anderson Steven Allen Gary Taylor Sandra

  • @imrankweka4752
    @imrankweka4752 3 หลายเดือนก่อน

    Mnalilia mahusino yasiyokua ya ridhaa ya MwenyeeziMungu ?

  • @BullaMakono
    @BullaMakono 4 หลายเดือนก่อน

    Hey guy hebu tatua iyo issue ikae sawa huyo binti anatakiwa amsamee huyo jamaa...we ni chanzo cha kujua ukwel kwa huyo dada pia kuwa chanzo cha daniel kupatana na ummy

  • @Ummy-c7n
    @Ummy-c7n 2 หลายเดือนก่อน

    Ww unadhalilisha kina ummy hatunaga tabia ya kulea waume ovyo😂😂

  • @Christophermagesa1985
    @Christophermagesa1985 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa ww kama uko SINGLE kwanin usikae nae kwako? Kwanin umpangishe awe nayeye Single?

  • @elminasamwel
    @elminasamwel 3 หลายเดือนก่อน

    Embu tuache kuhudumia wanaume wakipatag ela hawakumbuki ww ulomuhudumia

  • @macsun6727
    @macsun6727 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mr. UKY bwana Ukweli ni mzuri jinsi unavochanganya ngeli unaharibu...

  • @Mdosi_tz2
    @Mdosi_tz2 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa mbona daniel hujamuwek hapo kati wambananisheeeee

  • @jenipherishengoma1239
    @jenipherishengoma1239 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jinga kumpangishia na kumuhudumia mwanaume ni kumzarau mwanaume na majukumu yake kwendaaaaaaaa na lazima ungelia tu

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 หลายเดือนก่อน

    Dada acha ujinga wa kuwapa wanaume pesa saidia yatima wapo wanalal njaa bwege san w naujinga yako hii

  • @WsdcteHsdgxhte
    @WsdcteHsdgxhte 25 วันที่ผ่านมา

    Garcia Jose Brown David Johnson Edward

  • @gregorymarcel
    @gregorymarcel 3 หลายเดือนก่อน

    Bro naomba nmb ya ummy kaka nikutane nae I'm Gregory bro i need her pleasee

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa kama ni mtu wake kwa nini wasiishi pamoja why anampangishia nyumba

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 4 หลายเดือนก่อน +2

    Wadada wanapenda kupendwa
    Jamaa kalipa vitu vyote tyr kapewa mzigo

  • @AlexNswila-g1q
    @AlexNswila-g1q หลายเดือนก่อน

    Uwo ni ujinga wenu wanaume wapo kibao munalalama apoapo

  • @joycethomas262
    @joycethomas262 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dada mwanaume hasapotiwi financially ni emotionally tu

  • @Aishatheboss117
    @Aishatheboss117 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi nitajalibu kilimo nione🤣🤣🤣

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 2 หลายเดือนก่อน

    Zote ni pic😊daadek