Aiseeeeee hahahaha nimekumbuka mbali sana...mchumba wangu mm ni mapacha, ilinichukia muda kumtofautisha maana ni brian kwa briton, walifanana kila kitu mpka dimpo wote walikuwa nayo, ilinifanya mpka kuna wakat nikimuona mmoja wao inanilazim nikae kwa kutulia mpka nione action zake, maana wa kwangu ni mpole lkn shemeji ni muongeaj, lkn siku wakiamua kukaa kimya nachanganyikiwa 😂😂😂😂😂......so nilianza kwa kuwachunguza tofauti zao na hapo ni miaka miwili imepita, so nilianza kutafuta tofaut zao ukiachana na uchangamf Lkn nilikuja kugundua utofaut wao mkubwa ni macho, 😂😂😂😂😂...mmoja macho yake akikuangalia sana yanageuka kuwa makengeza na mwengine ni kawaida japo pia yamefanana sana😅😅😅😅na hii mpka leo nisipodeal na macho nachanganyikiwa sana
Jamani hawa wamapasa sio kwakufanana du . Ingekuwa miye sijuwi kama ningemujuwa jamani Huyu Mungu anajuwa kuumba kweli hawa miye takuwa tu nauliza mmewangu niyupi ju nisije ndaganyika
Yaaani ni kweli sema mmoja mfupi mwingine mrefu..mm mapacha wangu wa kike wanafanana saaaana na kimo kiko sawa ..hadi mwenyewe nashindwa kuwatambua haraka mpka niwaangalie kuna mmoja ana alama ya baka mkononi..ndo nijue nani ni nani
Walomuona shemeji akimpa ishara wanyooshe kidole
😂😂😂😂 upo makini balaa
Eti
Nimeona
😂😂we ni mfukunyuku😂
Mbingu zinaona na ardhi ikawe shahidi siku Moja na mm nikawe mama wa mapacha wanaofanana ee Mungu tia muhuri ktk hili
Wow I like your confidence
Hata mimi napenda Sana watoto mapacha😍😍
Najishikamanisha na maneno haya yamekua kwangu katika jina la Yesu na yamewekwa muhuri wa damu ya Yesu
amina
Mungu wetu ni mwaminifu aombae atapewa Muombe na atakupatia hitaji LA moyo wako
Nawapendaga sana Mapacha kama hawa' Ee YARABBI Nijaalie na Mimi nipate Mapacha kama hawa' YARABBI🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Amin
Salama ACHA t2 mm mwenyew nawatakia Ila mungu atatupa t2 tuendee kumuomba🙏🤝
@@user-uh7to2kw2z In-shaa Allah🤲🤲🤲
Amen 🙏
Njoo mm hapa pacha
Aiseeeeee hahahaha nimekumbuka mbali sana...mchumba wangu mm ni mapacha, ilinichukia muda kumtofautisha maana ni brian kwa briton, walifanana kila kitu mpka dimpo wote walikuwa nayo, ilinifanya mpka kuna wakat nikimuona mmoja wao inanilazim nikae kwa kutulia mpka nione action zake, maana wa kwangu ni mpole lkn shemeji ni muongeaj, lkn siku wakiamua kukaa kimya nachanganyikiwa 😂😂😂😂😂......so nilianza kwa kuwachunguza tofauti zao na hapo ni miaka miwili imepita, so nilianza kutafuta tofaut zao ukiachana na uchangamf
Lkn nilikuja kugundua utofaut wao mkubwa ni macho, 😂😂😂😂😂...mmoja macho yake akikuangalia sana yanageuka kuwa makengeza na mwengine ni kawaida japo pia yamefanana sana😅😅😅😅na hii mpka leo nisipodeal na macho nachanganyikiwa sana
😂😂😂🙌
Yaan naomba MUNGU tu shemeji asiniigizie kma yeye ni mlengwa maana itakuwa hatar sana ...maana akijifanya mpole tuu nimeisha hahahahaah
@@neemagodfrey1118
Unaweza ukaumbuka 😂😂😂
Hahaha hahaha hahaha
@@neemagodfrey1118
😁😁
Mungu nijalie nami mapacha waje wafute machozi yangu
Nami mungu nijaliee tumbo langu kishike mapacha kama hawa
Amin
Msiwe mnatumia sindano za kuzuia mimba sasa
I can't wait to see my two boys
I love this, Ila huu mtihani mgumu aki 😊..
Hongera ndugu zangu wa kisarawe nimepata faraja sana kuwaona Brothers long time since 2012
Mm ninao nawao wamefanana asante mungu
Wahooo ❤❤❤ beautiful 🎉🎉
Utofauti wa kwanza hata style yao ya ndevu iko tofaut 🤣🤣
Beautiful 🎉
Mashaa allah wamefanana.
As long as ni pacha hata ningekosea tungesolve mbele Kwa mbele 😂😂😂😂
Hongera sanaa kipenz hongera ikawe her kwako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera sana choir master David ntelee🎉🎉🎉🎉
😍😍😂 DJ apewe mauwa yake 🎉🎉 pia maan kaitendea haki hii segment 😊😊🔥🔥🙌🏿
Hongera president wetu kljs kwa hatua I .I wish nipate mapacha wakufanana
Soo beautiful ❤
Congratulations Bro David
Hata ningekuwa mimi nisingekubali shemeji aaibike ishara mhim
Namuomba Mungu anipe na mimi mapacha kama hawa Jamani Hadi rahaa wamefanana n bibi Arusi uko vizuri 🎉❤
Acha umalaya kwahyo unataka wanaume wote wawili wakulale
Wewe unamaanisha nini kusema wanaume wote wawili wakulale?
Mhmhmh kabsa mtu mtu wako hushindwe mjua aaah so kwel hata feelings tu all in all congrats 🥰🤗
Wewe hujawahi kuona mapacha wanaofanana, wakiwa washenzi wanaweza wakakula wote kwa zamu na uaijue kamwe hayo tumeisha yaona sana
hongera Sana college mate, MUNGU akawape furaha katika Safari yenu hii mpya na maisha mema
Saafi biharusi mtarajiwa mzuri Sana na anajiheshimu
We umejuaje kwenye kujiheshim hapo
@@nancyg8664 nalo swali ila nimedanganywa na sura na muonekano.
Kabisaa Dada wa watu anajiheshimu sanaa
Mwenynzi mungu nibariki siku moj namimi nipate mapacha3
Mama yangu mungu akupe maisha marefu kwa kunizaa tukiwa mapacha jaman hakuna kit kizur kama kuzaliwa mapacha 🥰🥰
Wow pelus wangu nakukubali kipenzi 😊
My favourite couples, perusi na mumewe wana kipawa cha uimbaji na uchezaji jmn nawapenda sna
😂😂😂bebe alikua ana tabasamu sana nilihisi kumbe kuhisi kwangu imekua ndivyo ilivyo❤
amaizing sanaaaa!!!!!!❤❤❤❤
Hongera sanaa teacher. Binafsi mlikuwa mnanichanganya. Hata hapo nimekosea nilijua bwana harusi ni aliyeondoka😂😂😂😂😂😂😂😂
M pia nataman nje kuwa mama wa watoto mapacha naiman mng at ckia maomb yng🤲
Mungu nijalie na Mm mtu anipende tufunge ndoa na sie🥹❤❤maa shaa Allah
Ukiangalia vizuri ndevu wamemtia tofauti.
Mungu aje anipe namimi mapacha nawapenda sanaaaaaa
Jamani hawa wamapasa sio kwakufanana du . Ingekuwa miye sijuwi kama ningemujuwa jamani Huyu Mungu anajuwa kuumba kweli hawa miye takuwa tu nauliza mmewangu niyupi ju nisije ndaganyika
Yaaani ni kweli sema mmoja mfupi mwingine mrefu..mm mapacha wangu wa kike wanafanana saaaana na kimo kiko sawa ..hadi mwenyewe nashindwa kuwatambua haraka mpka niwaangalie kuna mmoja ana alama ya baka mkononi..ndo nijue nani ni nani
@@lelaiddy6856 hatari sana iyo Mungu niwahajabu sana
Tulisoma wote mrangu ttc congrants ntele david
Wamependeza very nice
Waaoooo nice Bibi harus amshukur xhemel maana....🎉🎉🎉🎉
Mungu naomba na me nipate twins wa kufanana ❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂ila beb alikuwa anacheka😂😂kwa akili zangu ninavyozijua ningeshindwa haki😂
Mmoja kamzidi mwenzake urefu kidogo
So much for the God of the day
Uko vizuri
Mpka mwenyew kachanganyikiwa du😂❤
Mmoja mrefu mwingine mfupi
Pia waupande wa kushoto mnene kiasi mwenzake mwembamba kiasi
Mashaallah.namimi ni pacha nimefurahi mno
Mbona wanafanana sana🤣🤣
Congratulations 🎊🎉🎊🎉
Mungu naomba na Mimi ck ni baliki nije kuzaa mapacha
😂😂😂😂😂 hii rahaa sanaa😂😂
Ila mmoja katumia ishara bila hivyo asingejua
Kweli
❤naipenda sana ❤
Mnependeza so nice
Mimi nilijua tu kwa ishata ya kucheka sana
jaman so beautiful❤❤❤❤❤❤❤
Goatee zao ziko tofauti....Kuna Mmoja zimepanda mpaka Juu ...mwengine ziko chinichini tu
Wow❤
Waha pg keleleeee❤❤😂
Kasaidiwa na shemeji yake mara mbili bila hivyo hakuwa na uwezo wa kuwatogautisha sana ila nimeipenda
Mungu anipe mapacha
Wa kwanza kaka taa sio yeye kwa kutingisha kichwa
Mmoja mrefu mwengine mfupi
Alie mfupi mweupe na huyo mrefu maji ya kunde
Mapacha ni inshu wakifanana kuwatambua balaa ila mmoja alionyesha ishara mpendenza sana hongereni suti zenu zimewapendenza balaa
Jamani maashalah
Kweli bint alikuwa making hongera
Mungu wetu ni mwaminifu
Nice nice♥️👏
Yaani mlipendeza halafu ulikuwa mtengo 👏👏
Nipe hii baraka we Mungu
Hadi raha jamn
Mpaka nawaonea wivu❤️
Mungu unaishi na me nipate pacha wanaofanana sana
Wow 🎉
Noma sana hy ila imekaa vyema sana hongera kwa mc
Hongera sana David mkawe na amani
Nasty 😊😊
Mungu hakukosea kwkwel
Nimeona shemeji alikuwa anakataa kwa kichwa kuwa cyo yy ila wamependeza sana
nice nimependa bure yan
Nywele zao ziko tofauti kidogo ni rahisi kujua 😅😅
Huyu shemeji amemuonyeshe kwa ishara hapo nyie angalieni kwa umakini 😂
Nimeona pia.
Kuna mda walikua wameweka ote ivo vidole 😁😁
Kwan yy sianajua mume wake niyupi
Sio kweli dhana yako tu
Nimeona kabisa anamkatalia
Kali hiyo
Kweli shemej amemuonea uruma akamtonya maana alikuwa akoseee😂😂
Kumbe umeona km mimi 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Mbona ishara
❤❤❤
😂😂😂alaaa mbn shemeji kampa ishara au nimeona vibaya jmn
Haraf ni uongo huo Jaman usimjue anae kunanii kwel kwenda😅
Mrefu na mfupi😂😂
Huyu alivyoanza kucheka nikagundua sio yy japo bint alitaka kujichsnfanya na alivyotikisa kichwa kukaata ilimpa bint kugundua kwamba sio yey
kwa akili zangu zilivyo ndogo niuhakika nikwamb ningeliaaa angejileta mwenyew maaan wamefanana khaa😏😏
😂😂😂😂😂
😅
Amekusaidia huyo ametikisa kichwa maana ulikuwa umewachanganya
Khaaaaa mm ningeshindwa kumjua🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ningefeli haki😂
Ukitazama kwa makini sana bwana harus aliachia tabasmu fuln hv la ishara wakt bb hars anamtzam husoni😂😂😂😂😂
Mbaka raha jamani na mm natamani mapacha 👨👩👧👦👨👩👧👦
Shem kaokoa jahazi ❤
Kweli buana Shem kasaidia sana
hawa hawafanani huo wakushoto ana macho makubwa
🥰🥰
Nina mapacha ila hawa ni kiboko kwa kufanana aiseee😀😀