Ntaanza kushabikia bongo nikiona taarifa za usajili zinakamilika....team inatangaza mchezaji kanunuliwa lakini haiweki bei wala mshahara wa mchezaji.. so stupid kwa TFF.
Mhh na wewe umechochora kweli kweli FEISAL anamkataba wa miaka sio mwaka mmoja jaribu tena kwanza huenda ukapatia vyema ila kwa Feisali umekosa aisee😂😂
One love from malawi ❤
AWESU ALLY AWESU
Aweso aweso Ana uyanga yanga kama ni huyo tumeliwa
Kweli yule anaipenda yanga
ila mama yake simba mtupu😂alihojiwa mama yake,
Mwamba anajua sanaaaaaaaaaa
Awesu Awesu code nyepesi 😂😂😂
Wa mwisho hapa sitak like zenu
😂😂😂😂
Uzipeleke wapi tafuta vyanzo vingine
Yusuph kagoma
Huyu jamaa ni kukandia simba tu, za yanga anatoa ushauri tu, simba sasa
Hapa Simba tuchunge wachezaji wetu wako akina mzee.......nihatari sana misimu mitatu ametutesa sana
Mwamba uipendi kweli simba
Law Simba wanamtangaza wakati Ni Wa coastal union😂
Ntaanza kushabikia bongo nikiona taarifa za usajili zinakamilika....team inatangaza mchezaji kanunuliwa lakini haiweki bei wala mshahara wa mchezaji.. so stupid kwa TFF.
We ni yanga ,Simba huipnd
Safi
Wewe mwenyewe mnafiki
Hivi huyu mchambuzi uchwara kila siku Kazi yake Ni kuisemea ubaya Simba SC tu
Huu ushamba mkubwa ndio unaoirudisha ligi yetu nyuma
Code nyepesi Awesu Awesu
Uyo ni feisal kutua unyamani mbona msimbazi panaenda kuwaka
🔥🔥🔥🔥
Kumbe huelew haraka umeambiwa anamkataba wa mwaka mmoja feisal abamkataba wa miaka 2 maana fei alisinya miaka 3 ko bado miwili. Huyo ni Awesu Awesu
Haijawahi kuwa rahis kama unavyotaka
Mhh na wewe umechochora kweli kweli FEISAL anamkataba wa miaka sio mwaka mmoja jaribu tena kwanza huenda ukapatia vyema ila kwa Feisali umekosa aisee😂😂
Huyu jamaa anaichukia simba
Mzoeee huyu. Hawezagi ficha mapenzi yake na Utopolo.
😂😂, anatoa taarifa tu siyo kuichukia
Awesu huyo
Huyo kagoma Yusuf
Code nyepes sana hiyo Huyo Awesu Awesu kwenda simba
Awesu😅😅
Ni kweli ulichosema hao wazee wametutesa, na baaday tukiwaacha ndo wanawachukua baada ya kuwaharib ,
awesu awes
Wewe inakuuma nini sasa
Hugo ni gongo waziristan kabisahuyo
Wakwanza leo
Nyokoo umechangia nini humu sifatu za kijinga
@@robertphilip385 nisamehe dada yangu nimekosa mm
Tfff ni ya Simba ndo maana madudu haya hujasikia hata yakikemewa
Awesu Awesu
Yusuf kagoma
Mnafiki huyo
Fei toto ndobado mwaka mmoja
Fala ww bado miwili kasajiliwa mitatu Acha kujizima data
Drsh dg ana sepa
Viongoz wenye mamlaka wawe Fair waache ushabiki
Yusufu kagoma
Acha uongo kumaliza mb za watu kwa uongo
Wa pili mimiiii
Huna lolote umechangia nini humu sifa tu
Hapo studio naona woylte mashoga TU wanatafuta mabwabwa muikome Simba mbwa nyie
Fei toto hio
Kwa nn wewe momo unapenda kuchambua kwa
Mafumbo? Kazi yenu ni kututanabaisha kinagaubzga. Hatupendi mafumbo yako. Unatuboa sana.
Sasa ufafanuliwe wakati jambo hata klabu husika hawajaweka wazi? Tafuta D 2 kwanza ili usipate shida wakati mwingine.
Mpanzu
Yusuf kagoma
Mpanzu
Yusuf kagoma