Kuweka picha ya sheikh fulani haifai watu wa riyadhTvznz ,kazi yenu mulete elimu tu, ushabiki acheni,analofanya Huyo sheikh mlumuweka ni haq na sisi twajua,kwaiyo musifanye sheikh wetu Allah amrehemu Msellem kuonekana kwamba anaongelea mtu fulani (ilhali sio hivyo )hio ni makosa waislam
Mwenyezi mungu alimwambia muhammad nimekukamilishieni yenu nayo niya uislamu. Na mtume wenu nimuhammad kwahivyo wakina musa issa nuhu lbrahim watahukumiwa tofauti .
Shekh asalaam alaykum hyo ndo mitihan kupimwa allah kaahidi nusra kwa wanaoinusuru din tambua nusra ya allah i kariib akujaalie miongon mw mashahid wa din hii tukufu
@@shamimnassor6192 Mimi sijauzungumza upande wowote Ila hoja ni kuwa Sheikh Mselem hakumtaja mtu, Bali amezngumza kwa ujumla wake - hivyo aliyemo yumo. Lakini kwanini hii channel iweke picha ya Mtu fulani?
@@alhilaltvonline amin amin ALLAH atuongoze sote mm nachukia sana haya malumbano ya viongozi wa dini na ndio makafiri wanatembelea madhaifu haya na kupata nafasi kuwahadaa waislam wenye elimu ndogo..angalia yule mchungaji WA kenya ndacha anavoyouchafuwa uislam na vitabu zake za uongo na kuna watu wanamuamini,so watu wale ndio wakupigana nao sio sisi twapigana wenyewe kwa wenyewe
Nyie Riyadhtv znz mnazingua mamb ya din msifananishe na udaku achen kuchonganisha mashekh kwa mashekh: hapo anasoma Qur'an itakayomgusa ndo huyo huyo msilazimishe aonekane kamuongelea mtu huo ni ichochez ambao Allah amekataa
Assalamualaiku alykm warahmatullaah, naamshekh jazaaka ALLAH khaira, Ila Nina uwelewa tofauti kidg kwamba hao mayahudi manasara walio tajwa niwale walio amini kabla ya MUHAMMAD SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA, walio muamini issa kisawa sawa na musa kabla ya mtume MUHAMMAD, lakini baada ya kuja mtume hawatakubaliwa Imani zao kulingana na tafsiri ya ibnu kathiir na wengine na ushahidi Ni aya hii :- وَمَنْ يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَنْ يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri. Pili hadithi ya mtume والرسول صلى الله عليه وسلم يقول : " لو كان موسى حياً ما وسعه إلا اتباعي " . Kwa mba hata Kama nabii Musa angekua hai Ange mfuaata MTUME SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA kwasababu sheria zake zimeshapia. Pia ANASEMA :- وعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ عَنْ رَسُولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم أَنَّهُ قَالَ: "وَالَّذِي نَفْسُ مُحَمَّدٍ بِيَدِهِ لاَ يَسْمَعُ بِي أَحَدٌ مِنْ هذِهِ الأُمَّةِ يَهُودِيٌّ وَلاَ نَصْرَانِيٌّ، ثُمَّ يَمُوتُ وَلَمْ يُؤْمِنْ بِالَّذِي أُرْسِلْتُ بِهِ، إِلاَّ كَانَ مِنْ أَصْحَابِ النَّارِ". رواه مسلم. Kwamba hato nisikiliza Mimi yahudi Wala nasara katika umahuu na Kisha asiniami kwa Yale niliotumilizwa ila atakua nimiongoni mwa watu wa motoni. Kuonesha kwamba lazima mtu awe muislamu kwaanza kwa kupiga shahada ya kumuamini ALLAH na MTUME.
Mbona Mohd BACHU kasema yeye akiwapinga muamsho na kuwachukia sana kwa sababu akifanya maandamano lakin walipo weka jela akiwaombea duwa walipo toka akatowa hutba kuwa makhawareej ni wafanyao maandamano ktk nchi vp ?
Subhanaallah kumbe mashekhe watazania dini mmeifanya kama watu wasiasa wanavyo pigana vita ya inchini na nyinyi ndio mnaelimisha dini kwa watu na ndio mnao leta picha mbaya ya dini 💔💔Inalilah wainalillah rajuuni mwenyezi mungu amjalie mpatane nampendane muache chuki binafsi
@@humuodkindi4926 Hakika na huo ndio uislam na ndio hekima na busara za kulingania uislam. Sio matusi au dharau au chuki. Tanzania hii kwetu ni hazina kubwa.
Sharti hapo ni kumuamini Allah. Ni wazi kuwa ukimuamini Allah ni lazima umkubali mtume S. A. W, ndio kusema hao Mayahudi, Waswabiin na Naswara ili wapate kuingia Peponi ni lazima wamkubali Mtume S.A.W na Manabii wote wa Allah. Na ndio Uislamu.
Basi yule ambaye Allaah Anataka kumhidi, Humfungulia kifua chake kwa Uislamu. Na yule ambaye Anataka kumpotoa, Hufanya kifua chake kuwa na dhiki chenye kubana kama kwamba anapanda kwa tabu mbinguni…[Al-An’aam: 125]
Watu wa vitabu walioamini wakatenda mema wataingia peponi ikiwa hawatomshirikisha Allah. Tena wale waliopita nasi hawa walokwisha birua Injil na Tawrat na wasioitaka kabisa Qur-an. Qur-an 3:199
Na watu wa kitabu wanaomuamini Allah (s.w) , na ulichoteremshiwa wewe na walichoteremshiwa wao, na wakatenda mema na wasimshirikishe Allah (s.w). .. 3.199
Wewe ni zaidi ya dhahabu laiti watu wangejua thamani yako basi ungenunuliwa zaidi ya wacheza mpira lakini mpaka media za kidini siku hizi dili hawana mpaka ubunifu wa kazi
As long as watakuwa wanaamini Allah yupo na wanafanya amal njema.....hawatojutia mwisho wao. Hizi Aya usipokuwa mankini utajitatza bure. Be positive hakuna mkamilifu katika dini na dunia na hakuna anaejua hukmu isipokuwa Allah.
Allah akulipe Kila la kheri shekhe wetu hao masalfi waliwacheka walokole wa kikiristo sijui wenyewe ni kinanani?Kwa hakika Wana KERA sana kuvaa ngozi ya kondoo wakat ni chui
Shekh kaeleza vzri lakin sjaskia kama kmtaja mwanachuon gani au swahaba gani alitafsriii hivo hiyo aya ya 62 suurat bakaara.kwamba wanao abudu viumbe watalipwa ujira kwa Allah. Naomba ufafanuzi kidg hapo Samahan kwa usumbufu
Enyi walioamini! Tubieni kwa Allaah tawbah ya nasuha (kwelikweli); asaa Rabb wenu Akakufutieni maovu yenu, na Akakuingizeni Jannaat zipitazo chini yake mito. Siku ambayo Allaah Hatomfedhehesha Nabiy (Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) na wale walioamini pamoja naye. Nuru yao itatembea mbele yao na kuliani mwao, watasema: “Rabb wetu! Tutimizie Nuru yetu, na Tughufurie, hakika Wewe juu ya kila kitu ni Muweza. [At-Tahriym: 8]
Mashallah umefafanua vzr shekh ila nashkuri kwakua sote ni waislam basi tusinyoosheane vdole hasa kwakueka picha zidi ya wengne maana lengo ni kufanikiwa siku ya mwsho
Al habib nakukubaki kwa elimu yako, asilimia miamoja. Hivi ndio wanatakiwa maulamaa wetu. Naonba uwaelimishe hao wasiojua kutowa elimi waache kuwakhofishe wasikilizaji. Nungu akuhifadhi
Lakini tuseme ukweli salafi hawana kheri na uislamu, wameacha hata kusoma bismillahi Rrahmani Rraheem kwa sala, kato hawasomi moyoni wala kwa siri, wamefanya msikiti kuwa nyumba za ukimya na ubinafsi na wala hawataki dua kamwe. Dua ni miongoni mwa vitu Allah anapenda sana na dua especially kwa sala na baada ya sala. Tuzingatie sana kuhusu dua za jamaa na tuzingatie sana umuhimu wa bismillahi kwa kusoma Qur'an aidha kwa sala ama qiraha. Bismillahi Rrahmani Rrahim ni neno sheitan yuaogopa sana na hakuna fatiha bila Bismillahi Rrahmani Rraheem.
Ukisoma sura al imran aya 19 na 85 utajiuliza je sheikh ndo hakuelewa tafseer vizuri au quran inapingana yenyewe kwa yenyewe ?? Naombeni mnisaidie hapo waislam wenzangu siyo malumbano ila tuelimishane maana sheikh nae ni binadam
Shekhe aya hii ipo ila ulivyo fafanuwa sivyo ama umesahau allah kasema wan yabtakhii khairal islaami dina falan yuqbalu minhu wahuwa fil akherati minal khasiriin kwa sababu huu wakati dini ni uislaaamu tu.
Sasa wewe ukivyochanganya dini na siasa ilikuwa sahihi na kama si sahihi mbona hukubainisha kwa watu kama yale ni makosa hiyo ndo tabia zenu munababaisha watu wasijue basi kama makundi yapo kwa sababu hadithi inasema ktk umma wangu yatakuja makundi 73 je ni ya uongo
Shekhe ujuwe kwamba dini ya kiislamu haikugawa vitu mafungu mambo yote kesho kwa mungu yatakuwa na malipo. Hiyo nyimbo ya kuchanganya dini na siasa imetungwa na makafiri na sie WAISLAMU tusiojielewa tunaiimba na kuicheza. Lazima tuwe makini sana. Ni vyema tukavijua vitu kwa undani kabla ya kutuma comment. Au unadhani wanasiasa hawataulizwa kwa mungu juu ya nyadhifa zao?
Kwan unaijua tasfri ya dini na hiyo siasa au ukereketwa umekupanda kichwani maana maajabu kwa muislam mpaka Leo bado Hana utambuzi juu ya mambo Kama haya ila shu hatutaki kusoma tusomeni hii hatari et ulipo changanya dini na siasa shida kwelo
Sheikh alianza na tafsiri ya neno kwa neno ndiyo ikakuchanganya. Kisha akafafanua kuwa waumini(yaani waislamu), mayahudi, manasara na maswaabii hawa wote hawa km watarekebisha mapungufu yao wakaacha wanapokosea yaani wakimuamini mungu inavyotakiwa( yaani waislamu wasimame ktk uislamu ipasavyo na wasiokuwa waislamu wawe waislamu sawasawa) na siku ya mwisho, kisha watende mema hao ndiyo hawatapata khofu. Msikilize tena kwa makini sheikh utaelewa ndugu yangu
Hakika hekma ni kheriii kubwa
I wish nikuone live hakika nakupenda kwa ajili ya Allah
Allah akuhifadhi kipenzi chetu
moja katika masheikh ninaowakubali sana sana,mungu ampe umri,hikma na kheri nyingi!sio vijana wetu wa sasa,kaz kutiana moton tu....
Mashallah. Sheikh wetu kipenzi tunafurahi kila tukikuona na tukisikia darsa zako allah akujaalie afya njema wewe pamoja na familia yako amiin
Ewe M/muungu mjalie Mwisho mwema sheikh Mselem bin Ali amiina🤲🏻
Allahumma ameen, sote pia
amin
Allahumma Amiina
Allah akupe umri mrefu na akupe afya njema
Shukran sheikh allah akulipe duniani na akhera
Allah akuhifadhi
ALLAH AKUBARIKI SHK MSELLEM ALLY MSELLEM.
Kuweka picha ya sheikh fulani haifai watu wa riyadhTvznz ,kazi yenu mulete elimu tu, ushabiki acheni,analofanya Huyo sheikh mlumuweka ni haq na sisi twajua,kwaiyo musifanye sheikh wetu Allah amrehemu Msellem kuonekana kwamba anaongelea mtu fulani (ilhali sio hivyo )hio ni makosa waislam
Acha ushabiki kwe masuhara ya dini
Shukran sheikh..mselem... *Hakika ya aliepewa hekma amepewa heri nyingi*
Mwenyezi mungu alimwambia muhammad nimekukamilishieni yenu nayo niya uislamu. Na mtume wenu nimuhammad kwahivyo wakina musa issa nuhu lbrahim watahukumiwa tofauti .
Alhamdullah Maa shaa allah mwenyezmungu atatufanyia wepesi zaid yaliza nyota ya zanzibar ilipo kua haipo shekh wetu
Allah akuhifadhi ukuengeze busara na hekima,wewe huna kiburi,nakupenda sana.
Allah akuhifadhi na kila shari shekh wetu tuendelee kunufaika kwako.
Shekh asalaam alaykum hyo ndo mitihan kupimwa allah kaahidi nusra kwa wanaoinusuru din tambua nusra ya allah i kariib akujaalie miongon mw mashahid wa din hii tukufu
Shukran Skh Mseleem. Allah ijaziik milion kheir. Tumefaidika. Allah akupe umri na afya.
Usimdharau kiumbe yeyote wa Allah huenda akawa bora zaidi mbele ya Allah
Fact ukhty
Mashaallah shekhe mselem
MASHAALLAH, jazzakallah kheir sheikh Bega kwa bega mpaka Firdaus
Shekhe Allah amuongoze na ampe umri mrefu sana Inshallah.
Nampe shekhe mselem maana anatafsir Quruan kwa vizury kwa utaratibu bila ya papala Allah akuhifadhi shekhe
Nampenda sana Kwa ajili ya Allah Sheikh Mselemu Bin Ally
Alhamdullah tumelia tumekesha kumuomba Allah awatoe masheh wetu jela leo Alhamdullah
Ila nyinyi watu wa Media si vyema kuweka picha ya kumlenga mtu kama hivi - ujumbe utamgusa anayehusika lakini mnavyofanya basi sdhani kuwa ni busara.
Huyo bachu mwenyewe hana busara hata moja
@@shamimnassor6192 Mimi sijauzungumza upande wowote Ila hoja ni kuwa Sheikh Mselem hakumtaja mtu, Bali amezngumza kwa ujumla wake - hivyo aliyemo yumo. Lakini kwanini hii channel iweke picha ya Mtu fulani?
@@alhilaltvonline huwenda Kuna ujumbe utakao mfaa kwenye khutba hii
@@shamimnassor6192 InshaaAllah kheri akhuy. Allah atuhifadhi. Atuongoe na kutuondoshea kibri.
@@alhilaltvonline amin amin ALLAH atuongoze sote mm nachukia sana haya malumbano ya viongozi wa dini na ndio makafiri wanatembelea madhaifu haya na kupata nafasi kuwahadaa waislam wenye elimu ndogo..angalia yule mchungaji WA kenya ndacha anavoyouchafuwa uislam na vitabu zake za uongo na kuna watu wanamuamini,so watu wale ndio wakupigana nao sio sisi twapigana wenyewe kwa wenyewe
Allah akulipe kila la kheri na akuepushie kila la sharri na atujaalie sote mwisho mwema Inshallah 🙏
Sheikh Allah akuhifadhi akulilpe kheri duniani na akhera
Jazakllahu khairan... Sheikh
Alhamdulilah maalim wetu ,wewe ndio tumekuelewa
Kisiwa cha maalifa shekh: mselem Ally. Nasaha zako ni nuru kwa wamchao Allah:
Nyie Riyadhtv znz mnazingua mamb ya din msifananishe na udaku achen kuchonganisha mashekh kwa mashekh: hapo anasoma Qur'an itakayomgusa ndo huyo huyo msilazimishe aonekane kamuongelea mtu huo ni ichochez ambao Allah amekataa
Swadakta
Wanataka followers kwa kivuli cha dini
Assalamualaiku alykm warahmatullaah, naamshekh jazaaka ALLAH khaira,
Ila Nina uwelewa tofauti kidg kwamba hao mayahudi manasara walio tajwa niwale walio amini kabla ya MUHAMMAD SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA, walio muamini issa kisawa sawa na musa kabla ya mtume MUHAMMAD, lakini baada ya kuja mtume hawatakubaliwa Imani zao kulingana na tafsiri ya ibnu kathiir na wengine na ushahidi Ni aya hii :-
وَمَنْ يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَنْ يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ
Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.
Pili hadithi ya mtume
والرسول صلى الله عليه وسلم يقول : " لو كان موسى حياً ما وسعه إلا اتباعي " .
Kwa mba hata Kama nabii Musa angekua hai Ange mfuaata MTUME SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA kwasababu sheria zake zimeshapia.
Pia ANASEMA :-
وعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ عَنْ رَسُولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم أَنَّهُ قَالَ: "وَالَّذِي نَفْسُ مُحَمَّدٍ بِيَدِهِ لاَ يَسْمَعُ بِي أَحَدٌ مِنْ هذِهِ الأُمَّةِ يَهُودِيٌّ وَلاَ نَصْرَانِيٌّ، ثُمَّ يَمُوتُ وَلَمْ يُؤْمِنْ بِالَّذِي أُرْسِلْتُ بِهِ، إِلاَّ كَانَ مِنْ أَصْحَابِ النَّارِ". رواه مسلم.
Kwamba hato nisikiliza Mimi yahudi Wala nasara katika umahuu na Kisha asiniami kwa Yale niliotumilizwa ila atakua nimiongoni mwa watu wa motoni.
Kuonesha kwamba lazima mtu awe muislamu kwaanza kwa kupiga shahada ya kumuamini ALLAH na MTUME.
Sahihi 👌
Sahihi 👍
Nasubilia majibu ya hii comment.
Allah akupe pepo inshaallah
❤❤❤aamin
Napenda san kumskiiza huy sheikh wng mselem bin ally... Allah ukujaalie mwish mwema
Shekh mungu akulinde
Sheikh mselem na muhammad bachu wanafahamiana viziri msiweke picha za uchochezi mnaharibu
Mbona Mohd BACHU kasema yeye akiwapinga muamsho na kuwachukia sana kwa sababu akifanya maandamano lakin walipo weka jela akiwaombea duwa walipo toka akatowa hutba kuwa makhawareej ni wafanyao maandamano ktk nchi vp ?
Shukran Sheikh
ALLAH akuhufadh shekh
Maashallah
Alafu nyie Riyadh mtafute heading nzuri kama waislam mnaweka heading za ajabuajabu muwe makini
Subhanaallah kumbe mashekhe watazania dini mmeifanya kama watu wasiasa wanavyo pigana vita ya inchini na nyinyi ndio mnaelimisha dini kwa watu na ndio mnao leta picha mbaya ya dini 💔💔Inalilah wainalillah rajuuni mwenyezi mungu amjalie mpatane nampendane muache chuki binafsi
Mijadala na hikma kama hizi ndio sahihi, sio yule kijana mdogo aliekosa heshima.
@@humuodkindi4926 Hakika na huo ndio uislam na ndio hekima na busara za kulingania uislam. Sio matusi au dharau au chuki. Tanzania hii kwetu ni hazina kubwa.
Masha Allah shekhe
Allah akupe mwisho mwema
Sharti hapo ni kumuamini Allah. Ni wazi kuwa ukimuamini Allah ni lazima umkubali mtume S. A. W, ndio kusema hao Mayahudi, Waswabiin na Naswara ili wapate kuingia Peponi ni lazima wamkubali Mtume S.A.W na Manabii wote wa Allah. Na ndio Uislamu.
👍
Uko sawa sheikh
Allah akuhifadhi shekh mselem kwa kuwa ukweli wauma usihofu Allah humpenda msema mkweli
Basi yule ambaye Allaah Anataka kumhidi, Humfungulia kifua chake kwa Uislamu. Na yule ambaye Anataka kumpotoa, Hufanya kifua chake kuwa na dhiki chenye kubana kama kwamba anapanda kwa tabu mbinguni…[Al-An’aam: 125]
Shekh mselem sema kwel japo kua chungu
Mashallah sheikh wetu
Islam Eliasi,Allah akubarik shekh mselem Ally
Ukiwa pocho huwezi kumfahamu sheikh mselem ila ss tunamuelewa sana
Pocho
@@khamishamad5044 pocho ni nini? 🤣
Shekh mselem basi ijumaa itaekewa hutba usemwe
Hahahahahaahhahaa sasa ah hahaaa
Watu wa vitabu walioamini wakatenda mema wataingia peponi ikiwa hawatomshirikisha Allah. Tena wale waliopita nasi hawa walokwisha birua Injil na Tawrat na wasioitaka kabisa Qur-an.
Qur-an 3:199
Qur-an 6:21
Na nani dhalimu zaidi kuliko anayemzulia uwongo Mwenyeezi Mungu, na akazikanusha ishara zake? Hakika madhalimu hawafanikiwi.
Qur-an 6:22
Siku tutakapowakusanya wote pamoja. Kisha tuwaambie walioshirikisha. Wapo wapi washirikishwa wenu mliokua mnadai?
Na watu wa kitabu wanaomuamini Allah (s.w) , na ulichoteremshiwa wewe na walichoteremshiwa wao, na wakatenda mema na wasimshirikishe Allah (s.w). ..
3.199
@@alhamdulillah5796 ahsante sn
Mashaallah sheikh
Dini hii kuna wanachuoni,wenye maarifa zaidi na wanaojua tafsiri zaidi,wala si dini yakuzungumza tu watu wakusifu.wanachuoni ndio dira ya uislamu.
Masalaf wafitin tu hapa kwetu zanzibar
Hii Aya naona haijapata mfafanuzi wa kina utende mema unavyotenda na unajua Mungu yupo na hauximamixhi xwala 5 bc ujue n bure kabixa.
Kijana una pupa huna skills za kisikiliza, umefika darasa la ngapi? Hebu msikilize vizuri
MashaAllah
Huyu shekh inabidi umsikilize kiupole ndio utamuelewa. Na mimi namuelewa kila wakati
Shukran kwamba umewakubali wema waliotangulia
Hata mimi nimewakubali sana hao wema waliotangulia ila hawa wema walioko wallahi ni tafauti kabisaaaa.Maneno yao wallahi hayaniingii akilini kabisaaaa
@@husnamohamed9448 ayo matamanio yako tu
Kama ingekua nchi zetu ziuadilifu mselem aliy engekua kadhi lakini sii nchi hizi zinekosa uadilifu
Allah akulipe hakika umefikisha.
Wewe ni zaidi ya dhahabu laiti watu wangejua thamani yako basi ungenunuliwa zaidi ya wacheza mpira lakini mpaka media za kidini siku hizi dili hawana mpaka ubunifu wa kazi
Na kama ukiwatii wengi walioko ulimwenguni, watakupoteza na njia ya Allaah. [Al-An’aam: 116]
Na Allaah Anajua zaidi
As long as watakuwa wanaamini Allah yupo na wanafanya amal njema.....hawatojutia mwisho wao. Hizi Aya usipokuwa mankini utajitatza bure. Be positive hakuna mkamilifu katika dini na dunia na hakuna anaejua hukmu isipokuwa Allah.
Shekhe wewe Allah atu patie umuri mlefu napenda sana kuskia mawaiza yako
Allah akulipe Kila la kheri shekhe wetu hao masalfi waliwacheka walokole wa kikiristo sijui wenyewe ni kinanani?Kwa hakika Wana KERA sana kuvaa ngozi ya kondoo wakat ni chui
Alhamdu lillah
We riadhi tv wewe usiweke picha kama ivoo hio unayofanya ni firn kaka
Usibabaishe watu sheikh zungumza inavotakiwa kuzungumza
Shekh kaeleza vzri lakin sjaskia kama kmtaja mwanachuon gani au swahaba gani alitafsriii hivo hiyo aya ya 62 suurat bakaara.kwamba wanao abudu viumbe watalipwa ujira kwa Allah. Naomba ufafanuzi kidg hapo
Samahan kwa usumbufu
Sawa kabisa
Mashaallah
Hujmb ww
Assalam Alykm warahmatullah wabarakatuh.
Hii Anatumia tafsiri ipi? Naomba kujua tafadhal.
Jazaakallahu khayran Sheikh
Swifiwatu ttafaaasiir cha mwanazuoni ally swaabuni
Taabu Kubwa Iliyopo Kwasasa Tunajisomea Wenyewe. Twende Tukasomeshe Kwawanaostahiki Kutusomesha. Tusijisomee Tu.
صفوة التفاسير - الشيخ محمد بن علي الصابوني
Enyi walioamini! Tubieni kwa Allaah tawbah ya nasuha (kwelikweli); asaa Rabb wenu Akakufutieni maovu yenu, na Akakuingizeni Jannaat zipitazo chini yake mito. Siku ambayo Allaah Hatomfedhehesha Nabiy (Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) na wale walioamini pamoja naye. Nuru yao itatembea mbele yao na kuliani mwao, watasema: “Rabb wetu! Tutimizie Nuru yetu, na Tughufurie, hakika Wewe juu ya kila kitu ni Muweza. [At-Tahriym: 8]
mashallah ni shekh mwenye elmu ya juu Allah amuhifadhi aendelee nadaawa kutumbusha amin
Mashallah umefafanua vzr shekh ila nashkuri kwakua sote ni waislam basi tusinyoosheane vdole hasa kwakueka picha zidi ya wengne maana lengo ni kufanikiwa siku ya mwsho
Allah atuhifadh
Nadhani bachu amekuskia maana baleghe haijamuishia
Tubieni Enyi waja wa Allaah acheni ukhawaarij
Khawarij Yuko wapi hapa sasa😂
Kwani Ili watubie waje kukwambia wewe au we ndo mwenye daftari la watu wanotubia unaandika?
Ila iyo ya kukufulisha watu mi nashangaaga sana kuna watu wanapenda sana kukufulisha wenzao utadhani wao wamejihakikishia kuwa wao ni wapeponi
Al habib nakukubaki kwa elimu yako, asilimia miamoja. Hivi ndio wanatakiwa maulamaa wetu. Naonba uwaelimishe hao wasiojua kutowa elimi waache kuwakhofishe wasikilizaji. Nungu akuhifadhi
Hawa riyaztv wakajifunze dini Co kugombanisha mashekh mselem jee alimtaja mtuu waache ujinga hao
Allah atuongoze sote tuliotoa michangio tofaut
Dini lazima uguse engo zote endelea kutupa daawa sheikh mselem wanobweka waache wabweke
Nakukubali kaka,lkni samahani usitumie lugha ya kubweka anaebweka ni mbwa so nimakosa kumfananisha mwanadamu mwenzako na mbwa
Wanakera sana lkn nashkuru kwa kunikumbusha
@@khamisrubea5083 na ukweli unakera eti
Lakini tuseme ukweli salafi hawana kheri na uislamu, wameacha hata kusoma bismillahi Rrahmani Rraheem kwa sala, kato hawasomi moyoni wala kwa siri, wamefanya msikiti kuwa nyumba za ukimya na ubinafsi na wala hawataki dua kamwe.
Dua ni miongoni mwa vitu Allah anapenda sana na dua especially kwa sala na baada ya sala. Tuzingatie sana kuhusu dua za jamaa na tuzingatie sana umuhimu wa bismillahi kwa kusoma Qur'an aidha kwa sala ama qiraha. Bismillahi Rrahmani Rrahim ni neno sheitan yuaogopa sana na hakuna fatiha bila Bismillahi Rrahmani Rraheem.
*HIYO Aya Ni MANSUHU Sheikh mselem ebu angalia vizuri*
Mbona ameiweka sawa hayo makundi 4 wakimuamini Mtumme Muhammad s a w na kuikubali Qur an hao ndio wamafaulu
Hebu na ww msikilize vizuri usikurupuke ku comments
@@AliHassan-oe8sy Acha kukurupuka
Ukisoma sura al imran aya 19 na 85 utajiuliza je sheikh ndo hakuelewa tafseer vizuri au quran inapingana yenyewe kwa yenyewe ?? Naombeni mnisaidie hapo waislam wenzangu siyo malumbano ila tuelimishane maana sheikh nae ni binadam
Shekhe aya hii ipo ila ulivyo fafanuwa sivyo ama umesahau allah kasema wan yabtakhii khairal islaami dina falan yuqbalu minhu wahuwa fil akherati minal khasiriin kwa sababu huu wakati dini ni uislaaamu tu.
Hukumfaham sheikh usitoe hukumu tu..
Mwanzo kaanza kutafsiri kama aya ilivo kawapa challenge kisha ndio katoa maana ilivokusudiwa ..
Allah humma amin
Wewe mwenywe unacheka malumbano ni miongoni mwa wanawo chocheya malumbano muogope Allah unachokifanya kinafidhiwa na utaenda kulipwa
Unajua hawa salaf wakiambiwa ukwel wanachukiwa
💯 💯 sheikh
Kawa munguu? Hata umpe uhakiwa wa 100%%
Usimpe asilimia zote hizo hakuna Mwanaadam mkamilifu
@@user-rb8ir9co9k Kuna point kuzungumza ndio nimemuga mkono 💯 💯.sio kma ni mkamilifu
@@abdullahalbalushi3856 sawa Muhimu Point imezingatia Qur-an ama Sunna basi hakuna shida
Hili genge linalojiita Salafy ni wahuni watupu
Wewe je hahhaahaah
Ni kweli ndg yangu Uledi, wanaojiita salaf ni hovyo tu.
Kama Ningekuwa Mwislamu Kabla Ya Ukristo, Basi Shekhe Pekee Ambaye Angenifanya Nibaki Kwenye Uislamu Ni Huyu, Vinginevyo Ningesharitadi.
Allah akfnyie wepes
Sasa ukristu upi unae kubali Allah? mbona mwapotosha jami labda hiyo pepo unayo wabashiriya ya kwako.
Sasa hizi p8cha mbona zimewekwa hivi yani makusudio niyepi???
Picha hazijaendana labda alieweka hajui anachokifanya
Jamani nahitaji mawasiliano ya shehe uyu mwenye nazo anisaidie
Dodoma pale nihatari wagombanishi baadhi miroho yakugombanishana hao halafi ndio dhehebu gani tena
naomba namba ya sh mselem nataka nimuulize suali lang
Duuuu!! maskin shekh kunawatu hawajakuelewa sjui wanausingiz
Shekh mserem umeeleweka uliobaki ni ubishi tu hamna lolote
Shekh wetu amefafanua kua huyo mkiristo , muislamu,muyahudi yoyote atakaye fanya alivotaka Allah ndio watakao faulu
Sasa wewe ukivyochanganya dini na siasa ilikuwa sahihi na kama si sahihi mbona hukubainisha kwa watu kama yale ni makosa hiyo ndo tabia zenu munababaisha watu wasijue basi kama makundi yapo kwa sababu hadithi inasema ktk umma wangu yatakuja makundi 73 je ni ya uongo
Shekhe ujuwe kwamba dini ya kiislamu haikugawa vitu mafungu mambo yote kesho kwa mungu yatakuwa na malipo. Hiyo nyimbo ya kuchanganya dini na siasa imetungwa na makafiri na sie WAISLAMU tusiojielewa tunaiimba na kuicheza. Lazima tuwe makini sana. Ni vyema tukavijua vitu kwa undani kabla ya kutuma comment. Au unadhani wanasiasa hawataulizwa kwa mungu juu ya nyadhifa zao?
Kwan unaijua tasfri ya dini na hiyo siasa au ukereketwa umekupanda kichwani maana maajabu kwa muislam mpaka Leo bado Hana utambuzi juu ya mambo Kama haya ila shu hatutaki kusoma tusomeni hii hatari et ulipo changanya dini na siasa shida kwelo
Kwa hili huyu sheikh sija muelewa
Sheikh alianza na tafsiri ya neno kwa neno ndiyo ikakuchanganya. Kisha akafafanua kuwa waumini(yaani waislamu), mayahudi, manasara na maswaabii hawa wote hawa km watarekebisha mapungufu yao wakaacha wanapokosea yaani wakimuamini mungu inavyotakiwa( yaani waislamu wasimame ktk uislamu ipasavyo na wasiokuwa waislamu wawe waislamu sawasawa) na siku ya mwisho, kisha watende mema hao ndiyo hawatapata khofu.
Msikilize tena kwa makini sheikh utaelewa ndugu yangu
Darsa za sheikh msellem inakua ni wapi na muda gan ?? Naomba niambiwe
Kabla hajaekwa mahabusu ilkua jumatatu masjid nour ila kwa sasa sielewi