SHK MSELLEM: KAZI KUTIANA MOTONI TU | HAO SALAFI WENYEWE HAWAKUWA HIVI WALIVYO KUNDI HILI LA SALAFI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ธ.ค. 2021
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar

ความคิดเห็น • 344

  • @omarymnola1011
    @omarymnola1011 2 ปีที่แล้ว +25

    Hakika hekma ni kheriii kubwa
    I wish nikuone live hakika nakupenda kwa ajili ya Allah
    Allah akuhifadhi kipenzi chetu

  • @hemedali4910
    @hemedali4910 2 ปีที่แล้ว +18

    moja katika masheikh ninaowakubali sana sana,mungu ampe umri,hikma na kheri nyingi!sio vijana wetu wa sasa,kaz kutiana moton tu....

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan89 2 ปีที่แล้ว +9

    Mashallah. Sheikh wetu kipenzi tunafurahi kila tukikuona na tukisikia darsa zako allah akujaalie afya njema wewe pamoja na familia yako amiin

  • @idrissajuma7308
    @idrissajuma7308 2 ปีที่แล้ว +15

    Ewe M/muungu mjalie Mwisho mwema sheikh Mselem bin Ali amiina🤲🏻

  • @anuarhemed4747
    @anuarhemed4747 2 ปีที่แล้ว +16

    Allah akupe umri mrefu na akupe afya njema

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 ปีที่แล้ว +10

    Shukran sheikh allah akulipe duniani na akhera
    Allah akuhifadhi

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 2 ปีที่แล้ว +13

    ALLAH AKUBARIKI SHK MSELLEM ALLY MSELLEM.

  • @abdulkarimmavuo645
    @abdulkarimmavuo645 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kuweka picha ya sheikh fulani haifai watu wa riyadhTvznz ,kazi yenu mulete elimu tu, ushabiki acheni,analofanya Huyo sheikh mlumuweka ni haq na sisi twajua,kwaiyo musifanye sheikh wetu Allah amrehemu Msellem kuonekana kwamba anaongelea mtu fulani (ilhali sio hivyo )hio ni makosa waislam

    • @makolokatanda4456
      @makolokatanda4456 3 หลายเดือนก่อน

      Acha ushabiki kwe masuhara ya dini

  • @marrowog8975
    @marrowog8975 2 ปีที่แล้ว +17

    Shukran sheikh..mselem... *Hakika ya aliepewa hekma amepewa heri nyingi*

  • @gonasaidjuma2700
    @gonasaidjuma2700 2 ปีที่แล้ว +4

    Mwenyezi mungu alimwambia muhammad nimekukamilishieni yenu nayo niya uislamu. Na mtume wenu nimuhammad kwahivyo wakina musa issa nuhu lbrahim watahukumiwa tofauti .

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 2 ปีที่แล้ว +7

    Alhamdullah Maa shaa allah mwenyezmungu atatufanyia wepesi zaid yaliza nyota ya zanzibar ilipo kua haipo shekh wetu

  • @makerebul3650
    @makerebul3650 2 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadhi ukuengeze busara na hekima,wewe huna kiburi,nakupenda sana.

  • @sheykhansheykhan
    @sheykhansheykhan ปีที่แล้ว +2

    Allah akuhifadhi na kila shari shekh wetu tuendelee kunufaika kwako.

  • @user-qz5yu1ud3l
    @user-qz5yu1ud3l 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh asalaam alaykum hyo ndo mitihan kupimwa allah kaahidi nusra kwa wanaoinusuru din tambua nusra ya allah i kariib akujaalie miongon mw mashahid wa din hii tukufu

  • @salimaljahwari1
    @salimaljahwari1 ปีที่แล้ว

    Shukran Skh Mseleem. Allah ijaziik milion kheir. Tumefaidika. Allah akupe umri na afya.

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 ปีที่แล้ว +15

    Usimdharau kiumbe yeyote wa Allah huenda akawa bora zaidi mbele ya Allah

  • @basakimnguuchannel3402
    @basakimnguuchannel3402 2 ปีที่แล้ว +11

    Mashaallah shekhe mselem

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 2 ปีที่แล้ว +1

    MASHAALLAH, jazzakallah kheir sheikh Bega kwa bega mpaka Firdaus

  • @ababukarlinus9355
    @ababukarlinus9355 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe Allah amuongoze na ampe umri mrefu sana Inshallah.

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu2403 ปีที่แล้ว +1

    Nampe shekhe mselem maana anatafsir Quruan kwa vizury kwa utaratibu bila ya papala Allah akuhifadhi shekhe

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda sana Kwa ajili ya Allah Sheikh Mselemu Bin Ally

  • @suleimankhalid5978
    @suleimankhalid5978 ปีที่แล้ว +1

    Alhamdullah tumelia tumekesha kumuomba Allah awatoe masheh wetu jela leo Alhamdullah

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline 2 ปีที่แล้ว +46

    Ila nyinyi watu wa Media si vyema kuweka picha ya kumlenga mtu kama hivi - ujumbe utamgusa anayehusika lakini mnavyofanya basi sdhani kuwa ni busara.

    • @shamimnassor6192
      @shamimnassor6192 2 ปีที่แล้ว +4

      Huyo bachu mwenyewe hana busara hata moja

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 2 ปีที่แล้ว +9

      @@shamimnassor6192 Mimi sijauzungumza upande wowote Ila hoja ni kuwa Sheikh Mselem hakumtaja mtu, Bali amezngumza kwa ujumla wake - hivyo aliyemo yumo. Lakini kwanini hii channel iweke picha ya Mtu fulani?

    • @shamimnassor6192
      @shamimnassor6192 2 ปีที่แล้ว +1

      @@alhilaltvonline huwenda Kuna ujumbe utakao mfaa kwenye khutba hii

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 2 ปีที่แล้ว +3

      @@shamimnassor6192 InshaaAllah kheri akhuy. Allah atuhifadhi. Atuongoe na kutuondoshea kibri.

    • @shamimnassor6192
      @shamimnassor6192 2 ปีที่แล้ว +4

      @@alhilaltvonline amin amin ALLAH atuongoze sote mm nachukia sana haya malumbano ya viongozi wa dini na ndio makafiri wanatembelea madhaifu haya na kupata nafasi kuwahadaa waislam wenye elimu ndogo..angalia yule mchungaji WA kenya ndacha anavoyouchafuwa uislam na vitabu zake za uongo na kuna watu wanamuamini,so watu wale ndio wakupigana nao sio sisi twapigana wenyewe kwa wenyewe

  • @LuqmanAndrew-nu9rx
    @LuqmanAndrew-nu9rx 4 หลายเดือนก่อน

    Allah akulipe kila la kheri na akuepushie kila la sharri na atujaalie sote mwisho mwema Inshallah 🙏

  • @salmaalisalim2462
    @salmaalisalim2462 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh Allah akuhifadhi akulilpe kheri duniani na akhera

  • @jamalmohamed3400
    @jamalmohamed3400 2 ปีที่แล้ว +1

    Jazakllahu khairan... Sheikh

  • @nuramoboy
    @nuramoboy 2 ปีที่แล้ว +2

    Alhamdulilah maalim wetu ,wewe ndio tumekuelewa

  • @samwelbunzali1914
    @samwelbunzali1914 2 ปีที่แล้ว +8

    Kisiwa cha maalifa shekh: mselem Ally. Nasaha zako ni nuru kwa wamchao Allah:

  • @samwelbunzali1914
    @samwelbunzali1914 2 ปีที่แล้ว +5

    Nyie Riyadhtv znz mnazingua mamb ya din msifananishe na udaku achen kuchonganisha mashekh kwa mashekh: hapo anasoma Qur'an itakayomgusa ndo huyo huyo msilazimishe aonekane kamuongelea mtu huo ni ichochez ambao Allah amekataa

    • @ashrafseif9460
      @ashrafseif9460 2 ปีที่แล้ว

      Swadakta

    • @mrfauzy8226
      @mrfauzy8226 2 ปีที่แล้ว

      Wanataka followers kwa kivuli cha dini

  • @abasmuniru142
    @abasmuniru142 2 ปีที่แล้ว +5

    Assalamualaiku alykm warahmatullaah, naamshekh jazaaka ALLAH khaira,
    Ila Nina uwelewa tofauti kidg kwamba hao mayahudi manasara walio tajwa niwale walio amini kabla ya MUHAMMAD SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA, walio muamini issa kisawa sawa na musa kabla ya mtume MUHAMMAD, lakini baada ya kuja mtume hawatakubaliwa Imani zao kulingana na tafsiri ya ibnu kathiir na wengine na ushahidi Ni aya hii :-
    وَمَنْ يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَنْ يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ
    Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.
    Pili hadithi ya mtume
    والرسول صلى الله عليه وسلم يقول : " لو كان موسى حياً ما وسعه إلا اتباعي " .
    Kwa mba hata Kama nabii Musa angekua hai Ange mfuaata MTUME SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA kwasababu sheria zake zimeshapia.
    Pia ANASEMA :-
    وعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ عَنْ رَسُولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم أَنَّهُ قَالَ: "وَالَّذِي نَفْسُ مُحَمَّدٍ بِيَدِهِ لاَ يَسْمَعُ بِي أَحَدٌ مِنْ هذِهِ الأُمَّةِ يَهُودِيٌّ وَلاَ نَصْرَانِيٌّ، ثُمَّ يَمُوتُ وَلَمْ يُؤْمِنْ بِالَّذِي أُرْسِلْتُ بِهِ، إِلاَّ كَانَ مِنْ أَصْحَابِ النَّارِ". رواه مسلم.
    Kwamba hato nisikiliza Mimi yahudi Wala nasara katika umahuu na Kisha asiniami kwa Yale niliotumilizwa ila atakua nimiongoni mwa watu wa motoni.
    Kuonesha kwamba lazima mtu awe muislamu kwaanza kwa kupiga shahada ya kumuamini ALLAH na MTUME.

  • @abasmadodo9964
    @abasmadodo9964 2 ปีที่แล้ว +9

    Allah akupe pepo inshaallah

  • @kimedyrashad9271
    @kimedyrashad9271 ปีที่แล้ว

    Napenda san kumskiiza huy sheikh wng mselem bin ally... Allah ukujaalie mwish mwema

  • @yusuphkombo8423
    @yusuphkombo8423 2 ปีที่แล้ว

    Shekh mungu akulinde

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 2 ปีที่แล้ว +5

    Sheikh mselem na muhammad bachu wanafahamiana viziri msiweke picha za uchochezi mnaharibu

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 2 ปีที่แล้ว

      Mbona Mohd BACHU kasema yeye akiwapinga muamsho na kuwachukia sana kwa sababu akifanya maandamano lakin walipo weka jela akiwaombea duwa walipo toka akatowa hutba kuwa makhawareej ni wafanyao maandamano ktk nchi vp ?

  • @takdirmahmoud
    @takdirmahmoud 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran Sheikh

  • @user-ov4js4sw5w
    @user-ov4js4sw5w 3 หลายเดือนก่อน

    ALLAH akuhufadh shekh

  • @omarkhamis1539
    @omarkhamis1539 2 ปีที่แล้ว +4

    Maashallah

  • @hawahassan1623
    @hawahassan1623 2 ปีที่แล้ว +5

    Alafu nyie Riyadh mtafute heading nzuri kama waislam mnaweka heading za ajabuajabu muwe makini

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 ปีที่แล้ว +1

    Subhanaallah kumbe mashekhe watazania dini mmeifanya kama watu wasiasa wanavyo pigana vita ya inchini na nyinyi ndio mnaelimisha dini kwa watu na ndio mnao leta picha mbaya ya dini 💔💔Inalilah wainalillah rajuuni mwenyezi mungu amjalie mpatane nampendane muache chuki binafsi

    • @humuodkindi4926
      @humuodkindi4926 ปีที่แล้ว +1

      Mijadala na hikma kama hizi ndio sahihi, sio yule kijana mdogo aliekosa heshima.

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 5 หลายเดือนก่อน

      @@humuodkindi4926 Hakika na huo ndio uislam na ndio hekima na busara za kulingania uislam. Sio matusi au dharau au chuki. Tanzania hii kwetu ni hazina kubwa.

  • @user-ec9dn5mp8y
    @user-ec9dn5mp8y 4 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah shekhe

  • @Kimochatv
    @Kimochatv 4 หลายเดือนก่อน

    Allah akupe mwisho mwema

  • @ayoubsadi5186
    @ayoubsadi5186 2 ปีที่แล้ว +6

    Sharti hapo ni kumuamini Allah. Ni wazi kuwa ukimuamini Allah ni lazima umkubali mtume S. A. W, ndio kusema hao Mayahudi, Waswabiin na Naswara ili wapate kuingia Peponi ni lazima wamkubali Mtume S.A.W na Manabii wote wa Allah. Na ndio Uislamu.

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah akuhifadhi shekh mselem kwa kuwa ukweli wauma usihofu Allah humpenda msema mkweli

  • @yussufsaid654
    @yussufsaid654 2 ปีที่แล้ว +1

    Basi yule ambaye Allaah Anataka kumhidi, Humfungulia kifua chake kwa Uislamu. Na yule ambaye Anataka kumpotoa, Hufanya kifua chake kuwa na dhiki chenye kubana kama kwamba anapanda kwa tabu mbinguni…[Al-An’aam: 125]

  • @anuarhemed4747
    @anuarhemed4747 2 ปีที่แล้ว +3

    Shekh mselem sema kwel japo kua chungu

  • @user-eg2cg3ts2d
    @user-eg2cg3ts2d 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah sheikh wetu

  • @cashewnutboardtz7325
    @cashewnutboardtz7325 ปีที่แล้ว

    Islam Eliasi,Allah akubarik shekh mselem Ally

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 2 ปีที่แล้ว +4

    Ukiwa pocho huwezi kumfahamu sheikh mselem ila ss tunamuelewa sana

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 ปีที่แล้ว +5

    Shekh mselem basi ijumaa itaekewa hutba usemwe

    • @user-fq6iw1pb7q
      @user-fq6iw1pb7q 2 ปีที่แล้ว

      Hahahahahaahhahaa sasa ah hahaaa

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว +8

    Watu wa vitabu walioamini wakatenda mema wataingia peponi ikiwa hawatomshirikisha Allah. Tena wale waliopita nasi hawa walokwisha birua Injil na Tawrat na wasioitaka kabisa Qur-an.
    Qur-an 3:199

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว +2

      Qur-an 6:21
      Na nani dhalimu zaidi kuliko anayemzulia uwongo Mwenyeezi Mungu, na akazikanusha ishara zake? Hakika madhalimu hawafanikiwi.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว

      Qur-an 6:22
      Siku tutakapowakusanya wote pamoja. Kisha tuwaambie walioshirikisha. Wapo wapi washirikishwa wenu mliokua mnadai?

    • @DreamGirl-xn7ce
      @DreamGirl-xn7ce 2 ปีที่แล้ว

      Na watu wa kitabu wanaomuamini Allah (s.w) , na ulichoteremshiwa wewe na walichoteremshiwa wao, na wakatenda mema na wasimshirikishe Allah (s.w). ..
      3.199

    • @shabaniali9825
      @shabaniali9825 2 ปีที่แล้ว

      @@alhamdulillah5796 ahsante sn

  • @salummazurui3270
    @salummazurui3270 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah sheikh

  • @user-dr2cq4md8g
    @user-dr2cq4md8g 6 หลายเดือนก่อน

    Dini hii kuna wanachuoni,wenye maarifa zaidi na wanaojua tafsiri zaidi,wala si dini yakuzungumza tu watu wakusifu.wanachuoni ndio dira ya uislamu.

  • @mahirkombo535
    @mahirkombo535 2 ปีที่แล้ว +2

    Masalaf wafitin tu hapa kwetu zanzibar

  • @loveofficial74
    @loveofficial74 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii Aya naona haijapata mfafanuzi wa kina utende mema unavyotenda na unajua Mungu yupo na hauximamixhi xwala 5 bc ujue n bure kabixa.

    • @nassirali7499
      @nassirali7499 2 ปีที่แล้ว

      Kijana una pupa huna skills za kisikiliza, umefika darasa la ngapi? Hebu msikilize vizuri

  • @saidmaulid4478
    @saidmaulid4478 2 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah

  • @jumaabdurahmani2733
    @jumaabdurahmani2733 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu shekh inabidi umsikilize kiupole ndio utamuelewa. Na mimi namuelewa kila wakati

  • @ramadhankheir4793
    @ramadhankheir4793 2 ปีที่แล้ว +3

    Shukran kwamba umewakubali wema waliotangulia

    • @husnamohamed9448
      @husnamohamed9448 2 ปีที่แล้ว

      Hata mimi nimewakubali sana hao wema waliotangulia ila hawa wema walioko wallahi ni tafauti kabisaaaa.Maneno yao wallahi hayaniingii akilini kabisaaaa

    • @ramadhankheir4793
      @ramadhankheir4793 2 ปีที่แล้ว

      @@husnamohamed9448 ayo matamanio yako tu

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 ปีที่แล้ว

    Kama ingekua nchi zetu ziuadilifu mselem aliy engekua kadhi lakini sii nchi hizi zinekosa uadilifu

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah akulipe hakika umefikisha.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 ปีที่แล้ว +2

    Wewe ni zaidi ya dhahabu laiti watu wangejua thamani yako basi ungenunuliwa zaidi ya wacheza mpira lakini mpaka media za kidini siku hizi dili hawana mpaka ubunifu wa kazi

  • @yussufsaid654
    @yussufsaid654 2 ปีที่แล้ว +2

    Na kama ukiwatii wengi walioko ulimwenguni, watakupoteza na njia ya Allaah. [Al-An’aam: 116]
    Na Allaah Anajua zaidi

    • @alindaro7978
      @alindaro7978 ปีที่แล้ว

      As long as watakuwa wanaamini Allah yupo na wanafanya amal njema.....hawatojutia mwisho wao. Hizi Aya usipokuwa mankini utajitatza bure. Be positive hakuna mkamilifu katika dini na dunia na hakuna anaejua hukmu isipokuwa Allah.

  • @mussaathumani9814
    @mussaathumani9814 10 หลายเดือนก่อน

    Shekhe wewe Allah atu patie umuri mlefu napenda sana kuskia mawaiza yako

  • @khadijasaidi4834
    @khadijasaidi4834 ปีที่แล้ว

    Allah akulipe Kila la kheri shekhe wetu hao masalfi waliwacheka walokole wa kikiristo sijui wenyewe ni kinanani?Kwa hakika Wana KERA sana kuvaa ngozi ya kondoo wakat ni chui

  • @abdulrahimsalim8809
    @abdulrahimsalim8809 2 ปีที่แล้ว +1

    Alhamdu lillah

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 2 ปีที่แล้ว +2

    We riadhi tv wewe usiweke picha kama ivoo hio unayofanya ni firn kaka

  • @allysuleiman517
    @allysuleiman517 2 ปีที่แล้ว +2

    Usibabaishe watu sheikh zungumza inavotakiwa kuzungumza

  • @fadhilimussa5067
    @fadhilimussa5067 2 ปีที่แล้ว

    Shekh kaeleza vzri lakin sjaskia kama kmtaja mwanachuon gani au swahaba gani alitafsriii hivo hiyo aya ya 62 suurat bakaara.kwamba wanao abudu viumbe watalipwa ujira kwa Allah. Naomba ufafanuzi kidg hapo
    Samahan kwa usumbufu

  • @helefkdk5125
    @helefkdk5125 4 หลายเดือนก่อน

    Sawa kabisa

  • @fatmamudy4508
    @fatmamudy4508 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @infocontentchannel
    @infocontentchannel 2 ปีที่แล้ว +4

    Assalam Alykm warahmatullah wabarakatuh.
    Hii Anatumia tafsiri ipi? Naomba kujua tafadhal.
    Jazaakallahu khayran Sheikh

    • @habibuchipeka7934
      @habibuchipeka7934 2 ปีที่แล้ว

      Swifiwatu ttafaaasiir cha mwanazuoni ally swaabuni

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 2 ปีที่แล้ว

      Taabu Kubwa Iliyopo Kwasasa Tunajisomea Wenyewe. Twende Tukasomeshe Kwawanaostahiki Kutusomesha. Tusijisomee Tu.

    • @user-lb2lx5bq6e
      @user-lb2lx5bq6e 2 ปีที่แล้ว

      صفوة التفاسير - الشيخ محمد بن علي الصابوني

  • @yussufsaid654
    @yussufsaid654 2 ปีที่แล้ว

    Enyi walioamini! Tubieni kwa Allaah tawbah ya nasuha (kwelikweli); asaa Rabb wenu Akakufutieni maovu yenu, na Akakuingizeni Jannaat zipitazo chini yake mito. Siku ambayo Allaah Hatomfedhehesha Nabiy (Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) na wale walioamini pamoja naye. Nuru yao itatembea mbele yao na kuliani mwao, watasema: “Rabb wetu! Tutimizie Nuru yetu, na Tughufurie, hakika Wewe juu ya kila kitu ni Muweza. [At-Tahriym: 8]

    • @AbdullBakari
      @AbdullBakari ปีที่แล้ว

      mashallah ni shekh mwenye elmu ya juu Allah amuhifadhi aendelee nadaawa kutumbusha amin

  • @alisalimhamad3550
    @alisalimhamad3550 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah umefafanua vzr shekh ila nashkuri kwakua sote ni waislam basi tusinyoosheane vdole hasa kwakueka picha zidi ya wengne maana lengo ni kufanikiwa siku ya mwsho

  • @ridhwaniyassir3579
    @ridhwaniyassir3579 2 ปีที่แล้ว

    Allah atuhifadh

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 หลายเดือนก่อน

    Nadhani bachu amekuskia maana baleghe haijamuishia

  • @abusumayyah2338
    @abusumayyah2338 2 ปีที่แล้ว +3

    Tubieni Enyi waja wa Allaah acheni ukhawaarij

    • @tibakisunnahnaasili6250
      @tibakisunnahnaasili6250 2 ปีที่แล้ว

      Khawarij Yuko wapi hapa sasa😂

    • @burhanhaji769
      @burhanhaji769 2 ปีที่แล้ว

      Kwani Ili watubie waje kukwambia wewe au we ndo mwenye daftari la watu wanotubia unaandika?

  • @sadahgullam8228
    @sadahgullam8228 2 ปีที่แล้ว

    Ila iyo ya kukufulisha watu mi nashangaaga sana kuna watu wanapenda sana kukufulisha wenzao utadhani wao wamejihakikishia kuwa wao ni wapeponi

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi8490 2 ปีที่แล้ว

    Al habib nakukubaki kwa elimu yako, asilimia miamoja. Hivi ndio wanatakiwa maulamaa wetu. Naonba uwaelimishe hao wasiojua kutowa elimi waache kuwakhofishe wasikilizaji. Nungu akuhifadhi

  • @abumussabnassor6141
    @abumussabnassor6141 2 ปีที่แล้ว +1

    Hawa riyaztv wakajifunze dini Co kugombanisha mashekh mselem jee alimtaja mtuu waache ujinga hao

    • @khatibrashid172
      @khatibrashid172 ปีที่แล้ว

      Allah atuongoze sote tuliotoa michangio tofaut

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 2 ปีที่แล้ว +3

    Dini lazima uguse engo zote endelea kutupa daawa sheikh mselem wanobweka waache wabweke

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 2 ปีที่แล้ว

      Nakukubali kaka,lkni samahani usitumie lugha ya kubweka anaebweka ni mbwa so nimakosa kumfananisha mwanadamu mwenzako na mbwa

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 2 ปีที่แล้ว +1

      Wanakera sana lkn nashkuru kwa kunikumbusha

    • @abdulhamidhaji5056
      @abdulhamidhaji5056 ปีที่แล้ว

      @@khamisrubea5083 na ukweli unakera eti

  • @mansoormannix1753
    @mansoormannix1753 10 หลายเดือนก่อน

    Lakini tuseme ukweli salafi hawana kheri na uislamu, wameacha hata kusoma bismillahi Rrahmani Rraheem kwa sala, kato hawasomi moyoni wala kwa siri, wamefanya msikiti kuwa nyumba za ukimya na ubinafsi na wala hawataki dua kamwe.
    Dua ni miongoni mwa vitu Allah anapenda sana na dua especially kwa sala na baada ya sala. Tuzingatie sana kuhusu dua za jamaa na tuzingatie sana umuhimu wa bismillahi kwa kusoma Qur'an aidha kwa sala ama qiraha. Bismillahi Rrahmani Rrahim ni neno sheitan yuaogopa sana na hakuna fatiha bila Bismillahi Rrahmani Rraheem.

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 2 ปีที่แล้ว +1

    *HIYO Aya Ni MANSUHU Sheikh mselem ebu angalia vizuri*

    • @AliHassan-oe8sy
      @AliHassan-oe8sy 2 ปีที่แล้ว

      Mbona ameiweka sawa hayo makundi 4 wakimuamini Mtumme Muhammad s a w na kuikubali Qur an hao ndio wamafaulu

    • @nassirali7499
      @nassirali7499 2 ปีที่แล้ว

      Hebu na ww msikilize vizuri usikurupuke ku comments

    • @coyancodavao4004
      @coyancodavao4004 ปีที่แล้ว

      @@AliHassan-oe8sy Acha kukurupuka

  • @abdurahimnassoro1667
    @abdurahimnassoro1667 2 ปีที่แล้ว

    Ukisoma sura al imran aya 19 na 85 utajiuliza je sheikh ndo hakuelewa tafseer vizuri au quran inapingana yenyewe kwa yenyewe ?? Naombeni mnisaidie hapo waislam wenzangu siyo malumbano ila tuelimishane maana sheikh nae ni binadam

  • @hafanabdallah3112
    @hafanabdallah3112 2 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe aya hii ipo ila ulivyo fafanuwa sivyo ama umesahau allah kasema wan yabtakhii khairal islaami dina falan yuqbalu minhu wahuwa fil akherati minal khasiriin kwa sababu huu wakati dini ni uislaaamu tu.

    • @harithnyara1948
      @harithnyara1948 ปีที่แล้ว

      Hukumfaham sheikh usitoe hukumu tu..
      Mwanzo kaanza kutafsiri kama aya ilivo kawapa challenge kisha ndio katoa maana ilivokusudiwa ..

  • @youssouphsalum786
    @youssouphsalum786 2 ปีที่แล้ว +3

    Allah humma amin

  • @ummatul-islam9615
    @ummatul-islam9615 ปีที่แล้ว

    Wewe mwenywe unacheka malumbano ni miongoni mwa wanawo chocheya malumbano muogope Allah unachokifanya kinafidhiwa na utaenda kulipwa

  • @anuarhemed4747
    @anuarhemed4747 2 ปีที่แล้ว +2

    Unajua hawa salaf wakiambiwa ukwel wanachukiwa

  • @abdullahalbalushi3856
    @abdullahalbalushi3856 2 ปีที่แล้ว +2

    💯 💯 sheikh

    • @abumussabnassor6141
      @abumussabnassor6141 2 ปีที่แล้ว +1

      Kawa munguu? Hata umpe uhakiwa wa 100%%

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 2 ปีที่แล้ว

      Usimpe asilimia zote hizo hakuna Mwanaadam mkamilifu

    • @abdullahalbalushi3856
      @abdullahalbalushi3856 2 ปีที่แล้ว +1

      @@user-rb8ir9co9k Kuna point kuzungumza ndio nimemuga mkono 💯 💯.sio kma ni mkamilifu

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 2 ปีที่แล้ว

      @@abdullahalbalushi3856 sawa Muhimu Point imezingatia Qur-an ama Sunna basi hakuna shida

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 2 ปีที่แล้ว +3

    Hili genge linalojiita Salafy ni wahuni watupu

  • @yakobomkristo872
    @yakobomkristo872 2 ปีที่แล้ว

    Kama Ningekuwa Mwislamu Kabla Ya Ukristo, Basi Shekhe Pekee Ambaye Angenifanya Nibaki Kwenye Uislamu Ni Huyu, Vinginevyo Ningesharitadi.

  • @islammutware2311
    @islammutware2311 2 ปีที่แล้ว

    Sasa ukristu upi unae kubali Allah? mbona mwapotosha jami labda hiyo pepo unayo wabashiriya ya kwako.

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 2 ปีที่แล้ว +1

    Sasa hizi p8cha mbona zimewekwa hivi yani makusudio niyepi???

    • @jumamahmoud9271
      @jumamahmoud9271 2 ปีที่แล้ว

      Picha hazijaendana labda alieweka hajui anachokifanya

  • @nasramkwega
    @nasramkwega ปีที่แล้ว

    Jamani nahitaji mawasiliano ya shehe uyu mwenye nazo anisaidie

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 2 ปีที่แล้ว

    Dodoma pale nihatari wagombanishi baadhi miroho yakugombanishana hao halafi ndio dhehebu gani tena

  • @Maajidabdillah
    @Maajidabdillah ปีที่แล้ว

    naomba namba ya sh mselem nataka nimuulize suali lang

  • @swalehekinere122
    @swalehekinere122 2 ปีที่แล้ว

    Duuuu!! maskin shekh kunawatu hawajakuelewa sjui wanausingiz

  • @yababuluku685
    @yababuluku685 2 ปีที่แล้ว +1

    Shekh mserem umeeleweka uliobaki ni ubishi tu hamna lolote

  • @nassorali4091
    @nassorali4091 2 ปีที่แล้ว

    Shekh wetu amefafanua kua huyo mkiristo , muislamu,muyahudi yoyote atakaye fanya alivotaka Allah ndio watakao faulu

  • @allysuleiman517
    @allysuleiman517 2 ปีที่แล้ว +3

    Sasa wewe ukivyochanganya dini na siasa ilikuwa sahihi na kama si sahihi mbona hukubainisha kwa watu kama yale ni makosa hiyo ndo tabia zenu munababaisha watu wasijue basi kama makundi yapo kwa sababu hadithi inasema ktk umma wangu yatakuja makundi 73 je ni ya uongo

    • @mohdhaji2186
      @mohdhaji2186 2 ปีที่แล้ว +3

      Shekhe ujuwe kwamba dini ya kiislamu haikugawa vitu mafungu mambo yote kesho kwa mungu yatakuwa na malipo. Hiyo nyimbo ya kuchanganya dini na siasa imetungwa na makafiri na sie WAISLAMU tusiojielewa tunaiimba na kuicheza. Lazima tuwe makini sana. Ni vyema tukavijua vitu kwa undani kabla ya kutuma comment. Au unadhani wanasiasa hawataulizwa kwa mungu juu ya nyadhifa zao?

    • @mchajuma4271
      @mchajuma4271 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwan unaijua tasfri ya dini na hiyo siasa au ukereketwa umekupanda kichwani maana maajabu kwa muislam mpaka Leo bado Hana utambuzi juu ya mambo Kama haya ila shu hatutaki kusoma tusomeni hii hatari et ulipo changanya dini na siasa shida kwelo

  • @sharriffcharo1915
    @sharriffcharo1915 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwa hili huyu sheikh sija muelewa

    • @khaalidal-esry2211
      @khaalidal-esry2211 2 ปีที่แล้ว

      Sheikh alianza na tafsiri ya neno kwa neno ndiyo ikakuchanganya. Kisha akafafanua kuwa waumini(yaani waislamu), mayahudi, manasara na maswaabii hawa wote hawa km watarekebisha mapungufu yao wakaacha wanapokosea yaani wakimuamini mungu inavyotakiwa( yaani waislamu wasimame ktk uislamu ipasavyo na wasiokuwa waislamu wawe waislamu sawasawa) na siku ya mwisho, kisha watende mema hao ndiyo hawatapata khofu.
      Msikilize tena kwa makini sheikh utaelewa ndugu yangu

  • @saadmohammed3640
    @saadmohammed3640 2 ปีที่แล้ว

    Darsa za sheikh msellem inakua ni wapi na muda gan ?? Naomba niambiwe

    • @mustamimmushajara8992
      @mustamimmushajara8992 ปีที่แล้ว

      Kabla hajaekwa mahabusu ilkua jumatatu masjid nour ila kwa sasa sielewi