SHK MSELEM NIMEKOSOLEWA NAAMBIWA NA POTOSHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • #AdilTV #sheikhmselembinaly
    • SHK MSELEM NIMEKOSOLEW...

ความคิดเห็น • 37

  • @hassanhassan2567
    @hassanhassan2567 ปีที่แล้ว +3

    Shiekh wangu bakia katika hapo hapo na wallahi sisi tunaoishi mbali na inchi yetu tunafaidika Sana na daawa yako ya haki Mola akuhifadhi na akuepushe na Shari za munafiq na wanadhuoni waovu wanaowapinga wanadhuoni wa haki kwa kupato cha mambo ya kidunia na inshaAllah iko siku nitakuja kukutembelea inshaAllah

  • @ALIN-7
    @ALIN-7 ปีที่แล้ว +3

    Shaikh nakupenda Kwa ajili ya ALLAH

  • @qurankareem2275
    @qurankareem2275 ปีที่แล้ว +5

    Ametakasika Mwenyezi Mungu Alieumba mbingu 7 bila YA NGUZO

  • @fahimkarama9341
    @fahimkarama9341 5 หลายเดือนก่อน +1

    team mselem best msa Ken

  • @TwahaKahatan-pt9hg
    @TwahaKahatan-pt9hg ปีที่แล้ว +2

    Allah akuzidishie ulinzi na afya njema

  • @hajikula
    @hajikula 4 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda.Sana.Shehe.Wang.Mselem❤

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda Sheikh Mselem kwa Ajili ya ALLAH

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 ปีที่แล้ว +2

    Mselem the best

  • @AbduZongo-og8pp
    @AbduZongo-og8pp ปีที่แล้ว +2

    Huyu shekhe mkuu tanzania wengine ni makamu wa

  • @suleyazidu4991
    @suleyazidu4991 2 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadh

  • @ammunashamhuur-jg1jo
    @ammunashamhuur-jg1jo ปีที่แล้ว +5

    Ukitaka kiswahili Halisi hapa kwa Maalim mselemu ndio kwao,Allah ambariki mimi napata tafser na kiswahili kabisa.

  • @user-ez2jd1fn6u
    @user-ez2jd1fn6u ปีที่แล้ว +1

    Baraka llah fiyka

  • @jumamwinyihaji5007
    @jumamwinyihaji5007 ปีที่แล้ว +1

    Allahu Akbar

  • @muhamedyaly9890
    @muhamedyaly9890 ปีที่แล้ว +1

    ALLAH akupe Kila leny kher

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 ปีที่แล้ว +1

    Allah akuhifadhi shekhe Mselemu

  • @allyahmada3795
    @allyahmada3795 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah Allah amuhifadh

  • @WenaWana
    @WenaWana 4 หลายเดือนก่อน

    Nawomba Allah akwivazi sana oyende mbele nakusomesa

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 11 หลายเดือนก่อน +2

    Anaekosea wowote lazima akosolewe km kakosea na wala sio dhambi na kukosea pia ni jambo lipo

    • @MaalimYussuf-qy9ic
      @MaalimYussuf-qy9ic 10 หลายเดือนก่อน

      Kukosolewa si dhambi ila je ukosowaji wako ndio unaotakiwa katika dini

    • @JannatTahmid
      @JannatTahmid 5 หลายเดือนก่อน

      Kukosowa km ni sahihi sawa lkn si kwamba anapotosha au asisikilizwe.

  • @ababukarlinus9355
    @ababukarlinus9355 ปีที่แล้ว +2

    Allah akupe umri mrefu sana Inshallah.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nyie mnaoandika na kuanda darsa za sheikh tafadhali andikeni sura ipi na aya ipi inatusaidia sie tunaotaka kusoma hivi vichwa mnavyoweka kwa ajili ya kutafuta viewers havitusadii.

  • @chinchon5984
    @chinchon5984 2 ปีที่แล้ว +1

    Ma Shaa Allah

  • @mohamedubwa1600
    @mohamedubwa1600 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @angelhongoli2989
    @angelhongoli2989 ปีที่แล้ว

    Mungu akueke she

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 4 หลายเดือนก่อน

    Hapo jamaa wanataka wasilikizwe wao pekee, wanajiona wao wameepushwa na makosa

  • @bekaashbai1781
    @bekaashbai1781 2 ปีที่แล้ว

    Ww ndo makamo wangu 2 Zanzibar hii

  • @leonceuwandameno6378
    @leonceuwandameno6378 ปีที่แล้ว

    Unamzungumzia Mungu tunayemwambudu au unamzungumzia Allah? Alllah?

    • @braqutourssafaris4672
      @braqutourssafaris4672 ปีที่แล้ว

      Allah kwa kiarabu Mungu kwa kiswahili lkn ndio huyo huyo

    • @mohammedsaid761
      @mohammedsaid761 ปีที่แล้ว

      Allah akuhifadhi na Shari za wanaojifanya wamesoma.Endelea kutuelimisha.

    • @AmCool_
      @AmCool_ ปีที่แล้ว

      Allah maana yake ni Mwenyezi Mungu.
      Lahi maana yake Mungu
      Kwa kiswahili.

    • @dazzwazenji
      @dazzwazenji ปีที่แล้ว

      Hujamuelew ama

    • @user-rc7in6cs8b
      @user-rc7in6cs8b 7 หลายเดือนก่อน

      Ww hujamuelew hu shekh au una mambo yak t binafsi

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai 4 หลายเดือนก่อน

    Taybu muft