Istghfari Hii Inafuta Madhambi Yote Soma /Maulid Hayana Shida Na Siyo Bidaa /Sheikh Walid Alhad Omar

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 40

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 12 วันที่ผ่านมา

    MASHAALAH ULIPO TUPO SHEIKH LETU USIYE NA KIBRI MUNGU AKUWEKE 🤲🤲

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo8427 3 หลายเดือนก่อน +3

    MashaAllah sheikh Wareeď Allah akulipe kheri Duniani na Akhera

  • @zitoinze8953
    @zitoinze8953 3 หลายเดือนก่อน +6

    Allah aku hifadhi ya shaikh waleed na akumiminie baraka na rehma

  • @SaliminSwalehe
    @SaliminSwalehe 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mashaallaa sheikh wetu Waleed

  • @MymunaUlaya
    @MymunaUlaya 3 หลายเดือนก่อน +4

    Asante shekhe nmejifunza kitu kupitia mawaidha yako shekhe kaz kwangu kuyatekeleza na kuyafanyia kaz

  • @mwaminmussa9461
    @mwaminmussa9461 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan shekhe waleed nikikuona namkumbuka Zingizi jamni,,Allah anrehem

  • @fatumasaid6160
    @fatumasaid6160 3 หลายเดือนก่อน +1

    Subhanaĺlah

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 3 หลายเดือนก่อน

    Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe.

  • @RukiaIssa-p1j
    @RukiaIssa-p1j 3 หลายเดือนก่อน

    Shukraan sheikh

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve 3 หลายเดือนก่อน

    Shukran Ahsante

  • @DullaMsauzi
    @DullaMsauzi 3 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah 🙏🙏🙏

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah shukran shekhe

  • @zainabiddi8650
    @zainabiddi8650 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah!!

  • @haidarngoyogo-wi8wu
    @haidarngoyogo-wi8wu 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona mnaichukia sana bakwata

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf 3 หลายเดือนก่อน

    Shukran

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi naukiza hivi sisi tunaoskiliza mawaidha ktk cimu jee nasie tunafunikwa na malaika nakutajwa na M/Mungu

  • @AbdillahAlly-b1c
    @AbdillahAlly-b1c 3 หลายเดือนก่อน

    Ongela shehe

  • @mariamkai2705
    @mariamkai2705 3 หลายเดือนก่อน

    Mawaidha maxur

  • @kileohemed4958
    @kileohemed4958 3 หลายเดือนก่อน

    Mawaidha mazuri .....lakini sauti inakwamakwama

  • @RosyKaemdin
    @RosyKaemdin 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hiz darsa zinafanyikaga wap na saa ngap na lini na ni kwa wanaume tu?

  • @jinaothman4816
    @jinaothman4816 24 วันที่ผ่านมา

    Mtume hakutumia sim mbona ww unatumia sim Wacha fitna izo kuhusu maulid.Nyamaza kimya.

  • @S.SWarfa
    @S.SWarfa 3 หลายเดือนก่อน +3

    Subhanalah! Muogopeni Allah maulidi ni ya dini ya bakwata. Dini ya mjumbe wa Allah Haina maulidi. Mtume SAW hakufanya Wala masahaba hawakufanya. Mtajibu kesho mbele ya Allah mliyapata wapi?
    Kuna mambo muhimu zaka ni nguzo ya tatu mbona hamfanyii kazi? Wapeni watu haki zao. Mtamwambia nini kesho Allah. Hiyo ni mtihani ya nyie Maulamaa.

    • @SaliminSwalehe
      @SaliminSwalehe 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kalale na mke wako uko

    • @sefuriyembe7864
      @sefuriyembe7864 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huko ndo ufukunyuku !! Pilipili IPO shamba kinakuwasha nini !???😅😅

    • @khadijaHatungimana
      @khadijaHatungimana 3 หลายเดือนก่อน +2

      Watu wengine hamnaga adabu wala aibu na iyo ndiyo sababu waislam tunarudi nyuma mno yaani mtu mzima mzima na matatizo ambayo yapo duniani wewe ume kaa maulidi tu mtaulizwa wewe, je una msada upi? Na kwanini unafata jitulize na umuombe mola wako msamaha.
      Sheikh walidi Allah akuzidishiye apa duniani na kesho akhera watu tunajifunza kwako mengi Allah akupe umri mtefu wenye manufa Aamiin Aamiin ❤

    • @hamismaulid270
      @hamismaulid270 3 หลายเดือนก่อน +1

      @S.Swarfa Ikiwa Maulid hayafai kwakuwa hakufanya mtume wetu na maswahaba, Je mashindano ya kusoma Qur'an pia yakataze.

    • @hamismaulid270
      @hamismaulid270 3 หลายเดือนก่อน

      Swahaba gani alishindanisha watu kusoma Quran?