MAAJABU ya TEKNOLOJIA! CHEKI BAJAJI ya MATAIRI MANNE KAMA RANGE - INA SITI NNE na BODI ya GARI...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- MAAJABU ya TEKNOLOJIA! CHEKI BAJAJI ya MATAIRI MANNE KAMA RANGE - INA SITI NNE na BODI ya GARI...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Kweli ni bajaji wapendwa mm nimeshazitumia sana kwenye nchi za wenzaetu na nimefurahi kuziona tena Tz Mungu awabariki kwa kutuletea hizi bajaji 🤝🤛
South Africa Tunaviona kila siku
Ila sio bajaj
Hiv zinauzwa sh ngap
Masha allah tumeona mambo mauzri msh allah bajaji nzuri sna wllah
Ila tunaomba kwa mwenye kujua je zip bajaji kma hizi za automatic
Kwa mimi dereva wa pikipiki ukiniuliza ipi bora yenye faida kubwa kati ya bajaj hii ya mataili ma4 na na gari yoyote iwe ist, rumion au raum au sienta au mi nitachagua hii bajaj ya miguu 4 kwa maana gharama zake za uraji ww mafuta ni nafuu sana hivo unaona faida kuliko gari yoyote maana magari mengi madogo ni kuanzia cc900 ambapo mafuta lita 1 unatembea kilometers 10 hadi 14 mwisho. Lakini hiyo bajaj ni kilometers 28 hata ikwa 25 bado inafaa sana hata bei kwa abiria unampunguzia kabisaa kuliko wa gari wakat wote wanapata hadhi sawa wote hawanyeshewi na mvua wala jua wala vumbi nk.
bajaji gan inakuwa na tair 4 sas
Nimeikubali sana Tena sana ila ushauri wangu jitahidini kwenye suala la joints.zaidi yahapo hongeleni
Nzuri sana nimezipenda
Ongera sana kaka.
Vipi mwisho wa Reli,tutazipataje?
JE INAYOO AC
Hii ni gari ila engine yake ni ya Bajaj. Ni nzuri kwa mafuta
mil 12 nanunua gari safi kabisa
Bora ili IST zishuke bei
Ngoja ije mjini ... Mia 20 .speed iyo toyo haojue .. itakimbizwa na vijana mjini
Safi sana aseee 👏 👏 👏
Muda si mrefu mnao tumia gar ndogo mtaitwa mnatumia bajaj😂😂😂
Ila kweli Kama Bajaji tu.ina Mil.13. ikishuka Bei saana 9..mil Hiyo si Ni Bei ya gari ndogo kabisaaaa..😂😂
@jeremiapeter683 kwani unadhani bajaji za miguu mitatu ni bei gani? Mwanza hapa tvs inaelekea kufika ml.10 Bado kidogo tu. Kwahyo usishangae hyo kuambiwa m 13.
Mnatuzalilisha sie tunaoendesha vigari vidogo
Anaye taka anione wapo hapo k/Koo msimbaz A Kwa nyuma kidongo
Hii sasa imekuwa gari maana Toyota I S T ni sh milioni 12. Sasa bora ninunue Toyota.
Sio 12 inasoma mpaka 15 sasa new kabisa
Hiyo12 labda used
Meshusha bei nije nunua?❤
Million 13 bora ninunue guta moja na bajaji ya tairi 3 moja halafu nazipeleka kwetu makete, inarudi million 15 ndani ya miezi minne tu..
Wanauza wapi
Imetengenezwa wapi?.
Mmmmh jamani hio si range sport au
Zilianza kuonekana hapa tz 2020 Kwa Bei nusu ya hiyo anayotaja...
Ungenunua boss
Tena zililetwa na serikali Kwa baadhi ya maafisa Kwabadala wa pikipiki, Ili kumsaidia wasioweza kuendesha pikipiki na kubeba maafisa zaidi,mwanza zilikuwepo.
Toen na mikopo pia😊
Leseni yake ni ya bajaji au gari?
Usha sema Bajaj Kwa Maana hiyo Leseni ya Bajaj
Zimesha fika Bei gani
Watu wa iphone kwani lazima muongee na simu mkituonesha😂
😂😂😂😂
Sasa hiyo siyo bajaji Tena.... Bajaji haiwi na tyre nne ,.... Huo ni uharibifu tu wa material
Hilo gari tusidanganyane
Ila watu wa iiphone mnaakili ndogo sana 😅😅😅
Kwann😅
Hii sio bajaji tena
Ikisha kuwa na taili nne kisheria ni gari ilo
Wanaangalia Cc NDUGU Ndo iitwe Gari Na Ipewe Usajili Wa Gari Kuna baadhi Ya Pikipiki Za Matairi 4 Na staring Ya Pikipiki Na zinapewa Usajili Wa Gari.
Ila Hii Muundo Wa Gari Ila Cc Pikipiki Na Ndo Maana Namba Pikipiki
Hiii jau zakwetu tunapanda mbaka 12 tunaning'inia mbaka mlangoni Sasa hiki itakuajeee
Machina! Hamna kitu at least ingekuwa india poa lakini mchina mh.
Nani amesema Ni ya china
❤❤❤❤❤
Hio ni gari sio bajaji
Izo Toyo za watoto co bajaj😂😂
Bajaji ama gari 😂😂 mbona me naona kamagari ndogo
Shusheni bei hadi m 9
mil 10 duhh Bei ya vits hyo full acc
Suzuki swift
Mchina mxhenz yani body ya suzuki bampa lambele na taa rangerover taanza juu jeep 🤣🤣
Mimi na subiri zifike milion 8
Sio range iyo au naona vibaya
Maae 13M si bora ninunue IST 😅😅😅
Mbna nimegoogle aipo
Kama ni mchina hapo hamna kitu
Msitake Kuinyima Serekali Mapato Hakuna Bajaji Ya Tairi 4 Tairi 4 Ni Gari
Bajaj za tairi 4 zipo, za tairi mbili zipo, za tairi 3 zipo, ila hiyo sio Bajaj maana Bajaj ni kampuni inayotengeneza vyombo mbalimbali vya Moto, tusiishi kwa kukariri
Shid ipo chin sana mfanye utafiti mashine iwe juu kidogo
Huyu jamaa mwenyewe hajui hata kuelezea kitaalam maana bajaj ni campny ya kihindi ambayo imejikita kwa utengezaji wa engine na piki piki. Sasa alitakiwa aseme tu ni TVS
Ameinsist ni TIVS, sio TVS…inawezekana ni kampuni mbili tofauti
Hilo ni gali hawa ni wao go San walikuw wanatafuta kiki
Iyo ni gari bro
Hyo sio bajaji Bwana😂😂😂
Nnavyo Juwa Mm Bajaji hiitairi 3 gari hinatairi Nne Au Zaidi Ya Nne🤣🤣
Hiyo gari banah😂 suzuki jimny kabisa
Siku ukiuza mil 8 nitanunua
Hakuna bajaji hapo ilo gar
Unavimba nayoo
Kwan neno bajaj ni jina la chombo chenyewe au ni jina la kampuni inayotengeneza maana ata pikipiki boxer kunamahal nadhani zmeandikwa neno bajaj sasa nashindwa kuelewa
Bajaj Kiwanda, mtengenezaji wa. BOXER ndio huyo huyo Bajaj
Bey kubwa san
Yaan mnatuchanya nn maana ya Bajaj naona gar kabisa
hio sio bajaji ni gari kabisa
Shingapi hiyo
acheni ujinga hihonigari sio bajaji mbwa nyie
Nayitaka burundi
umeeleweka mi niwa kigoma ntakuletea
Bajaji kivipi hiyo ni gari
Nyi clobal kuna vile mna mende kwenye ubongo kabis.. yani bajaji iko adi na 4wrd embu niondokee nyie
10😂😂😂 s nanunua gar tu
bajaji gani mze sigari kabisa
Yani hajafikiria kabisa. Kwa cc ya Bajaj, uzito mkubwa umeongezeka, traction barabarani imeongezeka, bado huha brba watu
Ni bajaji wamechonga bodi
Nnavyo Juwa Mm Bajaji hiitairi 3 gari hinatairi Nne Au Zaidi Ya Nne🤣🤣
Ndio unavyojua wewe japo sio kweli