wanajua na hata sisi waafrika tunajua ila wanatukumbusha tunapokosea kwa makusudi hata nao wazungu wakikosea mfano walipomuua Gaddaf hata sisi waafrika uliwasema
Kwa hili taifa letu tunahitaji Mungu sana na si mawazo ya wanadam, naamdika moja kwa moja barua hii Mungu tusaidie utupe viongozi wewe watakaongoza vizur taifa letu ambao hawana chuki na taifa letu wasio penda kulalamika yaliyopita yamepita
Sawa sawa naishairi serikali ifanye kila hali asilimia zishuke zaidi hatutaki uhuru wa kuongea huo uhuru wa kuongea anaetaka uhuru huo aende akaishi nchi za mashoga na wasagaji sisi sio wapuuzi kama hao
Katika mtu alie kuwa anampinga magufur ni huyu jamaa kila kitu alicho kuwa anafanya magufur aliona kibaya hata kama nikizuri sijawahi kukupenda nasita wahi kukupenda kwa sababu sikiongoz mzalendo zaidi ya chuki
Yani huyu Lissu mimi sijui kama anajitambua sasa kama unaalazimisha na hauna kibali kwa nini yasikukute wewe ungetafuta sera unazokuja nazo unaongea mno na kelel amabazo always sijaona mambo ya maana unayojadili we are tired na kelele zako
Hiv mnapowakusanya hawa manyan'gau ili iwe nn? Huyo alipigwa risasi na wenzie analijua hilo? Tokeni hapa hamna lolote la kuisaidia nchi zaidi ya kuichonganisha nchi
Kuna watu hapa mnakoment kwa kuludia ludia sijui vichwa vyenu vina maji sijui nyie ni vichawa yani hii tanzania acha tumuachie mungu maana yeye ndio muweza
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm
Mnazingua watps
Nabado magufuli oyeeeeeeeeeeeee, magufuli juuuu shida yenu kila kitu mnapinga mkipewa uhuru mnaharibu mtajuana
Akili nyingi sana mzee
😂akili gani na kila siku wimbo ni magufuli badala atafute hoja za msingi asaidie watanzania wanyoge
😅😅😅😅😅😅hawahawa walikua wanampinga magufuli lkn kiukweli Tanzania saivi 😢😢😢😢😢
We waache2 c wanajikuta miungu hawatajulikana wameisha ishaje
Hivi Ulaya au Wazungu ndo wanajua sana Demokrasia au ni kuwaamini tu kuwa wao wanajua.
wanajua na hata sisi waafrika tunajua ila wanatukumbusha tunapokosea kwa makusudi hata nao wazungu wakikosea mfano walipomuua Gaddaf hata sisi waafrika uliwasema
Lissu ana akili sana
Lisu yeye aseme tu afadhali magufuli
Kwa hili taifa letu tunahitaji Mungu sana na si mawazo ya wanadam, naamdika moja kwa moja barua hii Mungu tusaidie utupe viongozi wewe watakaongoza vizur taifa letu ambao hawana chuki na taifa letu wasio penda kulalamika yaliyopita yamepita
Sawa sawa naishairi serikali ifanye kila hali asilimia zishuke zaidi hatutaki uhuru wa kuongea huo uhuru wa kuongea anaetaka uhuru huo aende akaishi nchi za mashoga na wasagaji sisi sio wapuuzi kama hao
Umekuwa ng'ombe ? Watanzania bana kama huna mawazo nyamaza wapo wenye mawazo wataongea .
Tuna tatizo Gani sisi maneno ni mengi kwa miaka Hamsini Neno Moja tu UCHUMI halipo!
Nenda ukachonge viazi ulaya
HILI JAMAA NI LI SENG KWELI MAGUFURI MAGUFURI NENDA UKO KWA HAO MASHOGA FALA WEWE LINAFIKI
Umekubari mziki WA magufuli.
Hata ninyi mkitawala mtakua zaidi ya hapo. Hao wanaopanga hizo alama wao wanapangiwa na nani?
Katika mtu alie kuwa anampinga magufur ni huyu jamaa kila kitu alicho kuwa anafanya magufur aliona kibaya hata kama nikizuri sijawahi kukupenda nasita wahi kukupenda kwa sababu sikiongoz mzalendo zaidi ya chuki
Yani huyu Lissu mimi sijui kama anajitambua sasa kama unaalazimisha na hauna kibali kwa nini yasikukute wewe ungetafuta sera unazokuja nazo unaongea mno na kelel amabazo always sijaona mambo ya maana unayojadili we are tired na kelele zako
Hiv mnapowakusanya hawa manyan'gau ili iwe nn? Huyo alipigwa risasi na wenzie analijua hilo? Tokeni hapa hamna lolote la kuisaidia nchi zaidi ya kuichonganisha nchi
Kwahiyo wew unafurahia kwa yanayoendelea
Anajipendekeza2 ka zezeta kujitambua aaaah! Muone vile
Shikamoo kaka jambazi
MABUMUNDA KAZIYENU NI MUMEZESHWA TU
Mr lisu anaye panga hizo asilimi ni nani? Nakama sio hao jamaa zako wazungu hakika wewe ni mnafiki
Kuna watu hapa mnakoment kwa kuludia ludia sijui vichwa vyenu vina maji sijui nyie ni vichawa yani hii tanzania acha tumuachie mungu maana yeye ndio muweza
Ole wenu muandamane na mkiandamana nyie viongozi mkae mbele kuna kitu mkione vizuri maana mkikaa nyuma hamatakiona vizuri
Wewe umbwa unatisha nani?
Mechi ya yanga na CBE ni saa ngapi?
Magufuli alishafariki kila maneno yako ni magufuli hakosi huna sra wewe
Kila kijana Alie comment mda huu sijui mna ttzo la kuto elewa? Au vichwa vyenu vina maji? Jaribu kusikiliza.
Zuchu amemnunulia baba yake gari mbona hamjaliongelea hilo but alivyomnunulia Angela kila media imepost?
We auna akili ww yaani zuchu ni wannn
@@hoseamwambambale3503 you must be out of your mind , I was not talking to you. Mind your business
Kwan hawa wanataka nn kwenye nchi yetu? C wangeenda kwenye nchi zao huko ubelgiji? Yaan yote hiyo ni kutetea matumbo na koo zao ni ujinga mtupu
Zuzuuuuu
Shida yako ndoiyo nenda kwawazungu ubeligiji unashida ww
Hamjielewi mtawadanganya hao hao mazombi kwa wanaojielewa tunajua hila zenu
A masteeeeeeer hongera