MITEGO YA ADUI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO (NYAVU) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ต.ค. 2021
- UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our TH-cam: th-cam.com/channels/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando TH-cam
/ @pastorsunbellakyando
You're the best pastor ever. One of the Pastor unahubiri uhalisia watu wanasema kufanya kazi kwa bidii ndiyo mafanikio? Hao wako kimwili zaidi , hawajui how spiritual world inavyo oparate kuna watu tumeona wanafanya kazi usiku kucha na wan a struggle vibaya mno. Llife is spiritual people.
Kabisa hapo umenena juu adui huanza kuvamia rohoni ndio ajitokeze mwilini
Nawew uko vizur Sana spiritual, Good
Ukimsikiliza vizuri Sanbella afu ukakaa chini ukatafakari machozi lazima yakutoke 😭
Nimefatilia maombezi nimetapika na kuangaika chumbani ,namshukuru Mungu nimefunguliwa
Dah, ubarikiwe San mtumish,
GOD RICHLY BLESS YOU SERVANT OF GOD
God bless me all isee is reality and ihave in this situation 😭🙏
Napeleka moto 🔥🔥🔥🔥🔥ulao kwa madhabahu ya bibi na babu ukaunguze katika jina la yesu
Bwana yesu atukuzwe somo zuri sana naamini nimefunguliwa,amina
❤❤❤🙏🙏🙏🙏Asante sana mtumishi wa Mungu kwa neno hili la kiroho kuna kitu nimejifunza hapa 🙏
Amina, pamoja sana baba napokea nikiwa Mombasa, Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akubariki Sana Mtumishi wa Bwana.Najitahidi kukufualia unacho fundisha ni kweli kabisa.Wengi tumenaswa.Mungu wa mbinguni atusaidie,atunasue katika hiyo mitego.
Nmefunguliwa katika jina la yesu Mungu akupe umri mrefu mtumishi wa mungu
Amen🙏
Asilimia 90 ya maisha yetu yanaendeshwa kispiritual zaidi kilaa kituuu
Hakika Mungu anakutumia mtumishi sunbella kututoa ktk nyavu zilizotuzonga,
Amen
Tuned
Tafadhali mtumishi wa mungu unanena vyema mwanangu ako kenya shuleni form2 kila wakati anaumwa mgongo mpaka hakai naomba umuombee
Menter wangu sunbella,balikiwa sana mtumishi nakuelewa Sana baba
Mimi umoja wa awo ambao wamenaswa. Nintafika huko na mimi mnisaidie kutoka kwenye nyavu.
Nimefunguliwa kupitia somo hili.Naamini uchumi wangu utaanza kusogea sasa.
Am enlightened sir
Ameen baba, Yesu unapowatoa wengine kwenye nyavu namimi usinipite🙏
Aah...Hii ni kanisa kuna events za networking..Kenya sidhani kuna such ..BIG UP
Nabarikiwa sana ,Ameen
Asante sana mtumishi
Asante
Am free from the set traps in Jesus name. Amen
Kila ninapo kutazama napata ufunuo mpya mungu wa amani akubariki na aendelee kukutumia
Amen👏🏾Thank You Pastor Sir for the revelations God Bless You👏🏾
Q
Nafurahia sana mafundisho yako. Asante.
Asante sana BAba kwa marifa haya MUNGU nia kubarikie
Amina sana Mchungaji wangu tuko pamoja
Amen.somo zurii Sana.lmenifungua Asante Sana pastor Sanbella 🙏🙏🙏 barikiwa
Amina following from doha Qatar 🇶🇦
Amen 🙏 Hallelujah
Amen😢
Amen amen amen amen amen amen amen t
Amen mtumishi
Assnte mtumishi
Amen,nmebarkiwA na mafundisho hayo,pia mm nko na hayo matatizo so plz naomba uniombe,,uhusiano wangu ulivunjika na sjui n kwa nn
Am Francis from kenya
Unamafudisho mazuri Sana Bwana Yesu azindi kukuangezea
Nairobi Kenya
AMENI NA LEO HII NATIKA KWENYE MITEGO WA SILRI KUPITIA SOMO HILI LA MTUMISHI
Ubarikiwe baba
Najiunganisha nawewe mtumishi wa mungu
Amina
Niomba nimepiga mihayo sana machozi mengi naamini nimefunguliwa
Mimi ni mfuatiliaji sana wa masomo yako
Amen 🙏🙏🙏
Mungu akubarki sana mtumsh
Ubarikiwe
Ameeeeeeeeeeeeen
Mafundisho mazuri mno,Mungu akubariki na akupe maisha marefu.Watching from Nairobi, Kenya.
Mtumushi munhu akubariki
Ameen
Wonderful teaching . Power of the word. What a humble man of God. Be blessed mchungaji - Mkenya ~USA
😇😇
Glory to God! Glory to God!
Amen, ubarikiwe kwa ujumbe mzuri
Amen 🙏 🙏
Ahsante San baba kwa mafundisho mazuri ..... Nabarikiwa San na mafundisho yako.....
Yesu anisaidie kabisa
Sholom sholom wapendwa nimebali kiwa Sana naibada hii mungu awabaliki
I love this fr❤
Kupitia maombi yako niweze kufunguliwa
Nafuta madai yote mungu nisaidie
Mafundisho mema
Ninashida ya kuonana na mchungaji naomba mniunganishenae
MUNGU aliyehai na azidi kukuinua ili kufunulia mbinu na siri za ulimwengu wa roho.
Mungu akubariki Sana mtumishi kwa somo nzuri
Oo0
Om0m
Oompm
Oo
Ompmom
How can I get you personal mtumishi wa mungu?am from Kenyan🇰🇪
Sauti haisikiki
Thank you Jesus 🙏
Hii no kwenye display tukijaribu kuipiga haipokelewi msg hazijibiwi tunaomba msaada kama una no nyingine
Too sad pastor 😢
Naomba kuuliza miguu ikiwaka Moto Ina maana gani ?
Om0
MUNGU Asante hakuna mitego yoyote iliyonishikilia ktk Jina YESU yote imeteguka AMINA
Mtumishi unavyonena na wanao na sisi tunaotazama kwenye cm tunyoshee mkono tupokee Napokea kwa Jina la Yesu aliye hai
Kunaumuhimu mkubwa nadaktari wahospital,wawe maprofat
Too much ad jameni hadi kusikia ni ngumu
God bless me all isee is reality and ihave in this situation 😭🙏
Amen