Ĺeo nimesikia sauti ya sheikh hapa You Tube anamkosoa na kumponda Sheikh Msellem Ally. Nimesikitika sana. Kumezuka tabia ya masheikh kuwadhalilisha masheikh wengine hapa You Tube. Ameweka audio tu,anaogopa kuweka sura yake.
Hao ni wasio jielewa wafitinoshaji tu na wasengenyaj wanataka wafatwe wao kwenye kupotosha ila tunawambia waje wasome kwa sheikh wetu mselem bin Ali wasikae wakiropokwa tu
Allah akupe mwisho mwema Sheikh wetu kwafaida unazo tupatiya
Allah ampe umri mrefu sh msellem atupe vitu vzr
Masha allah sheikh msellem mungu akupe umri mrefu wenye manufaa makubwa katika uislam wetu na waislamu wote kwa jumla
Masha Allah
Ahsante fundi wa tafsir ya qur'an
Ma Shaa Allah
Alhamdulillah rabil alaamin
Rispect msellem master ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿
Mashaa-Allah Mashaa-Allah
SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR
Jazaaaq LLAH kheir Shekh wangu
ماشاءالله
Aslam alaykum sheikh kisahiki hakiusian maule kitana alie mua nduguye
Masha Allah ya sheikh mselem
Aslam alaykum sheikh mungu akupe umri
Twakufuata kutoka mji wa wajir ,kaskazini mashariki ,kenya
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojali
Ĺeo nimesikia sauti ya sheikh hapa You Tube anamkosoa na kumponda Sheikh Msellem Ally. Nimesikitika sana. Kumezuka tabia ya masheikh kuwadhalilisha masheikh wengine hapa You Tube. Ameweka audio tu,anaogopa kuweka sura yake.
Allah atuongoze kwenye njiya iliyo nyooka Inshaallah
Niandike nami nimsikie
Niandekeje
Hao ni wasio jielewa wafitinoshaji tu na wasengenyaj wanataka wafatwe wao kwenye kupotosha ila tunawambia waje wasome kwa sheikh wetu mselem bin Ali wasikae wakiropokwa tu
Anaogopa nini kuweka sura Kama yupo sahihi?
Ndio hao vibaraka wanaopenda kuleta magomvi na farka katika uislam
Haya matangazo na mawaidha yana maana gani? Yanakera
kwani wewe kuingia you tube unamaana gani jibu swali nitakupa maana na ya mawaidha mpumbavu
Asiye jua maana haambiwi maana...kwani wewe uko hapa duniani kwa maana gani!?
Katika watu wajinga niwale wenyekuchukia mawaidha na yoyote atakaechukia huyo hasara iko kwake
Halaf tuweni naadabu katika hidunia ukichukia mawaidha hunadabu ww wataka upew adabu sawa ww
Have respect Mimi ni mkristo lakini haya mawaidha waweza kujipata umebadilsha dini... Fanya kazi ya mungu umalize vizuri dunian ..mungu akubariki.