GOODLUCK GOZBERT: NASHINDANA NA MWENYE VIEWS ELFU 5 SIO MILLION / OMMY DIMPOZ NAMUOMBEA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2018
- LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interviews kutoka kwa masta unaowakubali.
Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com - บันเทิง
Jamaa anajielewa sana....Nadhani ni msanii wa gospel ambaye anafatiliwa na watu wa dini zote. Good lucky kaka...
Kama ww n msoma koment tu Wala hukoment chochot,ucpte bila ya kusoma hi yangu ksha like.
Kama unamkubali jamaaa gonga like...
I’ve discovered this boy last week and I looooooove him👌🏼.Shukurani is my favourite.cant have enough of it.
Kenyan born living in +61
Katika wasanii wa gospel huyu kijana namkubali sana nyimbo zake zote nzuri na hasa Hamuwezi kushindana hii naipenda sana kuisikiliza
Maturity&wisdom is what i see from Goodluck...Mungu hamtumpi mja wake...God bless u
nakukubali mmpka napata homa huwezi kushindana Kila siku naimba nisipo uweka nitaimba moyoni popote ninapo enda mungu akutie nguvu kidogo napunguza dhambi
dah GOODLUCK nimependa ulivyohojiwa maana unaongea kwa kujiamini na kujibu kiufasaha.. mashaallah
Oh my oh my Goodluck Gozbert..WISDOM
Hahaha ati mama akasema aisee rudi shule ntakutandika,be blessed
Haijawah kupta japo cku 1 bla kuckliza nymbo zako
#Goodluck_Gozbert
much,respect bro nakukubali sana na ngoma yako mpya NIPE
Keep it up my young with great careful we love u we appreciate your Godly ministry and be blessed much much
Keep up brother! Nyimbo zako zinanipa faraja.God bless u###
kama umeangalia interview hiii mpka mwisho
gonga like 👍 nikufollow
yuko poa sana Goodluck
wow this guy is very humble and inspiring
katka wasanii wa tanzania huyu ndio msanii pekeake sangalii kabila wa imani ya dini mm binafsi namkubali
Saleh Suleiman Gud
Umeongea point nzuri sana
@lilOmmyTV we jamaa unajua sana....nakuona mbali sana brother....nakubali sana interview zako brother...bless mzeee👊
Wow wisdom detected,bravo Goodluck.
Hii interview imekuwa dope sana big up
ubarikiwe zaidi, unaencourage na unainspire pia. we luv ur music bro!
Much respect jamaa goodluck
Nakupata vzr xana kijana from USA
Nakukuli Nina nyimbo zako nazipiga sana kwenye bajaji hasa wimbo was shukurani alafu pia we we ni wajina wangu naamini IPO siku nami nibarikiwe 💪💪💪
Goodluck I appreciate you may God bless you
Leo tupo na mzee baba #Goodluck💪😂😂😋#tunakaza!! wenye furaha kama mm kumuona mzee baba kweny amplifaya ya #lilommy gonga like hapo down👇👇
Mpe hi sana
Nonzuri sana
I like your music sana, big up
Mungu akuzidishie baraka bro
I like ur songs so much,,, ur dress code.....big up brathe
I got a key point sometime also family can dispoint but don't give up
Smart xn goodluck
Mungu akuongoze
Nakupenda Kama vile napenda wanangu. Wimbo Mungu hapewi rushwa ndio my best
Tabweee kizazii sanaa Goodluck yko poah sana kwenye pindiii la kizaziii
One of the best interview
Dah Niljuatu huez amini Maswali yatauluzwa mhim mhim kam kuusu Lollipop skujuaga huyu ndie Lolipop Goodluck tisha
Mungu akubariki zaidi Goodluck Gozbert
Hakika Mungu Anatenda na ataendelea kutenda
Usikate tamaa daima uzidi kusonga mbele broo Gozbert
iko poa sana jamaa anajibu maswali vizur sana lilly katik interview zako me nimeikubal ya huyu jamaa
Nakukubali bro ur de next🙏🙏
nakubali sna kazi zko broooh yni cchokagi kuskiliza nymbo zko zenye kuelimisha jamii kiujumla
Bless you
I appreciate amy girl ❤️💕
Sawaaaaaaaaa kaka studio yako ip sehem gan
Be blessed Kaka,kataa maneno mabaya wanayokunenea
Kizazi sana lilommy the mvp
thnks broo
Hii interview ya moto sana,Kizazi sana
uko open sana bro mungu akubariki
Unaongea vzr cchoki kukuckiliza kaka Goodluck Gozbert
Mtweve
Gonga apa km unamkbl good
Mungu akupiganie kaka songa mbele
Kizazi sana bro big up xana
Napenda sana ngoma za huyu jama
Kupitia wewe #Goodluck gozbert imani inapanuka kupitia kaz zako
nakupenda xn bro I wish one day nitakuwa kama ww napenda xn kuimba toka moyoni mwangu namuomba kila xku anixaidie niweze kuwa kama ww
From Kenya.....napenda nyimbo zako ....
This brother of mine ana inspire sana keep going brother
Namkubali sana hakuna nyimbo ambayo hainigusi, mungu akubariki kaka
GOD BLESS U
Bem vindo é Moçambique gosto das sua Músicas Goodluck
Pamoja sana bro
Ukitaka kumsaidia mtu usitegemee kukulipa, much respect bro #lilommy #Goodluck
Unaimba vizur
God bless You🙏
Nice goodlucky
Waoooh! Ubarikiwe Gozbert
Nzogela ya wapi hii?
Mungu akubariki kak gozbert nakukubal balaa
Kaka mm nakukubari sana natamani siku moja niwe kama ww
dah ebwana me sina cha kusema about godluck but me nampa pongez xana kwa kazi nzuri usipo jali kaka un2me your contact 2wasiliane mzee big up xana by jack boy
nyimbo nzuri sana hongera zinatia moyo
blessings the praylist
Namkubali Sana Uyu mwamba
Mungu awe nawe uko vzr kwny kuimba had ongea yako "SONGA MBELE"
Huyu mtumishi atafika mbali Sana ndio dua langu kwake
Nakuelewa sana mtumishi wa mungu
Gud
your blessed Goodluck
Namukubari na anafanya vizuri sana nazidi kumuombea kwa mungu
nakukubali sana baba
Nimekuelewa bro
Jamaa yuko poa sana
Mungu akutiee guvu
kizaz sana goodluck
GOZZBERT UKO SMART HADI RAHA KIJANA
Unatisha
Barikiwa
Lil napenda kazi
Huko vizuri gd
Nakubali broo
Jamaaaa anajuwa mpaka simpendi
this one is Gods..
Noma sana
Nakukubali sana Gudluck, ila nyimbo za K bongo fleva usiimbe kabisa wala kuperform pamoja na za kidunia. Ila kuwatungia watu endelea kutunga hicho ni kipaji chako pia
Goodluck
Gozbert unajua bro
Kizazi sana
Very wise guy
Jamaa lina akili hili..
nice
Ukikaa kenya lazima uongee kama wao
Ivi wewe umewahi kuishi n'nje ya inchi? Ungeona njisi ungejikuta unaambiwa ume change jinsi ya kuongea .na bila kujijua.
Wow congratulations bro God bless you
Sijaon koment hat moj, utakatifu kwanz
#unawapa hamasa watu weng sana wasikate tamaa
Walau hii chanel ina interviewers wanaojielewa
MZIKI WANGU AU INJILI YANGU