ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
Aliedai Kutapeliwa Kimapenzi na Goodluck Gozbert Atoa ya Moyoni | Aomba Awe Mumewe | Ampa Pole
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ม.ค. 2021
- Ilianza kimasihara kwa mwanadada kusema ametapeliwa kimapenzi na Goodluck na hatimaye amekutanishwa nae kutoa ya moyoni baada ya kugundua kuwa aliekuwa akiwasiliana nae ni Goodluck Gozbert feki.
#WazeeWambanga #PressRelease
Pole sana subira, godluck Nimependa ulivyo na hekima
Subira anakiherehere jamani kutoka lindi Hadi mwanza dohhhh
@@goldenfoot1102 haibu, akirudi shule j,3 cjui ataiweka wapi sura yake kwa walim wenzako, na kama ingekua ni mapenzi ya Mungu kama anavyosema mwanaume angemfuata mwenyew.
Huyu Dada kakutana na Goodluck tapeli wa mitandaoni na atalaaniwa Ila Dada was watu mkweli Sana!!nimeumia Sana kwa kweli,mapenzi yanauma jamani daaah
Hiiiiii nipo
@@irenepm3023 daah!! Hawezi kuwa na mood kabisa!!!!!🙄
Mungu akupatie mume wako kutoka kwa Bwana... Aibu uliyoipata Mungu akupatie Heshima kubwa itakayo funika na kufuta kabisa aibu uliyoipata ✝️
Ameen
Haa anamoyo Sana kwakweli huyu dada
Basi ametamani isio nyota yake masikinii !!! Ya Mungu nasikia huruma sana mungu amupe mumewake kwa kweli binti huyu sasa kwanini wa namuuliza maneno mengi ? Inatosha
Amen!!🙏🏿
www.youtube.com/@QwenJohn
Ooh my God, Umejitahidi sana Kukeep your tears, You're the Strong woman, Pole sana Sweetheart😢 #ThisHasEnd
Sana
Mgind kanuna
🙄🙄🙄
Igwee
Hongela goodlack umeongea kwakujiamini sana mungu akupe hekima na busala
Goodluck you are a man of integrity.The way you have handled the insistence with much respect.
Pole Dada Mungu atakupa mume you look very humble lady, Goodluck thanks for being open
She's so desperate.
So mwanaume akiwa anamkosea anaenda kwa vyombo vya habari ndo mwanamke unaemtaka wewe😂😂😂
Exactly walimu hayujawai kufeli kwanza anajiamin alafu tutambue mapenz hisiaa
Usipende kibubusa penda lakin akilikichwani usiingie mikono yote ndivyo ulivyofanya na ni upendo gani Wa kupenda post pole lakin usilusidie
Number one fan,,,your wisdom is just on another level Goodluck
Na feel huyu dada... Good luck is a man of wisdom and respectful, God bless you
😭😭too bady for me,pole Subira Mapenzi ni hisia Mungu mwema natambua unavyojisikia.Mungu akujalie Mume mwenye hekima .
Wanaume tuko wengi tatizo yeye anataka handsome boy sisi wafupi na masura mabaya hatutaki
Nimemuelewa sana Good luck!!Hekima kubwa sana hiyo.
Yuko vizuri sana dah
Umeona Eeeeh Dadaa Kajiaminisha Mwee Ningekuwa REO Wake Ningemuandikisha Barua Ya Maelezo Unaiabisha Karia Ya Ualimu
Mhn....
6
Mhu wanawake mnajiweza
Dah! Kudadadeki nyie ni Noma, nimewavulia kofia. Respect🙏🙏
Jamaa wanatisha
Kuna mtu amesema amewazalilisha wanyakyusa sasa sijajua amewazalilishaje, embe tuonyeshe namna alivyowazalilisha
Hongera kaka Goodluck kwa busara zako, kweli ukiwa na Yesu nilazima uheshimu kila mtu
Ubarikiwe sana Godluck hakika umekuwa na hekima sana. Na pia napenda kukupongeza sana Dada kwa kufunguka toka moyoni kutoa hisia zako ila sasa kuna watu watakudharau sana wataona kama umejiaibisha .Macho ya walimu wenzako na wanafunzi wako.
Huyu dada anapepo la ngono
Goodluck Barikiwa Sana, Umeongea Vizuri Sana, Umeeleweka Mkarimu Sana Kijana Wa Watu. Mwalimu Subira Kuwa Makini Acha Kujipendea Ovyo.Pole Jikaze,
Pia huku😀😀😀😀
@@zuhuraimran3659 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Weweeeee Kotekote Kama nini.
Mwacheni dada wawatu msimchoshe bwana! 😥😥ila dada yangu jipe moyo tu mungu atakupa mwengine utakayempenda sana
Nipewe huyu mwalimu
Nataman vijana wote wangekuwa na hekima kama huyu kaka, na pia wanawake tusisite kuweka wazi hisia zetu hasa pale moyo wako unapokusukuma kwenda ila katika mawili moja lazima litokee liw baya au zuri inabidi ukubali na ushukuru mungu kwa kilichotokea, usichoke dada angu kumuomba mungu atakupa hitaji la moyo wako.
Am so sorry for this lady maana ata pesa ashatuma za matanga ya mama kwa watapeli hao. Goodluck you are also so humble and protective of her and her dignity.
Dah Goodluck ana hekima ya hali ya juu sana yaani dah kweli yuko na imani sana
Big up sister utapata mume muombe mungu Sana
Mtihani wallahi. Imekuwaje mwalimu? Mpaka mitandaonu? Pole.sana ila tuliza sana kichwa ,kuwa mwenye subira
Dada I love mwaaaaaaa najua unaupendo wadhat unajiamin jaman mwaaaaaaaaa mwijaku naomba nambayake
Tatizo hatakupenda wewe 😂😂😂
Huyu alipenda mali.
Goodluck barikiwa kaka kwa heshima ulomuonyesha...Ila mmh!jamani Teacher.....
😂
Waalimu jamani sijaamini macho yangu!!!
😂😂😂😂😂😂 Yani nimechoka yangu yote watching from Saudi Arabia navile na penda nyimbo za goodluck kijana muogopa mungu janani mungu akupe nguvu
Usijali niko apa all the way from Asia
Mungu akufanyie hitaji la Moyo wako
Mungu akutendee mema ameen.
Good luck hayo huwa yanatokea yalimtokea mbosso na binti mmoja kutoka Kenya Mombasa alimtafuta mbosso Tzd.
Goodluck una hekima sana Mungu azidi kukuongoza
Nimekupenda Sana wewe dada unaupendo wa kweli na mwisho wa interview umeongea kwa hisiaaa sanaaa pole dia haina jinsi kabisaa ila umeumia duu👌♥️♥️
Pole sana dada ulikuwa umemchaguwa mume ila ana mtu 🤔endeleya ku amini Mungu. Piya ongora sana Goodluck kwakutumiya hekima Kama Solomon 🙏
Nmekuelewa goodluck ..love you so much interview nzur sana with much respect
Kama umeikubali hii epsd gonga like
Dah yaani ni shidaa
Mbona hajafata mtu mwingine, hacha ujaja Yesu analudi,
Sterling ako makini
Like
Good luck wewe ni mwema sana na pia mama ako ni mpole
Tafadhali wazazi msiwaonyeshe watoto ni aibu kwakweli, hongera dada unajua kupenda, Mungu akubariki m2mishi unahekima sn
Katika siku uyu jamaaa ka ongea kwa hekima moja wapo ni hii hongera sana mtumishi wa Mungu
Goodluck,Asante sana kwa hekima zako
my sister God will answer your prayers keep praying
Mtumishi wa mungu kukutwa na haya nikawaida hiningaz yako yakupanda mungu akuepushe na mabaya
Amen kaka godluck❤❤❤
Pole subira,Mungu akupe hitaji la moyo wako
Mh pole mdada mwenzangu
Hitaji LA moyo wake ndo Goodluck sema ampe anayemfaa
Kwa sasa unaweza kuwadanganya watu, ila iko siku utakapo kutana na aliye kupa neema ya kuishi hapo ndo utajua, waimbaji wengi wanatukanisha jina la Yrsu.
Jaman pole subira jaman 💔Ila Goodluck anabusara jamaniiiiiii 🙏
Unampaje pole asiyejielewa?yeye ni mwalimu aangalie wa size yake mastaa wanatafutana apo hata angekubaliwa angeteseka mpaka kufa kwake si kila muimba injiri anamanishi injiri
Jaman wadada wengine ila amshukuru mtu alieenda kukutana nae mtumishi wa Mungu mwenye hekima
Hatal tupu
God bless u goodluck u are a brave man.
Aseee watangazaji kwa mambo na lugha za ushawishi 😂🤣🤣😄, duuuh kikubwa Godruck kazi unayoo mungu akutie nguvu.😍
Goodluck God loves you. There’ a lot of temptation in this world. Keep on praying.
Keep on praying bro
0000000
mungu anipe Nini Mimi et good luck wewe ni mtu moja ambaye sijawahi kuona kwenye hii dunia
mmhhh grace
Nimejikuta nairudia Mara 3 kuisikiliza,Mungu atusaidie saaana Ila Sasa ingekuwa private Sana,Sasa mitandaoni humu kuchoreshana tyuuu
Sikuwahi fikiria kama goodluck ana busara hivi daaah mungu akubariki kakaa
Imani ni dawa goodluck big up sana watakuja sana kemea
Brother #Goodluck Gozbet keep it up songa mbele Mungu yupo nawe .
Kaka angu jipe moyo hii dunia haina fadhila acha wakuseme wanavyoweza hayo yote wanakuonea wivu wa maendeleo muombe mungu akuzidishie siku za kuishi na akulinde akuepushe na mabaya maishani wakapate kuaibika
Poleni sana gudluk na dada subira Mungu awape wenza wazuri
It's really that she love him so much so hakuna shida kuzielezea hisia zako pale inapopaswa kuwa free haina haja yakujifunga ivyo wakati unapenda.
Sawa,umeeleza hisia zako and God will give you a nice husband,
Shilawadu hongereni Sana kwa kazi nzuri mnayoifanya👏👏👏
Mungu wangu ni aibu kiasi gani hii😓 pole sana mwalimu subira
Yani sijui ofisini atakaaje na atawaangaliaje walim wenzie na wanakijiji, ndugu jamaa namarafiki daaaaaa aibu ya mwaka mpya 2021.
Woyooooooooooo nilitamani kuona muendelezo🤣🤣🤣🤣🤣yani naona aibu mmi jamani
Umeona jaman wanawake mnafeli wapi?
🤣
@@sifatiiman kwanza katuzalilisha wanawake pili kazallisha waalimu mwalimu gani mpumbavu huyu mpka ajiachiiiiia anaropka Yoote kupenda kupo ila kwanni amejianika hivi
Wengine mnashangaa wengne mcheka...kama vile hamjawahi kukutana nayo wakat baadhi yenu imeshatokea mpaka hapa unakumbuka yule uliwai kumtamikia hvo na ukawa nae mwisho wa siku akakucht....au kwa sababu huyu kaingia mtandaon ndo mnajifanya kama vile hamjui kama hamujayaona hayo mamboooo.mwchen mdada wa watu bhn..
@@albuscalion354 tumia akili hakuna anaeshangaa ila yye kwanini ajianike na ukizingatia yye ni mwalim hivi wakubwa wake wanmchukuluaje😠😠😠😠😏😏
Mimi nawazaga sana kuhus hisia za mtu kwa mtu anaempenda me cion cha ajabu lkn Subira never give up one day Goodluck anaweza badilisha mawazo yake
🙏🙏🙏
Kweli
Masikini wa Mungu jamani Yesu wangu hakika Mungu upo atakupatia dada mume natabiri
Mbona watu mnakosa ya kusema.""Hisia za mtu ziheshimiwe huyo dada nimempenda sana kwani nilipi la ajabu kalifanya,,."??
Hahahahahahahahaha, jamani uwiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kweli jamani...
Kwel jaman..
Mh mwanamke mwwnyewe mchafu nguo ile tangu siku ile hajabadili ingine
Asee hao hawajapata bahati ya kupenda kama kupenda kutoka moyoni.....aseee nyie acheni tu kama hujui hujui tu...Subira mungu ndie mpaji kama amewapa wengine bas ridhiki yako ipo wakati wako unakuja endelea kuwa humble girl, unafanya kaz nzur pambana....when the right time reaches u'll be surprised Godbless u.
wenye midomo waache tu waongee ni yao watachoka wata lala na bongo zao zinazo mis mis kama gari iliyoisha mafuta barabarani.
Mungu amsaidie huyu dada ampate tu mume wake.
Pole Sana Dada endelea kumuomba myngu akupatie mme Bora 🙏🙏
Dada zetu mnakosa kazi !Mungu akusaidie .
Lakini jamani kwa mtu maarufu kawaida kupakwa matope gonga laiki
Amejikaza sn uyo dada kulia! Duuh! akifikilia kapoteza sn gharama zake kwa ajili y Mapenzi...pole yake
Ppopppppo
😂😂😂 sema
Goodluck una hekima sana jamaniii,hongera sanaa,umeonyesha utofauti sana na wengine
I feel it huyo dada ameumia sana😢😢
Aiseee Mungu Wangu hii aibu hamna wadada tunajikutaga
Duuh kweli mungu wetu wa mbinguni ulituumbia kupenda Tena kwa dhati kabisa lakini mungu tunakuomba uwe unatupelekea kwenye type zetu Jamani ,, asante ameen
Daah kwakweli
Ndoa haina hayo.
Nimecheka kwa sautii akyamungu...kweli kabisa tuwe tunaangalia type zetu jaman
😆😆😆😆😆type zetu
Hahahahaha jinga saana wewe hahahaa ! Kwakweli c type yake kabisaa. Uwiii mi naona aibu
Unamajibu ya hekima sana goodluck
Aaaah godluck anahekima jmn
Basi hapo kichwani anatamani Good luck OG atafakari amsaidie kukubari tu wawe wamoja
Mungu amsadie huyu dada apate mume halafu najiombea mwenyewe kumtongoza mwanaume kwakweli hapana mungu anisadie maana juju ni kudhalilika
Mmmmh
Kupenda kawaida tu
issue ya video call haijakaa vzr hapo ni vipi m2 anaweza kuongopa kwa video call...!!
Shangaa na Wewe! Mimi naamini ni kweli walikua wanawasiliana! Sema tu mtumishi ameona jamii imejua kaamua kumtema.
Pole Subira Mungu akujaalie upate mume bora na mwema, nakuombea heri kipenzi.
The self control in this man Goodluck,keep it up bro
Poleeee Sana Bro Polee Sana Dadaa Mwalimu Umetaperiwa Dear
Mwalimu gan yupo Kama rofa hamna ualimu wala nn
@@gracestanley7040 😂😂😂
@@gracestanley7040 Nashangaa Walimu Nawafahamu Anawaaibisha Walimu
Teacher kashapoteza pesa nyingi sana mpaka aelewi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hatari 🙆🙆🙆🙆
😹😹😹😹😹😹😹😹
Hongera dada wewe ni mwanamke jasiri na unajiamini sana,, kuwa na subira kama jina lako utampata aliyesahihi wa maisha yako, kila la kheri
Subira kuwa makini sana na mitandao. Fikiria muda uliopoteza pamoja na pesa!
Anna kutokea kaskazini ni CV tosha
Pamoja na fedheha duuh!
Wai Shule dada juma tatu sio mbaliiiiii poleeeeeeeeeeee
😀😀😀
Mapnz y mtandaoni dadaang siyo mazur Ila tulia tuu utapata wako mungu akutie nguvuu
Good luck ! Mungu akubaliki sanaaa
kumbe wanawake wenye hekima kama subira bado wapo
Hongera kwake pia
,😁😁anahekima kweli sema kwa usawa huu watamchukulia kivingine
She real need to shout-out very loud
Dada Jipe moyo,Kuna mume wako zidi kuomba Mungu pole sana dadangu.
Jamani pole mwalimu,Goodraki MUNGU aitunze hekima yako
Hahahaaaa alifiwa na mamaake nikamtumia efu 40 uwiii rudi lindi Dada kaandae maandalio na saiv wanafunzi wapo likizo wanachezea cm za wazazi wamekuona uwiiiii
😀😀😀😀😀
😂😂
🤣🤣🤣🤔🤣hhhhhh!! Ila nyie watu🤣🤣🤣🤔🙄🤔
😁😁😁😁
Njooo nikuoe
Wewe ndiye uliyemdhalilisha Gwajima!! Ipo siku tuu
Good luck ok good for Good answer
maskin mungu atakujalia mana tatzo moyo ndy mana umefanya ilo hadharan usiumie na maneno ya wa2 mtaani daaah cjuh walim wenzio na wanafunz watakuonaje
Bora si mengine !Bravo brother inaonekana una malezi kabisa ,angesema mliwahi kukutana hotelini huko ingekuwa balaaa
Walai🤔🤔
Goodluck anamalezi aiseee
Tatizo la watu wanakuwaga na zarau wanaume ambao mungu anawapa huwa wanawakataa wanataka masupersta
Ni Sahihi Kabisa Dada Yangu,
Watu hawawapendi wenza wao wasiowapenda, wanawapenda wasiowapenda eti
Exactly well, too much is harmfully
Dada we kiboko haswaaaa💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿mm siwez kufanya huo ujinga ase siwez yaan eti upendooooo
Ni wewe kila mtu kapewa akili yake
Mtumishi wa MUNGU ilo ni jaribu na hongera kwakulishinda
Uyu dada atajinyonga jamani 😢😢 sio kwa kujizalilisha ivi dah mtihan huu
Mtihani tena wa physics halafu unajikuta aukusoma vizuri....paper ni ngumu
🙄🙄🙄🙄 Loh...jamani
Oh my God yaani na hizi aibu zangu Mimi naona aibu Kama vile Mimi ndo subira ,😆😆
🤣🤣🤣🤣
Ukipenda hutoona aibu
lkn pia ana moyo mtu akudanganya ukae hotel wiki 2 na bado aakili aijafunguka kua mtu ni tapele wa mapenzi mmmh moyo wangu koma
Yaan
Hahaha
wow, Tanzanians are so honest
Pole dada unaanzaje kumpenda staa
Halo! Huyu dogo ana hekima, pia hii chanel nimewakubali.
Jamani nilikuwa na subiri mwendelezo 😂😂😂😂😂
Kwa haaaamu
Kwa hamu mno
Hata mimi aisee daah
Jamani soudy ni mumbea hatari
Mimi pia
Pole sana dada Mungu akupe mume wako, kweli moyo ukipenda hauzuiliw na aibu wala haujal hasara
Hivi huko kazini ataiweka wapi sura yake maana aibu hii kwakweli dah dada upo sawa na wadangaji tuseme ukweli tu maana wanaodanga wanatafuta hela na ww unatafuta maradhi ngoma ndroo tu ila ni funzo kwa wanawake wote tusipende kupenda ovyo mitandaoni
Aibu mm 🙈🙈🙈🙈🙈😭😭😭😭
Hill remba ndilo limemuchanganya godlucky
Dada umenichekesha hatr...