Kama umefatilia vizuri wakati Stamina Ana ongelea kuhusu Konde... Sijui ni mimi tu hapo sababu nahisi kama wame jump hiyo sehemu ya interview hadi kwa Ray
Media Houses are the Problem. The few media outlets that support Hip-hop here in Bongo, the songs that come out don't get enough airtime, and the ones that do get airtime are usually those selected by the media houses themselves. In short, MEDIA HOUSES control which music dominates the market. A good example is the rise of Singeli music, which fought its way into the mainstream. Hip-hop used to be like that in the past, but times have changed. Many Hip-hop artists invest a lot of intellectual effort (racking their brains) into crafting their lyrics. However, when you want them to perform at your show, you expect them to accept a fee that doesn't match the quality of their lyrics, even if they're not famous. This is where artists clash with event organizers. Hip-hop has quality, but the media houses prioritize quantity. Let's revive the support from MEDIA HOUSES for the game as it used to be back in the days.
Achana na wabana puwa man fanya bifu nawenzako kond ni mû mja kati ya wakina diamond rayvan nawengine kibao wewe nimaoja katiya fid chic Benz roma nay apana wabana puma masta
Maua upewe mwanetu like moja basi kwa ajili ya familia ya hihop ❤
Stamina Noma Sana from drc Congo ila stamina nime mu check sana bila ma jibu
Stamina noma san
Sharobwenzi ❤
Collabo ya Diamond na Ibraah ,,,hiyo noma.
Good😂😂😂 Medy Bize koja
Kama umefatilia vizuri wakati Stamina Ana ongelea kuhusu Konde... Sijui ni mimi tu hapo sababu nahisi kama wame jump hiyo sehemu ya interview hadi kwa Ray
Yaah nimeona hicho k2,, ila anyway acha ipitee tuu
bonge la interview
Media Houses are the Problem.
The few media outlets that support Hip-hop here in Bongo, the songs that come out don't get enough airtime, and the ones that do get airtime are usually those selected by the media houses themselves. In short, MEDIA HOUSES control which music dominates the market. A good example is the rise of Singeli music, which fought its way into the mainstream. Hip-hop used to be like that in the past, but times have changed.
Many Hip-hop artists invest a lot of intellectual effort (racking their brains) into crafting their lyrics. However, when you want them to perform at your show, you expect them to accept a fee that doesn't match the quality of their lyrics, even if they're not famous. This is where artists clash with event organizers.
Hip-hop has quality, but the media houses prioritize quantity. Let's revive the support from MEDIA HOUSES for the game as it used to be back in the days.
Ww sholo fungu la kumi liache usiliingize kwenye hizo za kusaidia 😂😂😅 ila kazi zako azijawai kuwa ndogo big up 😮
❤ anyone watching this deserve to know seph Buche
Sharobwenza on this one 🔥🔥🔥
👊🏾💯🔥
Namkubali sana chalii wa moro
Stamina na mpataje mm pia na rap na Nina kazi kazaa mzee naeza vip mpata huyu mfalme
Ngoma ambayo iliniuma hamkuifanyia video ni like faza like son na fid mlizinguana ata sielewi coz toka enzi izo ukahama kwa fid
King kaongeya kuhusu hilo muni subscribe niwambiye kwenye game haina wa support siyo kusema game imedeadi hapana ilipokufiya nitawambiya kesho❤❤❤
story mnazikata kata haziishi haieleweki, MWAZINGUA
Moro town mpka modeko mikono juuuu shorwe bwenzi
Stamina na mboso 😅
Muache kondee banaa wewe mumechokaa ila harmonize ndoo anashika soko lakuziki Apa tanzania
Na wewe nima
Pacha wako uyo dogo Mr T rapper
Achana na wabana puwa man fanya bifu nawenzako kond ni mû mja kati ya wakina diamond rayvan nawengine kibao wewe nimaoja katiya fid chic Benz roma nay apana wabana puma masta
Huyu jamaaa mbn hawapi nafasi wenzie afu n mbovu kuliko wenzie
We fara nin muache rapper wetu