ALLY KAMWE: NIMEZAWADIWA SIMU YA GHARAMA/ MTU KACHEZA DK 30 TU KASUSA/HAKUNA MAISHA YA SHIDA NA RAHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally Kamwe akitamba Kumiliki Gari la Gharama kubwa pamoja na Simu Kali aliyopewa Zawadi na Rais wa Yanga SC,Eng Hersi Said kwa Utendaji wake Mzuri wa Kazi.
    Ameongeza kusema kwamba Simu anayotumia Sasa kwa Tanzania hii Wanayo Watu Wanne tu,Yeye,Eng Hersi Said,GSM pamoja na Diamond Platnumz.

ความคิดเห็น • 115

  • @juliussuleiman3999
    @juliussuleiman3999 ปีที่แล้ว +13

    Huyu mtoto ana hatari kweli, anafurahisha anatoa watu stres, Barikiwa sana

    • @IssaMbwile
      @IssaMbwile 11 หลายเดือนก่อน

      Uu see my by u by u.

  • @awadhiomari5172
    @awadhiomari5172 ปีที่แล้ว +4

    Mpenja tv mkifanya interview na ally kamwe mnapata watazamaji wengi sana kwasababu wananchi tunampenda

  • @edinamwanasenga1584
    @edinamwanasenga1584 ปีที่แล้ว +2

    Aliy kamwe my borthet uko vizuri

  • @sarahsaimon4095
    @sarahsaimon4095 ปีที่แล้ว +8

    Ally bwana hahahahah upo vzr sana💚🔰💛

  • @carrenlaizer5808
    @carrenlaizer5808 ปีที่แล้ว +4

    Uko vizuri sana semeja letu

  • @yaoundehusseinbarilulakamigwe
    @yaoundehusseinbarilulakamigwe ปีที่แล้ว +25

    Mwanzo kabisa nilijua ally hutoweza ku promo team kubwa kutokana na ufupi wako basi nilijua akili yako itakua hivo kumbe unaakili inazidi mwili wako hongera sana kaka ally kamwe nakukubali sana

    • @patsonsimpito8638
      @patsonsimpito8638 ปีที่แล้ว +2

      Ani huyu bongee semaji huyu ni semaji la dunia ani

    • @cosimasedward
      @cosimasedward ปีที่แล้ว

      Wajinga wawil wanakubaliama

    • @francepaul7711
      @francepaul7711 ปีที่แล้ว +1

      Anaupigaaa mwingii

    • @senseiamani4684
      @senseiamani4684 ปีที่แล้ว

      Haaaaahaaaaa

    • @chakuboyofficial9720
      @chakuboyofficial9720 ปีที่แล้ว +1

      Mimi Ana nifarahisha anavyo pangiliya maneno yake ni tofauti na awa wengine wana piga kelele sanaa

  • @mustaphatibaijuka6995
    @mustaphatibaijuka6995 ปีที่แล้ว +10

    Unajua kuukosha moyo wangu sichoshwi na interview zako Ally

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 ปีที่แล้ว +3

    Alhamndulilah

  • @TeddyPeter98
    @TeddyPeter98 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akuongoze inshaallh

  • @lutegomakoyeluhahula361
    @lutegomakoyeluhahula361 ปีที่แล้ว +1

    Naona Kama hata waandishi wanapenda Sana kumhoji Ally kamwe.wanajisikia raaaaaaaha.

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 ปีที่แล้ว

    Duh Nimecheka sana huyu Dogo noma sana Ukienda Kwa ukuda unajibiwa kikudakuda Ukienda kitaaluma utapelekwa hukohuko. Well done.

  • @robertsalum1968
    @robertsalum1968 ปีที่แล้ว +5

    Semaji lamabingwa katika ubola wake nakubali sana

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 ปีที่แล้ว +3

    Semaji la wananchi lililokamilika 💚💛💚💛😂😂😂😂 Bilinenga na Nandy Zingatieni Ombi la Msemaji wetu 😀😀😀

  • @halimamnavi3208
    @halimamnavi3208 ปีที่แล้ว +3

    Wowh semaji la ukweli ndani ya Yanga wape salaam makolokolo fc wenye vijiba vya roho

  • @andrew.gadimrinji1713
    @andrew.gadimrinji1713 ปีที่แล้ว +3

    Ally Kamwe mara ya kwanza umechemsha hasi na chanya hakutakuwa na shot ..hasi na hasi au chanya na chanya ndo shot bwana mdogo

  • @barakasule2649
    @barakasule2649 ปีที่แล้ว +1

    huyu dada anampenda sana @Ally kamwe

    • @Bruno-ed1ps
      @Bruno-ed1ps ปีที่แล้ว

      😀😀😀😀

    • @Jijuw
      @Jijuw 10 หลายเดือนก่อน

      Sanaaaa

  • @TeddyPeter98
    @TeddyPeter98 3 หลายเดือนก่อน

  • @revocatusdarius4499
    @revocatusdarius4499 ปีที่แล้ว +3

    huyu ndo Ali ninaye mjua kwa swala la kuwashauri vijana namkubali sana

  • @evvajlumila7898
    @evvajlumila7898 ปีที่แล้ว

    Aiseeee

  • @chancelorharubu2731
    @chancelorharubu2731 ปีที่แล้ว

    Ama kweli,kutoka kwenye usemaji hadi kwenye uropokajii,kisa cm mpya,kweli washamba wapo hadi mjinii

  • @zubedahamis2346
    @zubedahamis2346 ปีที่แล้ว +3

    😃😃😃😃😃😃Ali kamwe😃😃😃😃hvi ni kweli

  • @michaelselis8531
    @michaelselis8531 ปีที่แล้ว +1

    Jen kishai 😘😘

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq 4 หลายเดือนก่อน

    Hakika

  • @MponjoliEmmanuelSamuelMw-tx9sf
    @MponjoliEmmanuelSamuelMw-tx9sf ปีที่แล้ว

    Jamaa alikuwaga smart sana aisee... dah!! Utopolo Mungu anawaona...

  • @navanjkiba2439
    @navanjkiba2439 ปีที่แล้ว

    Ali Kamweeeeee ur very funny

  • @abdybanda759
    @abdybanda759 ปีที่แล้ว +3

    ally no yako tafadhaliii

  • @sospeterkaponoke3789
    @sospeterkaponoke3789 ปีที่แล้ว +2

    Semaji la taifa uko vzr sana nimefurahi sana 🤣🤣🤣

  • @abdullambarak5425
    @abdullambarak5425 ปีที่แล้ว +2

    Unajuwaa afisa habar

  • @faustinematiku249
    @faustinematiku249 ปีที่แล้ว +3

    Semaji kubwa

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 ปีที่แล้ว +2

    Tafuta mcha mungu huko utapigwa shoti Kama unavosema

  • @nirdinkishky5343
    @nirdinkishky5343 ปีที่แล้ว +1

    Yani uo uongo ndo umeufanya ni km ibada

  • @salimmpili8573
    @salimmpili8573 ปีที่แล้ว +1

    Ahahaha Ally Kamwe umeniharibia ratiba nilikuwa sitakii kucheka leo

  • @ernesttesha3615
    @ernesttesha3615 ปีที่แล้ว +1

    Nandi umesikia hiyooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 ปีที่แล้ว +2

    Wakereeee Babaaa 😅😅😅

  • @nasirkilapo6041
    @nasirkilapo6041 ปีที่แล้ว +1

    Kamwe nakukuli sana unanito strees zangu🤣🤣🤣

  • @johnjonathan7502
    @johnjonathan7502 ปีที่แล้ว +2

    Kwaiyo na hii yangu ni kifaa

    • @sirjecki
      @sirjecki ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @suzanakameta9973
    @suzanakameta9973 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂😂 duuuh hii ni hatari

  • @nasirkilapo6041
    @nasirkilapo6041 ปีที่แล้ว +1

    Eti nime,nunukazu mpya bado bibiarus🤣🤣🤣

  • @ashaselema1923
    @ashaselema1923 ปีที่แล้ว +1

    Ila we jeny kishayo na Ally kamwe munatuua na vicheko

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 ปีที่แล้ว +2

    Daaah semaji unaniuaaa huku🤣🤣🤣😂😂

    • @hassanparamana2215
      @hassanparamana2215 ปีที่แล้ว

      hizi ni zama za mkapa ukweli na uwazi japokuwa tunayo hapa kazi tu mwambie tu semaji eeeh mie ktk vile vigezo vyako ninavyo pia uone Ally hataruka kule kwa bill nenga Ombi lake bado alijafanyiwa kazi kwahyo na wewe hikae 🏆💛💚💪🇹🇿🇦🇪

  • @suleimansuleiman1127
    @suleimansuleiman1127 ปีที่แล้ว +1

    Tafuta kila kitu ili km hkupendi apende vit vyako 😂😂😂

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si ปีที่แล้ว +1

    Ally ww

  • @dboy9293
    @dboy9293 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂 sawa semaj la chan

  • @jumampili7187
    @jumampili7187 ปีที่แล้ว +3

    Simu wanaongwa wanawake

  • @fayeezabdallah2217
    @fayeezabdallah2217 ปีที่แล้ว

    Unaweza kuwa na kila kit lkn usiwe na furah chungz half tohowa manen

  • @winchislausrweyongeza8184
    @winchislausrweyongeza8184 ปีที่แล้ว +1

    Bwanamdogo unatisha sana

  • @tanzaniakwanzamaadili5083
    @tanzaniakwanzamaadili5083 ปีที่แล้ว

    Aly ni rofa wa mwisho, ongelea juu ya yule.mchezaji wa.lebanon ,usizuge

  • @tinabapemacho8650
    @tinabapemacho8650 ปีที่แล้ว +5

    Naam semaji letu uko vyema San inshallah tuta fik mbali

  • @hussenhussen3210
    @hussenhussen3210 ปีที่แล้ว +1

    Ashura ma UTI amaehongwa simu amekuhonga bwana wako saidoo

  • @meddyroshan74
    @meddyroshan74 ปีที่แล้ว +1

    Ana hashuo uyu

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 ปีที่แล้ว +1

    Semaji hatari

    • @happynesskisamo6418
      @happynesskisamo6418 ปีที่แล้ว

      Jamani amah kweli unachekesha sana i love this💖💖💖

  • @PeterEmmanuelMtemi-ih9xp
    @PeterEmmanuelMtemi-ih9xp ปีที่แล้ว

    Vita akili lazima ujue end state🤣

  • @murshidarajabu3456
    @murshidarajabu3456 ปีที่แล้ว

    Anayehoji mshamba na anayehojiwa

  • @sarahjoseph5411
    @sarahjoseph5411 ปีที่แล้ว

    Et unapigisha shoti🤣🤣🤣🤣🤣

  • @simbamchunga2750
    @simbamchunga2750 ปีที่แล้ว

    Amekuwa na taarabu sana sikuiz....

  • @khairatkhamis5845
    @khairatkhamis5845 ปีที่แล้ว +1

    Sisi watanzania tumekaa kama wachina tunachukua wachezaji wazee waje kul mafao yao

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 ปีที่แล้ว

    Jamaa amekuwa mchekeshaji 😂

  • @maulidimlanzi7780
    @maulidimlanzi7780 ปีที่แล้ว +2

    Mwanaume kuptewa cm namwanaume mwenzako

    • @abuuayoubayoub9260
      @abuuayoubayoub9260 ปีที่แล้ว +1

      Hasira hizoooo

    • @everlynkimaro40
      @everlynkimaro40 ปีที่แล้ว +2

      Acha makasiriko wewe, tafuta hela👌👌👌

    • @othmanali7408
      @othmanali7408 ปีที่แล้ว +1

      wivu utakuuwa

    • @stellasheba842
      @stellasheba842 ปีที่แล้ว +1

      Huyoo n afisa habari.kapewa kwaajili ya kazi yake cm yenye kiwango kikubwa .mbona mnakua hamna akili.?

    • @josephchristopher1887
      @josephchristopher1887 ปีที่แล้ว

      Boss wako hajawahi kukupa zawadi tuliza mshono kupewa zawadi na boss ni kitu kikubwa sana

  • @tinradon4618
    @tinradon4618 ปีที่แล้ว +1

    Ally mali hiyo hapo inakuhoji

  • @mucksinbambali492
    @mucksinbambali492 ปีที่แล้ว +1

    Mwanaume unajisifia kupewa zawadi😂😂😂
    Zawadi waachie akina dada

  • @alexmollel4431
    @alexmollel4431 ปีที่แล้ว

    Amesha mwanaume huyo ashura mfirwaji

  • @murshidarajabu3456
    @murshidarajabu3456 ปีที่แล้ว

    Ushamba bwana

  • @teddymhagama611
    @teddymhagama611 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣naona unaelekea Mombasa sasa

  • @reginaldmakene5987
    @reginaldmakene5987 ปีที่แล้ว +1

    Usipende vizawadi zawadi utaolewa

  • @paulboniface2422
    @paulboniface2422 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahahahahahaha

  • @bestrecipes7357
    @bestrecipes7357 ปีที่แล้ว

    Jmn 😂😂

  • @yakobontigwambukwa
    @yakobontigwambukwa ปีที่แล้ว

    Kama ni bagger mbona hunenepi🤣🤣🤣🤣🤣

  • @maulidimlanzi7780
    @maulidimlanzi7780 ปีที่แล้ว +1

    Bdio msgamba

  • @fundiissa5226
    @fundiissa5226 ปีที่แล้ว +2

    Utakuja liwa penda tu vya bure

    • @abuuayoubayoub9260
      @abuuayoubayoub9260 ปีที่แล้ว

      Hasira hizooo

    • @othmanali7408
      @othmanali7408 ปีที่แล้ว

      wivu utakuuwa

    • @ellsonmkonyi1319
      @ellsonmkonyi1319 ปีที่แล้ว

      Duuh mambo mengine utayasikia 2hapa ukienda huko ambako mmeenda kupata uzoefu *Spain lk huwezi ya sikia haya , let's talk about football

    • @ellsonmkonyi1319
      @ellsonmkonyi1319 ปีที่แล้ว

      Na gari anayoendesha Fei toto ?? Mbona huitaji

    • @alicenice1711
      @alicenice1711 ปีที่แล้ว

      Aca ushamba ww

  • @victoriamefya6287
    @victoriamefya6287 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @esterkomba4072
    @esterkomba4072 ปีที่แล้ว +1

    Unazawadi wewe nimwanamke

  • @josephinejoseph3919
    @josephinejoseph3919 ปีที่แล้ว

    😂😂😂

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 ปีที่แล้ว

    Aka nako mdomo kama uchi wa nguruwe ,sasa simu ndo yakujitapa saana kajinga Sana hamnazo ashura cheupe ,saido kakivua nguo

    • @romanmwaisela
      @romanmwaisela ปีที่แล้ว

      Vumilia mgendi,,,,mbona unatukana sana ww mcha Mungu kweli,,,,,,tubu aisee

  • @kaskoboychawa620
    @kaskoboychawa620 ปีที่แล้ว

    Uyo kamwe anamlaga uyo dada mtangazaji sio kwapozi hilo

    • @AbuuAbdilRahmaan
      @AbuuAbdilRahmaan ปีที่แล้ว

      Nina wasiwasi walikuwa wote kwenye gari...

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 ปีที่แล้ว

    Mwanaume anakupa zawadi duuhh namashaka

  • @piusmwakyembe4545
    @piusmwakyembe4545 ปีที่แล้ว

    Mshamba wa simu upo kama demu

  • @irenedavid952
    @irenedavid952 ปีที่แล้ว +1

    Una akili mbwa wew kwa in unapenda mambo ya jirani yako yanakushinda

    • @dainangei6608
      @dainangei6608 ปีที่แล้ว

      Unaumia ukiwa wapi?

    • @rekeyamuscat5459
      @rekeyamuscat5459 ปีที่แล้ว

      Irene david acha matusi jiheshime watu wakuheshimu kimekuleta nn?

    • @faustinematiku249
      @faustinematiku249 ปีที่แล้ว

      Mbona makasiriko dunduka kwan ulilazimishwa ku comment alafu wakike wew ujue

    • @josephyamba9618
      @josephyamba9618 ปีที่แล้ว

      Tatizo ukiwa kolo kila mda una mattress tyu

    • @imatisatv9239
      @imatisatv9239 ปีที่แล้ว

      Wewe itakuwa msagaji siyo hivi hivi,