ALLY KAMWE: NIMEZAWADIWA SIMU YA GHARAMA/ MTU KACHEZA DK 30 TU KASUSA/HAKUNA MAISHA YA SHIDA NA RAHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally Kamwe akitamba Kumiliki Gari la Gharama kubwa pamoja na Simu Kali aliyopewa Zawadi na Rais wa Yanga SC,Eng Hersi Said kwa Utendaji wake Mzuri wa Kazi.
Ameongeza kusema kwamba Simu anayotumia Sasa kwa Tanzania hii Wanayo Watu Wanne tu,Yeye,Eng Hersi Said,GSM pamoja na Diamond Platnumz.
Huyu mtoto ana hatari kweli, anafurahisha anatoa watu stres, Barikiwa sana
Uu see my by u by u.
Mpenja tv mkifanya interview na ally kamwe mnapata watazamaji wengi sana kwasababu wananchi tunampenda
Aliy kamwe my borthet uko vizuri
Ally bwana hahahahah upo vzr sana💚🔰💛
Uko vizuri sana semeja letu
Mwanzo kabisa nilijua ally hutoweza ku promo team kubwa kutokana na ufupi wako basi nilijua akili yako itakua hivo kumbe unaakili inazidi mwili wako hongera sana kaka ally kamwe nakukubali sana
Ani huyu bongee semaji huyu ni semaji la dunia ani
Wajinga wawil wanakubaliama
Anaupigaaa mwingii
Haaaaahaaaaa
Mimi Ana nifarahisha anavyo pangiliya maneno yake ni tofauti na awa wengine wana piga kelele sanaa
Unajua kuukosha moyo wangu sichoshwi na interview zako Ally
Alhamndulilah
Allah akuongoze inshaallh
Naona Kama hata waandishi wanapenda Sana kumhoji Ally kamwe.wanajisikia raaaaaaaha.
Duh Nimecheka sana huyu Dogo noma sana Ukienda Kwa ukuda unajibiwa kikudakuda Ukienda kitaaluma utapelekwa hukohuko. Well done.
Semaji lamabingwa katika ubola wake nakubali sana
Semaji la wananchi lililokamilika 💚💛💚💛😂😂😂😂 Bilinenga na Nandy Zingatieni Ombi la Msemaji wetu 😀😀😀
Wowh semaji la ukweli ndani ya Yanga wape salaam makolokolo fc wenye vijiba vya roho
Ally Kamwe mara ya kwanza umechemsha hasi na chanya hakutakuwa na shot ..hasi na hasi au chanya na chanya ndo shot bwana mdogo
huyu dada anampenda sana @Ally kamwe
😀😀😀😀
Sanaaaa
❤
huyu ndo Ali ninaye mjua kwa swala la kuwashauri vijana namkubali sana
Aiseeee
Ama kweli,kutoka kwenye usemaji hadi kwenye uropokajii,kisa cm mpya,kweli washamba wapo hadi mjinii
😃😃😃😃😃😃Ali kamwe😃😃😃😃hvi ni kweli
Jen kishai 😘😘
Hakika
Jamaa alikuwaga smart sana aisee... dah!! Utopolo Mungu anawaona...
Ali Kamweeeeee ur very funny
ally no yako tafadhaliii
Semaji la taifa uko vzr sana nimefurahi sana 🤣🤣🤣
Unajuwaa afisa habar
Semaji kubwa
Tafuta mcha mungu huko utapigwa shoti Kama unavosema
Yani uo uongo ndo umeufanya ni km ibada
Ahahaha Ally Kamwe umeniharibia ratiba nilikuwa sitakii kucheka leo
Nandi umesikia hiyooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakereeee Babaaa 😅😅😅
Kamwe nakukuli sana unanito strees zangu🤣🤣🤣
Kwaiyo na hii yangu ni kifaa
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 duuuh hii ni hatari
Eti nime,nunukazu mpya bado bibiarus🤣🤣🤣
Ila we jeny kishayo na Ally kamwe munatuua na vicheko
Daaah semaji unaniuaaa huku🤣🤣🤣😂😂
hizi ni zama za mkapa ukweli na uwazi japokuwa tunayo hapa kazi tu mwambie tu semaji eeeh mie ktk vile vigezo vyako ninavyo pia uone Ally hataruka kule kwa bill nenga Ombi lake bado alijafanyiwa kazi kwahyo na wewe hikae 🏆💛💚💪🇹🇿🇦🇪
Tafuta kila kitu ili km hkupendi apende vit vyako 😂😂😂
Ally ww
😂😂😂😂 sawa semaj la chan
Simu wanaongwa wanawake
Acha hasira wew
Acha makasiriko, tafuta hela👌👌👌👌
Binge LA msemaji wa point hapaukipauki kam Ahmed ali
Bas we kahongwe
Unaweza kuwa na kila kit lkn usiwe na furah chungz half tohowa manen
Bwanamdogo unatisha sana
Aly ni rofa wa mwisho, ongelea juu ya yule.mchezaji wa.lebanon ,usizuge
Naam semaji letu uko vyema San inshallah tuta fik mbali
Ashura ma UTI amaehongwa simu amekuhonga bwana wako saidoo
Ana hashuo uyu
Semaji hatari
Jamani amah kweli unachekesha sana i love this💖💖💖
Vita akili lazima ujue end state🤣
Anayehoji mshamba na anayehojiwa
Et unapigisha shoti🤣🤣🤣🤣🤣
Amekuwa na taarabu sana sikuiz....
Imekuchoma????
Sisi watanzania tumekaa kama wachina tunachukua wachezaji wazee waje kul mafao yao
Jamaa amekuwa mchekeshaji 😂
Mwanaume kuptewa cm namwanaume mwenzako
Hasira hizoooo
Acha makasiriko wewe, tafuta hela👌👌👌
wivu utakuuwa
Huyoo n afisa habari.kapewa kwaajili ya kazi yake cm yenye kiwango kikubwa .mbona mnakua hamna akili.?
Boss wako hajawahi kukupa zawadi tuliza mshono kupewa zawadi na boss ni kitu kikubwa sana
Ally mali hiyo hapo inakuhoji
Mwanaume unajisifia kupewa zawadi😂😂😂
Zawadi waachie akina dada
Kwan yule buki alivyopewa zawad na kocha alikuwa mdada
Wewe sema huns
🤣🤣🤣mbona kma unaleta makasiriko hivi
Amesha mwanaume huyo ashura mfirwaji
Ushamba bwana
🤣🤣🤣naona unaelekea Mombasa sasa
Usipende vizawadi zawadi utaolewa
Hahahahahahahahaha
Jmn 😂😂
Kama ni bagger mbona hunenepi🤣🤣🤣🤣🤣
Bdio msgamba
Utakuja liwa penda tu vya bure
Hasira hizooo
wivu utakuuwa
Duuh mambo mengine utayasikia 2hapa ukienda huko ambako mmeenda kupata uzoefu *Spain lk huwezi ya sikia haya , let's talk about football
Na gari anayoendesha Fei toto ?? Mbona huitaji
Aca ushamba ww
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unazawadi wewe nimwanamke
😂😂😂
Aka nako mdomo kama uchi wa nguruwe ,sasa simu ndo yakujitapa saana kajinga Sana hamnazo ashura cheupe ,saido kakivua nguo
Vumilia mgendi,,,,mbona unatukana sana ww mcha Mungu kweli,,,,,,tubu aisee
Uyo kamwe anamlaga uyo dada mtangazaji sio kwapozi hilo
Nina wasiwasi walikuwa wote kwenye gari...
Mwanaume anakupa zawadi duuhh namashaka
Mshamba wa simu upo kama demu
Una akili mbwa wew kwa in unapenda mambo ya jirani yako yanakushinda
Unaumia ukiwa wapi?
Irene david acha matusi jiheshime watu wakuheshimu kimekuleta nn?
Mbona makasiriko dunduka kwan ulilazimishwa ku comment alafu wakike wew ujue
Tatizo ukiwa kolo kila mda una mattress tyu
Wewe itakuwa msagaji siyo hivi hivi,