SIJAKUPENDA KWANZA UNATIA HURUMA, JIREKEBISHE | MWAMBA HANA BAHATI KABISA - HELLO MR. RIGHT
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - บันเทิง
❤❤❤huyu kaka ni mpole saana na anaheshima zake. Am a Kenyan and i want him ,am ready to have hime , yaani namtakaaa❤❤❤❤
Njoo tupo sisi😄😀
Si pia napenda sana mwanaume anakuwanga simple alafu Tz men are gud if u get matured man sijui niishie huko😂😂😂😂
Huyo kijana ningekuwa hapo namchagua anaonekana mtu simple sana , all the best Kaka❤
😂😂😂😂 mm ningebeba nkasepa
Pliz bety naitaji kuwa Mr right
@@greggoryisaac8485 kwa hio wataka nikusaindie aje kaka?
@@greggoryisaac8485nikusaindie aje Babaa?
Wapare ni wabahili kweli jamani
All the presenters speak fluent English wow...Kiingereza chao kinakaa tofauti sana na watanzania wengine and I love it..Keep it up guys show yenu n moto kuliko ya apa kwetu Kenya😂
We ni mkwel love
Watanzania gani hao unaokutananao ambao hawaongei vizuri, tatizo mmeclem. English is our second language and used for instruction in many areas. So sio kila mtu anakitumia na sio kipaumbele cha kila mtu kulingana na mazingira au au aina ya kazi yake
We jinga kweli kwan hao wanaoongea hicho kiingereza kizuri siniwa Tanzania au unahisi ni wakenya? Tatizo makenya huwa mnamadharau sana nioko nyie 🚮
@@jofreykabobe Pressure will kill you bure bro..elewa comment plz and stop barking like a pregnant dog😁😁😁😁
@@CharlesLeoMgaya I'm not here to answer silly questions..my mind is busy
Mashaallaah kijana mdogo amejitahidi kimaisha pongez broo❤❤
Agreed
Glagy ni msenge
Kipindi kizuri ila wadada kauli zao sio Nzuri hata kama kaka ujampenda tafuta lugha Nzuri ya kumwambia, wenyewe mmeenda kutafuta wachumba imagine mwanaume anapata picha gani mnakosa wachumba kwa kauli zenu mbaya.
Wewe johari utaishia pabaya kila mtu kwako mubaya
Halafu kipind chote yupo chuo hajakutana na wasomi wenzieee. Pyeeee
Kila mwanada Amepewa zawadi ya mafanikio hapa duniani, (is Up t you) kugundua kile mwenyezimungu alichokubariki nacho. Waswahili wanasema kufeli shule sio kufeli kimaisha, najitolea mafano Mimi, sijapata leli ya juu lakini mungu amenijalia naishi US na namiliki magari 3 yakubeba mizigo ( Semi-Track 53ft) maiya yanaenda na riski inapatikan, Tumuweke mungu mbele na jiamini katika kutafuta.
Acha uongo ww siunaka bonyokwa Kwa mama Amina bonge mchoma vitumbua
Let me advice women one thing a man is not about school its about how he makes decisions and he stands on his responsibility
You are very Right
Shout it again dogo 😢
Bro, mwanamke akikuzidi elimu pana changamoto kina namna fulani labda huyo mwanamke awe na misingi fulani, wengi watazingua.
That's all wamesoma hawajui wamesoma nini Kuko na tofauti kati ya elimu na shule mmoja anadai anataka elimu kubwa elimu kubwa Iko Kwa mwenye mafanikio makubwa shule kubwa labda ndo wanataka kina Glad asome university waje kuuza mchicha sokoni we no job
He is not a man who can stay with one woman for long ..
Diva , allya na Gara B nimewapenda bure endeleeni kuwapa shule hao wadada bado wanaakili za kitoto sana
Mungu wangu madem jmn munapoteza bahati hivi for real munaboa kwa kwel
Jitihada huzidi elimu, wow what a point👍👍👍👍
Aki huyu jamaa ako Sawa l am from Kenya... Nimemlike
Mnakuwa na vigezo visivyonamaana mtakaa sana apo adii mchunde sasa uyoo glad si ungepata uyoo msomi mwenzio uko chuo lohhh
Huyu ni mwanaume wa nguvu!!! Pole kwao. Kwani hayo.makabila mengine hayana wachoyo? Waongo? Wahuni? Wenye gubu? Mahusiano ni risks. Wachagueee
Wapare hawafai hatatone
Ninajivunia kua mpare nahata kama mnatuhukumu Hainan shida ndio maana Yesu alikufa kwa ajili yetu
Japo me mbulu lakn so wapare wabahil na wachoyo wapo kila kabila
"Degreeee in loooouw" 😂😂😂😂😂😂😂😂 LMAO
Nimecheka
😂😂😂😂 ata kama angeishia darasa la piliii
😂😂😂😂😂huyu Dem vipi😂😂😂😂
Sio vizuri kumjudge mtu kwa kabila analotoka, sio sawa, @Johari huyu dada hapo anapoteza muda tu, hakuna mwanaume atapenda attitude yake.
Umechemka sana best,Pole sana tena hao wasomi ndio mapuuzi balaa japo siyo wote ila wengi ni matatizo matupu
Shout-out to all chuga girl's, Aliyah your the best ever lovely 🌹🌹🌹
Huyo glad ana kingereza kigumu na kizito et advocate to be ovyooo😂
Aaliya you're right my sister I like your point I perfect 🎉❤#aliya
Hapo hakuna mwamamke wa kujenga familia pamoja na kutafut maisha wote hao ni wanawake wa starehe
Kikubwa ni kufanya maisha yaende poa sio level ya elimu ingekuw hivo hata wazaz wet wadingekuwa na familia.......🎉
Aseee uyu dada mbona hajielewi hivi yan anajiona mzur sana😂😂😂 wallah atasugua sana gaga apo na hata akipata mtu hawezi dumu nae kama mambo yenyew ndo hayo
Ak sjui anajionaj uy Johar 😂😂😂😂 anajiona mzur ht haoni km sura n ya kizee mungu nisamehee
Watu wanaangalia hard working person kumbe wengne wanaangalia education level okeeeeeeee
Nyie subirini mda wa "age go" ufike sio kwakumnyambua hivyo😂😂 😂
Hakika hakuna mwanamke mjinga kama mwenye elimu sababu hawez ishi na mtu ambaye hana elimu ila nwanaume anaweza kuishi na mwanamke ambaye hanaelimu na maisha yakaenda vizur tu
sio wote rafiki
Ukiandika hana akili... unakosea. Akili sio ya darasani, ni kile linachobaki ukiondoa ulivyojifunza. Kuna watu wana akili lakini hawajapata nafasi ya kujifunza yaan kwenda shule.
I presume that men & women ni tofauti sana, a man anaeza oa mwanamke ambae hajasoma kabisa coz maybe labda huyu mwanaume anafeel great coz mkewe yupo chini yake in education n stuff but for the case of respects and blabla it's better tu mwanamke aliesoma aolewe na mwanaume aliesoma kama yeye au awe amemzidi........sometimes wanawake waliosoma wanakataa wanaume ambao hawajasoma coz maybe ya inferiority complex I don't know 😔
Nimempenda uyo kaka yuko very cool🥰
Gladys Glady Glady nimekuita mara tatu dada litakukuta jambo walah omba Mungu akusaidie hao wasomi unaowasema wanaakili tuko nao hapa wanakusubir wakupe unachostahili mwehu wewe na raha ya elimu ikukomboe wewe umegraduate dada hatukatai ila huna akili elimu haijakukomboa
Hao wasichana ni wapuzi atangoja sana kaka al the best from kenya.😢
Kizungu anaongea ya class one apa Kenya alafu anaringa 😂
Hawa wadada ndo mana hawana wachumba wanajaji sanaaa
They don't know what they want. Nkt!
Hiki kipindi tu, hamna msisimko wa kimapenzi haswa kutoka kwa wanadada. 🇰🇪 Kama wapenda Kiswahili changu gonga like 😛
Huyu johari jmn akiolewa ni bahati aiseeeeh😂😂😂
Huyu mwana shelia hana akili😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 akili original mtu anazaliwa nayo haipati dalasani😮😮😮
Mimi ninamashaka na Taaluma yake, Anadhani Mume ni Vyeti, lahasha
johar jiangalie sana mwaya .....inshot jirekebishe 😐sijapenda🙂
Yahn Anaboa anajifanya mzuri mjuaji huyo ataangukia jumba bovu
Wanawake hawajui wanachotaka
😂😂😂😂eti mwanasheria sa mbna ukupata mchumba uko Kwa wenye elim wezako ukaja kujionyesha uku
Huyu demu hajitambui
Kabisaa nivijingaa ivyo vidada
Hajitambui Kweliii
Waliishia kumgonga tu na kusepa
Kwa kauli hizi na dharau hizi ni halali waje hapo, huku mtaani hawatoboi😢
😂😂😂😂😂
😄😄😄😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Kabisa
Huyo dada anayejiita mwanasheria to be hana elimu yoyote, na ndiyo maana hajui aseme nini na asiseme nini. Kuelimika ni zaidi ya makaratasi
Alivyo vaa ubuzi tayari
hao ndo wale wanodanganywa wakachezewa😅😅
@@razoindeed8228ndo alishachezwa
Heeee huyu Glad kiazi kweli.
Johari ndio tahira kabisa
😅😅😅😅 yaan tena kiazi mbatata
Tena kiazi mviringo yaani sifuri kabisa
😂😂tz simna mambo
@@zanurahmaulid2665😂😂😂😂
@@agnesjohn9382😂😂😂
There is a big difference between going to school and being Educated. Dear ladies.. Marriages has nothing to do with education rather than skills,and capacity to work and make the life together. And if you don't like someone don't crush anyone based on kabila... Tanzania ni moja na hata kabila lako sio kamilifu vinginevyo ungeshapata mwanaume wa kabila lako Ukaolewa usije kwenye podium. Period
Exactly, 💯
Speak louder dear❤
Exactly 💯
Uyo grad n fala hujui ambao hawajasoma ndio wako na Hela na ndio wanawaajiri khee uyo n tahira nakaadhirisha kabisa 😂😂
Huyu mkaka nipe no.yake mi kwanza nimempenda hyo elimu peleka kule😊
Ninayo mim
@@dudumankidume3046 nipe
Waaaaaoooooh mpare wetu ... Achana nahilo linalo sema limwanasheria kichwani hamna kitu
Tehena Mche ahoo vamshigheki Mwana wetu😢😢
Tehena kabisa! Vose aho ni varundu!!
Degree in law😂😂😂. Angesema Bachelor of Law. Akili hana hata moja
Me mwenyewe nimemchora hatar😂
Namshangaa pia 😂😂😂
Bachelor's Degree in Law
Hmn elimu ni peace of ppr tu bt maisha anayo so ww ishi nae tu kikubwa anajishughulisha
hamna kitu mle kipa katoka😅
Saiv namuelewa mzee wangu aliniambia nioe mwanamke mwenye akili na c mwenye elim
Ubarikiwe mtumishi kwa elimu ako nimejifunza mengi kwako kweriiiiiii
Huyu dada anataka wa diploma hata kiingereza hajui bure kabisaaa
Hahaha😂
hyo sound inatakiwa ipungue kdgo wakat wa mazungumzo ili iclete kero kwa wackilizaji na watazamaji❤❤
Kadeti na babà wako
Hahahaaa umetisha
Mnene juu chin mwembamba lkn ktembea hujui shenz😂😂😂
Na tumbo kama kameza chura😅😅
@@rosemahenge9071 apo sasa🤣🤣
Am a business woman ed I like business man to join me,,,huyu jamaa ako sawa
Huyo Glad sheria yake haina akili ndani hvo hana namna yeyote ya kuongelea elimu na mahusiano.
Kama alitaka mwenye elimu aende chuo akadate na lecture
🤣🤣🤣
😂😂😂
Mc garab una uelewa mkubwa sana shout-out kwako❤❤❤
Vidadz vya humu mnavitoa wapi mbona havijielewi kabisa
Zariiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anataka wenye kifuw alafu mwembamba😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 ye mwenyew hajuw anataka nini😂😂😂😂😂
Mr right ya Kenya ndo kumejaa vituko. Mr right unachanwa na kuchanika😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Na hiko kicroptop cha glady 😂😂😂😂 na anavyojishajishaua sasa
😂😂😂😂advocate na uvaaji huo hata elimu haijamkomboa😅
Ila jmn uyo glad ndio kasabish wenzie wazime taa ila kiukweli uyo mkk ni mzr mpole mstarabu mpk raha mrefu afu mfanya biashara mm nampnda kbs🥰🥰💋💋kaka krb kwangu
Muhimu nikuwa na mtu anae jua kutafuta coz ukimpata anajua kutafuta hauwezi lala njaa na kufa maskini bt unaweza fuata alie soma lkn awe fool, lazzy na hajui kutafuta pia. Elimu humpa mtu ufahamu lkn jitihada humfanya mtu atimize ndoto zake.
True kabsa wadada wa saiv wanapenda sana pesa na kuslay hawana jipya
Yeye anataka elimu hajasema anataka hela
❤ Jmn ngeondoka nae jaman daah ao wadada wengine bhana washenz daah😂😂😊
Huyu mdada hana akiri atasubili sana kumpata anaye mtaka kwanza sura yake mbaya kwakwel vibaya vinalinga daaah
😂😂😂😂😂😂😂
Mbona Yesu alisahau kututonya kama degree tutaendanazo ktk uzima wa milele .....!!!😮😮
😂😂😂😂😂
🤣 🤣 Kwani hapa wanaona kweli jamani? Niulize ndo nifate maelekezo😂😂
Ndio wanaowana, ila sio wote ni bahati sana
Thank you 🙏 alliya na diva ❤❤❤
Hivi huyu dada anaitwa Johari mbona ako na maringo ivi😏
Aliya kweli Leo mmeona kitu kaka ht mm niliona Hana njaa
Yan kama huyo anaesema nahitaj educated huko chuon hakuona wanaume 😂😂
🤣🤣🤣kazi iko
Hapo sasa
Walimla na kumuacha
Mwanasheria kingeleza kibovu, mentality na reasons za wanawake mbovu, wanawake wenyewe wabovu si wakaumbe wanaume wao😂
😅Wakanunue midoli wamalize haja zao.
Hahaha 😆 😂 😆 mdoli tena
Kusema kwel bhana Mrs Right wabongo wanalinga sana yaan sababu zao hazina maana kwakwel hawa wanashida kweli ya mume? Yaan wa kenya wapopoa sana
Wadada ebu tujiheshimu jamani,tue na kiasi,nakuwaje mnongea sanaa kwenye macho ya watu ivoo,,mmh
Aki hio kizungu imeongewa na anae jiita mwana sheria inatia huzuni nikama form 1 kwanza kama mwanangu wa class 5 ndo anaongea ivo🤣🤣🤣🤣🤣
😂
Huyu johari hajielewi yeye kila kabila baya, basi akazae kabila lake limuowe😅😅
Mc hakikisha Johari asipatwe mpk nifike Mimi hapo....keep her for me ,keep her on the shelf per me brethren .❤❤❤❤❤
Ila wapare kweli ni bahili sana wala siwashau.jaman wanaume wa kipare punguzeni ubahili
Hahahahaaaa sio kwelii😅😅
Kwanza Saiz kinachoangaliw ni maokoto tu, kina baba levo wameishia la saba B lkn kimaisha wanaendelea pw, ila hako nahisi kwanz hakajaanz ata kujitegemea bd kanaish kwao na maisha hakajayajua bd
Yupo simple sana huyu kaka💥
Thank you alliya 💜💜💜💜💜💜
Alliya una akili sana! Elimu sio akili, kila mqanadamu ana utashi wake. Matajiri wengi na wafanyabiashara wakubwa elimu zao ni ndogo lakn kwa vile wana vision maisha yanaendalelea💪
Wakuu nyie mnaenda huku kudhalilishwa kwenye National Tv ...aseee 😂😂😂😂
Advocate tu bi 😂 huyu mbona kama yupo debate ya primary ..English gani sasa 😂huyu akiwa mwanasheria wako waandae ndugu zako wachange mzigo wa dhamana😂😂
Tena debate za darasa la nne nazikumbuka tulikuwa tunaongea english kama yake mada za water is better than fire
@@philemonmagesa5548 mule mule🤣 Yani hata nguvu ya kumhoji huyo kaka kwa hiyo English katoa wapi..
Mbona mr.Right wanakataliwa jamani😢
Kwa7bu hao wadada hawana akili
Nimekupenda bule Aliya ,siyo wote wenye elimu wamefanikiwa, 18:25
Glad na johar ni micharakaa mwanasheria hawez kuwa na akili fupi hivyoo
Huyo Mwanasheria Koko, Msomi anefwata Nini hapo?
Na huo Glad kama ni Mwanasheria nguo Gani hizo amevaa. Mbona haonyeshi kuwa ni Mwanasheria aache Dharau, pia asidhalilushe Taaluma ya Watu.
Yn wnajishauwa alafubsura chafu ss si ungeebda uko chuoni ukatafute msomiwenzako kwnn unakuja hp kuvhagulwa km mandazi kenge ww ungemzur au iyo elim yk ndo kuoendwa ungefika hp
Hawa yan kupata wanaume wa maana hawatapata wataishia kuchezewa tu
Kabisa
Sura bati kwamba elimu elimu inkundo😂😂😂
Wapare wabahili ndio😂😂😂😂uchune tuu bila mpangilio iyo kwioo,,utuache wapare tuliza komwe lako apo
Hana lolote hao
😂😂😂😂😂kingereza cha kudekia choo
Pumbavu kbsa na sura yake mbaya❤ka chuchunde
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hizi morning speech za form 1🙌🙌🙌🙌 ....poor English ma gal
Yaan jinga kweli
Unaweza ukawa umesoma lkn huna mafanikio so wanawake acheni kukariri siku hz elimu sio ishu tena ishu ni mafanikio success so Mr. right no 3 asee upo vzr elimu yako sio mbaya hayo mengine mshkuru Mungu
❤😂 kweli Kuna mke apokweli😅
Hakuna kunamkeka tu apo
Jaman mwakahuu tofaut sana mamisi right wengi pisi mbovu😂😂 na Wana dharau sanA😮😢😮😢
🤣🤣🤣🤣yan dada johar Mmmh mtihani nilimuona toka kwa yule jamaa wa salon na bajaji lol.
Nipeni namba ya uyu Kaka ananifaa sana😍 Mtani wangu jamani❤️
Mwembamba chini😂😂😂😂😂🎉🎉
Nipeni number YA huyo kijana mtanashati Ramson😂❤
Huyo mwanasheria Ana kingereza kibaaauaaa😂
Johar unamkataa mwanaume mzuri. Hya subiria kituko
Jamani huyo jamaa Ako sawa na mm ubaya Niko kenya😢😢
Kwani diamond au Alikiba au harmonize wana elimu gani hawa madada hawajielewi kbsa
Big up sana dada dressed in red (Aelia)....una uelewa saana wa maisha-.....nimependa comments zako sana especially on level of education
Johar nae ni tahira aisee maisha rafik zako ukalinganishe nayo hovyo😏
wow exactly, elimu sio sana kwenye mahusiano cha msingi ni kwamba yule mtu unaekwenda nae yuko vip kimsimamo yaah inawezekana ako na low education but kwenye mipango na misimamo ake ako Smart sana kwa hiyo dada huyo akawasubili wenye wako kaa yeye yaani lavel yake ila atasubili sana ndo mana wanaumizwa sana hao daah.!
Mr.right ya kenya ipo hot sana kuliko hii
True
Kuma mamazenu wabongo nyinyi ni maboya sana
😢shida nini ?
Glady Sasaa anavyoringa sura ngumu kama uvungu waa......Akafie uko hana mvuto😂😂
Ila wewe mungu anakuona walaah 😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Me nimempenda Sana