SIJAKUPENDA KWANZA UNATIA HURUMA, JIREKEBISHE | MWAMBA HANA BAHATI KABISA - HELLO MR. RIGHT

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 986

  • @Officialshazzy1836
    @Officialshazzy1836 9 หลายเดือนก่อน +29

    ❤❤❤huyu kaka ni mpole saana na anaheshima zake. Am a Kenyan and i want him ,am ready to have hime , yaani namtakaaa❤❤❤❤

    • @choroboy1367
      @choroboy1367 9 หลายเดือนก่อน +2

      Njoo tupo sisi😄😀

    • @SerenakaremboDzombo
      @SerenakaremboDzombo 8 หลายเดือนก่อน

      Si pia napenda sana mwanaume anakuwanga simple alafu Tz men are gud if u get matured man sijui niishie huko😂😂😂😂

  • @bettiejoy-mtotowamama
    @bettiejoy-mtotowamama 9 หลายเดือนก่อน +52

    Huyo kijana ningekuwa hapo namchagua anaonekana mtu simple sana , all the best Kaka❤

    • @MariamnazykiringiKiringi
      @MariamnazykiringiKiringi 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 mm ningebeba nkasepa

    • @greggoryisaac8485
      @greggoryisaac8485 6 หลายเดือนก่อน +1

      Pliz bety naitaji kuwa Mr right

    • @bettiejoy-mtotowamama
      @bettiejoy-mtotowamama 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@greggoryisaac8485 kwa hio wataka nikusaindie aje kaka?

    • @bettiejoy-mtotowamama
      @bettiejoy-mtotowamama 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@greggoryisaac8485nikusaindie aje Babaa?

    • @alicedamas484
      @alicedamas484 6 หลายเดือนก่อน

      Wapare ni wabahili kweli jamani

  • @leilasarai
    @leilasarai 10 หลายเดือนก่อน +24

    All the presenters speak fluent English wow...Kiingereza chao kinakaa tofauti sana na watanzania wengine and I love it..Keep it up guys show yenu n moto kuliko ya apa kwetu Kenya😂

    • @ameenaameena4907
      @ameenaameena4907 9 หลายเดือนก่อน +1

      We ni mkwel love

    • @CharlesLeoMgaya
      @CharlesLeoMgaya 9 หลายเดือนก่อน +3

      Watanzania gani hao unaokutananao ambao hawaongei vizuri, tatizo mmeclem. English is our second language and used for instruction in many areas. So sio kila mtu anakitumia na sio kipaumbele cha kila mtu kulingana na mazingira au au aina ya kazi yake

    • @jofreykabobe
      @jofreykabobe 9 หลายเดือนก่อน +1

      We jinga kweli kwan hao wanaoongea hicho kiingereza kizuri siniwa Tanzania au unahisi ni wakenya? Tatizo makenya huwa mnamadharau sana nioko nyie 🚮

    • @leilasarai
      @leilasarai 9 หลายเดือนก่อน

      @@jofreykabobe Pressure will kill you bure bro..elewa comment plz and stop barking like a pregnant dog😁😁😁😁

    • @leilasarai
      @leilasarai 9 หลายเดือนก่อน +2

      @@CharlesLeoMgaya I'm not here to answer silly questions..my mind is busy

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 10 หลายเดือนก่อน +26

    Mashaallaah kijana mdogo amejitahidi kimaisha pongez broo❤❤

    • @grace735
      @grace735 10 หลายเดือนก่อน

      Agreed

    • @PriscusTesha-g2q
      @PriscusTesha-g2q 8 หลายเดือนก่อน

      Glagy ni msenge

  • @bhokesamo6369
    @bhokesamo6369 10 หลายเดือนก่อน +42

    Kipindi kizuri ila wadada kauli zao sio Nzuri hata kama kaka ujampenda tafuta lugha Nzuri ya kumwambia, wenyewe mmeenda kutafuta wachumba imagine mwanaume anapata picha gani mnakosa wachumba kwa kauli zenu mbaya.

    • @JosephKingwere
      @JosephKingwere 6 หลายเดือนก่อน +3

      Wewe johari utaishia pabaya kila mtu kwako mubaya

    • @hurumamlawa5253
      @hurumamlawa5253 5 หลายเดือนก่อน +1

      Halafu kipind chote yupo chuo hajakutana na wasomi wenzieee. Pyeeee

  • @hodgebukaya5112
    @hodgebukaya5112 8 หลายเดือนก่อน +6

    Kila mwanada Amepewa zawadi ya mafanikio hapa duniani, (is Up t you) kugundua kile mwenyezimungu alichokubariki nacho. Waswahili wanasema kufeli shule sio kufeli kimaisha, najitolea mafano Mimi, sijapata leli ya juu lakini mungu amenijalia naishi US na namiliki magari 3 yakubeba mizigo ( Semi-Track 53ft) maiya yanaenda na riski inapatikan, Tumuweke mungu mbele na jiamini katika kutafuta.

    • @FabianElenest
      @FabianElenest 7 หลายเดือนก่อน

      Acha uongo ww siunaka bonyokwa Kwa mama Amina bonge mchoma vitumbua

  • @Grace_Ministry_International
    @Grace_Ministry_International 10 หลายเดือนก่อน +80

    Let me advice women one thing a man is not about school its about how he makes decisions and he stands on his responsibility

    • @elizabethkalinga0822
      @elizabethkalinga0822 10 หลายเดือนก่อน +1

      You are very Right

    • @janetnyanchera1252
      @janetnyanchera1252 9 หลายเดือนก่อน

      Shout it again dogo 😢

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb 9 หลายเดือนก่อน +1

      Bro, mwanamke akikuzidi elimu pana changamoto kina namna fulani labda huyo mwanamke awe na misingi fulani, wengi watazingua.

    • @arolamuganyizi5972
      @arolamuganyizi5972 8 หลายเดือนก่อน

      That's all wamesoma hawajui wamesoma nini Kuko na tofauti kati ya elimu na shule mmoja anadai anataka elimu kubwa elimu kubwa Iko Kwa mwenye mafanikio makubwa shule kubwa labda ndo wanataka kina Glad asome university waje kuuza mchicha sokoni we no job

    • @JMMM7788
      @JMMM7788 8 หลายเดือนก่อน

      He is not a man who can stay with one woman for long ..

  • @marthalohay4354
    @marthalohay4354 10 หลายเดือนก่อน +20

    Diva , allya na Gara B nimewapenda bure endeleeni kuwapa shule hao wadada bado wanaakili za kitoto sana

  • @zenababdalla5380
    @zenababdalla5380 10 หลายเดือนก่อน +24

    Mungu wangu madem jmn munapoteza bahati hivi for real munaboa kwa kwel

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 10 หลายเดือนก่อน +9

    Jitihada huzidi elimu, wow what a point👍👍👍👍

  • @abigaelmosi452
    @abigaelmosi452 7 หลายเดือนก่อน +3

    Aki huyu jamaa ako Sawa l am from Kenya... Nimemlike

  • @MariamJoseph-p4x
    @MariamJoseph-p4x 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mnakuwa na vigezo visivyonamaana mtakaa sana apo adii mchunde sasa uyoo glad si ungepata uyoo msomi mwenzio uko chuo lohhh

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 10 หลายเดือนก่อน +16

    Huyu ni mwanaume wa nguvu!!! Pole kwao. Kwani hayo.makabila mengine hayana wachoyo? Waongo? Wahuni? Wenye gubu? Mahusiano ni risks. Wachagueee

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 9 หลายเดือนก่อน

      Wapare hawafai hatatone

    • @alisonikihedu9614
      @alisonikihedu9614 8 หลายเดือนก่อน +2

      Ninajivunia kua mpare nahata kama mnatuhukumu Hainan shida ndio maana Yesu alikufa kwa ajili yetu

    • @JosephKaka-s4k
      @JosephKaka-s4k 6 หลายเดือนก่อน

      Japo me mbulu lakn so wapare wabahil na wachoyo wapo kila kabila

  • @aud548
    @aud548 10 หลายเดือนก่อน +31

    "Degreeee in loooouw" 😂😂😂😂😂😂😂😂 LMAO

    • @JastiniTimoteo
      @JastiniTimoteo 9 หลายเดือนก่อน

      Nimecheka

    • @EvaGwasma
      @EvaGwasma 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 ata kama angeishia darasa la piliii

    • @bhokejaqulineelias4197
      @bhokejaqulineelias4197 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂huyu Dem vipi😂😂😂😂

  • @honorykwahhay4364
    @honorykwahhay4364 9 หลายเดือนก่อน +5

    Sio vizuri kumjudge mtu kwa kabila analotoka, sio sawa, @Johari huyu dada hapo anapoteza muda tu, hakuna mwanaume atapenda attitude yake.

  • @MaryMacha-b1w
    @MaryMacha-b1w 10 หลายเดือนก่อน +6

    Umechemka sana best,Pole sana tena hao wasomi ndio mapuuzi balaa japo siyo wote ila wengi ni matatizo matupu

  • @FaithSamuel-yc7dw
    @FaithSamuel-yc7dw 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shout-out to all chuga girl's, Aliyah your the best ever lovely 🌹🌹🌹

  • @faidhacute
    @faidhacute 10 หลายเดือนก่อน +6

    Huyo glad ana kingereza kigumu na kizito et advocate to be ovyooo😂

  • @UpendoWill
    @UpendoWill 3 หลายเดือนก่อน +1

    Aaliya you're right my sister I like your point I perfect 🎉❤#aliya

  • @ezekiamwasanyila7279
    @ezekiamwasanyila7279 8 หลายเดือนก่อน +5

    Hapo hakuna mwamamke wa kujenga familia pamoja na kutafut maisha wote hao ni wanawake wa starehe

  • @DismasRomani
    @DismasRomani 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kikubwa ni kufanya maisha yaende poa sio level ya elimu ingekuw hivo hata wazaz wet wadingekuwa na familia.......🎉

  • @faridalihondo3322
    @faridalihondo3322 10 หลายเดือนก่อน +35

    Aseee uyu dada mbona hajielewi hivi yan anajiona mzur sana😂😂😂 wallah atasugua sana gaga apo na hata akipata mtu hawezi dumu nae kama mambo yenyew ndo hayo

    • @MariamnazykiringiKiringi
      @MariamnazykiringiKiringi 7 หลายเดือนก่อน +2

      Ak sjui anajionaj uy Johar 😂😂😂😂 anajiona mzur ht haoni km sura n ya kizee mungu nisamehee

  • @emilianalupenza3977
    @emilianalupenza3977 10 หลายเดือนก่อน +9

    Watu wanaangalia hard working person kumbe wengne wanaangalia education level okeeeeeeee

  • @carolbenny3302
    @carolbenny3302 9 หลายเดือนก่อน +2

    Nyie subirini mda wa "age go" ufike sio kwakumnyambua hivyo😂😂 😂

  • @lucasmalale
    @lucasmalale 9 หลายเดือนก่อน +21

    Hakika hakuna mwanamke mjinga kama mwenye elimu sababu hawez ishi na mtu ambaye hana elimu ila nwanaume anaweza kuishi na mwanamke ambaye hanaelimu na maisha yakaenda vizur tu

    • @maimunaussi-lr3ze
      @maimunaussi-lr3ze 9 หลายเดือนก่อน +1

      sio wote rafiki

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb 9 หลายเดือนก่อน +2

      Ukiandika hana akili... unakosea. Akili sio ya darasani, ni kile linachobaki ukiondoa ulivyojifunza. Kuna watu wana akili lakini hawajapata nafasi ya kujifunza yaan kwenda shule.

    • @NeemaShirima-ws8nf
      @NeemaShirima-ws8nf 9 หลายเดือนก่อน

      I presume that men & women ni tofauti sana, a man anaeza oa mwanamke ambae hajasoma kabisa coz maybe labda huyu mwanaume anafeel great coz mkewe yupo chini yake in education n stuff but for the case of respects and blabla it's better tu mwanamke aliesoma aolewe na mwanaume aliesoma kama yeye au awe amemzidi........sometimes wanawake waliosoma wanakataa wanaume ambao hawajasoma coz maybe ya inferiority complex I don't know 😔

  • @pendogodson9880
    @pendogodson9880 9 หลายเดือนก่อน +4

    Nimempenda uyo kaka yuko very cool🥰

  • @rebecca-op7mx
    @rebecca-op7mx 9 หลายเดือนก่อน +4

    Gladys Glady Glady nimekuita mara tatu dada litakukuta jambo walah omba Mungu akusaidie hao wasomi unaowasema wanaakili tuko nao hapa wanakusubir wakupe unachostahili mwehu wewe na raha ya elimu ikukomboe wewe umegraduate dada hatukatai ila huna akili elimu haijakukomboa

  • @dimbwidimbwi
    @dimbwidimbwi 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hao wasichana ni wapuzi atangoja sana kaka al the best from kenya.😢

  • @liliankay5424
    @liliankay5424 10 หลายเดือนก่อน +7

    Kizungu anaongea ya class one apa Kenya alafu anaringa 😂

  • @Joyrah
    @Joyrah 9 หลายเดือนก่อน +6

    Hawa wadada ndo mana hawana wachumba wanajaji sanaaa

  • @motivationalit
    @motivationalit 4 หลายเดือนก่อน +3

    They don't know what they want. Nkt!
    Hiki kipindi tu, hamna msisimko wa kimapenzi haswa kutoka kwa wanadada. 🇰🇪 Kama wapenda Kiswahili changu gonga like 😛

  • @Specioza-ss
    @Specioza-ss 8 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu johari jmn akiolewa ni bahati aiseeeeh😂😂😂

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 10 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu mwana shelia hana akili😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 akili original mtu anazaliwa nayo haipati dalasani😮😮😮

    • @elizabethkalinga0822
      @elizabethkalinga0822 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mimi ninamashaka na Taaluma yake, Anadhani Mume ni Vyeti, lahasha

  • @Joharibashir.193
    @Joharibashir.193 10 หลายเดือนก่อน +18

    johar jiangalie sana mwaya .....inshot jirekebishe 😐sijapenda🙂

    • @MwaijaSeiph
      @MwaijaSeiph 5 หลายเดือนก่อน

      Yahn Anaboa anajifanya mzuri mjuaji huyo ataangukia jumba bovu

    • @EllyMuro26
      @EllyMuro26 3 หลายเดือนก่อน

      Wanawake hawajui wanachotaka

  • @FatmaAbdallah-z5x
    @FatmaAbdallah-z5x 10 หลายเดือนก่อน +22

    😂😂😂😂eti mwanasheria sa mbna ukupata mchumba uko Kwa wenye elim wezako ukaja kujionyesha uku

    • @collinsbella8360
      @collinsbella8360 9 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu demu hajitambui

    • @hellenjulius7790
      @hellenjulius7790 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisaa nivijingaa ivyo vidada

    • @janethmbaga3515
      @janethmbaga3515 9 หลายเดือนก่อน

      Hajitambui Kweliii

    • @David-if6nk
      @David-if6nk 5 หลายเดือนก่อน

      Waliishia kumgonga tu na kusepa

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 10 หลายเดือนก่อน +27

    Kwa kauli hizi na dharau hizi ni halali waje hapo, huku mtaani hawatoboi😢

    • @swaibamrutu5
      @swaibamrutu5 10 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂

    • @WinnieBenard-x5c
      @WinnieBenard-x5c 9 หลายเดือนก่อน +1

      😄😄😄😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @witnessmallya5114
      @witnessmallya5114 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @beathaambrose1190
      @beathaambrose1190 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa

  • @samsonzablon
    @samsonzablon 10 หลายเดือนก่อน +15

    Huyo dada anayejiita mwanasheria to be hana elimu yoyote, na ndiyo maana hajui aseme nini na asiseme nini. Kuelimika ni zaidi ya makaratasi

    • @christineneema3008
      @christineneema3008 10 หลายเดือนก่อน +2

      Alivyo vaa ubuzi tayari

    • @razoindeed8228
      @razoindeed8228 9 หลายเดือนก่อน +1

      hao ndo wale wanodanganywa wakachezewa😅😅

    • @David-if6nk
      @David-if6nk 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@razoindeed8228ndo alishachezwa

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 10 หลายเดือนก่อน +25

    Heeee huyu Glad kiazi kweli.
    Johari ndio tahira kabisa

    • @zanurahmaulid2665
      @zanurahmaulid2665 9 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅😅 yaan tena kiazi mbatata

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 9 หลายเดือนก่อน +1

      Tena kiazi mviringo yaani sifuri kabisa

    • @janetnyanchera1252
      @janetnyanchera1252 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂tz simna mambo

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@zanurahmaulid2665😂😂😂😂

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@agnesjohn9382😂😂😂

  • @olympiamtenga8761
    @olympiamtenga8761 10 หลายเดือนก่อน +34

    There is a big difference between going to school and being Educated. Dear ladies.. Marriages has nothing to do with education rather than skills,and capacity to work and make the life together. And if you don't like someone don't crush anyone based on kabila... Tanzania ni moja na hata kabila lako sio kamilifu vinginevyo ungeshapata mwanaume wa kabila lako Ukaolewa usije kwenye podium. Period

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 10 หลายเดือนก่อน +5

    Uyo grad n fala hujui ambao hawajasoma ndio wako na Hela na ndio wanawaajiri khee uyo n tahira nakaadhirisha kabisa 😂😂

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s 10 หลายเดือนก่อน +12

    Huyu mkaka nipe no.yake mi kwanza nimempenda hyo elimu peleka kule😊

  • @janethmbaga3515
    @janethmbaga3515 9 หลายเดือนก่อน +3

    Waaaaaoooooh mpare wetu ... Achana nahilo linalo sema limwanasheria kichwani hamna kitu

    • @beathaambrose1190
      @beathaambrose1190 8 หลายเดือนก่อน

      Tehena Mche ahoo vamshigheki Mwana wetu😢😢

    • @clevermngao7565
      @clevermngao7565 7 หลายเดือนก่อน

      Tehena kabisa! Vose aho ni varundu!!

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 10 หลายเดือนก่อน +37

    Degree in law😂😂😂. Angesema Bachelor of Law. Akili hana hata moja

    • @mosesmligo9614
      @mosesmligo9614 10 หลายเดือนก่อน

      Me mwenyewe nimemchora hatar😂

    • @GraceKanu-lr6yv
      @GraceKanu-lr6yv 10 หลายเดือนก่อน

      Namshangaa pia 😂😂😂

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 10 หลายเดือนก่อน

      Bachelor's Degree in Law

    • @alfredrweyemamu7807
      @alfredrweyemamu7807 9 หลายเดือนก่อน +1

      Hmn elimu ni peace of ppr tu bt maisha anayo so ww ishi nae tu kikubwa anajishughulisha

    • @razoindeed8228
      @razoindeed8228 9 หลายเดือนก่อน

      hamna kitu mle kipa katoka😅

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 10 หลายเดือนก่อน +17

    Saiv namuelewa mzee wangu aliniambia nioe mwanamke mwenye akili na c mwenye elim

    • @enockabumba7513
      @enockabumba7513 9 หลายเดือนก่อน

      Ubarikiwe mtumishi kwa elimu ako nimejifunza mengi kwako kweriiiiiii

  • @Grace_Ministry_International
    @Grace_Ministry_International 10 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu dada anataka wa diploma hata kiingereza hajui bure kabisaaa

  • @agnesgeorge6818
    @agnesgeorge6818 10 หลายเดือนก่อน +9

    hyo sound inatakiwa ipungue kdgo wakat wa mazungumzo ili iclete kero kwa wackilizaji na watazamaji❤❤

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s 10 หลายเดือนก่อน +6

    Mnene juu chin mwembamba lkn ktembea hujui shenz😂😂😂

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 10 หลายเดือนก่อน +1

      Na tumbo kama kameza chura😅😅

    • @faithkaganda-k3s
      @faithkaganda-k3s 10 หลายเดือนก่อน

      @@rosemahenge9071 apo sasa🤣🤣

  • @EdnahMutindi
    @EdnahMutindi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Am a business woman ed I like business man to join me,,,huyu jamaa ako sawa

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 10 หลายเดือนก่อน +14

    Huyo Glad sheria yake haina akili ndani hvo hana namna yeyote ya kuongelea elimu na mahusiano.
    Kama alitaka mwenye elimu aende chuo akadate na lecture

  • @FaithSamuel-yc7dw
    @FaithSamuel-yc7dw 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mc garab una uelewa mkubwa sana shout-out kwako❤❤❤

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 10 หลายเดือนก่อน +7

    Vidadz vya humu mnavitoa wapi mbona havijielewi kabisa

  • @Realme-xm3sh
    @Realme-xm3sh 10 หลายเดือนก่อน +5

    Zariiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anataka wenye kifuw alafu mwembamba😂😂😂😂😂😂

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 ye mwenyew hajuw anataka nini😂😂😂😂😂

  • @fayzahra8327
    @fayzahra8327 10 หลายเดือนก่อน +7

    Mr right ya Kenya ndo kumejaa vituko. Mr right unachanwa na kuchanika😂😂😂😂😂😂😂

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 10 หลายเดือนก่อน +9

    Na hiko kicroptop cha glady 😂😂😂😂 na anavyojishajishaua sasa

    • @kalundehassan9121
      @kalundehassan9121 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂advocate na uvaaji huo hata elimu haijamkomboa😅

    • @Officialmonah4475
      @Officialmonah4475 5 หลายเดือนก่อน

      Ila jmn uyo glad ndio kasabish wenzie wazime taa ila kiukweli uyo mkk ni mzr mpole mstarabu mpk raha mrefu afu mfanya biashara mm nampnda kbs🥰🥰💋💋kaka krb kwangu

  • @fayzahra8327
    @fayzahra8327 10 หลายเดือนก่อน +8

    Muhimu nikuwa na mtu anae jua kutafuta coz ukimpata anajua kutafuta hauwezi lala njaa na kufa maskini bt unaweza fuata alie soma lkn awe fool, lazzy na hajui kutafuta pia. Elimu humpa mtu ufahamu lkn jitihada humfanya mtu atimize ndoto zake.

    • @faridalihondo3322
      @faridalihondo3322 10 หลายเดือนก่อน +1

      True kabsa wadada wa saiv wanapenda sana pesa na kuslay hawana jipya

    • @David-if6nk
      @David-if6nk 5 หลายเดือนก่อน

      Yeye anataka elimu hajasema anataka hela

  • @UpendoWill
    @UpendoWill 3 หลายเดือนก่อน +1

    ❤ Jmn ngeondoka nae jaman daah ao wadada wengine bhana washenz daah😂😂😊

  • @PeterMashauri-q2g
    @PeterMashauri-q2g 10 หลายเดือนก่อน +12

    Huyu mdada hana akiri atasubili sana kumpata anaye mtaka kwanza sura yake mbaya kwakwel vibaya vinalinga daaah

    • @BintiGMnini-gv6by
      @BintiGMnini-gv6by 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 10 หลายเดือนก่อน +7

    Mbona Yesu alisahau kututonya kama degree tutaendanazo ktk uzima wa milele .....!!!😮😮

    • @dgochuibra588
      @dgochuibra588 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @UpeenduIvantibu-dd6nh
    @UpeenduIvantibu-dd6nh 10 หลายเดือนก่อน +5

    🤣 🤣 Kwani hapa wanaona kweli jamani? Niulize ndo nifate maelekezo😂😂

    • @marthageorge5043
      @marthageorge5043 10 หลายเดือนก่อน

      Ndio wanaowana, ila sio wote ni bahati sana

  • @adelamartin1320
    @adelamartin1320 10 หลายเดือนก่อน +18

    Thank you 🙏 alliya na diva ❤❤❤

    • @emarsonjuma9045
      @emarsonjuma9045 10 หลายเดือนก่อน +2

      Hivi huyu dada anaitwa Johari mbona ako na maringo ivi😏

    • @HappyJohn-rj8co
      @HappyJohn-rj8co 10 หลายเดือนก่อน

      Aliya kweli Leo mmeona kitu kaka ht mm niliona Hana njaa

  • @AliceMwita
    @AliceMwita 10 หลายเดือนก่อน +4

    Yan kama huyo anaesema nahitaj educated huko chuon hakuona wanaume 😂😂

    • @glorytarimo1103
      @glorytarimo1103 8 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣kazi iko

    • @salmakivo4073
      @salmakivo4073 7 หลายเดือนก่อน

      Hapo sasa

    • @David-if6nk
      @David-if6nk 5 หลายเดือนก่อน

      Walimla na kumuacha

  • @bmtv7790
    @bmtv7790 10 หลายเดือนก่อน +8

    Mwanasheria kingeleza kibovu, mentality na reasons za wanawake mbovu, wanawake wenyewe wabovu si wakaumbe wanaume wao😂

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 10 หลายเดือนก่อน +1

      😅Wakanunue midoli wamalize haja zao.

    • @salomemwango1815
      @salomemwango1815 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hahaha 😆 😂 😆 mdoli tena

  • @Ostadhatnasma
    @Ostadhatnasma 10 หลายเดือนก่อน +3

    Kusema kwel bhana Mrs Right wabongo wanalinga sana yaan sababu zao hazina maana kwakwel hawa wanashida kweli ya mume? Yaan wa kenya wapopoa sana

  • @EsterMajaliwa-u3b
    @EsterMajaliwa-u3b 10 หลายเดือนก่อน +4

    Wadada ebu tujiheshimu jamani,tue na kiasi,nakuwaje mnongea sanaa kwenye macho ya watu ivoo,,mmh

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 10 หลายเดือนก่อน +5

    Aki hio kizungu imeongewa na anae jiita mwana sheria inatia huzuni nikama form 1 kwanza kama mwanangu wa class 5 ndo anaongea ivo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ollenshamba
    @ollenshamba 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu johari hajielewi yeye kila kabila baya, basi akazae kabila lake limuowe😅😅

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 10 หลายเดือนก่อน +7

    Mc hakikisha Johari asipatwe mpk nifike Mimi hapo....keep her for me ,keep her on the shelf per me brethren .❤❤❤❤❤

  • @KidawaSilayo
    @KidawaSilayo 10 หลายเดือนก่อน +8

    Ila wapare kweli ni bahili sana wala siwashau.jaman wanaume wa kipare punguzeni ubahili

    • @danielljohn
      @danielljohn 9 หลายเดือนก่อน

      Hahahahaaaa sio kwelii😅😅

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 10 หลายเดือนก่อน +3

    Kwanza Saiz kinachoangaliw ni maokoto tu, kina baba levo wameishia la saba B lkn kimaisha wanaendelea pw, ila hako nahisi kwanz hakajaanz ata kujitegemea bd kanaish kwao na maisha hakajayajua bd

  • @HappnessMtawa
    @HappnessMtawa 11 วันที่ผ่านมา

    Yupo simple sana huyu kaka💥

  • @adelamartin1320
    @adelamartin1320 10 หลายเดือนก่อน +6

    Thank you alliya 💜💜💜💜💜💜

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 8 หลายเดือนก่อน +2

    Alliya una akili sana! Elimu sio akili, kila mqanadamu ana utashi wake. Matajiri wengi na wafanyabiashara wakubwa elimu zao ni ndogo lakn kwa vile wana vision maisha yanaendalelea💪

  • @aud548
    @aud548 10 หลายเดือนก่อน +4

    Wakuu nyie mnaenda huku kudhalilishwa kwenye National Tv ...aseee 😂😂😂😂

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 10 หลายเดือนก่อน +5

    Advocate tu bi 😂 huyu mbona kama yupo debate ya primary ..English gani sasa 😂huyu akiwa mwanasheria wako waandae ndugu zako wachange mzigo wa dhamana😂😂

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 10 หลายเดือนก่อน +1

      Tena debate za darasa la nne nazikumbuka tulikuwa tunaongea english kama yake mada za water is better than fire

    • @neemaberny3598
      @neemaberny3598 10 หลายเดือนก่อน

      @@philemonmagesa5548 mule mule🤣 Yani hata nguvu ya kumhoji huyo kaka kwa hiyo English katoa wapi..

  • @fayverenah
    @fayverenah 10 หลายเดือนก่อน +5

    Mbona mr.Right wanakataliwa jamani😢

    • @SumayyaahMuzzammil
      @SumayyaahMuzzammil 10 หลายเดือนก่อน +4

      Kwa7bu hao wadada hawana akili

  • @MjerusiKipago
    @MjerusiKipago 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekupenda bule Aliya ,siyo wote wenye elimu wamefanikiwa, 18:25

  • @shabanizubery3412
    @shabanizubery3412 10 หลายเดือนก่อน +4

    Glad na johar ni micharakaa mwanasheria hawez kuwa na akili fupi hivyoo

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo Mwanasheria Koko, Msomi anefwata Nini hapo?
    Na huo Glad kama ni Mwanasheria nguo Gani hizo amevaa. Mbona haonyeshi kuwa ni Mwanasheria aache Dharau, pia asidhalilushe Taaluma ya Watu.

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 10 หลายเดือนก่อน +5

    Yn wnajishauwa alafubsura chafu ss si ungeebda uko chuoni ukatafute msomiwenzako kwnn unakuja hp kuvhagulwa km mandazi kenge ww ungemzur au iyo elim yk ndo kuoendwa ungefika hp

    • @faridalihondo3322
      @faridalihondo3322 10 หลายเดือนก่อน +2

      Hawa yan kupata wanaume wa maana hawatapata wataishia kuchezewa tu

    • @NiceWatson-y7e
      @NiceWatson-y7e 10 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa

  • @BalakaYohana-cw3di
    @BalakaYohana-cw3di 10 หลายเดือนก่อน +2

    Sura bati kwamba elimu elimu inkundo😂😂😂

  • @agnesgeorge6818
    @agnesgeorge6818 10 หลายเดือนก่อน +4

    Wapare wabahili ndio😂😂😂😂uchune tuu bila mpangilio iyo kwioo,,utuache wapare tuliza komwe lako apo

  • @merryaugustin8814
    @merryaugustin8814 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂kingereza cha kudekia choo
    Pumbavu kbsa na sura yake mbaya❤ka chuchunde

  • @Rogathe-Rogathe
    @Rogathe-Rogathe 10 หลายเดือนก่อน +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hizi morning speech za form 1🙌🙌🙌🙌 ....poor English ma gal

  • @alfredrweyemamu7807
    @alfredrweyemamu7807 9 หลายเดือนก่อน

    Unaweza ukawa umesoma lkn huna mafanikio so wanawake acheni kukariri siku hz elimu sio ishu tena ishu ni mafanikio success so Mr. right no 3 asee upo vzr elimu yako sio mbaya hayo mengine mshkuru Mungu

  • @bonyzakaria
    @bonyzakaria 10 หลายเดือนก่อน +3

    ❤😂 kweli Kuna mke apokweli😅

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 10 หลายเดือนก่อน

      Hakuna kunamkeka tu apo

  • @Bigger.99
    @Bigger.99 10 หลายเดือนก่อน +2

    Jaman mwakahuu tofaut sana mamisi right wengi pisi mbovu😂😂 na Wana dharau sanA😮😢😮😢

    • @NeemaHashim-c2p
      @NeemaHashim-c2p 10 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣yan dada johar Mmmh mtihani nilimuona toka kwa yule jamaa wa salon na bajaji lol.

  • @aika3024
    @aika3024 8 หลายเดือนก่อน +4

    Nipeni namba ya uyu Kaka ananifaa sana😍 Mtani wangu jamani❤️

  • @brazilsanga7978
    @brazilsanga7978 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mwembamba chini😂😂😂😂😂🎉🎉

  • @empressdamahshow
    @empressdamahshow 8 หลายเดือนก่อน +2

    Nipeni number YA huyo kijana mtanashati Ramson😂❤

  • @JOANMTWALE
    @JOANMTWALE 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mwanasheria Ana kingereza kibaaauaaa😂

  • @salamarashid3687
    @salamarashid3687 10 หลายเดือนก่อน +3

    Johar unamkataa mwanaume mzuri. Hya subiria kituko

  • @jescahawino4601
    @jescahawino4601 9 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani huyo jamaa Ako sawa na mm ubaya Niko kenya😢😢

  • @cobrachristian3685
    @cobrachristian3685 10 หลายเดือนก่อน +4

    Kwani diamond au Alikiba au harmonize wana elimu gani hawa madada hawajielewi kbsa

  • @linatasks4837
    @linatasks4837 7 หลายเดือนก่อน +2

    Big up sana dada dressed in red (Aelia)....una uelewa saana wa maisha-.....nimependa comments zako sana especially on level of education

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 10 หลายเดือนก่อน +6

    Johar nae ni tahira aisee maisha rafik zako ukalinganishe nayo hovyo😏

  • @GidiusAllenofficialTz
    @GidiusAllenofficialTz 8 หลายเดือนก่อน

    wow exactly, elimu sio sana kwenye mahusiano cha msingi ni kwamba yule mtu unaekwenda nae yuko vip kimsimamo yaah inawezekana ako na low education but kwenye mipango na misimamo ake ako Smart sana kwa hiyo dada huyo akawasubili wenye wako kaa yeye yaani lavel yake ila atasubili sana ndo mana wanaumizwa sana hao daah.!

  • @makrinaibinga-on2qx
    @makrinaibinga-on2qx 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mr.right ya kenya ipo hot sana kuliko hii

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kuma mamazenu wabongo nyinyi ni maboya sana

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 10 หลายเดือนก่อน +3

    Glady Sasaa anavyoringa sura ngumu kama uvungu waa......Akafie uko hana mvuto😂😂

    • @asiasaidi-zc5gq
      @asiasaidi-zc5gq 10 หลายเดือนก่อน +2

      Ila wewe mungu anakuona walaah 😂😂😂

    • @tulahaule9075
      @tulahaule9075 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @AngelinaGabriel-ie5yq
    @AngelinaGabriel-ie5yq 9 หลายเดือนก่อน +1

    Me nimempenda Sana