INAUZWA MILIONI (( 50,000,000 )) IPO DAR ES SALAAM MBAGALA CHAMAZI INA ROOM TATU MAJI UMEME

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 37

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 11 วันที่ผ่านมา +1

    Millioni 50 nyumba kubwa hvyo nzur hvyo mbona km ndogo pesa??au kuna changamoto yoyote??

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    mbagala ni sehemu ya wahuni onyesha zingine

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    huko ni vicholoni utamupangisha nani?

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati 18 วันที่ผ่านมา +1

    Jiko zaman

  • @LenardPhilipo-n5s
    @LenardPhilipo-n5s 19 วันที่ผ่านมา +1

    Ndogo sana

  • @salukisendi9333
    @salukisendi9333 19 วันที่ผ่านมา +2

    HIZ.NYUMBA JENGA UZA.USIONE HIYO RANGI MATARIO.YAKE KUANZIA TOFARI NA NA MBAO NI.HATARI BAADA 2YRS HIZO RANGI.NA MUONEKANO WAKE UTABADIRIKA.WANAMAFUNDI MAALUM WA KUJENGA HIZO NYUMBA . KUWA MAKINI.SANA

  • @yusuphyusuph4334
    @yusuphyusuph4334 15 วันที่ผ่านมา +1

    Picha zinadanganya mummy kwenda site

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 11 วันที่ผ่านมา

    5% ya bei ya nyumba kwa kazi gani vile🤔🤔🤔 ridiculous

  • @IREENNTIJE
    @IREENNTIJE 19 วันที่ผ่านมา

    Haina shida kweli ipo maeneo gani

    • @dalalihakweahakweya6662
      @dalalihakweahakweya6662  19 วันที่ผ่านมา

      @@IREENNTIJE Nime eleza kwa maneno nime eleza kwa kuandika pia bado huja juwa ipo wp

  • @ArnoldMbulawa
    @ArnoldMbulawa 19 วันที่ผ่านมา

    Something wrong
    Bei ni ndogo kulinganisha na huo mwonekano wa nyumba, despite the location, but still is cheaper

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 19 วันที่ผ่านมา

      Ni Sawa hyo bei hakuna shida yeyote

    • @AzamZubeir
      @AzamZubeir 19 วันที่ผ่านมา

      Hiyo bei ipo sawa fuatilia ujenzi utajua

    • @dalalihakweahakweya6662
      @dalalihakweahakweya6662  19 วันที่ผ่านมา

      @@ArnoldMbulawa Maduka yanayo uza vifa vya ujenzi niyetu kwa hiyo kuna unafu kidogo

    • @aliomaraliomar6078
      @aliomaraliomar6078 17 วันที่ผ่านมา

      Dalar Mimi nataka Niko Mozambique nakuja tale 20 nitumiye namba ya Whatsapp

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 19 วันที่ผ่านมา +3

    😢😢😢haina Majin kwel!? Mbn bei ndogo nyumba nzur ivyo

    • @dalalihakweahakweya6662
      @dalalihakweahakweya6662  19 วันที่ผ่านมา

      @@AzamZubeir Kwan kuna kitu gan kina kusumbua watu kama nyinyi nikiwatoea maneno machafu ya matusi utaona kama nime kuonea au maana naona sana unajifanya mtu wakutoa maelekezo kwa watu ambao na tizama biashara zangu na kuheshi sana na hapa sija kuita ume kuja mwenyewe naomba uwachane na ukurasa wangu koma

    • @dalalihakweahakweya6662
      @dalalihakweahakweya6662  19 วันที่ผ่านมา

      @@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج Majini yapo ndani kwako katika chumba chako kimoja unacho lala hapa yata kosekana vp

    • @AzamZubeir
      @AzamZubeir 19 วันที่ผ่านมา +1

      Kaka umenielewa vibaya labda vile nimesema kujenga nyumba kubwa ila nilikuwa namuelewesha alosema ina majini ndio nkamwambia 50million kwa bei ya biashara ni sawa labda nimetumia maneno ambayo ukuyaelewa ila sijakukshifu punguza jazba

    • @khloevibe7569
      @khloevibe7569 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@dalalihakweahakweya6662af we jamaa mbn kama mpuuz yaan mtu hata alete comment ya utani unajifanya umemaind em acha utoto... sio lazima ujibu kila m2 unajiharibia

    • @mohdhaji550
      @mohdhaji550 18 วันที่ผ่านมา

      Mbona mkali bwana mdogo biashara haina ukali umeulizwa wewe jibu tu kama hakuna au laa hutobadilika chochote ​@@dalalihakweahakweya6662

  • @musakibwana4596
    @musakibwana4596 19 วันที่ผ่านมา

    mali safy

  • @MaaneML
    @MaaneML 17 วันที่ผ่านมา

    Jenga uza hiyo utalia kilio cha mbwa.

    • @dalalihakweahakweya6662
      @dalalihakweahakweya6662  15 วันที่ผ่านมา

      @@MaaneML Nambwa mwenyewe ndowewe sasa

    • @MaaneML
      @MaaneML 15 วันที่ผ่านมา

      @dalalihakweahakweya6662 nakubali kabisa. Ili wengine wapone.

  • @Yana_queen1
    @Yana_queen1 18 วันที่ผ่านมา

    Kuna siku ntakutafuta I swear…na tutafanya biashara