Nichukue nafasi hii kuwashukuru sana Wapenzi wa kazi hii ambayo Mungu ameiweka ndani yangu... Wengi mmenitia moyo na hakika naendelea vyema... Karibu kusikiliza Ujumbe huu pia... Ubarikiwe sana🙏
Tuko pamoja na ww ,mm ni mtanzania lkn ww unajua xn kuimba xan ila nakushaur tafuta collaboration na msanii mkubwa kama rose muhando,ilii ujulikanae vzr xn
Much love from Bahrain 🇧🇭 v Kenya 🇰🇪 and 🇹🇿. Be blessed brother may you live long so that God continues to give you more knowledge of in powering us with his words through you in your songs. 🙏🙏🙏🔥🔥❤️
Tangu nichue nyimbo zako vile ziko na massage poa Niko kiwango kingine Sahi sio Yule mtu alikuwa anajijua kitambo marafiki zangu wote wameniahepa na sina shida ety mbona wameenda Sahi Niko Sawa bila marafiki
Nichukue nafasi hii kuwashukuru sana Wapenzi wa kazi hii ambayo Mungu ameiweka ndani yangu... Wengi mmenitia moyo na hakika naendelea vyema... Karibu kusikiliza Ujumbe huu pia... Ubarikiwe sana🙏
Amina
Amina ujumbe mzuli sana.
Tuko pamoja na ww ,mm ni mtanzania lkn ww unajua xn kuimba xan ila nakushaur tafuta collaboration na msanii mkubwa kama rose muhando,ilii ujulikanae vzr xn
Kazi safi
Wimbo huwu mmmmm muzuli sana
Nakupata nikiwa 🇱🇷🇱🇷🇱🇷ubarikiwe sana mutumishi wa bwana
Chichi we njo vimbo
Kweli
Nimebarikiwa Sana mtumishi.more grace to you.
Thanks
Hongera sana mtumishi wa mungu nyimbo zako nazipenda sana maana zinaujumbe zinafundisha sana kalibu Sasa mbeya mtumishi
Kaz moto ii.Mungu akuzidishie zaidi.frm 254.nawakilisha apa
Barikiwa sana
Woooow tenda
Hapana uko vizur I kaka mungu akutie nguvu nyimbo zako zinafariji sana na Wala so kidogo
Ameen
Kazi njema Kaka Mungu akubariki
Ameen
Nikwali kikulacho kimo nguoni mwangu barikiwa sana kaka.
Ameen
Barikiwa mtumishi tangia nimeanza kukusikiliza sijajuta tena nimevuka pa kubwa
Ahsante mtumishi wa MUNGU, kazi zako zinanipa nguvu na uimara kiroho
Mungu aibarik kazi yako kiukweli nyimbo zako ninzur na zinafundisha🙏🙏🙏
Mungu akubariki Sana broh
Ameen
nakubali sana nyimbo zako kaka huwa zinaujumbe sana
Asante sana
YESU Akubariki sana YESU Alinde uduma yako uko sawa nakuombea damu ya YESU ikufunike
Ameni balikiwa sana mtumishi wa Mungu kazi zuli
Much love from Saud Arabia my mrng ringtone songs ❤❤❤
Mungu azidi kukutumia vyema brother akuweke mbali na roho ya kiburi ukaihubili injili kila sehem bila kujali mazingira amen
Ameen nashukuru sana
from Tanzania 🇹🇿
Karibu sana
Ubarikiigwe Sana,,namkagulu nuwa kigamboni,,nane nikonela ukaya nako kunoga,,,karibu ukwetu.
Barikiwa Sana Mr chilolo tuna barikiwa kwa nyimbo zako
Kikulacho kinguoni mwako barikiwa sana chilolo
Ameen
Much love from Bahrain 🇧🇭 v Kenya 🇰🇪 and 🇹🇿. Be blessed brother may you live long so that God continues to give you more knowledge of in powering us with his words through you in your songs. 🙏🙏🙏🔥🔥❤️
Mungu akubariki San kaka kwakufanya kazi ya mungu❤❤
Mungu na akubariki ,,nyimbo zako ziko poa
Amina amina kk❤❤🙏🇰🇪
barikiwa sana mtumishi wa Mungu,
Ameeen
Nzuri ni kweli binadam hawana wema
Kabisa
Safi Sana
Chilolo mungu akusaidie uimbe katka roho
Amen
Barikiwa sana
Ameen
nikweli kaka, kazi zuri
Asante sana
Mungu akutangulie katika kazi yako
MUNGU akujalie haja ya moyo wako mtumishi barikiwe sana ujumbe mzuri
Keep up good work from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu azidi kukupa mafunuo zaidi na zaidi kamanda wangu
Hongera tena saana ndugu
Ni kweli kabisa 🔥🔥
Tunabarikiwa hakika🙏🙏🙏
Mungu akuongezee unaimba vzur broo
Ujumbe mzuri
Asante sana
Utukufu kwa Mungu kaka... napenda hii
Kazi nzuri sana, Mungu azidi kukuinua
Amen
Kabisa wanadamu hwana wema
Amen
Amazing 🔥 🔥
Mungu awe nawe katika kaz zako bro
Asante sana
Good job God bless you
Ubarikiwe mpendwa
Tangu nichue nyimbo zako vile ziko na massage poa Niko kiwango kingine Sahi sio Yule mtu alikuwa anajijua kitambo marafiki zangu wote wameniahepa na sina shida ety mbona wameenda Sahi Niko Sawa bila marafiki
God bless you
Mungu hakubariki sana
How amazing he is be blessed broh
Nmeupenda
Nendaa usisubili
Nice song
I like the message and lyrics
Asante sana mtumishi kweli tenda mema nenda zako
Kabisa yani
Hongera sana mtumishi ngoma iko🔥🔥🔥🔥🔥
Asante sana
Good song might God be with u as you continue spreading the word of God and add u strength 🙏
Ameen
Powerful
🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Amen mungu nisaidie nisichoke kutenda mema wanadamu hawana jema ubarikiwe mtumishi wimbo una ujumbe mzuri.
Ameeen kubwa
Hali halisi ndivyo wanadamu walivyo.
Kabisa
God bless you @Chilolo
May God's grace be with us always
Hali alisi wanandamu ndotulivyo ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ameen
Really edifying.
Mungu akuinue kwa viwango vya juuu ubarikiwe mpaka ushangae❤️❤️❤️❤️
Ameen
Be blessed
What a nice song with great message 🙏🙏🙏
Ameen
Bonge la ngoma Mungu akubariki sana mtumishi
Ameeen
Waaaaaaauu gud work bro,, continue spreading the word of God.
Ameeen
True man
Kumbusho qwamba sku zote kuishi na mwanadamu ndio kazi . Amazing brother chilolo 🎛️🎷🎺🎚️🎧
Thanks so much
Amen barikiwa sana mtumishi
Ameeen
Kazi nzuri sana
Asante sana
Amazing 🔥🔥
Powerful Message of our unappreciative generation! God's Blessings
Barikiwa sanaaaaaa
Ameeen
Amen barikiwa
Ameen
Kaka mbona hutoi video alf nyimbo zako nzuri xn plz toa video cz audio hazifiki mbali kama video
Support him please brother so that he can be able to afford video recording
Mungu azidi kukuinua zaidi😘 wimbo mzuri🔥🔥
Ameeen
@@yonachiloloofficial mtumishi tafadhali naomba namba zako
Hongera kazi nzuri kaka mungu azidi kukupandisha viwango vya juu zaidi
Be blessed the man of God
Amen
Ameeeeen
Amen
This is amazing ❤️so emotional
Thanks
Amen 🙏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Ameeen
🎉🎉🎉
Nice work Chilolo 🙏🙏🙏
Thanks
May God bless you abundantly.very educative and encouraging one
❤❤❤
💓💕💕
Mungu azidi kukupa mafunuo zaidi na zaidi kamanda wangu
Ameeen
Akuzidishiye mtumishi
Amen
Amen