SIMULIZI YA KUSISIMUA: PENZI LA UMAUTI, By Ankojay
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 พ.ค. 2023
- Niliamua kufunga pingu za maisha na
Julieth kwa sababu alikuwa ni mwanamke
niliyempenda sana. Alikidhi kila aina ya
vigezo nilivyovihitaji kwa mwanamke
hasa yule ambaye nilitarajia kufunga
naye pingu za maisha. - บันเทิง
Hi Juma Hiza?Acha kwanza ni🪑🎧nduguzangu nipe like ata 2 Tu
AnkoJay ahsante
😊😊 tumekupa like
Ahsante
Asante Ako KWA smulizi hii ulioileta yenye mafundisho
Asante Ako KWA smulizi hii ulioileta yenye mafundisho
😢😢😢maisha haya angemsikiliza mamake na kumtelekeze tungemlaumu ona mwisho alivyo tendwa wanawake sisi. R.I.P Kaka sithani km na yeye ataishi kwa amani.shukrani anko jay🥰
Nimekuwa wakwanza naomba like zangu jaman
Hongera sana 🎉
Asante ankojay
Kwa haya mafunzo tunayoyapata humu ndani ya simuliz mungu aendelee kuwapa nguvu na uvumilivu siku zote za maisha yenu shukran ziwaendee mtunzi na msimuluaji AMEN.
Jamani nimejikuta chozi likinidondoka mwisho wa story😭,,wanawake wengine pepo mutaiskia tu kwa mbali ,,mwanaume kakufanyia kila kitu malipo yake maumivu ya moyo na majuto ..kumbuka kila lililo na mwanzo lina mwisho wake😢😢,,Ahsante Anko jay tunajifunza mengi sana
Duh kwakweli mapenzi shikamoo jmn aya Asante kwahisomuliz 😢😢
Ahsante kwa simulizi kila siku anko jay
Asent Ankojay kwa simulizi zuri san ubarikiwe 🙏🙏🔥🔥🥀🥀
Waakwanzaa
Safi sana 🎉🎉🎉🎉
Kazi zuri anko be blessed 🥰
Thank Youuuuu😊
Kaka upo vzr sana mm nikisikiaga saut yako hua nainjoy sana mkuu
Kazi nzuri anko j be blessed
Ahsante sana
Inasukitisha sana dominike mungu akulaze malipema peponi
Kazi nzuri Anko J ❤❤❤
Be blessed
Ahsante sana 😊
Good job anko j godbless you😍😍
Mtuelimishe hizi like zina deal gan maana ndipo zinaombwa balaa
😂😂😂😂
Mimi niwe wa kwanza niwe wa mwisho ntasikiliza tyuuu maan humu watoto w ank mmenishinda tabia
Ahahahahaha 😅😅😅
kwahakika ww mungu azidi kukueka anko jay tunajifunza mambo mingi
Tunasikiliza hizi Story maudhui yake tupate mafunzo. Mafunzo siku zote ni kuwa uhalifu haushindi na wema unashinda. Ndo maana ya “”Steling hauwawi””kwani mara nyingi Steringi Husimama upande wa haki. Maudhui ya Story hii maana yake Uhalifu umeshinda kwani hatukuona July akijuta, hatukuona Sababu ya Mama kumchukia July Hivyo Domonic kumpenda July alikuwa sahihi ila July kwa Tamaa zake ndo alipashwa aishie Pabaya na kujuta ili kuonesha kuwa uhalifu haulipi. Hii inafanana sana na Story ya akina Yatu Manafu, Vinginevyo mwandishi angetwambia kuwa “” Based on True Story”” ili tujue kuwa ni maisha halisi.
👏👏 nazan mwandishi kaona, na ameyapokea maoni yako... 🤝 ahsante saana
Hata mm nilitaka kuuliza hivyohvyo yaan mwandish atuambie tuu July alifanya nn aliposikia mume wake kafa malizia ww mwandishi
Keep it up anko jey I 😢
Thank You So Much
Uncle Jay ♥️🥰🥰usaliti ni adui namba moja on the life
Abari yako Anko jey tumesubiri sana lisa wiki hii
Doo sisi wanawake MUNGU atusamehe Aki 😢 na huyo mwanamke ni mjinga kiyasi gani anaweka msani bele kuliko mtoto wake aki inasikitisha sana 😥😥 Asante sana Anko Jay kwa simulizi nzuri sana ❤❤❤
Kazi nzuli
Thank youuuuj🎉
Good boy Anko
Wa kwaaaa hoyeeee
Iike zenu jamani❤🇧🇮🇸🇦
Saafi 🎉
Jaman ank j unasauti zuri sana wewe mkaka mungu akubariki
Ahsante sana
Pole sana Dominic kwa kweli nimeumia sana kwa kitendo ambacho mke wako amekufanyia 😢
Duuuh , mitihn jamn , mapenz haya , shikamoo
After 24 hours of work bila break nimechoka kinomw ila nineingia tuu kwenye gari na hadi kufika home ni mwendo wa 2 hours nimejikuta nakimbilia Kwa anko jay Kwa usongo maana nilikua nimemiss kazi yake Kwa siku mbili bila kushika simu 🥰
Pamoja kaka
Kaaah ama kweli mpz ni upofu 😢😢😢😢😢
Ahsante anko Jay burudani iendelee
Sikubali bana hii lazima part2 tujue kuliendaje Juma ,tupee tu ,shukrani kaka Jay
Kupenda ni tabu sana
Asante sana Ankojay simulizi nzuri kila wakati
In Allah we Trust ❤❤❤🙏
😭😭😭pole kka asante Anko J kwa smlz tamu
❤❤❤❤❤❤
😢💔mwanamke anae fanya haya ana laana
❤❤❤❤❤🥰🥰🥰pamoja ankoj
Ahsante sana 😊
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💋
Ankojay sikuhiz unakuj motomot lakin tunaomb mutoto wadogit sehem 2 pia tunasem asant
Ipo tayari, ukinunua part 2, nakupea na part 3 bure
Mungu awabariki sana2.
😂😂 yeah uko live
Kwakweli nilikuwa naogopa kusikiliza nikijua niyakichawi kumbe nzuri jamani hiii elim wewe umevunja ndoa za watu wengi sana pore Domi 😭
Sad story 😢😢😢😢
Pole sana Dominic
Pole Dominick hayo ni mapito itaisha
jamani leo mm njowakwana naombeni like zang
Tumekupatia tayar
Nakubali penzi lauwa
😢😢 good job 👏
😢😢😢😢😢 Daah imeniuma San jamn
Onger anko j
N mpuzi sana uyo mwanamke yote uliyo mfanyia.leo ii akujibu ujinga,,,,ety nimeongwa
😢😢😢 wenyeraha namapenzi waendelee lkn yakimupata ya Dominic muwewavumilivu
Hivi Kumbe kuna wanawake wa dizaini hii 🥹 mimi nipate mme wa kunipenda Hivi Eti nimtendee unyama nitakuwa mwendawazimu au nimerogwa
Nakwambia hadi uchungu😢😢😢😢😢
Daah mapenzi shikamoo
❤❤❤❤
Simulizi yenye mafunzo😢😢❤❤❤
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mmmh 😢😢 inasikitisha sana hii simlizi
Nasoma comment kwanza maana jina la simulizi linaniogopesha, naogopa huzuni ya kupitiliza, zamani nilipitia huzuni sana, sipendi kuumia kabisa, nikiwa nina uwezo wa kujiepusha na maumivu,. Najiepusha.
Zuri sana😂
Nimekuw wa mia naa 23 nipen like zangu 19:59
Anko j hatulali walai😂
Hii kitu ingekua
Na part 2
Ingenoga sana
Tujuwe mshaara
Wa dhambi za
Mkewake
Maana malipo hapa
Dunia ahera kuesabiwa
❤
Yeah nazan mwandishi ataona hii
@@ankojay_ nakukubali sana bro
Mwambie amwage wino tena
Fike kileleni kwa story konki
Kama hii bro 🐐🐐
🔥🔥🔥👌
Mimi nimepata pica,uyu Juliette alikuwa Hana elimu ,imeendeka aje kapata kazi kwa TV wakati umefikiy dalasa la saba?
Kazi hiii ya 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kweli kweli
Yeaaaaaahhhh
@@ankojay_ naam
Hayo hutokea ila siwezi jitoa uhai kisa mwanamke ama mwanaume Allah hulipa kwazamu angelipia hili lkn sio kutoa uhai wangu subutu bs tungekufa wengi
Thank🙏🙏🙏
Mapenzi Yana uwa😅
Napitia comment leo 😅😅😅😅 Ahsante Anko jay ,be blessed 🙌
Ur Welcome 😊😊😊
Duuuh jamani Lisa mwala umeyasimulia mapito yangu yote humu kwenye hii stori.
mwandishi ni juma hiza jamani naye tumpe maksi zake
Aki nimejitahidi nikaimaliza mzazi ni mzazi mafunzo teletle
❤❤❤
🤸🤸👍
Wanawake siyo watu mfadhiri mbuzi utakunywa mchuzi ungemsikiliza mama Yako yote hayo yasingekupata damu Yako itamlilia Juliet ipo siku atakukumbuka,
🪑🪑🪑🎧🎧🎧🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Enjoy
❤❤❤❤❤❤❤❤
✋🏽
Ni uchungu sana hapo hiyo simulizi inaelekea, lkni itabindi ufumilie
Ankooo
😊😊 Naaaaammmm....
Mmmmh hii ankoo hii nilivyoiita Hadi nimejishtukia
@@shanikiwele3111 😀😀😀😀
@@ankojay_ asa ankoo unanicheka jamaniiii
I am in love with Anko J's stories
Nimechelewa lakini sio mbayaa kwani muda unaweza penda sehume hadi ukaisi kufa 😥😥😥😥
😅😅😅 wewe sio wa kupenda hadi kufa
😅😅😅😅
@@ankojay_ nilikuwa na msukuma wangu weacha tuu nilimpenda hadi nikasema hakuna kama yeye 🤣🤣🤣 wasukuma popote mlipo pepo yenu ipo wasukuma wanajua kupenda halafu wanajua ............ Wakubwa wanaelewa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@ayishaayi5205 nilimpenda msukuma hadi shulee niliyona chungu nikafeli bhana 🤣🤣🤣msukuma sijiui aliniroga yuleee 🤣🤣🤣🤣niliisi kufa nilipomkosa 🤣🤣
Mbn kila mtu wa kwanza😂😂😂
Jamani
😂😂😂😂 wewe wa ngapi
Mm wa mwisho lakin hata sijali ilimradi naaburudika na sauti ya anko nyie huyu kaka anasauti ya kumtoa nyoka pangolin ❤❤
Kama.ni.maman.yangu.siwezi.kumusame
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
Asante kwa smriz nzur