I don't know because you have more voices am really confused but you are amazing Anko, when I come back to Kenya 🇰🇪 I will make sure I will travel to tz because of simulizi mix ,I want to do something. Inshallah
Hili simulizi limeniliza sana, before doing samething to anyone think twice, farida ulimfanyia vibaya sana mtoto wa mtu, yanakufuata sasa, hicho ndicho ulikua unatafuta.... Umenikwaza sana
Bro hapo umenikosha sana lakini sauti yake iko chini sana angalia kama unaweza kupandisha sauti ya biti kidogo yaani kaka huwezi nimesikia tu sauti ya biti machozi yakatiririka nimeipenda sana
Ukisikia malipo ni apa duniani ni hii sasa ndoo malipo ukifanya kitu lazima ujue mathara na faida tena kurudiana na ex ni kosa bora kua single kuliko ex💯
Anko Jay yani mimi si lala kwa simulizi zako zimekuwa kama dawa kwangu Lo😂 yani nasikiya raha mbaka rohoni sauti yako yanimaliza NAKUPENDA ❤ sana Anko Jay
Hii simulizi ina mafundisho makubwa jamani,Rahim ni malaika
🙏 Thank you
Ni anko jay
Jamani adi nalia😢
Story nzuri Kaka ,mungu aku jaaliee afya na uzima.
Big up mr Jay we're still enjoying your stories and learning more about our lives especially for this days thenxs alot n be blessed
Masha Allah greetings from Kenya
Asante kwa mafundisho.
Let me enjoy idd mubarak with this amazingly voice much ❤️ from kenya
Tusiwazarau ndoa pia wanaume sio watu
@@ZinaTanzani 😊😊😊
Asante kwa funzo ukipendwa bc pendeka jamani❤
Yaaan,binadamu hana wengine hawana jema
Asante Ankojay kwa simulizi
Waaah simulizi imejaa mafunzo sana❤
Nampongeza pia mwandishi wa simulizi hii.Big up
Saaana anastahili 🥀🥀🥀🥀🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Pole Sana Dada shatani hanahaja na mwana damu mipako yake ni kuhuwa
Thanx for another banger....i love listening to ur stories,makes me so energetic..
Thank youuuuuu so much
Kweli lakuvunda alina ubani..❤❤❤
THIS STORY WOW!!!! WHAT GOES AROUND COMES AROUND. 🌎. THANKS ANKO JAY
✊🤝 True
@@ankojay_ Asante sana,
Kwa kweli nakupenda simulizi zako ankojay zinatufunza mengi
Malipo n dunian Akhera n hesabu,,.kabsaaa na ni uyaoge vzury 2🙇♂️🙇♂️🙇♂️
Wow good story ♥️
Simulizi tamtam❤
Karibu idd anko and thanks kwa simulizi nzuri sana
What goes around cames around
Thanks Anko Jay kwa eid mubarak tume enjoy kwa simulizi yao🙋♀️
Anko hii simulizi haki inamafundisho makubwa mnoooo❤❤❤❤
Upo juu kaka kwa simulizi tamu na zenye mafunzo ndani yake
Asant sana anko kwa simulizi za mafuzo ❤Allah akutunzee
Anko J mbwana anatunga jina hapo hapo eti nyakungu😂😂😂😂 asante simulizi very nice ❤❤
Kama kwaida yangu simulizi yamafuzo ndiyo hii xx🇰🇪🇰🇪hyo wanawake funguweni masikio
Asante Uncle J
Toba yakuuwa Tena Anko jay 🤔 Asante ngoja tusikilize 🙏🙏
Asante ngoja nibuludike na simulizi na idd
Asante sana broo kwa story tamu yenye mafunzo aliesema majuto n mjukuu huja badae n kweli
Kweli
Good job 👍❤❤❤🎉
Naaam anko jay ngoja tusikilize zawadi ya Eid ubarikiwe saana
Jaman ex haludiwi tuachege kufanya makosa jamani
Duh asiyesikia la mkuu😊
Huvunjika guu
Jamani wengine tunalia tupate ndoa na wengine wanazibomoa kwamikono yao
Mtu akiwa nacho,haoni umuhimu lkn kikiondolewa kwake ndio umuhimu utaonejana
Leo nimekuwa wakwanza eidy mubaraqa wapenzi wa simulizi 🥰🥰🥰🥰🥰
Kipenzi hatu kalibishani
@@anastaziasanga karibuu kipenzi eidy tena biliani kipenzi karibu sana🥰🥰🥰🥰
Nipo getini hapa kipenzi Naja 🤣🤣♥️
@@anastaziasanga karibuuuu tuuu 😂😂🤣🤣
Pilau bado shadya
Pole sana mume wa Farida kwa mke mwenye tamaa usioridhika nawe
❤❤❤😂😂mwanaume aliye barikiwa sauti zote ❤❤❤❤❤
Wa kwanza Leo ahsante ankojay Tunajifunza idd Mubarak kwenu nyote wapendwa
Wa kwanza wacha ni enjoy jay love ❤❤❤❤
Simulizi za anko j zinamafundisho
Faridah hizo tharau zako kwa mume wako utakuja kuvuna baadae kuwa makini huyo ex wako siku atakuja kukutenda utamkumbuka huyo mumeo Rahim
Na hatakwepa hayo malipo
Nzuri lna mafunzo usia chemba chao kwa msala upitao asante Anko J kwa zawadi ya lddi
Mhm jamani
Farida umepitia magumu lakini mbona sina huruma na wewe ? Mwiba wa kujichoma huo. Asante Anko J. Kenya nawakilisha!!!!😂😂😂😂😂
Thank You So Much
@@ankojay_hongera umejitahid saana kujibu na like coment za shabiki zako🥀🌹🥀🌹🥀🌹🥀
Top 60 guys aiseeee ila nimejitahid jmn Eid Mubarak guys kunyweni soda Kwa bili yanguuuuuu
Mmh!! jamani mungu atuepushe too nitamaa za kimwili 🙄🙄🙄
Mbaya saaaana
Ànko jamani umebarikiwa na sauti ngapi 😅😅😅 juu naishia kuhesabu kila nikiskiliza story but sipati jibu ,😅😅nakupenda buree
😀😀😀 sauti yangu kwan huijui ?
I don't know because you have more voices am really confused but you are amazing Anko, when I come back to Kenya 🇰🇪 I will make sure I will travel to tz because of simulizi mix ,I want to do something. Inshallah
Inaitwa Talent , he is amazing
@@nancygitonga3282 wahi anakusubiri kwa hamu
Kusema ukweli kajaaliwa,hata mie simuliz ikiaanza tu naanza kuhesabu sauti za watu zinavyobadilishwa
Jamani Edward kweli ndio kuomba msaada Kwa Farida hakika hii Dunia imejaa uchungu sana
Saaana
Mm ex siwezi rudiana nae washindwe kabisa
Wa kwanza mie wacha nienjoy zangu😊 Ahsante Anko jay kwa kitu kipya😊
Ank j napenda sana simulizi zako
uko juu sana anko jay ❤❤nko from Kenya 🇰🇪😘
Thank youuuu
Amizing
Thx ❤🙏🏿
Hiyi simulizi imenitowa machozi ila malipo nihapahapa duniani
Mwanamke mjinga huvunja ndoa yake mwenyewe
Mjinga sana
Anko Jay nimo ndani ya nyumba japo Kwa kuchelewa ila inafunza Kwa wanawake wa hovyo 😭😭
Wanawake kama hao waache mara moja
❤❤❤❤❤❤ nakupenda bure jamani
Malipo ni hapa hapa duniani
Acha uyaone, tena usiumiye uko unavuna chenye Uri rima pole sana.
😂😂😂 AnkoJay kill me😂😂😂nimecheka hapo unapoimba 😂😂😂but ahsante kwa simulz nzuri yemye mafunzo 😢
🔥🔥🔥🔥🔥pamoja Ako kazi hazikauki kabisa sahiii
Yeah 🔥🔥
Dah 😢malipo ni hapa hap duniani @asante ankojay
Nice
Farida mpenzi pole kwa yote,but heshima siutumwa.what goes around cms around again i say pole
Jaman x harudiwi hata cku 1ukiwapa manywa hao mbwa wanataka wakuvunjiye tu hawana hata mapenzi
Ivi wanaume kama Rahimu wako Mwanaume unayitwa Imbwa arafu unomba musamaha
Hakuna kabisa,labda chizi
Inafundisha saana
Mapenxi ya zamani
Hili simulizi limeniliza sana, before doing samething to anyone think twice, farida ulimfanyia vibaya sana mtoto wa mtu, yanakufuata sasa, hicho ndicho ulikua unatafuta.... Umenikwaza sana
We biti ni mjinga sana yani 😔
Pole Nyakungu kwa yaliyo kupata
Leo umetunyima lisa Anko jey
Doreen kazia hapo hapo fukuza mbwa huyo
Waenga hawakukosea walipo noga,,,,,usiloliweza usimfanyie mwenzako
Ndioooo
Anko tuletee bint princess
Hahaha si ya kucheka kwa nyimbo Anko jay
Mmmh Duuuuuh nimejifunza kitu
Anko kama anko, mwanaume mwenye sauti ya kumpagawisha mwanamke 🙌🏽🙌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
Jamani napata wapi mwanamume mzuri kama Rahim yani nimempenda bure huyu Rahim ❤❤
Sasa utampata wapi wakati Farida alishamuua
😂😂😂😂😂 hata husaidii 😢
Hawapo ktk dunia hii,labda ulimwengu mwingine
Kwakweri umevuna uricokirima WE Farida nipumbavu ipùuuu
Jamani nimeumia kifo cha Rahim 😢
what goes around cames arond
Bro hapo umenikosha sana lakini sauti yake iko chini sana angalia kama unaweza kupandisha sauti ya biti kidogo yaani kaka huwezi nimesikia tu sauti ya biti machozi yakatiririka nimeipenda sana
Nishike polepole mm bibi wa wenyewe 😊😊😊
Masikini Rahim 😭😭😭
🇸🇦😂🎧 wacha nisikize wenye anarudia Ex matapiko hawalambi
Hakujua kwamba kilicho kuuma jana leo hakikutambai
Yan Huy dada😭😭😭😭😭
Farida usija ukarundia kufanýa ujinga
Mama ni mama hata awe chizi
Ukisikia malipo ni apa duniani ni hii sasa ndoo malipo ukifanya kitu lazima ujue mathara na faida tena kurudiana na ex ni kosa bora kua single kuliko ex💯
Kwa mpigo
Wanawke kama Farida muraaniwe mwanamuke kuomba taraka niraana Mungu anakoa utakuja kujutia we FaridaFarida 😭😭😭😭😭😭😭😭loho ninaniuma
Yaan ww utoke nyumban kw mumeo mpaka kwa ex😮 unategemea nn😢😅😅😅
Maajabu
Anko Jay yani mimi si lala kwa simulizi zako zimekuwa kama dawa kwangu Lo😂 yani nasikiya raha mbaka rohoni sauti yako yanimaliza NAKUPENDA ❤ sana Anko Jay
😊😊😊 Enjoy
Kwakusema kweli simulizi zote nilizozisoma nimeona wasichana wanajiachia sana na wako rahisi rahisi sana
Mwana kulitafuta mwana kulipata # farida
🤣🤣🤣🤣Ila Anko Jay mbona umenichanganyia maneno
😅😅haya sawa baba
Pat one penzi la ex wang
Jaman hii story kama anko j nilimuadizia story yngu ya maisha ila nyie achen nilikuwa ivyovyo nimebaki na majuto tu hpa
Ulitenda kama Farida??????